JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia awasilia Ethiopia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Bole, Jijini Addis Ababa Ethiopia, tarehe 12 Februari, 2026 kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa 39 wa Kawaida wa Wakuu wa…

Siku 100 za Rais Samia zaleta neema Igunga

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora SIKU 100 baada ya kuingia madarakani katika awamu ya pili ya uongozi wake, Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameleta neema kwa wakazi wa Mji wa Igunga Mkoani hapa kwa kuwawezesha kupata huduma ya maji kwa…

Spika Zungu: ofisi ya spika haijatoa kibali chochote kwa wabunge kuhojiwa na TAKUKURU

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amesema hadi sasa Ofisi ya Spika haijapokea taarifa yoyote ya wito wala kutoa kibali cha mbunge yeyote kwenda kuhojiwa na Taasisi ya Kuzuia…

Serikali yaipunguzia sekta ya habari mzigo wa tozo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeanza kuchukua hatua za makusudi kupunguza mzigo wa tozo na ada katika sekta ya vyombo vya habari, kufuatia kilio cha wadau kuhusu mdororo mkubwa wa kiuchumi unaoendelea kuzikumba taasisi za utangazaji tangu janga la…

Dk Mwigulu ataka ushirikiano wa kikanda kwenye mapambano dhidi ya saratani

▪Asisitiza Tanzania itaendelea kuwa kituo bora cha ushirikiano wa kikanda na Afrika ▪Asema shilingi bilioni 18.5 zimetengwa kwa ajili ya uanzishaji wa huduma za PET-CT Scan na mashine ya Cyclotron ▪Asema Tanzania inalenga kupunguza vifo vitokanavyo na saratani kwa angalau…

TMA, wadau wajadili njia za kufikisha taarifa za hali ya hewa kwa wakati kwa wakulima

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kwa kushirikiana na Norges Vel na Mpango wa Chakula Duniani (WFP), imekutana na wadau mbalimbali kujadiliana namna ya kufikisha taarifa za hali ya hewa kwa wakati kwa wakulima. “TMA itaendelea kushirikiana na wadau…