Latest Posts
Meya Kibaha akabidhi mashine ya photocopy Mwambisi, kupunguza mzigo kwa wazazi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Nicas Mawazo, amekabidhi mashine ya photocopy kwa Shule ya Sekondari Mwambisi, hatua inayolenga kupunguza gharama kwa wazazi na wanafunzi wanaochangia fedha kwa ajili ya uchapishaji wa mitihani na nyaraka…
Rais Dk Mwinyi akutana na Rais Ndayishimiye Ikulu Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Évariste Ndayishimiye, aliyeambatana na Mkewe, Mhe. Angeline Ndayishimiye, pamoja na ujumbe wake, leo tarehe 09 Septemba 2026, Ikulu…
Dk Muyungi aitaka Afrika kutumia fursa ya madini
Na Mwandishi Wetu ADDIS ABABA, Ethiopia, Septemba 2026 — “Afrika inapaswa kutumia utajiri wake wa madini muhimu kujenga viwanda, kuongeza uzalishaji wa umeme na kuunda ajira ndani ya bara, badala ya kuendelea kusafirisha malighafi bila kuongeza thamani,” amesema Katibu Mkuu…
TEA yatenga Sh 1.3 bilioni kujenga hosteli IPA Pemba
Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imetenga takribani Sh1.3 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa hosteli katika Chuo cha Utawala wa Umma Zanzibar (IPA) Kampasi ya Pujini Pemba, hatua inayolenga kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia chuoni hapo. Fedha hizo zitatumika…





