Month: August 2022
Ashikiliwa kwa tuhumza za kumbaka mtoto ndani ya gari
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Jeshi la Polisi mkoani Katavi linamshikilia Afisa Mipango Miji wa Halmashauri ya Mpimbwe Dickson Mwenda (37) kwa tuhuma za kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 15 mkazi wa Kibaoni. Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi Ali Makame…
Tanzania kupokea balozi wa amani duniani
Na Grace Semfuko,JamhuriMedia Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa ujio wa Balozi wa Amani Duniani na Kiongozi wa kidini kutoka nchini India Bw. Gurudev Sri Sri Ravi Shankar…