JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: September 2022

Naibu IGP Balozi Dkt.Abdulrahamani Kaniki asisitiza uadilifu

Aliyekuwa Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Balozi Dkt Abdulrahamani Kaniki amelitaka Jeshi la Polisi kuendelea kuwa waadilifu kwa kufanya kazi zake kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu za nchi na kwa mujibu wa wakanuni mbalimbali zinazoliongoza Jeshi…

Watoto 11, 347 wapatiwa chanjo ya Polio Kibaha Mjini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kibaha Halmashauri ya Mji Kibaha ambayo imepewa dozi 40,000 ya chanjo ya matone ya kutokomeza polio inatarajia kutoa chanjo hiyo kwa watoto wasiopungua 38,748 kwa awamu hii kwenye Kata 14 na Mitaa 73 inayounda Halmashauri hiyo ambapo tayari…

Prof: Mkenda akutana na kufanya mazungumzo na balozi wa Singapore nchini

Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda leo Septemba 2, jijini Dar es Salaam amekutana na kufanya mazungumzo na balozi wa Singapore nchini Bw.Douglas Foo. Katika mazungumzo hayo Tanzania na Singapore zimekubaliana kuboresha ushirikiano zaidi katika sekta ya elimu ikiwemo…

Sendiga: Watumishi tatueni kero za wananchi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Rukwa Madiwani na Watumishi wa Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga wametakiwa kushirikiana katika kutatua kero na shida za wananchi ili kuleta ustawi wa mji huo. Agizo hilo limetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga leo Septemba…