JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: September 2022

Barrick North Mara yaandaa ligi ya soka ya ‘Mahusiano Cup’ Tarime

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mara MgodiI wa dhahabu wa Barrick North Mara, kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Tarime, umeandaa mashindano ya soka ya kuwania kombe la ‘Mahusiano Cup’ yanayojumuisha vijiji 16 vinavyozunguka mgodi huo ambayo yalizinduliwa rasmi jana katika viwanja…

Ruto ndiye Rais mteule Kenya,Mahakama yatupilia mbali pingamizi la Odinga

Mahakama ya Juu imeona kwamba walalamishi hawakutoa ushahidi wa kutosha kubatilisha matokeo kwa msingi kwamba kiwango cha kikatiba cha asilimia 50 + 1 cha ushindi wa moja kwa moja hakikufikiwa. Mahakama ya Juu imegundua kwamba walalamishi hawakuwasilisha kesi yenye uzito…

Kinana afurahishwa na kasi ya ujenzi wa daraja la Magufuli

Na Mwandishi Wetu,JamhuruiMedia,Mwanza Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana, amesema Chama kinaridhishwa na mwenendo wa ujenzi wa daraja la JPM Magufuli linalounganisha kati ya Mkoa wa Mwanza na Geita ambalo linajengwa eneo la…