JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tafiti na gunduzi za wanasayansi chipukizi zinaunga mkono lengo la kuanzisha shule za amali – Prof. Shemdoe

Na: OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema tuzo za tafiti na gunduzi katika maeneo ya ubunifu, sayansi, kilimo, nishati, mazingira…

TANESCO imejipanga kukabiliana na athari za El Nino – MD Twange

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema limejipanga kukabiliana na athari za mvua za El Niño kwa kuimarisha miundombinu, kuandaa timu za dharura na kuchukua tahadhari katika mabwawa ya kuzalisha umeme. Akizungumza katika kipindi cha…

LATRA, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali waimarisha ushirikiano wa kisheria katika sekta ya usafiri

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wamekutana na kufanya Mafunzo ya siku mbili yanayolenga kubadilishana uzoefu na kuimarisha uelewa kuhusu majukumu na utekelezaji wa Sheria katika sekta ya usafiri. Mafunzo hayo yanafanyika tarehe…

Rais Mwinyi : Ijitimai kufungua fursa za kiuchumi kwa wananchi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kufanyika kwa Ijitimai na kuwasili kwa wageni kutoka mataifa mbalimbali kutafungua fursa za kiuchumi kwa wananchi, hususan wafanyabiashara wadogo, na kuchangia ongezeko la kipato. Rais…

Silaha 17 za moto zasalimishwa Tabora

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora JUMLA ya silaha za moto 17 na risasi 19 zimesalimishwa kwa hiari katika Vituo vya Polisi na Ofisi za Serikali za Vijiji na Kata Mkoani Tabora kufuatia zoezi linaloendelea nchi nzima la usalimishaji silaha haramu…

Prof. Shemdoe aitaka Manispaa Lindi kukamilisha mchakato upatikanaji hati ya ardhi Kampasi ya UDSM Lindi

Na OWM – TAMISEMI, Ruangwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, ameitaka Halmashauri ya Manispaa ya Lindi kukamilisha mchakato wa kushughulikia upatikanaji wa hati ya umiliki wa…