JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: September 2022

Trioni 2.78 kutekeleza miradi ya elimu nchini

Angela Msimbira,JamhuriMedia,Arusha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Innocent Bashungwa amesema Serikali itatumia kiasi cha shilingi trioni 2. 78 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya elimu nchini Ameyasema hayo leo tarehe 24…

Polisi yawashikilia watuhumiwa 15 kwa mauaji, wizi wa mifugo Tunduru

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi,JamhuriMedia,Tunduru Jeshi la Polisi kupitia kikosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo nchini kinawashikilia watuhumiwa 15 waliohusika katika tukio la mauaji ya wafugaji katika kijiji cha Mbatamila Wilaya ya Tunduru Mkoa wa Ruvuma….

Polisi wanasa tena ‘Panya road’ 167 Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar Jeshi la Polisi nchini limewatia mbaroni watuhumiwa 167 ‘Panya road’ ,katika operesheni maalumu inayoendelea katika Jiji la Dar es Salaam ambao wanatuhumiwa kushiriki katika vitendo mbalimbali vya uhalifu. Akizungumza leo Septemba 24,2022 ,Kamishna wa Operesheni na…

Mbatia afukuzwa NCCR-Mageuzi

Hatimaye mkutano mkuu wa Chama Cha NCCR-Mageuzi umemfukuza uanachama mwenyekiti wa chama hicho Taifa, James Mbatia na pamoja na kumvua uongozi Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Angelina Rutairwa. Mkutano huo unafanyika leo Jumamosi Septemba 24, 2022 jijini Dodoma na umehudhuriwa…