Latest Posts
Chuo Kikuu chenye hadhi ya juu duniani kutua Tanzania kwa Maonesho ya Elimu Malaysia
…….Kinaungana na vingine 9 vya nchini humo kwenye maonesho ya elimu Dar Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Tanzania inatarajiwa kupokea ujumbe mkubwa wa viongozi wa elimu ya juu kutoka Malaysia, wakiwemo viongozi kutoka Wizara ya Elimu ya Malaysia, Education…
TTB yamkaribisha bingwa wa masumbwi duniani Terence kwa ziara ya utalii wa mchezo
Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amemkaribisha nchini kwa mara ya kwanza bingwa wa masumbwi duniani, Terence Crawford, ambaye katika historia yake hajawahi kupoteza pambano lolote. Ziara hiyo ya wiki moja nchini imeandaliwa kwa ushirikiano kati ya…
Masoko rasmi, bei elekezi yapunguza utoroshaji wa madini Ruvuma
📍Ruvuma Uanzishwaji wa masoko rasmi ya madini pamoja na matumizi ya mfumo wa bei elekezi mkoani Ruvuma, umetajwa kupunguza kwa kiasi kikubwa vitendo vya utoroshaji wa madini huku ukiongeza mapato ya Serikali na kuwanufaisha wachimbaji wadogo. Mkoa wa Ruvuma kwa…
Ofisi ya Msajili wa Hazina yatoa wito wa utawala bora kuimarisha uwekezaji wa umma
Zanzibar. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imesisitiza kuwa mustakabali wa mafanikio ya taasisi na mashirika ya umma nchini unategemea kwa kiwango kikubwa uimara wa mifumo ya utawala bora, uwajibikaji na uongozi wenye maono yanayolenga matokeo. Kauli hiyo imetolewa na…
Waziri Kapinga : Mafanikio uunganishaji magari ushahidi ukuaji wa sekta ya viwanda nchini
Na Emmanuel Mbatilo, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema mafanikio yaliyofikiwa na kiwanda cha kuunganisha magari aina ya Howo kinachomilikiwa na Saturn Corporation Limited ndani ya kipindi cha miaka miwili ni ushahidi wa ukuaji wa sekta ya viwanda nchini, huku…
RC Chalamila aipongeza TBS kuandaa Marathon kama maadhimisho ya miaka 50 kuanzishwa kwake
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Albert Chalamila amefurahishwa na kupongeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kuandaa Viwango Marathon kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya kuanzishwa kwa Shirika hilo pamoja na kuendelea kuhamasisha jamii kuhusu…





