Latest Posts
Tanzania, China zasaini mkataba wa ujenzi wa Hospitali mpya ya JKCI Mlonganzila
Na Mwandishi Maalumu, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Afya na Jamhuri ya Watu wa China zimesaini Mkataba wa utekelezaji wa ujenzi wa hospitali mpya ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itakayojengwa…
Makamu wa Rais afanya ziara kushtukiza mto Ng’ombe, aagiza taka ziondolewe haraka
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, amefanya ziara ya kushtukiza katika eneo la Mto Ng’ombe, Tandale jijini Dar es Salaam, kukagua hali ya usafi wa mazingira na maandalizi ya kukabiliana na athari zinazoweza kujitokeza…
Ndivyo msamaha kodi mwaka mzima ulivyo nyenzo ya kuwakuza wafanyabiashara wadogo
NA: DK. REUBENI LUMBAGALA Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa tafsiri ya mfanyabiashara mdogo kwa muktadha wa ulipajikodi. Mfanyabiashara mdogo ni mtu anayeuza bidhaa au huduma ambaye mauzo yake kwa mwaka mzima ni kati ya shilingi sifuri hadi…
Tanzania kuwa mwenyeji wa Kongamano la Mitaala Afrika
TANZANIA inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Kongamano la Sita la Jumuiya ya Taasisi za Mitaala Afrika (ACA), litakalofanyika Septemba 22 hadi 25, 2026 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari,…
Friedkin yazindua technolojia ya matumizi ya Mizinga ya Plastiki Meatu
Mussa Juma,Meatu Taasisi ya Friedkin Conservation Fund(FCF),imeanza majaribio ya matumizi ya Mizinga ya Nyuki ya Plastiki ambayo ni rafiki kwa mazingira na itagawanywa katika vikundi vya ufugaji Nyuki wilaya ya Meatu,Mkoa wa Simiyu. Mizinga hiyo pia inatarajiwa kuongeza uzalishaji wa…





