Latest Posts
TBS Yatahadharisha matumizi ya vipodozi vyenye viambata sumu
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeonya wananchi kuhusu matumizi ya vipodozi visivyo salama, likisema bidhaa hizo zinaweza kusababisha madhara makubwa kiafya, ikiwemo magonjwa sugu kama saratani. Onyo hilo limetolewa na Meneja wa Ukaguzi na Uzingatiaji wa Sheria wa TBS, Bi.Nuru…
Uwekezaji wa sekta binafsi kichocheo cha maendeleo ya elimu- Shilingi
Na Mwamvua Mwinyi, KibahaSeptemba 14, 2026 USHIRIKIANO kati ya Serikali na sekta binafsi umetajwa kuwa chachu katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, hususan katika kuimarisha sekta ya elimu kwa kuongeza fursa za wananchi kupata elimu na kuboresha…
Kada wa CCM Mary Nchimbi afariki dunia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyewahi kushika nafasi mbalimbali ndani ya Jumuiya ya Vijana, Chama pamoja na Ofisi Ndogo ya Lumumba, na kutumikia CCM katika Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa…
Rais Mwinyi : Kamati ya CCM na ACT Wazalendo kuimarisha maridhiano Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuundwa kwa Kamati ya Pamoja ya Majadiliano yenye wajumbe kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT Wazalendo ni hatua muhimu katika kuendeleza mchakato wa maridhiano…
Kiwanda cha kuchakata mchanga mzito wa baharini Afrika kujengwa Pangani, Tanga
Chengdu,China Kampuni ya Shenghe Resources ya China imeanza ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kuchakata madini madini ya mchanga mzito wa baharini (𝙃𝙚𝙖𝙫𝙮 𝙈𝙞𝙣𝙚𝙧𝙖𝙡 𝙎𝙖𝙣𝙙𝙨) katika eneo la Tajiri,Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga ambapo kampuni hii inatekeleza mradi mkubwa wa uchimbaji…





