Month: August 2022
Serikali kuendelea kumkumbuka Augustino Mrema
Waziri Mku Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kumkumbuka Augustino Lyatonga Mrema kutokana na mchango wake mkubwa wa kuendeleza mahusiano na vyama vya siasa. “Mheshimiwa Mrema atakumbukwa kama kiongozi mkuu wa Chama cha TLP kwa muda mrefu sana. Na akiwa katika…
Msako wa mifuko ya plastiki kuanza Jumatatu
Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia,Dar MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameelekeza operesheni ya kukamata Mifuko ya plastiki iliyokatazwa kuanza rasmi Jumatatu ya August 29 kwenye Masoko yote ya Mkoa huo. RC Makalla ametoa maelekezo hayo wakati wa kikao…
Moi yasogeza huduma za kibingwa Mtwara
Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia Huduma za kibingwa za Taasisi ya tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) zitaanza kutolewa katika hospitali mpya na ya kisasa ya rufaa ya kanda Mtwara ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Serikali la kusogeza huduma za kibingwa karibu…
Watoto 53 wazaliwa siku ya Sensa Zanzibar
Watoto 53 wazaliwa siku ya Sensa Zanzibar Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM),mkoa Mjini (Kichama), Talib Ali Talib, ameitaka jamii kujenga tabia ya kutembelea wagonjwa wakati wa matukio maalum ya kitaifa ili kuimarisha imani na mappenzi miongoni…