JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watoto wachomwa moto kisa wizi wa ndizi, Sh 2,000

Jeshi la Polisi Mkoa wa Rukwa limewakamata watu wawili kwa tuhuma za kuwafanyia ukatili wa kinyama watoto kwa kuwachoma moto na kuwasababishia majeraha na maumivu makali. Watuhumiwa hao ni Fortunatus Benezet Mawela (60), mkazi wa kijiji cha Singiwe Wilaya ya…

Tusiwaachie walimu malezi, tujenge desturi ya kuwatembelea watoto shuleni

Shule ni taasisi muhimu kwa watoto kukuzwa kiafya ya akili na mazingira, kila mzazi anapompoleka mtoto shule huwa anajukumu la kuhakikisha mahitaji muhimu ya kujifunzia ikiwemo, sare za shule, daftari karamu na mahitaji mengine mtambuka. Walimu hutimiza majukumu yao kwa…

Serikali yaelimisha wananchi biashara ya kaboni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeendelea kufanya jitihada mbalimbali ili kuhakikisha elimu ya upandaji miti inatolewa kwa wanachi hususan wale wa vijijini ili waweze kushiriki vizuri katika biashara…

DC Mpogolo atoa onyo kali kwa wakandarasi Ilala

Na Mwandishi Wetu, JamhurMedia, Ilala Mkuu wa Wilaya ya Ilala, mkoani Dar es Salaam, Edward Mpogolo, ametoa onyo kali kwa wakandarasi wote wanaotekeleza miradi ya ujenzi wa barabara wilayani humo, akiwataka kuzingatia mikataba na kukamilisha kazi kwa wakati. Onyo hilo…

Tanzania yakamilisha taratibu za ununuzi wa vifaa vya uundaji wa satelite – Kairuki

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki, amesema kuwa Tanzania imekamilisha taratibu zote za ununuzi wa vifaa vya uundaji wa satelaiti ndogo aina ya CUBESAT kupitia mradi wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya Anga za Juu…

Rais Samia ametekeleza alichoahidi wakati wa kampeni kuhusu vijana katika TEHAMA – Kairuki

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki, amesema kuwa Serikali imeanza kutekeleza kikamilifu ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuhusu kuwawezesha vijana katika sekta ya teknolojia ya habari na…