JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: October 2022

Gwajima awabana wazee malezi ya vijana wa kiume

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima amewataka Wanaume wazee  kuwaandaa na kuwalea vijana kwa ajili ya  maisha ya uzeeni. Waziri Dkt. Gwajima ametoa rai hiyo wakati wa Uzinduzi wa harambee ya kuchangia chama…

Tume ya Madini yavuna bil. 178/- robo ya kwanza ya mwaka 2022-2023

Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba, 2022 ambacho ni robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2022-2023, Tume ya Madini imefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 178.01 kwenye…

Mister na miss kiziwi wa dunia kupatikana Oktoba 29

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Mashindano ya Dunia ya Mister and Miss Kiziwi yanatarajia kufanyika oktoba 29 2022 katika ukumbi wa mikutano wa Kimatataifa( NJICC) na mgeni rasmi atakuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Makundi Maalumu,nakwamba yanakutasha washiriki kutoka nchi…

Baraza la Madiwani Tunduru lamwangukia RC Ruvuma

Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma limeazimia kumuita mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kanali Laban Thomas kwenye kikao cha dharula ili wamueleze kero nne zinazoisumbua jamii ikiwemo ya wafugaji ambao inadaiwa kuna…

Bil.8/- kuimarisha mpango wa mafunzo wa madaktari bingwa

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeongeza fedha za kusomesha Wataalamu bingwa na bobezi hadi kufikia shilingi Bilioni 8 kutoka Shilingi Bilioni 3 za mwaka wa fedha 2021/22, utaosaidia kuboresha huduma kwa wananchi na kupunguza Rufaa za nje ya nchi. Hayo…

Timu ya mawaziri nane yashughulikia migogoro ya ardhi

Na Munir Shemweta,JamhuriMedia,Njombe Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ametaka maeneo ya yanayomegwa kwa ajili ya kupatiwa wananchi waliovamia hifadhi yapangiwe mpango wa matumizi ya ardhi na kutolewa hati kwa wamiliki wake. Dkt mabula ametoa…