JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2022

Serikali kuchukua jitiahada za karibu, usawa wa kijinsia

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo Ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula amesema Serikali imeendelea kuweka jitihada mbalimbali zitakazoleta usawa wa kijinsia katika jamii kwa uharaka zaidi. Dkt. Chaula ameyasema hayo katika kikao Kazi kilichojumuisha Wakurugenzi wa Sera…

Dkt. Kiruswa asuluhisha mgogoro kati ya mwekezaji na wana Butiama

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amefungua Kikao cha kutatua mgogoro baina ya mwekezaji mgodi wa Cata Mining na jamii inayozunguka mgodi huo baada ya malalamiko kuhusu ulipwaji wa fidia kwa wananchi waliyopisha eneo la uwekezaji. Mgodi wa Cata…

EWURA yajipanga kutatua malalamiko ya watumiaji huduma za nishati,maji

Na Mwandishi Wetu,Iringa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Mhandisi Modeatus Lumato,amesema kuwa wamejipanga kupokea na kutatua malalamiko ya watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji ili wananchi wapate thamani halisi ya huduma…

Mkulima mbaroni kwa tuhuma za kushusha hadhi ya Rais Samia na Msataafu Kikwete kupitia TikTok

Mwanamme mmoja mkazi wa Kidete mkoani Morogoro anayejishughulisha na kilimo,Piniston Nzali (20) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kujibu mashtaka matatu ya kuchapisha mtandaoni taarifa yenye kuharibu hadhi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

Wabunge wakoshwa na mchakato wa mapendekezo ya sheria ya habari

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri WADAU wa Haki ya Kupata Habari nchini (CoRI), wamekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya wabunge, kwa lengo la kuongeza ufahamu kuhusu mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya habari. Kikao hicho kimefanyika jijini Dodoma tarehe 10…

TMA: Mvua kubwa kuanza kunyesha kesho

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kunyesha kwa mvua kubwa kuanzia kesho Novemba 11 katika maeneo mbalimbali nchini. TMA imesema mvua kubwa zinatarajiwa kunyesha kwa muda wa siku tatu kwenye mikoa ya Kagera, Geita, Mwanza, Mara, Shinyanga, Tabora,…