JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sangu aongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa 114 wa ILO Geveva

Na: OWM (KAM) – Geneva, Uswisi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki katika Mkutano Mkuu wa 114 wa Shirika la Kazi Duniani (ILO) unaofanyika Jijini Geneva,…

Aliyekuwa afisa Mtendaji wa Kijiji cha Katesh ahukumiwa kwa shtaka la uhujumu uchumi

Tarehe 3/6/2026 Mahakama ya Wilaya ya Hanang katika shauri la uhujumu uchumi (ECC. No. 7732/2026) imemtia hatiani mshtakiwa Sensa Gidang’ adi Machakwa la matumizi mabaya ya madaraka k/f cha 31 cha PCCA Cap 329 R: E 2023 vikisomwa pamoja na…

Waziri Mkuu: Serikali inafanya marekebisho ya sheria ya uchaguzi wa Makamu wenyeviti wa halmashauri

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali inafanyia kazi mapitio ya sheria inayosimamia uchaguzi wa Naibu Meya na Makamu Wenyeviti wa Halmashauri kwa lengo la kuondoa migogoro na kuongeza ufanisi katika utendaji wa halmashauri nchini. Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi,…

Rais Samia atunukiwa udaktari wa heshima Chuo Kikuu cha RUDN

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima (Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi- (RUDN University) kutoka kwa Mkuu wa Chuo hicho Profesa Oleg Yastrebov…

Mwanza kinara katika usimamizi wa maafa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Mkoa wa Mwanza umetajwa kuwa Kinara kwa kuratibu na kusimamia ipasavyo shughuli za kukabiliana na maafa, majanga na mawasiliano ya dharura kutokana na hatua mbalimbali za kuimarisha mifumo ya utayari na mwitikio wa dharura. Sifa…