JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: September 2022

Rais Samia amlilia Balozi Paul Rupia

Balozi Rupia (86) amefariki leo asubuhi nchini Afrika Kusini ambapo amewahi kushika nyadhifa mbalimbali kama ofisa katika Wizara ya Mambo ya Nje katika nchi mbalimbali. Pia, aliwahi kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa…

Wanne wahukumiwa kunyongwa kwa kuwaua Polisi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora Mahakama ya Kuu Kanda ya Tabora imewahukumu watu wanne kunyongwa hadi kufa kwa tuhuma za kuwaua askari wawili wa Jeshi la Polisi wa kituo cha Usoke wilayani Urambo mkoani Tabora. Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi wa…

Operesheni Maalumu yawanasa 100 Temeke

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amesema kuwa hatokubali wilaya yake iingie katika dosari kutokana na baadhi ya watendaji wasioowaminifu kushindwa kutoa ushirikiano katika msako mkali unaoendelea jijini Dar es Salaam. Akizungumza leo Septemba 16,2022,Jokate…

Gekul:Ujenzi wa viwanda vya michezo ni jukumu la Serikali na wadau

Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Pauline Gekul amesema ujenzi na uendelezaji wa miundombinu ya michezo ni jukumu la Serikali Kuu, Mamlaka ya Serikali za Mitaa, Taasisi , Mashirika ya Umma na Wadau wa michezo. Amesema hayo leo Septemba…

Wachangishwa 60,000/ kwa kila kaya ili kujenga zahanati, RC aingilia kati

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Simanjiro Mkuu wa Mkoa wa Manyara,Charles Makongoro Nyerere ameiagiza Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) kuchunguza mashamba yaliyouzwa na kugawanywa kwa wananchi na kuchangishwa sh60,000 kila kaya kwa ajili ya ujenzi wa zahanati. Makongoro akizungumza na…

Waziri:Utaratibu wa kuoa au kuolewa ni miaka sita JWTZ

Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema haina mpango wa kubadili utaratibu uliowekwa kwa askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wa kukaa miaka sita bila kuoa ama kuolewa mara baada ya kujiunga na jeshi hilo. Waziri wa Ulinzi…