Latest Posts
Dk Akwilapo akabidhi baiskeli 10 kwa wenye ulemavu Masasi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Masasi Mbunge wa Jimbo la Masasi ambaye pia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo amekabidhi baiskeli kumi kwa watu wenye ulemavu wilayani Masasi mkoani Mtwara, ikiwa ni sehemu ya…
Prof. Kabudi aongoza ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa mawaziri wa Mambo ya Nje ya Jumuiya ya Madola
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba J. Kabudi, ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 26 wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Madola (CFAMM) uliofanyika Machi 8, 2026 jijini London, Uingereza akimwakilisha Waziri…
Wanawake wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Uwanja wa Ndege Dar watoa msaada
Na Heri Shaaban, JamhuriMesia, Dar es Salaam WANAWAKE wa Jeshi la Zimamoto Uokoaji Uwanja wa Ndege (JNIA) wilayani Ilala, Dar es Salaam wametoa vyakula vya misaada na mahitaji mbalimbali kwa watoto wa Mazingira Magumu katika kusherekea siku ya Wanawake Duniani…
Diwani Magreth Cheka, UWT Kipawa watoa msaada kwa makundi maalum
Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, Dar es Salaam DIWANI wa Viti Maalum Wanawake wilaya ya Ilala, Magreth Cheka, pamoja na Baraza la Umoja Wanawake UWT Kata ya Kipawa ,wamesherekea siku ya Wanawake Duniani kwa kutoa misaada ya vyakula kwa Watoto wa…
Kihongosi afurahishwa na hoja zenye mashiko bungeni na mbunge wa Jimbo la Itimila
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kenani Kihongosi amemsifia na kumpongeza Mbunge wa Jimbo la Itilima mkoani Simiyu Njalu Silanga kwa namna anavyowasilisha bungeni hoja zenye mashiko na zenye…
EWURA yashiriki maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAFANYAKAZI wanawake wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) leo 8 Machi 2026, wameungana na wanawake wengine kutoka maeneo mbalimbali kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika ngazi ya Mkoa wilayani Kongwa mkoa…





