JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2022

Serikali kutumia tafiti kutatua changamoto za jamii

SERIKALI imeanzisha mpango kabambe wa kutumia tafiti zilizofanyika na zinazoendelea kufanyika na wataalamu wa ndani ili kutatua changamoto zilizopo kwenye jamii. Akizungumza katika Uzinduzi wa Kigoda cha Utafiti cha Oliver Tambo (Oliver Tambo Research Chair for Viral Epidemics) uliofanyika katika…

Nane wafariki baada ya kontena kugonga basi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya Watu nane wamefariki dunia baada ya kontena la mchanga kufeli breki na kuligonga basi la Super Rojas lilikikuwa likitokea Mbeya kwenda Njombe. Kamanda wa Polisi mkoani humo Urlich Matei amethibitisha kutokea tukio hilo leo iliyotokea katika eneo…

Mbarawa asisitiza kiwanja cha ndege Msalato kukamilika mapema

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amemtaka mkandarasi anayejenga Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato kuhakikisha anakamilika kwa wakati na kwa ubora. Ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma, alipokuwa akikagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanja hicho ambacho…

Watanzania watakiwa kuwa waaminifu

Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia,Dar Balozi wa Tanzania Nchini Saudi Arabia Ali Mwadini amewataka watanzania kuwa waaminifu, katika ufanyaji biashara zinazoenda nje ya nchi.Mwandini amesema kama watanzania wanazingatia kuwa waaminifu katika biashara,ni wazi wataweza kumuhifadhi mteja wa bidhaa lakini ukimfanyia visivyo utampoteza….