JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Yonazi : Tutumie AFCON kama fursa ya kujitangaza kimataifa

Na. Mwandishi Wetu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Makatibu Wakuu ya Maandalizi ya Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2027), Dkt. Jim Yonazi,…

Makamu wa Rais afanya mazungumzo na Balozi Meja Jenerali Gaguti

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Balozi Meja. Jen. Marco Elisha Gaguti, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo…

Waziri Mkuu : Serikali kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeweka mkakati wa kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora na miradi inakamilika kwa wakati. Akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Sokoine, wilayani…

Mwenyekiti Kamati ya Kitaifa ataka wadau kuongeza weledi katika kutokomeza ukatili

Na Mwandishi Wetu Zanzibar Mwenyekiti wa Kamati ya Mapngo wa Kitaifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto, ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Mhe. Haroun Ali Suleiman, amewataka wadau…

Uchumi wa Buluu ni mlango mpya wa itajiri wa taifa

*Uchumi wa buluu unahusisha uvuvi, usafirishaji, utalii, gesi, petrol na umwagiliaji. Na Mwandishi Wetu UTEKELEZWAJI wa sera ya uchumi wa buluu umetajwa kuwa lango kuu la uchumi kutokana na fursa mbalimbali zinazopatikana kwenye sekta hiyo. Sekta ya uchumi wa buluu…