JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

JET yashiriki kuwafunda vijana 40 katika uzinduzi wa Mpango wa Utetezi wa Media4Climate

Chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania (JET), kimesisitiza umuhimu wa kuwajengea uwezo vijana 40 wanaofanya kazi katika sekta ya habari kote nchini Tanzania, ili waweze kuandika habari za mabadiliko ya tabianchi wakizingatia Maarifa (Dhana, Sifa, Aina za maudhui,…

Wataalam wa ndani wafanikisha upandikizaji mashine za usikivu

Na Abduly Madenge, WAF – Dar es Salaam Tanzania imeandika historia mpya katika sekta ya afya baada ya wataalamu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kufanikisha kwa mara ya kwanza upasuaji wa kupandikiza mashine za usikivu (Cochlear Implant) kwa kutumia…

Wakuu wa mikoa Kanda ya Kaskazini wawaalika wananchi maonesho ya Nanenane 2026

Na Mwandishi Maalumu RS Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla ametoa wito kwa Viongozi, watendaji na wananchi wa Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro kujitokeza kwa wingi kwenye maonesho ya 32 ya Kilimo na mifugo…

Dar, Lindi na Mtwara na Hazitaathiriwa ukamilishaji mradi wa Chalinze – Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Chalinze Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara haitakumbwa na changamoto ya kukatika kwa umeme wakati wa utekelezaji wa hatua za mwisho za Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa msongo wa kilovoti 400…

Mradi wa Chalinze – Dodoma utasababisha kukatika umeme kwa awamu mbili

Na Mwandishi Wetu, Chalinze Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema utekelezaji wa hatua za mwisho za Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa msongo wa kilovoti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma utasababisha kukosekana kwa huduma ya umeme kwa muda katika…

NMB yaongeza masuluhisho ya kisekta kwa wafanyabiashara

Benki ya NMB imewahakikishia wafanyabiashara kuendelea kuwapatia masuluhisho ya kifedha yanayolenga mahitaji ya sekta mbalimbali za uchumi. Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki katika Jukwaa la NMB Business Executive Network 2026 lililowakutanisha zaidi ya wafanyabiashara 300 kutoka Dar es Salaam…