Latest Posts
Hakuna nyongeza muda kwa mkandarasi wa ujenzi barabara Kahama kupitia mradi wa TACTIC – Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Kahama Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali haitomuongezea muda Mkandarasi M/s China Civil Engineering Construction Corporation wa kukamilisha miradi ya ujenzi…
Vijana 60,000 kupata mafunzo ya uzalendo ya JKT mwaka huu
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)limetangaza ongezeko kubwa la nafasi za vijana watakaopatiwa mafunzo ya uzalendo na stadi za maisha mwaka huu, ambapo wahitimu wa kidato cha sita wapatao 60,000 wanatarajiwa kuripoti katika makambi mbalimbali nchini…
TMA, EMEDO waja na tuzo za kuhamasisha elimu ya hali ya hewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na shirika la Usimamizi wa Mazingira na Maendeleo (EMEDO),imetangaza rasmi ushirikiano wa Tuzo za Waandishi wa Habari zinazolenga kuhamasisha kutambua mchango wa vyombo vya…
Mtwara yatanua fursa za madini, mapato ya Serikali yapanda mara nne
📍Mtwara Mkoa wa Mtwara umeendelea kujidhihirisha kama kitovu muhimu cha uwekezaji wa madini nchini kutokana na uwepo wa rasilimali nyingi za madini ya viwandani, vito na madini mkakati, huku mapato ya Serikali kupitia sekta hiyo yakiongezeka kwa kasi katika kipindi…
Shekhe Dodoma aonya kutokutii viongozi ni hatari kwa amani ya taifa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia ,Dodoma Sheikhe wa Mkoa wa Dodoma, Mustapha Rajabu Shaaban amesema kutokuwepo kwa usikivu, utiifu na kuheshimu mamlaka katika jamii ni chanzo kikubwa cha migogoro, vurugu na uvunjifu wa amani, huku akiwataka wananchi kuendelea kutii viongozi na…





