JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ushirikiano wa Tanzania na Ufilipino wazidi kuimarika

Na Prosper Makene Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa na Mashirika mengine ya Kimataifa Geneva, Balozi Dkt. Hoyce Temu, amekutana na mwenzake kutoka Jamhuri ya Ufilipino, Bw. Eric Tamoya kujadili…

Waziri Kombo amuaga Balozi wa Umoja wa Ulaya 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kuagana na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Christine Grau, kufuatia kukamilika kwa muda wake wa uwakilishi nchini. Katika mazungumzo yao, Mheshimiwa…

Serikali yasisitiza katazo la mifuko ya plastiki

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imewakumbusha wadau wote nchini wanaohusika na uingizaji, uzalishaji, usambazaji, uuzaji na matumizi ya mifuko ya plastiki kuwa katazo hilo bado lipo na kuwataka wananchi kufuata wajibu huo na kutekeleza kama ilivyo kwa serikali…

Afrika50 yakutanisha marais nane kujadili hatma ya miundombinu Afrika

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Tanzania imekamilisha maandalizi ya kuwamwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika (Africa50 General Shareholders’ Meeting – GSM and Infra for Africa Forum)utakaofanyika tarehe 5 hadi 6 Agosti, 2026 katika…