Latest Posts
Ufaransa yapeleka ndege za kivita chapa Rafale UAE
Ufaransa imetuma ndege za kivita aina ya Rafale juu ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ili kulinda vituo vyake vya kijeshi vya majini na vya anga dhidi ya mashambulizi ya Iran, huku kituo kimoja tayari kikilengwa na droni, Waziri wa…
Israel yafanya mashambulizi mapya Beirut, Tehran
Israel imesema imeanzisha mashambulizi mapya ya anga dhidi ya Beirut na Tehran, na milipuko iliripotiwa katika ubalozi wa Marekani mjini Riyadh, Saudi Arabia, baada ya shambulio la droni la Iran.
Waadhimisha Siku ya Wanawake kwa kupanda miti, kugawa misaada Babati
Na John Walter, JamhuriMedia, Babati Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Machi 8,2026 Halmashauri ya Wilaya ya Babati imefanya shughuli za kijamii kwa kupanda miti na kugawa misaada mbalimbali katika Kituo cha Kulelea Wazee kilichopo Sarame,…
Serikali Zanzibar yaimarisha ukuaji sekta ya viwanda kwa kuvutia uwekezaji
Na Maelezo, Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeweka mkazo maalum katika kuimarisha ukuaji wa Sekta ya Viwanda kwa kuvutia uwekezaji katika maeneo tengefu ya viwanda kwa kuweka miundombinu wezeshi ya maedeleo ya viwanda Unguja na Pemba. Akizungumza na waandishi…
Mgalau aendelea kuiunga mkono jamii kwa vitendo, asisitiza mashikamano na maadili
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo, CPA Subira Khamis Mgalu, ameendelea kuunga mkono jamii kwa vitendo kupitia matukio ya kijamii na kielimu, huku akisisitiza mshikamano na maadili. Katika kuuenzi Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na kipindi cha…





