JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kunenge : Wavamizi wa shamba no. 34 Mtamba wasubiri uamuzi wa Waziri Mkuu

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amewasihi wananchi wanaodaiwa kuvamia Shamba Na. 34 Mitamba, Kata ya Pangani, Manispaa ya Kibaha, kuacha mara moja shughuli zote za maendeleo katika eneo hilo na kusubiri maamuzi ya Waziri…

Kiongozi wa Buddha asifu uhuru wa kuabudu Tanzania

Kiongozi Mkuu wa dini ya Buddha nchini, Mchungaji Dkt. Ilukuptiye Pannasekara, amesifu ushirikiano ambao wanaupata sio tu kutoka katika dini zingine bali pia serikalini kwa ujumla. Ametoa kauli hiyo wakati wa kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa kiongozi wa dhehebu la…

TAKUKURU yaokoa milioni 116 Tanga

Hatua madhubuti za ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo zilizochukuliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Tanga zimezaa matokeo makubwa baada ya kuokoa zaidi ya Shilingi milioni 116 ambazo zilikuwa katika hatari ya kupotea, huku miradi…

Wajane wapanda Mlima Kilimanjaro, wahimiza uandikaji wosia katika familia

Mussa Juma, [email protected] Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Nurdin Babu amehimiza familia kuandika Wosia ili kupunguza mgogoro kwenye jamii mmoja wa wanandoa hasa mwanaume anapofariki. Wajane 35 kutoka Mkoa Arusha na Kilimanjaro jana walianza Kampeni ya Kupanda mlima Kilimanjaro na lengo…

DMG yatambuliwa na forbes Afrika kwa uwezo wa ujenzi wa meli daraja la kwanza

Na Mwandishi Wetu, jamhuriMedia, Dar es Salaam Jarida la Forbes Africa limetaja Kampuni ya Kitanzania, Dar es Salaam Merchant Group – DMG, kama kampuni bora ya daraja la kwanza “Class One” katika eneo la ujenzi na ukarabati wa meli nchini…