JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia ametekeleza alichoahidi wakati wa kampeni kuhusu vijana katika TEHAMA – Kairuki

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki, amesema kuwa Serikali imeanza kutekeleza kikamilifu ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuhusu kuwawezesha vijana katika sekta ya teknolojia ya habari na…

Waziri Kairuki : Watumiaji wa intaneti nchini waongezeka na kufikia milioni 58.9

Sekta ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeendelea kukua kwa kasi nchini, huku takwimu zikionesha ongezeko kubwa la watumiaji wa huduma mbalimbali za kidijitali Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, ameeleza hayo bungeni jijini Dodoma leo Alhamisi…

Trump : Vizuizi dhidi ya Iran huenda vikadumu kwa muda

RAIS wa Marekani Donald Trump amesema kuwa vizuizi dhidi ya Iran vinaweza kudumu kwa miezi kadhaa, hatua iliyosababisha bei za mafuta kupanda kwa kiwango cha juu hapo jana katika kipindi cha miaka minne. Katika mkutano wake na wakuu wa sekta…

Tanzania yataka mbinu nafasi ya maendeleo nchi zinazoendelea

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa wito wa kuwa na mbinu za kimataifa zilizo na uwiano, zinazozingatia usawa na kulinda nafasi ya maendeleo ya nchi zinazoendelea. Imesema iko tayari kushirikiana na wadau mbalimbali katika kujenga njia zitakazoleta manufaa kwa watu…

TCDC Sports Club yaonyesha ubora katika ushindi wa 4-2 dhidi ya mashtaka

Timu ya Mpira wa Miguu ya Mashtaka imeshindwa kuonesha ubabe wake baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-2 kutoka kwa TCDC Sports Club katika mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye Uwanja wa Venite, Mji Mwema mkoani Njombe. Katika mchezo huo uliokuwa…

Serikali yasisitiza ushiriki wa vijana katika ukuaji wa uchumi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesisitiza kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inatoa kipaumbele cha pekee kwa ushiriki wa vijana katika maendeleo, kwa lengo la kuinua vipaji, uwezo, na ari yao katika kufanikisha ukuaji wa uchumi jumuishi. Kauli…