JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: September 2022

Waziri Mkuu Majaliwa akaimu Urais

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekaimu Urais wa Tanzania tangu Septemba 17, 2022 hadi Rais Samia Suluhu Hassan atakaporejea nchini, JAMHURI DIGITAL imeambiwa. Rais Samia aliondoka nchini Septemba 17, 2022 kwenda kushiriki maziko ya Malkia…

Mkumbo awaonyesha njia wadau wa habari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mbunge wa Jimbo la Ubungo,Kitila Mkumbo amewashauri wadau wa habari kueleza hoja zenye tija kuhusiana na kupendekeza kwa baadhi ya vifungu vya sheria ya habari kuomba kubadilishwa. Mkumbo ameyasema hayo jijini Dodoma alipozungumza na mwandishi wa habari…

UN:Tanzania ya 86 kati ya nchi 163 zenye amani duniani

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres, amesema kuwa bado kuna maeneo mengi ulimwenguni yanakabiliwa na kushindwa kwa suala la amani. Ameyasema hayo kupitia ujumbe wake wa siku ya kimataifa ya amani alipokuwa akihutubia umoja huo huko jijini…

Vita ya madaraka PSSSF

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Mtifuano mkali unaotajwa kuwa na viashiria vya kunyemelea madaraka unaendelea ndani ya Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), ambapo kundi la wafanyakazi waliohamishwa baada ya mifuko kuunganishwa wamefikisha malalamiko kwenye Baraza la Tume ya Maadili…