JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: September 2022

CHADEMA yaitaka Serikali kutoa sababu za NHIF ‘kufilisika’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeitaka Serikali kutoa sababu zilizosababisha Mfuko wa Taifa wa Bima (NHIF) kuwa na hali mbaya ya kifedha. Hayo yamesemwa leo Septemba 20,2022 na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Salim Mwalimu…

Masauni amteua IGP Mstafu Mwema kuwa mwenyekiti wa bodi ya Magereza

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mheshimiwa Mhandisi Hamad Masauni (Mb), kwa Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu cha 2 cha Amri ya Uanzishwaji wa Bodi ya Shirika la Uzalishaji Mali ya Magereza, iliyofanyiwa Marekebisho Mwaka 2022 (The Prisons Corporation…

Serikali: Mchakato Mabadiliko Sheria ya Habari haujakwama

Na Mwandishi Wetu,JahuriMedia Serikali imeeleza kuwa, mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta yahabari haujakwama. Kauli hiyo imetolewa na Gerson Msigwa, Msemaji wa Serikali alipozungungumza na mwandishi wa habari hii kuhusu maendeleo ya mchakato huo, tangu kufanyika kikao cha kwanza…

Serikali yasikia kilio cha Watanzania, yafuta tozo

…………………………………………….. Mheshimiwa Spika, itakumbukwa kuwa, katika mwaka wa fedha 2021/22, Sheria ya Malipo ya Taifa, Sura na. 437 (National Payment System Act, Cap. 437) ilifanyiwa marekebisho kupitia Sheria ya Fedha ya mwaka 2021 na kuanzisha tozo ya miamala ya kutuma…

TAKUKURU watakiwa kuifanyia kazi ripoti ya CAG

Na Kija Elias,JamhuriMedia,Moshi NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Deogratius Ndejembi, amewataka maafisa wa Takukuru nchini kuhakikisha kwamba ripoti ya ukaguzi iliyofanywa na CAG na kukabidhiwa kwao inafanyiwa kazi haraka iwezekanavyo….

Serikali yatoa wito kwa wadau wa afya kutatua changamoto

Na Mwandishi wetu – New York, Marekani Serikali kupitia Wizara ya Afya, imewataka Wadau wa Sekta ya Afya kuimarisha ushirikiano ili kutatua changamoto zinazokabili eneo la rasilimali watu wa sekta ya afya. Wito huo umetolewa na Waziri wa Afya Ummy…