JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2022

“Watu bilioni 3.6 hatarini kuathiriwa na mabadiliko ya tabianchi duniani’

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo amesema Tanzania imejiandaa kikamilifu kushiriki Mkutano wa 27 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Kimataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika Sharm El Sheikh nchini Misri kuanzia tarehe 31…

Majaliwa atoa agizo kwa Wizara ya Maji, DAWASA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maji kwa kushirikiana na sekta binafsi ihakikishe inakamilisha taratibu za utekelezaji wa mradi wa kutoa maji Mto Rufiji utakaosambaza maji katika maeneo ya mkoa wa Pwani na Dar es Salaam. Pia,Majaliwa ameielekeza Mamlaka…

Chongolo:Tanzania na Cuba zina urafiki wa kihistoria

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema kuwa, kupitia dhamana ya kuongoza Serikali na nchi, kitahakikisha urafiki wa muda mrefu kati ya CCM na Chama cha Kikomunisti cha Cuba (CPC) na uhusiano wa Tanzania…