JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: September 2022

Rais Dkt.Mwinyi aridhia kujiuzulu kwa Mkurugenzi Mkuu wa ZAECA

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi leo amekubali barua ya kujiuzulu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA), ACP Ahmed Khamis Makarani. Hayo ni kwa…

Afariki kwa kuchomwa visu tumboni na mumewe

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Geita JESHI la Polisi mkoani Geita linamtafuta mchimbaji wa madini ya dhahabu Mashaka Jeremia kwa tuhuma za kumchoma mkewe visu sehemu mbalimbali ya mwili wake na kusababisha kupoteza maisha . Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Ally Kitumbu…

Balozi Mulamula akutana na mkurugenzi Mkazi wa Shirika la IOM

Na Mwandishi Maalum,JamhuriMedia,Dar Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana na kuzungumza na Mwakilishi Mkazi mpya wa Shirika la Kimataifa la Uhamaji (IOM) Bw. Maurizio Busatti ambaye amejitambulisha rasmi kwa Mhe. Waziri…

Serikali yatoa bil.3/-kujenga sekondari ya wasichana Ruvuma

Na Mwandishi Wet,JamhuriMedia, Ruvuma Serikali imetoa shilingi bilioni tatu kutekeleza mradi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Mkoa wa Ruvuma ambayo inajengwa katika eneo la Migelegele wilayani Namtumbo. Akizungumza baada ya kukagua mradi huo,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali…

Vyanzo vikuu nane vya migogoro ya ardhi Dar

Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Allan Kijazi amesema kupitia kamati aliyoiunda ya kutatua migogoro ya Ardhi Jijini Dar es Salaam imebaini vyanzo vikuu nane vya migogoro ikiwemo uvamizi,kughushi nyaraka na utapeli. Dkt. kijazi ameyasema hayo…

Jafo atoa siku 7 kwa wafanyabiashara wenye mifuko ya plastiki kuisalimisha

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo ametoa muda wa siku 7 kwa Wafanyabiashara na Wananchi Wenye Mifuko ya plastiki iliyokatazwa kuisalimisha kwenye Ofisi ya Mkuu wa Wilaya kupitia kikosi…