JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TARURA Pwani yatekeleza agizo la ukaguzi wa miundombinu, yabainisha maeneo 221 hatarishi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Pwani yaanza utekelezaji agizo la kukagua miundombinu ya barabara na madaraja hatarishi na kurekebisha ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa…

Mwenge waridhia miradi yote 11 Nzenga ya bilioni 4.1

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nzega MWENGE wa uhuru umemaliza mbio zake kwenye Wilaya ya Nzega Mkoani Tabora kwa kuridhia miradi yote 11 ya thamani ya shilingi Bilioni 4.1 hivyo kuendelea na mbio hizo Wilaya ya Igunga. Mkuu wa Wilaya ya…

Mwenge wazindua barabara ya lami Lumambo -Kitongo Nzega

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nzega MWENGE wa uhuru umezindua mradi wa barabara ya lami ya Lumambo – Kitongo yenye urefu wa kilomita 1.750 iliyopo kwenye Kata ya Nzega Mjini Magharibi Mkoani Tabora. Meneja wa TARURA Wilaya ya Nzega, mhandisi Haruna…

‘NMB the GOAT’ atamba mbio za mbuzi, amshinda mpinzani wa Bowman

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mbuzi wa Benki ya NMB, ‘NMB the GOAT’, ameibuka mshindi katika mbio za ‘NMB unGOATable Race’ zilizofanyika Septemba 19, 2026, akimshinda mbuzi wa Bowman katika mashindano Goat Races yanayolenga kuchangisha Sh200 milioni kwa…

Tanzania, China zasaini mkataba wa ujenzi wa Hospitali mpya ya JKCI Mlonganzila

Na Mwandishi Maalumu, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Afya na Jamhuri ya Watu wa China zimesaini Mkataba wa utekelezaji wa ujenzi wa hospitali mpya ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itakayojengwa…