JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sheria ina thamani pale inapobadilisha maisha ya watu – Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S.Johari amesema kuwa, Sheria zinapaswa kutumika kama nyenzo ya kuharakisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa kufungua fursa, kuongeza uwajibikaji, kuvutia uwekezaji, kuongeza mapato ya Serikali, kuboresha elimu na afya. Mwanasheria Mkuu wa Serikali…

Tanzania Kinara wa Hifadhi ya Graphite Afrika, Mahitaji ya Lithium Yaendelea Kuongezeka Duniani

๐Ÿ“Dar es Salaam Mjiolojia kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana na kuwa na hifadhi kubwa ya madini muhimu ya kimkakati, yakiwemo graphite, lithium na rare earth…

Mbunge Asha Moto aipongeza Serikali-uwekezaji gesi asilia

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mtwara, Mhe. Asha Moto, amepongeza Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwekeza katika sekta ya gesi asilia kupitia TPDC, alisema uwekezaji huo unachangia ukuaji…

Kikwete ateta na Ban Ki- Moon kuboresha elimu duniani

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari (Dkt) Jakaya Mrisho Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Ban Ki-moon, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) kuhusu kukuza elimu ya awali na msingi duniani kupitia Taasisi ya Kimataifa…

WSIS 2026 Yataitambua Tanzania kwa kuwafikishia watu mawasiliano

Na Prosper Makene_ Geneva, Uswisi, Julai 09, 2026 โ€“ Tanzania imepewa heshima ya kimataifa baada ya kutunukiwa Tuzo ya WSIS Prizes 2026 kutokana na mafanikio ya mradi wa ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano. Mradi huo umefanikiwa kupeleka huduma za…

Dk Mlimuka aridhishwa na utendaji wa FCC maonesho ya Sabasaba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Tume ya Ushindani (FCC), Dkt. Aggrey Mlimuka, ametembelea banda la FCC katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026), yanayoendelea katika Viwanja vya Julius Nyerere,…