JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2022

Washauriwa kuunganisha nguvu kukabiliana na uharibifu wa misitu

Serikali imewataka wadau wa misitu katika Halmashauri ya Madaba mkoani Ruvuma,kuunganisha nguvu zao katika kukabiliana na uharibifu wa misitu ili kuwa na misitu endelevu kwa ajili ya kuharakisha maendeleo na ukuaji wa uchumi nchini. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa…

TAKUKURU yawafikisha mahakamani waliojenga kibanda hiki kwa mil.11/-

Na Benny Kingson,JamhuriMedia,Tabora Watumishi wanne wa Chuo Cha Mafunzo Stadi (VETA), mkoani Tabora wamefikishwa mahakamani na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU),kufuatia kufuja fedha sh.mil.750 za ujenzi wa chuo wilayani Uyui ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri…

Ajali yaua watoto wawili wa familia moja Mbeya

Na Manka Damia,JamhuriMedia,Mbeya Watu wawili wamefariki dunia mkoani Mbeya na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali baada basi dogo kufeli breki katika mteremko mkali wa Mbalizi na kugonga magari mengine matatu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Novemba 9,2022, Kamanda wa…