Month: August 2022
Kibaha yaongoza ukusanyaji mapato, Bumbuli yashika mkia
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Uchambuzi umeonesha kuwa, katika mwaka wa fedha 2021/22, halmashauri 100 zimekusanya kwa asilimia 100 au zaidi ya lengo la mwaka, halmashauri 78 zimekusanya kati ya asilimia 80 hadi asilimia 99 na halmashauri saba zimekusanya kati ya asilimia…
Majaliwa: Fuateni na simamieni falsafa ya Rais Samia
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka washiriki wa kozi fupi ya 13 ya viongozi watambue, wafuate na waisimamie falsafa ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan iliyojielekeza katika kuwahudumia watanzania. Mheshimiwa Majaliwa amesema lengo kuu…
Kibaha kutoa elimu ya Sensa nyumba za ibada
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kibaha MKUU wa Wilaya ya Kibaha,Sara Msafiri, ameeleza wanatarajia kufanya matamasha na kutoa elimu ya umuhimu wa Zoezi la Sensa kupitia nyumba za ibada ili kuongeza wigo wa elimu ya sensa ndani ya jamii. Vilevile, ameiasa jamii yenye…
Halmashauri zavunja rekodi ya miaka 10
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Miko ana Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), Mhesshimiwa Innocent Bashungwa amesema kuwa, katika kipindi cha mwezi Julai hadi Juni 2022 halmashauri nchini zimekusanya Shilingi Bilioni 888.7 ambayo ni asilimia 103…