JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2022

Upinzani,vyama vya wafanyakazi wampongeza Rais

Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa uamuzi wake wa kuruhusu watumishi wa umma wa zamani walioghushi vyeti vyao walipwe mafao yao waliyochangia kwenye mifuko ya pensheni. Wadau mbalimbali wamesema kuwa Rais Samia ameonesha uongozi wenye sura ya binadamu….

‘Tulilinde daraja la Wami lilivyosanifiwa kwa miaka 120 ijayo’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Pwani Daraja jipya la kisasa Wami ambalo linaunganisha mikoa ya Dar es Salaam, Pwani pamoja na mikoa ya Kaskazini limeanza kutumika rasmi oktoba 27, mwaka huu ambapo linakwenda kuwa tija kwa takriban miaka 120 ijayo. Aidha daraja hilo,…

Bodi yaanza kukabiliana na upungufu wa maji Ruvu

Serikali kupitia Bodi ya Maji Bonde la Wami Ruvu imeanza kukabiliana na changamoto ya upungufu wa kina cha maji cha mto Ruvu na mto Wami kwa kuanza kutoa vibari kwa mamlaka za maji kuchimba visima vitakavyosadia kupunguza adha ya maji…