JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2022

Halmashauri Mji Kibaha yakadiria kukusanya bil.45/-

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha Halmashauri ya Mji wa Kibaha, Mkoani Pwani, imekadiria kukusanya sh. bilioni 45.8 kutokana na vyanzo mbalimbali vya mapato yake katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha wa 2022/2023. Akisoma taarifa ya bajeti kwenye kikao…

Serikali:Uchunguzi ajali ya ndege kukamilika ndani ya mwaka mmoja

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imetoa maelekezo kwa wataalamu wa ndani ya nchi kushirikiana na wataalamu kutoka nje ya nchi kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini chanzo cha ajali ya ndege iliyotokea Bukoba. Taarifa hiyo imetolewa leo Novemba 14,2022 jijini Dodoma…

Wanaotupa taka hovyo sasa kuanza kuzomewa Dar

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amesema licha ya uwepo wa sheria na kanuni za kuwadhibiti wachafuzi wa mazingira hususani wanaotupa taka hovyo ni vyema pia ikaenda sambamba na kuwazomea kama sehemu ya kuwafanya…

Wizara yaanzisha kitengo maalumu cha kuokoa maisha waliopata ya ajali

Na Englibert Kayombo,JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Afya imeendelea kuboresha mikakati ya kuokoa maisha ya watu kutokana na majanga na ajali kwa kuanzisha Kitengo mahsusi kitakachoshughulika na kuokoa maisha ya watu kutokana na ajali. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu…

EWURA yazishauri Mamlaka za Maji kutoa taarifa sahihi za huduma

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji ( EWURA), Mhandisi Modestus Lumato, amezitaka Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini kuhakikisha zinatoa taarifa sahihi za huduma ya maji na usafi wa…

Sheria kandamizi ni mwiba kwa wanahabari

Na Stella Aron,JamhuriMedia Serikali ipo tayari kupeleka mabadiliko ya sheri ya habari bungeni baada ya kikao cha mwisho kukubaliana baadhi ya mapendekezo hayo. Hiyo ni kauli ya Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye wakati akizungumza na uongozi…