Latest Posts
Lukuvi atakumbukwa kwa mengi – Waziri Mkuu
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Isimani, Mheshimiwa William Lukuvi atakumbukwa kwa mengi na Watanzania kutokana na utumishi wake uliotukuka katika nafasi mbalimbali…
Kituo cha umeme Ifakara chachochea maendeleo Kilombero
📌Kimetekelezwa na REA kwa gharama ya Tsh. Bilioni 25 📌DC Kilombero aipongeza REA, atoa wito kwa wawekezaji 📌Kimeimarisha upatikanaji wa umeme Ukanda wa Morogoro Kusini Ifakara, Kilombero Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetumia shilingi bilioni 25 kujenga Kituo…
REA yamaliza kero ya umeme Kilombero, Ulanga shughuli za kiuchumi zaimarika
Na Stella Aron JamhuriMedia, Ifakara Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imewaondolewa kero ya umeme ya kukatikatika mara kwa mara wakazi wa Wilaya ya Ifaraka na Ulanga baada ya Kituo cha cha Kupokea, Kupoza na Kusambaza umeme cha Ifaraka…
Serikali yakaribisha wawekezaji kutoka Uturuki
Na Joseph Mahumi, WF, Dar es Salaam Serikali ya Tanzania imewakaribisha wawekezaji kutoka Uturuki kuwekeza katika sekta za kimkakati zikiwemo miundombinu, nishati na kilimo, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuharakisha maendeleo ya uchumi na kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia kati…
Wananchi jiungeni na bima ya afya kuepua gharama kubwa za matibabu-Dk Subi
Na Mwandishi Wetu WANANCHI wamekumbushwa umuhimu wa kujiunga na Bima ya Afya kwa wote ili kujiweka tayari pindi wanapougua wao au ndugu zao ambao ni wanufaika wa bima hiyo, hatua itakayosaidia kuepuza gharama kubwa za matibabu. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi…
Tanzania, Zambia kuimarisha miundombinu ya kimkakati sekta ya madini
Serikali za Tanzania na Zambia zimeazimia kuongeza kasi ya uboreshaji wa miundombinu ya usafirishaji wa madini ili kuchochea ukuaji wa sekta ya madini katika ukanda wa Kusini mwa Afrika. Hatua hiyo ilisisitizwa Machi 25, 2026 na Naibu Waziri wa Madini…




