JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: September 2022

Halmashauri zatakiwa kuainisha maeneo ujenzi wa vituo vya afya

Na Asila Twaha,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imezielekeza Halmashauri zote nchini kuanisha maeneo ya kimkakati ili ujenzi wa vituo vya afya vijengwe katika maeneo hayo na kurahisisha upatikanaji wa huduma za afya kwa wananchi. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala…

Ndalichako:Rais Samia amedhamiria kutatua changamoto za wafanyakazi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Prof. Joyce Ndalichako amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan imedhamiria kutatua changamoto za wafanyakazi ili kuboresha…

Mnyika:Mfumo wa vyama vingi ulitolewa kama zawadi na CCM

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Katibu Mkuu wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha (CHADEMA), John Mnyika amewataka Watanzania kuendelea kupigania katiba mpya kwa sababu ndiyo mkombozi. Hayo ameyasema jijini Dar es Salaam wakati wa kongamano la maadhimisho ya siku ya…

Tanzania yapongezwa kuwa mwanachama hai wa Umoja wa Afrika

Pongezi hizo zimetolewa na Makamu Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, MMonique Nsanzabaganwa alipokutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula pembezoni mwa Mkutano wa Wanawake na Vijana katika…

Serikali yazungumzia ongezeko la bei ya mahindi, mchele

Serikali imesema kuwa matokeo ya tathmini iliyofanywa katika kipindi cha mwezi Agosti 15 hadi na Septemba 15, mwaka huu yamebainisha ongezeko dogo katika baadhi ya bidhaa za vyakula hususan mchele, mahindi, na maharage. Aidha, kupanda kwa bei za bidhaa hizo…