JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mgodi wa kihistoria wa Niobium kujengwa Mbeya

Na Mwandishi wa OMH, Mbeya Tanzania imepiga hatua muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na Marekani baada ya Serikali na Panda Hill Tanzania Limited kusaini makubaliano ya kuendeleza Mradi wa Niobium wa Panda Hill—hatua inayolenga kuifanya Mbeya kuwa kitovu cha…

Kongole NECTA kwa mpango kupanda miti 150,000 kutunza mazingira

Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhiriMedia, Dodoma Utunzaji wa mazingira ni jukumu letu sote. Uwe mtoto, kijana, mtu mzima au mzee. Uwe mwanamke au mwanamme, uwe msomi au usiwe msomi, suala la utunzaji mazingira linakuhusu. Faida za utunzaji mazingira zinatunufaisha sote….

Mrajis aagiza matumizi ya mizani za kidigitali kulinda wakulima

Mrajis wa Vyama vya Ushirika, Dkt. Benson Ndiege amevitaka Vyama vya Ushirika vya Mazao nchini kutumia mizani za kidigitali katika kupima mazao ya wakulima ili kuondoa udanganyifu na kumlinda mkulima. Mrajis ametoa maelekezo hayo kupitia barua ya tarehe 13 Machi,…

Kamanda Muliro awataka Polisi kutekeleza majukumu yao ya msingi

Na Aziza Nangwa, Jamhuri Media, Dar es Salaam Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Jumanne Muliro, amewataka askari polisi kutekeleza majukumu yao ya msingi ya kusimamia sheria na kudumisha usalama wa…

Mgodi wa kihistoria wa Niobium kujengwa mkoani Mbeya

▪️Ni Mradi wa Panda Hill wa Niobium utakaogharimu TSh 700 bn ▪️Ni uwekezaji unaohusisha Kampuni ya Denham ya Marekani. ▪️Rais Samia apongezwa kufanikisha mradi wa uchimbaji Niobium ▪️Kiwanda cha kuyeyusha ferroniobium kitakachojengwa Tanzania kitakuwa cha nne duniani ▪️Waziri Mavunde asema…

Maboresho mfumo kodi na maendeleo tuyatakayo

Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Juhudi za kujiletea maendeleo zinategemea sana ufanisi wa ukusanyaji kodi kutoka kwa wananchi. Wizara, taasisi na vitengo mbalimbali wanaweza wakakaa chini kupanga, kujadili na kuja na mipango mingi mizuri ya maendeleo lakini itakapofika kipengele cha…