JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2022

Wadaiwa kubakwa kwa ahadi ya kusafishwa nyota na mganga wa kienyeji

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata na linamshikilia mzeee mmoja aliyefahamika kwa jina la Simbuka Makande (62), mganga wa kienyeji mkazi wa Kijiji cha Magengase Mkoa wa Tabora kwa tuhuma za kumbaka mwanamke ambaye ni mfanya…

Raila Odinga kuwasilisha kesi ya kupinga uchaguzi wa Ruto leo

JE, Mahakama ya Juu zaidi itaweka historia nyingine inapojitayarisha kusikiliza na kuamua ombi la urais la Kiongozi wa Azimio Raila Odinga? Hilo ndilo swali kuu ambalo wengi wanatafakari huku Mahakama Kuu nchini ikijiandaa kusikiliza hoja kutoka kwa kundi la mawakili…

Waziri akagua mradi wa kitalu cha miche ya mil.43/-

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii,Mary Masanja (Mb) amekagua mradi wa kitalu cha miche ya miti wenye thamani ya shilingi milioni 43 unaosimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza. Akizungumza leo katika…

Viongozi Kata ya Mchikichini watoa elimu ya Sensa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mussa Azan Zungu ambaye pia ni mbunge wa Ilala amewaasa Watanzania kushiriki kikamilifu Sensa ili kutimiza lengo la Serikali kupata takwimu za msingi za watu na hali za makazi ambazo…