Latest Posts
Sabasaba yafungua fursa mpya za madini, wafanyabiashara wakiri utajiri mkubwa wa Tanzania
●Serikali yapongezwa kwa kuimarisha sekta ya madini, wawekezaji waendelea kuonesha imani kubwa 📍DAR ES SALAAM Wafanyabiashara na wadau wa sekta ya madini wameipongeza Serikali kwa kuendelea kuimarisha usimamizi wa sekta hiyo kupitia uwazi, utekelezaji wa sheria na matumizi ya mifumo…
Jeshi la Polisi lahimiza ushirikiano na makampuni ya ulinzi binafsi
Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi limetoa wito wa ushirikiano wa karibu kati ya polisi na makampuni binafsi ya ulinzi kwa lengo la kupunguza matukio ya uhalifu pamoja na kudumisha amani nchini. Wito huo umetolewa hivi…
Waziri Nanauka awapongeza vijana wenye mahitaji maalumu wanaong’ara Sabasaba
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Maendeleo ya Vijana), Joel Nanauka, amewapongeza vijana wenye mahitaji maalumu wanaojishughulisha na fani mbalimbali, ikiwemo usanifu majengo na ushonaji, waliopo katika banda la VETA kwenye Maonesho ya 50…
Polisi wakanusha taarifa za gari lao kuchomwa moto Mwenge
Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limekanusha taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa wananchi wamechoma moto gari la polisi katika eneo la Mwenge, likisema taarifa hizo ni za uongo na zinalenga…
TIRDO yabuni dawa ya asili ya kuchakata ngozi, yaokoa afya na mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limefanikiwa kubuni dawa ya asili ya kuchakata ngozi inayotokana na mimea, hatua inayotarajiwa kupunguza matumizi ya kemikali za viwandani, kulinda afya za watumiaji na kuhifadhi…
JKT yaibuka kinara Sabasaba, yatwaa tuzo ya bidhaa za kilimo na uvuvi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limeibuka mshindi wa kwanza katika tuzo za Maonyesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), baada ya kutambuliwa kwa kufanya vizuri kupitia bidhaa zake za kilimo…





