JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2022

‘Tuna matumaini chanya ya mabadiliko ya sheria ya habari’

Na Stella Aron,JamhuriMedia TASNIA ya habari inapaswa kuwa na sheria na kanuni rafiki ili kuruhusu kukua na kwamba, kuweka sheria kali na ngumu, kunaua vyombo vya habari lakini kunaacha athari hasi kwa taifa. Kuwepo kwa vyombo vingi vya habari kushindwa…

Tanzania kunufaika na mpango wa usimamizi endelevu wa rasilimali za bahari

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Maganga leo amefungua warsha ya Mafunzo ya Kikanda kuhusu Mpango wa Matumizi ya Eneo la Bahari (Marine Spatial Planning – MSP) na Ukanda wa Pwani ya Magharibi mwa Bahari ya Hindi…