Month: November 2022
Kaze mkurugenzi mpya wa ufundi timu ya Vijana Yanga
Uongozi wa klabu ya Yanga umemteua Mrundi, Cedric Kaze kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa timu za vijana chini ya umri wa miaka 17 na 20 pamoja na timu ya Wanawake, Yanga Princess.
Dkt. Mpango kumwakilisha Rais tuzo za CTI
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Makamu wa Rais Dkt. Phillip Mpango, anatarajaiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ugawaji wa Tuzo za Rais kwa Mzalishaji Bora wa Mwaka (PMAYA), zitakazotolewa siku ya Ijumaa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Makamu…
Waziri Mkuu aitaka NHC kushirikisha wabia wenye uwezo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amelitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kuhakikisha kuwa linachambua na kupitia kwa umakini wawekezaji watakaoleta maombi ya ujenzi wa miradi ya ubia na Shirika hilo ili kupata wawekezaji wenye uwezo wa kukamilisha ujenzi kwa viwango…
Polisi yaonyesha makucha,yawafungia madereva watano leseni
Na Abel Paul – Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha katika kuhakikisha linakomesha matukio ya ajali kuelekea mwisho wa mwaka limeendelea kutoa elimu kwa madereva na kuwafungia leseni za udereva watano kwa makosa mbalimbali. Akitoa taarifa hiyo…
Mgonjwa wa homa ‘anyweshwa’ dawa ya upele
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Morogoro Mgonjwa aliyekwenda kutibiwa homa Hospitali ya Misheni Bwagala iliyopo Turiani, Mvomero mkoani Morogoro amenusurika kifo baada ya kunywa dawa ya kutibu upele akielekezwa kuwa ni ya homa. Kisa hicho kimetokea Alhamisi ya Novemba 4, 2022 baada ya…