Latest Posts
Serikali yazindua mradi wa mikopo nafuu ujenzi wa vituo vidogo vya mafuta vijijini
📌 Mradi unatekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kupitia Benki ya AZANIA 📌 Lengo la Mradi ni kupunguza kwa kiwango kikubwa biashara hatarishi ya kuuza mafuta kwenye chupa za plastiki na vyombo visivyokidhi viwango vya usalama 📌 Wanufaika nane…
Rais Mwinyi azindua mabasi ya umeme, aagiza vituo vikamilike haraka
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameutaka Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) kukamilisha kwa haraka ujenzi wa vituo vya kisasa vya mabasi vitakavyotumika katika Mradi wa Mabasi ya Umeme, ili…
Waziri wa Fedha anadi fursa za uwekezaji Uingereza
Na Benny Mwaipaja, London Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amewakaribisha wawekezaji kutoka jumuiya ya kimataifa, kuchangamia fursa za uwekezaji nchini Tanzania katika sekta mbalimbali zikiwemo miundombinu, nishati, viwanda, kilimo, madini na huduma za kifedha. Mhe. Balozi…
Wagonjwa zaidi ya 24, 871 wafika kambi ya matibabu Arusha
KAMBI ya matibabu ya bure iliyofanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha, imefanikiwa kutoa huduma kwa wagonjwa zaidi ya 24,871, hatua inayoonyesha mwitikio mkubwa wa wananchi katika kupata huduma za afya za kibingwa na kibobezi. Idadi hiyo inaonesha…
Rais Mwinyi : Uchumi wa buluu ulete manufaa ya moja kwa moja kwa wananchi wa OACPS
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishauri Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) kuhakikisha maazimio na matamko yanayopitishwa katika mikutano yake yanatafsiriwa kuwa programu zinazotekelezeka na kuleta manufaa ya…
Elimu ya Ebola yaendelea kutolewa mtaa kwa mtaa Kigoma
Na Atley Kuni, WAF-Kigoma Wananchi zaidi 24,000 wa Manispaa ya Kigoma mjini wameendelea kupata elimu kuhusu ugonjwa wa Ebola kupitia kampeni maalumu ya uhamasishaji inayofanyika kwa kutumia gari la maalum la matangazo linalozunguka katika Manispaa hiyo na kutoa elimu ya…





