Latest Posts
Mbaroni kwa tuhuma za kukuta na kililo 166.71 za mirungi Tabora
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora Watu 4 wamekamatwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Magharibi na kupandishwa kizimbani kwa tuhuma za kukutwa na vibunda 546 sawa na kilo 166.71 za dawa za kulevya…
Mwenyekiti CCM akiteta jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu CCM
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya…
Uzalishaji taka za plastiki wapungua kwa asilimia 95
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema uzalishaji na uingizaji wa mifuko ya plastiki iliyopigwa marufuku umepungua kwa asilimia 95 hatua iliyochangia kupungua kwa uzalishaji wa taka za plastiki katika maeneo mbalimbali nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya…
Mkaguzi Kata Iragua atoa mwongozo kwa watumiaji wa barabara kuepusha madhara
Mkaguzi Kata Iragua, Mkaguzi wa Polisi (INSP) Ramadhan Abdalla, akitoa msaada na maelekezo kwa watumiaji wa barabara katika eneo la Nyanya, Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, kufuatia changamoto ya upitikaji wa barabara ili kutokuleta madhara kwa vyombo vta usafiri…
Ulega apokea taarifa ya washindi shindano la kupunguza foleni mijini
📌 Zaidi ya maandiko 500 kutoka ndani na nje ya nchi yapokelewa Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amepokea taarifa ya washindi wa shindano la *Ubunifu kwa Wanafunzi Challenge* linalohusu namna ya kupunguza tatizo la msongamano wa magari mijini. Taarifa hiyo…
Salome atembelea ubalozi wa Tanzania nchini Misri
Naibu Waziri wa Nishati,Mhe. Salome Makamba ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Misri, ambapo alipokelewa na Balozi wa Tanzania nchini humo, Richard Makanzo. Katika mazungumzo yao, Balozi Makanzo alieleza majukumu mbalimbali yanayotekelezwa na ubalozi huo, pamoja na kuainisha fursa zilizopo katika…




