JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2022

Wizara zaweka mikakati kuweka mazingira wezeshi kwa wazee

Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Wizara ya Fedha na Wizara ya Maji zimekubaliana kuweka mikakati…

Japan yatoa dola bilioni 30 kusaidia nchi za Afrika

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia SERIKALI ya Japan imetangaza kutoa kiasi cha Dola za Marekani bilioni 30 katika kipindi cha miaka mitatu (2022 – 2025) kwa Nchi za Bara la Afrika ili kuziwezesha kutekeleza programu na miradi ya maendeleo itakayoleta mageuzi ya…

Serikali yaonyesha nia kumaliza kiu Mabadiliko ya Sheria ya Habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar WAKILI wa kujitegemea na mwakilishi wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),amesema kuwa katika mchakato wa Mabadiliko ya Sheria ya Habari,Serikali imeonyesha nia ya kufanyia kazi vipengele mbalimbali hivyo mchakato huo utapata majibu yatakayomaliza kiu sekta ya habari….

Wahifadhi watakiwa kujenga mahusiano mazuri na wananchi

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja amewataka wahifadhi kujenga mahusiano mazuri na wananchi wanaoishi pembezoni mwa hifadhi ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu yao ya kuhifadhi rasilimali za Taifa. Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe….

Mzee Kusila atakumbukwa kwa mengi

Waziri wa Nchi Ofisi ya waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu George Simbachawene amesema Mzee William Kusila alipenda kuona viongozi wanazingatia miiko, na kuishi kwa kuwa mfano mwema kwa jamii. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya waziri Mkuu…