JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2022

Waiomba Manispaa Songea kuharakisha ujenzi soko la Manzese

BAADHI ya wafanyabiashara wadogo waliokuwa wanafanya shughuli zao soko la Manzese A na B katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma,wameiomba serikali kupitia Manispaa hiyo kuharakisha ujenzi wa soko jipya ili waweze kurudi na kufanya shughuli zao kama hapo awali. Wafanyabiashara…

Tanzania yashika nafasi ya 28 michezo ya Jumuiya ya Madola

Na Issa Michuzi,JamhuriMedia,Birmingham Tanzania imehitimisha ushiriki wake katika Michezo ya 22 ya Jumuiya ya Madola jijini Birmingham, Uingereza, ikiwa katika nafasi ya 28 baada ya mategemeo yake manne ya mwisho kushindwa kuambulia chochote kwenye michezo yao usiku wa kuamkia leo….

Walengwa wa TASAF Morogoro wawezeshwa kuzalisha funza chuma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Jenista Mhagama amesema walengwa wa Mpango wa Kuzinusuru Kaya Maskini Manispaa ya Morogoro unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), wamewezeshwa kuendesha mradi wa funza chuma…

‘Tunataka mita za maji vijijini ziwe za malipo kabla ya matumizi’

Harare, Zimbabwe Naibu Waziri wa Maji Mhandisi Maryprisca Mahundi ameongoza timu ya wataalamu kutembelea nchi ya Afrika Kusini na Zimbabwe ili kujifunza namna nchi hizo zinavyoshirikisha sekta binafsi katika kusimamia miradi ya maji vijijini sambamba na utumiaji wa dira za…

‘Sensa ya Makazi itapunguza migogoro ya ardhi’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Ilemela Wananchi wametakiwa kushiriki na kutoa taarifa sahihi za Makazi na umiliki wake wakati wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika mapema mwezi Agosti 23, mwaka huu, ili kupunguza migogoro ya ardhi inayoepukika. Rai hiyo imetolewa…