Latest Posts
Tume ya uchunguzi yaongeza muda hadi Aprili 24, 2026
Na Mwandishi Wetu, Dodoma MAMLAKA ya Uteuzi imeridhia maombi ya muda wa ziada kwa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 hivyo imeiongezea tena muda wa siku ishirini na moja…
Masauni ahimiza vijana kuenzi, kulinda na kutetea muungano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amewataka wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu nchini na vijana kuendelea kulinda na kutetea misingi ya…
Asante Trump, nasikitika Tanzania
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo naandika makala hii saa chache kabla ya kwenda kanisani kumwabudu na kumsujudia Bwana wetu Yesu Kristu Mfufuka. Ninao wajibu kwangu, kwa familia, kwa Kanisa, kwa taifa na kwa ndugu, jamaa na marafiki…
Somalia yajiandaa uchimbaji mafuta wa kwanza wa kihistoria baharini
Somalia inasema iko tayari kuanza shughuli zake za kwanza za kuchimba mafuta baharini, huku meli ya kuchimba mafuta inayomilikiwa na serikali ya Uturuki ikitarajiwa kuwasili pwani yake Ijumaa. Hatua hiyo inafuatia kukamilika kwa mafanikio kwa tafiti za matetemeko ya ardhi…





