Latest Posts
Watu 46 mbaroni kwa tuhuma za wizi na makosa ya kijinai Dar
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewatia mbaroni watu 46 kwa tuhuma za kujihusisha na makosa mbalimbali ya kijinai ikiwemo unyang’anyi wa kutumia nguvu, uvunjaji wa nyumba na maghala (godown) pamoja…
Dk Samia: Ulinzi imara, amani ni msingi wa maendeleo ya taifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, tarehe 24 Februari 2026 amezindua Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa, Kikombo mkoani Dodoma, na kusisitiza kuwa ulinzi imara na amani ni msingi wa maendeleo ya taifa. Akizungumza katika hafla…
JKCI yafungua kliniki mpya eneo la Soko Kuu la Kariakoo, yatoa huduma bure kwa siku saba
Na Mwandishi Maalumu, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imefungua kliniki mpya katika eneo la Soko Kuu la Kariakoo, hatua inayolenga kusogeza huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo karibu na wafanyabiashara na wananchi wa…
Mbarawa :Treni ya mwendokasi kufika Mwanza 2028
Na Baltazar Mashaka, JamhuriMedia, Mwanza WAZIRI wa Uchukuzi, Makame Mbarawa, ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa (SGR) kipande cha Mwanza–Isaka chenye urefu wa kilomita 341, unaotarajiwa kukamilika mwaka 2028. Akizungumza katika eneo la Fella, wilayani…
Tanzania kuwa mwenyeji wa Mpango wa Ununuzi wa Dawa na Vifaa Tiba Ukanda wa SADC
Na WAF, Johannesburg Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeteuliwa kuwa mwenyeji (Host) wa Mpango wa Ununuzi wa Pamoja wa Dawa na Vifaa Tiba kwa nchi za SADC (SPPS), hatua inayotokana na kuaminiwa kwa uongozi wa Tanzania ndani ya…





