JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NEMC yatoa elimu kwa umma kuelekea kilele cha Siku ya Kimataifa ya Taka Sifuri

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeanza kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa usimamizi sahihi wa taka, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kilele cha Maadhimisho ya Siku…

Kipenzi ashauri mambo matatu Dorefa, ataka soka lichezwe wilayani

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa zamani wa Soka Mkoa wa Dodoma,(DOREFA) Nassoro Kipenzi ameshauri mambo matatu kwa Chama cha Soka Mkoani Dodoma ikiwemo kuhakikisha soka linachezwa wilayani. Kipenzi ametoa kauli hiyo leo Machi 28,2026 wakati akizungumza katika Mkutano Mkuu wa…

Wakala wa vipimo wadhamiria kutokomeza lumbesa

Na WMA – DODOMA Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla amewataka watendaji wa Wakala hiyo kuanza ukaguzi wa mazao ya shamba na kupambana zaidi na ufungashaji wa mazao hayo kwa mtindo wa lumbesa. Akifungua Mkutano wa…