JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2022

‘Taarifa za utoaji habari za watoto zina kasoro nyingi’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia BADO kuna changamoto za utoaji taarifa kuhusiana na vitendo mbalimbali wanavyofanyiwa watoto nchini na kuchangia matukio ya ukatili kuendelea kutokea. Hayo yamebainishwa katika mafunzo kwa wakuu wa vitengo vinavyosimamia wanafunzi wa uandishi wa habari katika vyuo mbalimbali…

Rais Samia:Nawapongeza wanangu Simba Queens kutwaa ubingwa CECAFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan ameipongeza timu ya Simba Queens kwa kutwaa taji la Klabu ya Wanawake Afrika Mashariki na Kati jana. “Nawapongeza wanangu Simba Queens SC kwa ubingwa wa Afrika Mashariki wa CECAFA…

Simba yaichapa Asante Kotoko

TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa 4-2 dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Al Hilal mjini Khartoum nchini Sudan. Mabao ya Simba SC yamefungwa na viungo, Mghana Augustine Okrah dakika ya…

Taifa Stars yajiweka njia panda kufuza CHAN 2023

Timu ya Taifa Stars imejiweka njia panda kufuzu Michuano ya Wachezaji wa ndani (CHAN) mashindano yatakayofanyika nchini Algeria 2023 baada ya kuchapwa bao 1-0 na Uganda mchezo uliopigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Akitokea benchi Mshambuliaji…

Japan yaonesha nia ya kukisaidia chuo kikuu Dodoma

KAMPUNI ya Japan ya Association of African Economic Development (AFRECO) imeonesha nia ya kujenga chuo cha uhandisi wa tiba (school of medical engineering) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ili kupunguza tatizo la wataalamu wa tiba na vifaatiba…

Rais Samia kufungua kikao kazi cha Polisi

Jeshi la Polisi Tanzania lingependa kuwajulisha kuwa katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS) iliyopo Moshi mkoa wa Kilimanjaro maarufu (CCP) kutafanyika kikao kazi cha Maafisa Wakuu waandamizi wa Makao Makuu, Makamanda wa Polisi Mikoa na Vikosi, kitakacho fanyika siku tatu…