Month: November 2022
Ndege yaangukia Ziwa Victoria Bukoba, 29 waokolewa
Ndege ya Shirika la Ndege la Precision Air imeanguka katika Ziwa Victoria karibu na Uwanja wa Ndege wa Bukoba mkoani Kagera. Kamanda wa Polisi mkoani humo amethibitisha kuanguka kwa ndege hiyo, na kuwa uokoaji unaendelea na atatoa taarifa kwa kina…
Simba Queens yaingia nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika
Timu ya wanawake ya Simba Queens imefanikiwa kuweka rekodi mpya katika soka la wanawake nchini kwa kutinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika Wanawake baada ya kuichapa timu Green Buffaloes Women ya Zambia, magoli 2 bila. Timu ya Simba…
Afritrack yaja na suluhisho la kuondoa ugomvi kwa wenye nyumba na wapangaji
Na Mussa Agustine,JamhuriMedia Kampuni ya Afritrack imekuja na mfumo wezeshi wa kufuatilia matumizi ya umeme katika majengo makazi na majengo biashara. Hayo yamesemwa na Afìsa Masoko wa kampuni hiyo Gabrieĺa Faith katika maonyesho ya ujenzi yanayoendelea jijini Dar es Salaam….
Shaka awatolea uvivu wabadhirifu serikalini
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amtoa onyo na kuwatahadharisha wtumishi wote ambao wamepewa dhamana katika Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, wasithubutu kufanya…
Rais Malawi ampongeza Mkuu wa Majeshi ya ulinzi kwa ushirikiano
Na Meja Selemani Semunyu, Malawi Rais wa Malawi Lazarus Chakwera ameishukuru Tanzania kupitia Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda kwa ushirikiano inaouonyesha kwa nchi hiyo na jeshi lake kupitia michezo ikiwemo Gofu. Rais Chakwera aliyazungumza hayo wakati wa…
‘Viongozi wa dini toeni mafunzo kupunguza mmomonyoko wa maadili’
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaomba viongozi wa dini nchini wakiwemo wa Jumuiya ya Kiislamu ya Istiqaama Tanzania waongeze juhudi katika kutoa mafunzo ya dini ili kupunguza au kuondoa kabisa mmomonyoko wa maadili unaoikabili jamii. Waziri Mkuu amesema viongozi wa dini,…