JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2022

Waziri Pindi Chana amshukuru Rais Samia

Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia Wizara yake fedha za utekelezaji wa Mradi wa kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Utalii Kusini mwa Tanzania(…

Diplomasia ya kiuchumi ya Rais Samia yaing’arisha Tanzania

Na Mathias Canal,JamhuriMedia,Mbeya Diplomasia ya kiuchumi iliyofanywa na inayoendelea kufanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ndani na nje ya nchi imesaidia upatikanaji wa Dola za Marekani Milioni 925 kuboresha miundombinu ya elimu. Waziri wa…

Serikali yawaondolewa mzigo wakulima

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Serikali imewaondolewa mzigo wakulima baada ya kuzinduliwa kwa Mpango wa Ruzuku ya Mbolea utakaowawezesha kupata nafuu ya bei za mbolea katika msimu wa kilimo 2022/2023. Uzinduzi huo umefanywa leo Agosti 8, 2022 na Rais Samia…

Serikali yaombwa kuondoa kodi ya maziwa yanayosafirishwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imeombwa kuondoa kodi ya maziwa yanayosafirishwa kutoka nje ya nchi ili bei ya maziwa iwe shindani na kuweza kupanua soko la maziwa zaidi. Hayo yamesemwa leo jijini Arusha na Afisa mauzo kutoka kampuni ya…

Tanzania yapewa msaada wa Euro mil.10

Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani imeipatia serikali ya Tanzania msaada wa Jumla ya Euro Mill 10 sawa na Shilingi za Kitanzania Bill 23.7 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mitatu. Hayo yamejiri leo jijini Dar es Salaam katika…