Latest Posts
Tanzania, Marekani kuendeleza Ushirikiano katika Sekta za Maendeleo
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb) akisalimiana na Naibu Katibu wa Hazina ya Marekani anayeshughulikia Masuala ya Kimataifa, Bi. Erin Browne, mjini Nairobi, Kenya, kando ya Jukwaa la Mazungumzo ya Ngazi za Juu la Mawaziri wa Fedha kuhusu…
Mtafiti wa teknolojia ya AI ajiuzulu
Mtafiti wa teknolojia ya Akili Mnemba ameyashutumu vikali makampuni ya Marekani kwa kile alichokieleza kama “kucheza na maisha ya watu” wakati yakiunda mifumo ya kompyuta itakayozidi uwezo wa binaadamu. Jacob Coxon alikuwa mtafiti katika kampuni ya AI ya Anthropic nchini…
Trump atoa matumaini kumalizika kwa vita vya Iran
Rais Donald Trump amesema anatarajia vita kati ya nchi yake Marekani na Iran kumalizika baada ya uchaguzi wa katikati ya muhula wa mwezi Novemba. Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumatano, Trump amesema anaamini vita hivyo vitaisha mara baada ya…
Naibu Waziri wa Afya atoa elimu kwa mama wa mapacha watatu
Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, ametoa elimu kwa mama wa mapacha watatu, Maridhia Miraji, kuhusu namna bora ya kuwahudumia watoto hao ili waweze kukua vizuri, ikiwemo kuzingatia usafi, lishe na kinga dhidi ya maambukizi. Dkt. Samizi amemuelekeza mama…
Kitali : Ushirikiano ni muhimu katika mageuzi ya kidijitali
OWM-TAMISEMI, Arusha Mkurugenzi wa Idara ya TEHAMA Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Bw. Erick Kitali, amesema mafanikio ya mageuzi ya kidijitali nchini yanahitaji ushirikiano wa taasisi mbalimbali, uongozi wenye maono na kuwashirikisha…





