Latest Posts
Waziri Ndejembi atoa maelekezo mazito utekelezaji mradi Malagarasi MW 49 5 Kigoma
📌Hajaridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mkandarasi kwenye mradi 📌Aagiza ukaguzi maalum wa matumizi ya dola milioni 20 za malipo ya awali yaliyotolewa kwa mkandarasi kulinganisha na kazi zilizofanyika 📌Aelekeza kuondolewa mara moja kwa meneja wa mradi upande wa mkandarasi…
OLE Millya awataka wafugaji walinde ardhi yao
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simanjiro NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Ole Millya ameiaka jamii ya kifugaji kulinda na kuitunza ardhi yao na kuepuka uuzaji holela wa ardhi. Ole Millya ambaye pia ni Mbunge…
Waziri Kombo ashiriki mkutano wa dharura Kamati ya Mawaziri SADC -MCO Kenya
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi, na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC-MCO),…
Wamiliki viwanda vipya watakiwa kuajiri wazawa kukuza biashara na uchumi
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amewashauri Wamiliki wa Viwanda vipya Kutoa kipaumbele kwa wazawa katika ajira ili kukuza uchumi na mapato ya Taifa kwa ujumla. Akizungumza wakati wa akifungua wa Kiwanda kipya cha kutengeneza tambi za papo…
Wahimizwa kutumia fursa ya biashara China
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Darv3s Salaam Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga,amewahimiza wafanyabiashara nchini kutumia fursa ya sera ya “uchumi sifuri” iliyotolewa na China ili kukuza biashara na uchumi wao. Hayo ameyasema wakati wa mkutanowa wadau wa biashara kuhusu…





