JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

PDPC kuchukua hatua kali kwa taasisi zinazokusanya taarifa binafsi zisizosajiliwa

Zimesalia siku chache kabla ya kufikiwa kwa ukomo wa usajili wa hiari kwa taasisi zinazokusanya na kuchakata taarifa binafsi nchini. Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imetangaza kuwa ifikapo tarehe 9 Aprili mwaka huu, itaanza kuchukua hatua kali za…

Rais Dk Samia akishiriki Kikao cha Baraza la Uongozi la Umoja wa Afrika njia ya mtandao

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), akishiriki Kikao cha Baraza la Uongozi la Umoja wa Afrika (African Union Bureau of Assembly)…

Tanzania na Urusi kuimarisha ushirikiano katika teknolojia za kisasa ili kukuza diplomasia ya uchumi

Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), ameshiriki katika hafla ya utiaji saini wa Hati ya Makubaliano (MoU) kati ya Taasisi ya Innopraktika kutoka nchini Urusi yenye muunganiko wa makampuni zaidi…

JOWUTA rasmi CoRI yashiriki kikao cha kwanza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, CHAMA cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA), jana rasmi kimeanza kushiriki mkutano wa Taasisi zinazopigania Haki za kupata Habari (CoRI). JOWUTA alipitishwa na CoRI katika kikao chake cha tatu kilichofanyika Desemba 5, mwaka jana,…