JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2022

Shaka amwagiza Bashe kumuondoa Mrajisi vyama vya ushirika Tabora

Shaka amwagiza Waziri Bashe kumuondoa Mrajisi vyama vya ushirika Tabora Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Shaka Hamdu Shaka amemuagiza Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kumuondoa haraka Mrajisi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa…

STAMICO,GST watakiwa kufanya utafiti wa madini Mtwara

Na Tito Mselem,JamhuriMedia, NAIBU Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kuwasadia wachimbaji wadogo wa madini katika mkoa wa Lindi na Mtwara kwa kuwafanyia…

Ridhiwani Kikwete aingia mtaani kutatua migogoro ya ardhi

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete amezitembelea familia na makazi yenye migogoro ya ardhi ya muda mrefu kwa kuzifuata katika maeneo yao kwa lengo la kujionea uhalisia wa migogoro na kupata maelezo ya kina kabla…

Behewa mpya zaidi ya 20 kuwasili nchini Septemba

Serikali imesema mabehewa mapya ya abiria zaidi ya 20 ya reli ya kati yanatarajiwa kuwasili mapema mwezi Septemba mwaka huu kutokea Nchini Korea Kusini lengo likiwa kupunguza changamoto ya upungufu uliopo wa mabehewa hususani kwa njia ya Mpanda na Kigoma….

Mawaziri nane wajadili utatuzi wa migogoro ya ardhi vijiji 975

Waziri Mabula Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Angeline Mabula ameongoza kikao cha Kamati ya Mawaziri Nane wa Wizara za Kisekta kujadili utekelezaji wa Maamuzi ya Baraza la Mawaziri kuhusiana na utatuzi wa migogoro ya matumizi…