JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2022

Polisi waendelea na oparesheni kali kuzuia uhalifu Dar

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limesema linaendelea na operasheni maalum kali ya kuzuia vitendo vya kihalifu maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam. Akizungumza mapema leo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es…

Waziri Sagini ataka kuchukuliwa hatua wasiofuata sheria

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini amewataka Wakuu wa Usalama Barabarani wa Mikoa na Wilaya (RTOs na DTOs) kuendelea kuwachukulia hatua kali madereva sambamba na watumiaji wengine wa vyombo vya moto wasiotaka kufuata sheria,kanuni na alama…

Fuatilia matokeo ya awali ya uchaguzi Mkuu Kenya

Shughuli ya kuhesabu kura inaendelea nchini Kenya huku karibia asilimia 90 ya matokeo yaliyokusanywa kutoka kwenye maeneo mbalimbali yanaonyesha wagombea wawili kati ya Raila Odinga na William Ruto kuchuana vikali. Tume ya Uchaguzi (IECB) ina siku saba za kutangaza mshindi…

Mabula atoa onyo kwa viongozi wanaochochea migogoro ya ardhi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Bagamoyo WAZIRI wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na maendeleo ya makazi Angelina Mabula ametoa onyo kwa baadhi ya Viongozi wa ngazi za vijiji na vitongoji wanaokuwa chachu ya migogoro kwa kuuza ardhi zaidi ya mara moja ili…

Endelea kufuatilia matokeo ya uchaguzi Kenya

Zaidi ya vituo 43,000 vya kupigia kura vimewasilisha matokeo yao ya urais kutoka kwa kura ya Jumanne. Matokeo ya muda yanaonyesha ushindani mkali kati ya wagombeaji wawili wakuu wa urais. Matokeo ya awali ya urais yanaonyesha ushindani mkali kati ya…