JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yawateua wanafunzi 1,050 kunufaika na Samia Scholarship

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeendelea kuwekeza katika elimu na maandalizi ya wataalamu wa sayansi na teknolojia baada ya kuwateua wanafunzi 1,050 waliofanya vizuri zaidi katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita wa mwaka huu, kunufaika na ufadhili…

Naibu Waziri Londo Atembelea Maabara za TBS

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM UWEKEZAJI unaofanywa katika Taasisi ya Viwango Tanzania (TBS) umeongeza uwezo wa taasisi hiyo kulinda afya za Watanzania, thamani ya fedha za wananchi na kusaidia bidhaa zinazozalishwa nchini kushindana katika masoko ya ndani na kimataifa….

St Anne Marie Academy yaahidi kuendelea kusomesha waliofiwa na wazazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amewataka wakaguzi wa shule kutenda haki kwa shule binafsi na kuziona kama mshirika wa maendeleo badala ya mshindani. Kadhalika, Profesa…

Waziri Ndejembi awasili Shinyanga kwa ziara ya kikazi

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Shinyanga kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita, leo Julai 27, 2026. Akiwa mkoani humo, Waziri Ndejembi ataongoza viongozi na wananchi wa Mkoa…

Waziri Chongolo asifu uwekezaji uwanja wa AFCON, ahimiza wananchi fursa za AFCON 2027

Waziri wa Kilimo na Mlezi wa Kiserikali wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daniel Godfrey Chongolo amesema kazi kubwa inayoendelea kufanyika katika mradi wa ujenzi wa Uwanja wa michezo Jijini Arusha unaotarajiwa kutumika kwenye Michuano ya Soka ya AFCON 2027 ni…

Rais Samia aongoza Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya mashujaa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 25, 2026 ameongoza Watanzania kuadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa katika Uwanja…