Latest Posts
Prof.Shemdoe aelekeza magari 14 ya usimamizi wa miradi ya TACTIC kufanya kazi iliyokusudiwa
Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaelekeza Mameneja na waratibu wa Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) kuhakikisha magari 14 aliyoyakabidhi yanakwenda kufanya kazi iliyokusudiwa…
Mradi wa kufunga mifumo ya umeme jua maeneo ya visiwani kwa bei ya ruzuku wazinduliwa
📌Kuhusisha Mifumo ya umeme jua 20,000 katika visiwa 120 📌Rais Samia awawekea wananchi ruzuku hadi ya asilimia 75 kuunganisha umeme 📌Mhe.Salome asema Serikali itafikisha umeme kwa wananchi bila kujali umbali na mtawanyiko wa makazi Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome…
Kihenzile apongeza ujenzi wa meli nne Bandari ya Karema Katavi
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amepongeza hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa meli nne unaoendelea katika Bandari ya Karema Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi. Kihenzile ametoa pongezi hizo leo alipotembelea bandarini hapo kwa lengo la kujionea maendeleo ya mradi huo…
Ukraine yashambulia Jamhuri ya Udmurtia nchini Urusi
Takriban watu 11 wamejeruhiwa katika shambulizi la Ukraine katika eneo la Urusi lililo na utawala wake wa ndani la Jamhuri ya Udmurtia, linalojulikana kwa sekta imara ya uundaji wa vifaa Katika chapisho kwenye mtandao wa Telegram akiwa mjini Izhevsk, waziri…
Dk Jafo awezesha elimu ya ufundi akabidhi vyerehani vinne chuo cha FDC Kisarawe – Mzenga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kisarawe Taasisi ya Jafo Education Foundation imefadhili jumla ya vijana 51 kusoma katika Chuo cha FDC Kisarawe – Mzenga, kwa lengo la kuwawezesha kupata ujuzi wa fani mbalimbali za ufundi. Akizungumza wakati wa ziara yake ya…
Mwigulu : Fedha za miradi ya maendeleo sio siri
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa fedha za miradi ya maendeleo sio siri, na. watendaji wa Serikali wanapaswa kuacha ubinafsi kwenye matumizi ya fedha hizo. Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amesema kuwa fedha hizo zinazotokana na kodi za wananchi, hivyo zinapaswa…





