JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: September 2022

Waziri Mkuu asisitiza uadilifu ujenzi wa mji wa Serikali

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia awamu ya pili ya mradi wa ujenzi wa Mji wa Serikali wahakikishe wanazingatia uadilifu katika matumizi ya fedha ili uweze kukamilika kwa wakati na kwa viwango vilivyokusudiwa. Pia,Majaliwa amewaagiza Makatibu…

BRELA yashauriwa kusaidia wafanyabiashara mkoani Mara

Na Mwandishu Wetu,JamhuriMedia, Mara Rais wa Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA), Bw. Paul Koy ameishauri Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), kusaidia wafanyabiashara wa mkoa wa Mara ili warasimishe biashara zao. Kauli hiyo ameitoa jana alipotembelea…

Wizara ya Maji kutekeleza mradi wa bil.134/- Tarime na Rorya

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wizara ya Maji imeingia mkataba wenye thamani ya zaidi ya Shilingi bilioni 134 na Kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Maji katika miji ya Rorya na Tarime, mkoani Mara….