Latest Posts
Ushirikiano wa Tanzania, Urusi kufungua fursa mpya za biashara, elimu
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia Dodoma Ziara ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi imeanza kuzaa matunda, huku Serikali ikieleza kuwa makubaliano yaliyofikiwa kati ya mataifa hayo mawili yatafungua ukurasa mpya wa ushirikiano katika sekta za nishati, kilimo, usafiri wa…
Msigwa awataka Watanzania kupuuza hofu ya kudaiwa deni la taifa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesisitiza kuwa mjadala kuhusu deni la Taifa unapaswa kuongozwa na uhalisia wa kiuchumi badala ya propaganda, ikieleza kuwa mikopo inayochukuliwa si mali ya mtu mmoja mmoja bali ni deni la Serikali linalowekezwa katika miradi…
Daraja la mawe la Kanyunye latoa suluhisho la kudumu
Newala, Mtwara Kukamilika kwa mradi wa ujenzi wa daraja la mawe la Kanyunye na ufunguaji wa barabara yenye urefu wa kilomita 2.6 katika kijiji cha Kanyunye, wilayani Newala kumeleta suluhisho la kudumu la usafiri na usafirishaji wa mazao hususani zao…
Msajili Hazina aonya taasisi za umma zenye utendaji duni
SERIKALI imeonya taasisi za umma zinazofanya vibaya kujitathmini na kuchukua hatua za haraka za kuboresha utendaji wao, ikisisitiza kuwa haitavumilia taasisi zitakazoendelea kuonesha utendaji duni kwa muda mrefu. Onyo hilo lilitolewa na Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, jijini Dar…
Waziri Ndejembi aagiza kuudwa kamati ya uchunguzi wa hitilafu ya gridi ya taifa
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu kuunda kamati ya uchunguzi itakayobaini chanzo cha hitilafu iliyojitokeza katika Gridi ya Taifa jana, Juni 27, 2026, na kusababisha kukosekana…





