JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: September 2022

Mabula ataka mpango wa matumizi ya ardhi mradi wa maji Butimba

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mwanza Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt.Angeline Mabula ametoa wito kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kuweka mpango wa matumizi ya ardhi katika eneo la Mradi wa wa Chanzo na Kituo…

Waziri Mkuu wasaidie watoto hawa

*Wanatembea kilometa 24 kila siku Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Nimekuwa na utaratibu za kuzuru maeneo mbalimbali vijijini. Katika pitapita zangu wiki iliyopita nilifika katika eneo ambalo mikoa mitatu ya Manyara, Morogoro na Tanga inapakana. Wilaya zinazokutana hapa ni Kiteto (Manyara), Gairo…

Simba,Yanga wote wapo kileleni

BAO pekee la kiungo Jonas Mkude dakika ya 86 lililoipa Simba SC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Tanzania Prisons Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. Simba SC imefikisha pointi 10 baada ya ushindi huo na kuungana kileleni na mabingwa watetezi,…

TFS waanzisha utalii wa mbio za magari

WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) ,kupitia shamba la miti la Sao Hill lilopo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wamefanikisha mashindano ya magari ya mbio fupi ya Sao Hill Auto Cross ambayo yalikuwa kivutio kikubwa kwa wananchi wa mkoa…

Makinda: Sensa ya 2032 inategemea kujikosoa kwa sensa ya 2022

Kamisaa wa Sensa Anne Makinda ameeleza ,Maandalizi ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2032 inategemea mafanikio na ufumbuzi wa changamoto zilizojitokeza sensa ya mwaka 2022 ili kuleta matokeo chanya. Ameelezea kwamba,ameshukuru Sensa hii imefanywa kwa uzalendo na wananchi…

NEMC yateketeza tani 44.4 ya mifuko iliyopigwa marufuku

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeteketeza vifungashio tani 44.4 ambavyo vimepigwa marufuku kwa matumizi, ambapo uteketezaji huo umefanyika katika kiwanda cha Saruji cha Twiga Cement Jijini Dar es Salaam. Akizungumza katika zoezi hilo ambalo limefanyika…