JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

ACT yaomba Serikali ipunguze tozo kutokana hali ya maisha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKATI wananchi wakilalamikia kupanda kwa gharama za maisha nchini, Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kuondoa angalau Sh. 500 katika kodi na tozo za mafuta kwa kila lita ili kupunguza mzigo unaoendelea kuwaathiri…

Waziri Kapinga : Ushirikiano wa Tanzania na EU ufungue milango ya kiuchumi na sio utegemezi

Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amesema Tanzania itaendelea kuimarisha mazingira ya biashara na uwekezaji ili kuhakikisha sekta binafsi, hususan wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs), wanakuwa chachu ya maendeleo ya uchumi wa taifa. Waziri Kapinga aliyasema hayo Mei…

CHADEMA Pwani yataka maeneo ya umma yapimwe kuepusha migogoro ya ardhi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kibaha CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Pwani kimezitaka halmashauri kuhakikisha maeneo yenye taasisi za umma yanapimwa na kumilikishwa hati ili kuzuia migogoro ya ardhi inayoweza kusababisha upotevu wa mali za serikali. Wito huo…

TANESCO yazindua rasmi zoezi la ulipwaji fidia kwa wananchi Lindi na Mtwara

📌 Lengo ni kupisha Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme 220kV Masasi, Mahumbika 📌Zaidi ya Shilingi Bil 5.1 zimetengwa kwa ajili ya zoezi hilo Shirika la umeme Tanzania ( TANESCO) limezindua rasmi zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi…

CRDB yaendelea kung’ara katika uwekezaji wa kimkakati Soko la Hisa DCE

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Benki ya CRDB imeendelea na uwekezaji wake wa kimkakati katika masoko mbalimbali ikiwemo Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), hatua inayochangia kuendelea kupata matokeo chanya ndani na nje ya nchi. Akizungumza Mei 7,…

Rais Samia anaendelea kupeleka furaha na neema kwa watumishi wa umma Tanzania – Kikwete

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kupeleka furaha na neema kwa watumishi wa umma nchini, kutokana na uamuzi wake wa hivi karibuni…