Latest Posts
Polisi Pwani yachunguza mauaji ya mwanamke na mtoto Chalinze
Na Mwamvua Mwinyi-Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limeendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya mwanamke anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 20–25 pamoja na mtoto mwenye umri wa miaka 3–6 yaliyotokea Kitongoji cha Nung’uli, Kijiji cha Kwang’andu,…
Pwani kunufaika na mradi wa bilioni 6.3 kuokoa watoto waishio mitaani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WATOTO waishio na kufanya kazi mitaani wapatao 4,200 wanatarajiwa kuokolewa kupitia mradi wa miaka mitatu utakaowarejesha kwenye familia zao, kuwapatia elimu, huduma za afya na stadi za maisha ili kuwawezesha kujenga maisha bora. Kati ya…
Balozi Omar, Mkurugenzi mpya wa Afriexim bank wateta Dar es Salaam
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema Tanzania inaiona Benki ya Afrexim kama mshirika wa kimkakati katika safari ya mageuzi ya kiuchumi ya nchi, huku…
Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yaridhishwa na maendeleo ya uzalishaji umeme Kituo cha Julius Nyerere
⁹📌Yasema Kituo kinachangia asilimia 45 ya umeme katika Gridi ya Taifa. 📌Yasisitiza ukamilishaji wa miradi ya njia za kusafirisha umeme ili kuwafikia wananchi. Yawapongeza wananchi kwa kuchangia ujenzi wa Kituo hicho kupitia kodi zao. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya…
REA Zambia yahitimisha ziara yake nchini
📌Yapongeza Maendeleo ya Umeme Vijijini Viongozi wa Mamlaka ya Umeme Vijijini (REA) kutoka nchini Zambia leo Juni 29, 2026 wamehitimisha ziara yao ya Siku 9 ya kujifunza na kubadilishana ujuzi nchini kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ikiwamo miradi ya kufikisha…
Ndoto za masomo nje zakaribia kutimia kwa wanafunzi wa kitanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NDOTO za vijana wa Tanzania wanaotarajia kujiunga na vyuo vikuu mbalimbali nje ya nchi kwa mwaka wa masomo 2026/2027 zimeingia hatua muhimu baada ya Global Education Link kuwakutanisha wanafunzi hao pamoja na wazazi…





