JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: November 2022

Serikali yaonesha dhamira ya kweli mchakato wa mabadiliko sheria ya habari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imeeleza kuendelea na mchakato wa mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya habari na hatua inayofuata ni kufanya mapitio ya mwisho ya mapendekezo ya marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari ya 2016. Akizungumza katika kikao cha…

FIFA yaweka zuio kuvaa kitambaa cha ‘One Love’ Kombe la Dunia Qatar,kinahamasisha ushoga

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limepiga marufuku kitambaa cha “One Love” kwenye Kombe la Dunia 2022linaloendelea nchini Qatar. Kitambaa hicho ni sehemu ya hamasa inayotumiwa na wanasoka wengi Ulaya hususanimanahodha kuhamasisha mapenzi ya jinsia moja (ushoga) ambayo ni kinyume cha…

Silaha haramu kuteketezwa jijini Dar es salaam

Na. Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi nchini limesema tarehe 22 novemba mwaka Mwaka huu litateketeza silaha haramu zilizosalimishwa kwa hiari katika kampeni maalumu iliyofanyika nchi nzima kuanzia septemba 01 mwaka hadi October 31 mwaka huu iliyokuwa…

Harufu ya rushwa, CCM yaamua kufuta chaguzi baadhi ya mikoa

Katibu Mkuu wa Chama Chama Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo kwa dhamana ya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Uchaguzi wa ndani ya chama unaonendelea huku ukifikia ngazi za mikoa chama na jumuiya, ametangaza kufuta uchaguzi katika baadhi ya maeneo, kusimamisha mchakato wa…

CCM yafuta uchaguzi baadhi ya mikoa nchini, yaagiza uchunguzi kufanyika

Katibu Mkuu wa Chama Chama Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo kwa dhamana ya kuwa Mkurugenzi Mkuu waUchaguzi wa ndani ya chama unaoendelea huku ukifikia ngazi za mikoa chama na jumuiya, ametangaza kufuta uchaguzikatika baadhi ya maeneo, kusimamisha mchakato wa uchaguzi na…

Serikali: Jengeni mahusiano mazuri na jamii zilizoko karibu na migodi

Kamishna wa Madini Dkt. Abdulrahman Mwanga amebainisha kuwa, wajibu wa Kampuni za Madini katika jamii (CSR) unapaswa kutekelezwa na wamiliki wa migodi ili kujenga mahusiano mazuri na wananchi wanaozunguka maeneo ya migodi. Amesema hayo Novemba 21, 2022 katika kikao cha…