JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Makonda : Ujio Miss World, AFCON waonyesha imani kubwa ya dunia kwa Tanzania

Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imesaini mkataba wa kuwa mwenyeji wa mashindano ya 74 ya Miss World 2027, tukio Hilo lililofanyika kwenye hoteli ya Hyyat Regency jijini Dar es Salaam Aprili 20, 2026 limeshuhudiwa na Waziri…

Dk Abbasi : Uhifadhi umeifanya Tanzania kuongoza kwa Simba wengi Duniani

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu Wizara ya Utalii, Wanyamapori na Malikale ya Uganda Bi. Doreen S. Katusiime ambaye yupo nchini Tanzania na timu yake…

Bila EWURA mafuta yangekuwa bei gani?

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Ukijenga nyumba nzuri, inakupasa usisherehekee sana kabla mvua haijanyesha. Kuna msemo kuwa tusubiri mvua inyeshe tuone panapovuja. Msemo huu haulengi nyumba peke yake, bali unahusu jamii tunayoishi, taasisi mbalimbali tunazojenga na uhalisia katika…

Serikali yasisitiza michezo ni nguzo ya afya na ufanisi kazini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Serikali imesisitiza umuhimu wa michezo kwa wafanyakazi kama sehemu muhimu ya kuimarisha afya na kuongeza ufanisi mahali pa kazi. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe.Rahma…

Bonde la Msimbazi jijini Dar kuwa sehemu muhimu kwa uchumi na mazingira – Prof. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema Mradi wa Uendelezaji wa Bonde la Mto Msimbazi utaleta mabadiliko ya kweli kwa…