JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2022

Serikali yajipanga kukamilisha ujenzi wa vituo vya afya

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Festo Dugange amesema kuwa Serikali imeweka mpango mkakati wa ukamilishaji wa ujenzi wa vituo vya afya vyote nchini kwa lengo la vituo hivyo kuanza kutoa huduma kwa…

Moto mlima Kilimanjaro,Serikali yaipa Wizara maagizo matatu

Serikali imetoa maagizo matatu kwa Wizara ya Maliasili na Utalii na TANAPA katika kukabiliana na changamoto ya moto kwenye maeneo ya hifadhi ikiwemo mlima Kilimanjaro wakati inapojitokeza. Agizo hilo limetolewa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo bungeni Novemba 3,2022 bungeni jijini…

Serikali yasitisha utambuzi wa mifugo kwa hereni za kielektroniki

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imesitisha kwa muda wa miezi mitatu zoezi la utambuzi wa mifugo kwa kutumia hereni za kielektroniki wakati ikiendelea na tathmini ambayo itawezesha kutoa muongozo wa namna bora zaidi ya kutekeleza zoezi hilo. Majaliwa amesema…

Tanzania,Korea Kusini zaingia makubaliano kuimarisha sekta ya ardhi

Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeingia makubaliano na Wizara ya Ardhi Miundombinu na Usafirishaji ya Korea Kusini kwa ajili ya kuimarisha sekta ya ardhi. Makubaliano hayo yametiwa saini jana na Waziri wa…