Latest Posts
Usalama wa nishati ni nguzo muhimu ya usalama wa taifa – Mramba
*Asema changamoto ya upatikanaji mafuta duniani imeathiri uchumi wa mataifa mengi Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mha. Felchesmi Mramba amesema kuwa usalama wa nishati umeendelea kuwa sehemu muhimu ya usalama wa taifa kutokana na…
Bingwa wa masumbwi Crawford kutoka Marekani atinga Hifadhi ya Taifa Tarangire
Na Calvin Katera – Babati Bondia maarufu duniani toka nchini Marekani Terence “Bud” Crawford amejikuta katika bashasha kubwa ndani ya Hifadhi ya Taifa Tarangire mara baada ya kupokelewa na burudani kutoka kikundi cha watumbuizaji wa nyimbo za jamii ya kimasai…
Mwenyekiti JAB awataka waandishi wa habari kutafakati upya wajibu wao
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Bw. Tido Mhando, amewataka Waandishi wa Habari nchini kutafakari upya wajibu wao katika kuijenga jamii kupitia maudhui yenye tija, akieleza kuwa ipo haja…
Waziri Mkuu ateta na Rais wa Benki ya AfDB
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Sidi Ould Tah kando ya Mkutano wa 61 wa Mwaka wa Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika unaofanyika leo Jumanne…
Rafiki wa Binti wafanya kweli Afya ya Hedhi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Mpangi wa Rafiki wa Binti umezindua wimbo maalumu wa kielimu wa Afya ya Hedhi ikiwa ni kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Hedhi Mei 28, 2026. Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Saumu…
Shule ya Pre & Primary Courage yatoa msaada Kituo cha watoto yatima Mkuranga
Na Mwandishi Wetu, Mkuranga UONGOZI wa Shule ya Awali na Msingi ya Courage iliyopo eneo la Kibamba wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani umekabidhi msaada wa chakula, mavazi na bidhaa mbalimbali kwa Kituo cha Watoto Yatima cha Lord’s Children Home kilichopo…





