JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2022

JKT yatoa wito kwa vijana kujiunga na mafunzo kwa kujitolea 2022

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetoa wito kwa vijana wa Tanzania Bara na Visiwani kujiunga na mafunzo ya Jeshi la kujenga Taifa kwa kujitolea kwa mwaka 2022. Akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 25,2022 Jijini Dar es Salaam, Mkuu…

Waziri wa Mambo ya Nje Iran awasili Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran,Amir Abdollahian aliwasili nchini jana usiku kwa ziara ya kikazi ya siku tatu na kupokelewa na mwenyeji wake, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata…

Nape: Waandishi wa habari ni kama wanataaluma wengine wajisimamie wenyewe’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia SERIKALI imesema kuwa sheria ya mwaka 2016 ilitungwa ili kupunguza mikono ya Serikali kuendesha vyombo vya habari kwani sheria ya mwaka 1976 ilikuwa imeweka mikono mingi sana. Akizungumza katika kipindi cha Televisheni cha BBC, Dira ya DuniaWaziri…

Serikali kuja na mpango ufugaji nyuki wa manzuki

Serikali imejipanga kuja na mpango wa ufugaji nyuki ujulikanao kama Manzuki ambapo nyuki watakuwa wanafugwa katika eneo maalum bila kuathiri uhifadhi. Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja (Mb) alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kata…

Wadau wachangia bil.1.26/- kumuunga mkono Rais Samia kuzisaidia timu

Wadau wa michezo nchini wamechanga jumla ya sh. bilioni 1.26 ikiwa ni kuitikia wito wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kuzisaidia timu za Serengeti Girls na Tembo Warriors ambazo zinapaswa kushiriki michuano ya kimataifa huko India na Uturuki. “Kikao hiki…