JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2022

TANZIA: Mkurugenzi Utawala na Rasilimali Watu Gerald Mwanilwa afariki

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, anasikitika kutangaza kifo cha Gerald Mwanilwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, kilichotokea tarehe 2 Novemba, 2022 nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu. Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Ilazo,…

NIT yanunua ndege za kufundishia marubani

Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimenunua ndege mbili ambazo zitaanza kutumika kufundisha Marubani ndani ya nchi ili kupunguza gharama za masomo ya fani hiyo. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) Prof. Zakaria Mganilwa,wakati akizungumza…

TCRA yataja changamoto zilizopo katika sekta hiyo

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt.Jabiri Bakari,amezitaja changamoto katika sekta hiyo nchini kuwa ni pamoja na uharibifu wa miundombinu ya mawasiliano. Hayo ameyasema leo Novemba 3,2022 jijini Dodoma,wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Utekelezaji wa Shughuli…

China yasemehe baadhi ya madeni Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa Mikataba na Hati za Makubaliano ya kimkakati 15 akiwa pamoja na Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Xi Jinping.  Miongoni mwa mikataba hiyo…

Kairuki abainisha maeneo saba atakayoyasimamia TAMISEMI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amebainisha vipaumbele na maeneo ambavyo Wizara itawekea mkazo katika kipindi ambacho atakuwa akihudhumu katika Ofisi ya Rais TAMISEMI. Amebainisha hayo leo tarehe 03 Novemba, 2022…

Waziri Gwajima kushiriki mkutano wa maswala ya wanawake Uturuki

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewasili nchini Uturuki katika jiji la Instanbul, na kupokelewa na mwenyeji wake Balozi wa Tanzania nchini humo Lt. Jen. Y. H. Mohamed, leo tarehe 03 Novemba,…