Month: November 2022
Chama,Aziz Ki wafungiwa, Simba,Yanga watozwa faini
Viungo washambuliaji, Mzambia Clatous Chota Chama wa Simba Stephane Aziz Ki raia wa Burkina Faso wamefungiwa mechi tatu kila mmoja kwa makosa yanayofanana.
Vikao vya kutatua hoja za muungano havijapoa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema vikao vya kupokea na kujadili changamoto za Muungano bado vipo na vitaendelea kuwepo kutokana na umuhimu wake katika mustakabali wa Muungano wetu. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)…
Rais Mwinyi aitaka BOT kuwezesha upatikanaji wa dhamana za mikopo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameitaka Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuwezesha upatikanaji wa dhamana za mikopo kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo Visiwani. Dkt. Mwinyi ametoa maelekezo hayo alipokutana…