JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2022

Ndaki ataka agizo la Rais juu ya maeneo ya wafugaji kutekelezwa

Na Edward Kondela,JamhuriMedia,Morogoro Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mashimba Ndaki (Mb) amezitaka halmashauri na mamlaka za serikali za mikoa kuhakikisha zinatekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan la kutenga maeneo kwa ajili ya wafugaji…

Serikali yatoa ufafanuzi gharama za bando

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Nape Nnauye amesema kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa na taasisi za kimataifa, Tanzania inashika nafasi ya sita kwa Bara la Afrika kwa kuwa na gharama za chini za bando “vifurushi” huku ikishika nafasi…

Tanzania kuendelea kishirikiana na Mahakama ya Kimataifa ya Haki

Tanzania imeahidi kuendelea kushirikiana na Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ili iweze kunufaika zaidi na kazi za Mahakama hiyo yenye hadhi ya juu duniani. Ahadi hiyo imetolewa leo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Africa Mashariki,…

DC Ludigija awataka wadau kuzingatia maslahi upandishaji nauli

Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Wilaya ya Ilala Ng’wilabuzu Ludigija amewataka wadau wa utoaji maoni juu ya upandishwaji nauli za treni, lazima wazingatie maslahi ya pande zote mbili. Lubigija amesema wadau katika mchakato wa utoaji maoni ,lazima wabebe jukumu…