JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MSD yabadilishana uzoefu na wataalamu kutoka Madagascar

Bohari ya Dawa (MSD) imeupokea ujumbe wa wataalamu kutoka Bohari ya Dawa ya Madagascar (SALAMA) kubadilishana uzoefu na kuimarisha ushirikiano katika sekta ya afya, hususan mifumo na mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya. Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Mavere Tukai,…

Serikali yawekeza bilioni 59/- Ruaha

Serikali kupitia Mradi wa Resilient Natural Resource Management for Tourism and Growth (REGROW) imekamilisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimkakati ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, hatua inayolenga kuimarisha sekta ya utalii, kulinda rasilimali asilia na kukuza uchumi wa…

Ulega: Lipeni watu wanachostahili

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza wakandarasi nchini kulipa watumishi wao kwa mujibu wa sheria za nchi na si kuwapunja. ‎ ‎Waziri huyo ametoa maelekezo hayo wakati akikagua maendeleo ya barabara ya Same- Kisiwani- Mkomazi yenye urefu wa kilometa 100.5 ambayo…

Baba na watoto wake mbaroni kwa tuhuma za kuua

Jeshi la Polisi linawashikilia ndugu wa familia moja ambao ni Solomon Mwambyale (68) pamoja na watoto wake wawili, Stephano Mwaisango (32) na Emmanuel Mwaisango (36), wote wakazi wa Busoka Masebe, kwa tuhuma za kumuua Jenti Segelela (87) ambaye ni shemeji…

Wanne mbaroni kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya bangi yenye uzito wa kilo 45 na gramu 785 katika nyakati tofauti. Watuhumiwa hao wametajwa kuwa ni Wilfred Komba (24), mwanafunzi wa…