Latest Posts
Rais Samia aongoza Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya mashujaa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 25, 2026 ameongoza Watanzania kuadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa katika Uwanja…
Taasisi za Umma zatakiwa kutokuwa kikwazo kwa wawekezaji
Na Mwandishi wa OTR Pwani. Serikali imezitaka Taasisi za Umma kuhakikisha zinakuwa chachu ya ukuaji wa uchumi kwa kutengeneza mazingira rafiki ya biashara na uwekezaji kupitia mifumo yenye ufanisi, kupunguza urasimu usio wa lazima, kuboresha utoaji wa huduma na kuimarisha…
Wananchi watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani
Wananchi wa Kata ya Mkwajuni, Wilaya na Mkoa wa Songwe, wametakiwa kufuata sheria za usalama barabarani, ili kupunguza ajali za barabarani katika eneo hilo. Akizungumza na wananchi Julai 25, 2026, Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mheshimiwa Jabiri Makame alisema wakati…
Shujaa wa vita ya Kagera afungua sanduku la historia, atoa somo kwa kizazi cha sasa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Brigedia Jenerali Mstaafu Wilfred Pome Mwalambile Kabunda, mmoja wa wanajeshi walioshiriki Vita ya Kagera ya mwaka 1978–1979, amesema kumbukumbu ya Mashujaa si tukio la kuangalia historia pekee, bali ni wito kwa kizazi cha sasa kuendeleza…
Maafisa Usafirishaji wapewa elimu, vifaa kinga kukabiliana na ajali
KAMPENI maalum ya “Kuwa Makini Okoa Maisha” kwa madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda imeanza rasmi mkoani Dar es Salaam, ikiwa na lengo la kuwapatia elimu ya usalama barabarani pamoja na vifaa kinga ili kuchangia kupunguza ajali na vifo vinavyotokana…
Mawaziri Afrika wakubaliana kufanya mageuzi kiuchumi, viwanda kuondoa vikwazo vya biashara
Na Saidina Msangi, WF, Abidjan Nchi za Afrika zimekubaliana kuweka kipaumbele katika ufadhili wa viwanda vinavyotegemea rasilimali za ndani ikiwemo madini na kuhakikisha kuwa zinaongeza thamani ya bidhaa na kuimarisha biashara ya ndani ya bara ili kujenga maendeleo jumuishi, endelevu…





