Latest Posts
Wakulima Babati wanufaika na programu ya kuendeleza kilimo na uvuvi (AFDP)
Na; Mwandishi wetu – Babati Wakulima wa vijiji vya Endakiso na Orng’adida vilivyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Babati Mkoani Manyara wameeleza kunufaika na Programu ya kuendeleza Kilimo na Uvuvi (AFDP) inayofadhiliwa na Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo…
Tanzania, Marekani kuiunganisha Afrika kwenye sekta ya afya
Na John Mapepele – WAF Washington, D.C. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Chama cha Wafanyabiashara cha Marekani (U.S. Chamber of Commerce) mjini Washington, D.C na Serikali ya Marekani kufanya utekelezaji wa kimkakati wa mkataba wa sekta ya afya ulioingiwa hivi…
RAS Kayombo aweka msisitizo elimu, uwekezaji , mapato na kukabili El Nino
Na Mwamvua Mwinyi, JamhutiMedia, Pwani KATIBU Tawala Mkoa wa Pwani, Richard Marcellino Kayombo, amekabidhiwa ofisi na kuanza majukumu yake baada ya kuchukua nafasi ya Pili Mnyema, katika hafla iliyofanyika ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Kayombo, ambaye ameteuliwa kuwa…
Tanzania, Marekani zaja na mapinduzi sekta ya afya
Na John Mapepele – WAF, Washington, D.C. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Chama cha Wafanyabiashara cha Marekani (U.S. Chamber of Commerce) mjini Washington, D.C na Serikali ya Marekani kufanya utekelezaji wa kimkakati wa mkataba wa sekta ya afya ulioingiwa hivi karibuni…
Watumishi OTR wapatiwa mafunzo ya mfumo wa usimamizi wa ubora
Na Mwandishi wa OTR Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imeendelea na hatua za kuimarisha mifumo yake ya utendaji kwa kuwajengea uwezo watumishi kuhusu Mfumo wa Usimamizi wa Ubora (Quality Management System – QMS), unaolenga kuiwezesha taasisi kufikia viwango vya…





