Latest Posts
Daraja la Chigongwe laondoa kero ya usafiri kwa wananchi Dodoma
*Wananchi watakiwa kulinda darajaNa Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, DodomaWananchi wa maeneo ya Chigongwe, Ngambala na Nguji kata ya Chigongwe wilayani Dodoma wameondokana na changamoto ya kukatika kwa mawasiliano wakati wa mvua baada ya kukamilika kwa ujenzi wa daraja la Chigongwe lenye…
Ofisi zinazotembea za TRA zinavyorahisisha huduma kwa wananchi
Na Dk Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatekeleza kwa vitendo mkakati wake wa kuwahudumia wananchi kwa kuhakikisha wanawapatia huduma bora na kwa urahisi kule walipo. Katika kutekeleza hilo, Februari 25, 2026, Waziri wa Fedha,…
Matatani kwa mauaji ya mkewe, kisa wivu wa mapenzi
Na Israel Mwaisaka, JamhuriMedia, RukwaJESHI la Polisi mkoani Rukwa linamshikilia Maiko Sosolo Kazikulima (35), mkazi wa Kijiji Cha Mashete kata ya Mashete wilayani Nkasi kwa kosa la kumuua mkewe Victoria Mputa (32) kwa kumpiga na rungu kichwani na kusambaratisha ubongo…
TEA Yafungua milango ya elimu bora Pemba
PEMBA — Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bw. Khamis Abdulla Said, ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa kuendelea kufadhili miradi ya maendeleo ya elimu Unguja…
Vuli 2026 na tishio la El Niño; tusisubiri mafuriko ndipo tujiandae
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo kuhusu msimu wa mvua za Vuli 2026, unaotarajiwa kuathiriwa kwa kiasi kikubwa na hali ya El Niño. Kwa mujibu wa TMA, maeneo mengi ya…





