JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: September 2022

Ukweli kuhusu NHIF huu hapa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Wakati Mfuko wa Bima ya Taifa ya Afya (NHIF) ukiwatoa hofu wananchi kwa kusema kuwa upo imara na himilivu, magonjwa yasiyoambukizwa yanayosababishwa na ‘tabia-bwete’ yanatajwa kuwa chanzo cha ongezeko la gharama za matibabu nchini. Akizungumza na wahariri…

Waziri Mkuu azindua mpango kabambe wa sekta ya uvuvi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema utekelezaji wa Mpango Kabambe wa Sekta ya Uvuvi utasaidia kukuza sekta hiyo na kuongeza mchango wake katika Pato la Taifa hadi kufikia asilimia 10 kwa mwaka kutoka asilimia 1.8 ya sasa. Majaliwa amesema kuwa mpango…

Makamu wa Rais akihutubia mkutano wa elimu Umoja wa Mataifa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. Philip Mpango amesema katika kuelekea mwaka 2030, mataifa yanapaswa kujitoa upya na kuazimia kuongeza uwekezaji  zaidi katika sekta ya elimu kwa nia ya kuhakikisha Watoto wanapata elimu iliyo bora na…