JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Kijaji abainisha kete nne muhimu kufikisha watalii milioni nane 2030

Na. Edmund Salaho – Dodoma Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Ashatu Kijaji leo Mei, 15 2026 amebainisha kete nne muhimu zitakazotumiwa na Wizara ya Maliasili na Utalii na taasisi zake ili kufikia lengo la watalii millioni nane (8) ifikapo…

Masoko ya madini ya almasi yachochea ongezeko la uzalishaji Shinyanga

📍Shinyanga Kuanzishwa kwa masoko ya madini ya almasi na dhahabu mkoani Shinyanga kumechochea kwa kasi ongezeko la uzalishaji, biashara na mapato ya Serikali, huku wachimbaji na wafanyabiashara wakinufaika na kusogezewa huduma karibu nao. Akizungumza katika Ofisi ya Afisa Madini Mkazi…

Polisi Pwani wawashikilia wanne kwa tuhuma za mauaji Vikawe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya watu watatu na kujeruhi watu 14 waliokuwa wakidaiwa kwenda kuvunja nyumba zao Mei 6, 2026 katika eneo la Vikawe,…

Mmuya aongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa mawaziri wanaoshughulikia maafa nchi za SADC

MASVINGO – ZIMBABWE Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Kaspar Mmuya ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Sita (6) wa Kawaida wa Kamati ya Mawaziri Wanaohusika na Usimamizi wa Maafa kwa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya…

Mchungaji TAG akemea migogoro ya ndoa, aeleza inavyosababisha ukatili

Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Kagera. Mchungaji wa Kanisa la T.A .G lililopo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera Bruno Athazi amekea vikali changamoto ya migogoro ya ndoa ambayo imekuwa chanzo cha matukio mbalimbali ya kikatili katika jamii. Mchungaji Bruno ametoa kauli…