JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2022

Tabora yaongoza usajili wa laini za simu Kanda ya Kati

Mkoa wa Tabora unaongoza mikoa ya kanda ya kati kwa Tanzania Bara kwa uwiano mkubwa kati ya wakazi wa mkoa huo na laini za simu zilizosajiliwa, kwa mujibu wa takwimu za hivi karibuni za mawasiliano nchini. Meneja mkuu wa kanda…

NMB yazindua ATM ya kubadili fedha za kigeni uwanja wa KIA

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kilimanjaro Benki ya NMB leo imezindua rasmi mashine ya kubadilisha fedha (Forex – ATM) katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) yenye uwezo wa kubadili fedha za kigeni kwenda shilingi za Kitanzania. Hii ni hatua nyingine…

Chalamila atoa siku 7 kwa watumishi wa bandari kubadilika

N Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kagera Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila,ametoa siku saba kwa watumishi wa makao makuu mamlaka ya Bandari(TPA),kubadilika kabla hajaanza kuchukua hatua dhidi yao. Chalamila, ametoa agizo hilo wakati akiongea na watumishi wa mamlaka hiyo wakati akikagua shughuli…

Wahandisi na wakandarasi wazawa watakiwa kuchangamkia fursa

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema Serikali itaendelea kuwasajili na kuwawezesha wakandarasi na wahandisi wazawa ili waweze kunufaika na fursa za miradi ya ujenzi inayoendelea nchini. Amesema hayo jijini Dodoma, katika taarifa yake kwa Kamati ya Kudumu…

Bibi afariki baada ya kuruka kutoka ghorofani

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Unguja Rehema Chande (70),ambaye ni mkazi wa Unguja, Zanzibar, amefariki dunia baada ya kuruka kutoka ghorofa ya pili nyumba anayoishi wakati akijiokoa dhidi ya moto uliowaka ndani ya nyumba hiyo. Kamanda wa Kikosi cha Zimamoto Zanzibar, Rashid Mzee…