JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2022

Ujumbe Benki ya Dunia wakagua maendeleo ya mradi wa Tanzania ya kidijitali

UJUMBE wa Benki ya Dunia umetembelea Ofisi za Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, zilizopo jijini Dodoma na kufanya mazungumzo na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bw. Mulembwa Munaku kuhusu maendeleo ya utekelezaji wa Mradi wa Tanzania…

Bei ya petroli, dizeli yaendelea kupaa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Bei ya mafuta nchini Tanzania, imepanda tena mwezi huu na kuivuka ile ya Julai 2022 ambapo petroli imepanda kwa Sh.190 kwa kila lita na Sh179 kwa kila lita ya dizeli huku mafuta ya taa yakipanda kwa Sh323…

Gonzalez: Tutashirikiana na Serikali kupambana na vitendo vya ukatili

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Amon Mpanju ameiomba Klabu ya Mpira inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara Simba Sports Club kuungana na Serikali katika kutoa elimu kuhusu Malezi, Makuzi na…