JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Spika Zungu: Tanzania iko tayari kuwakaribisha wabunge wa dunia Oktoba, 2026

Na Prosper Makene New York, Marekani – Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Musa Azzan Zungu, Mbunge, ameuhakikishia Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) kuwa Tanzania imejipanga kikamilifu kuwakaribisha wabunge kutoka duniani kote katika Mkutano wa 153…

Franone Mining inavyosaidia jamii kupitia CSR Simanjiro

Na Mwandishi wetu, Mirerani KAMPUNI ya Franone Mining & Gem LTD imenufaisha jamii mbalimbali Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, kupitia miradi tofauti ya maendeleo ikiwemo ya sekta ya elimu, afya na miundombinu, kupitia uwajibikaji kwa jamii (CSR). Meneja wa kampuni ya…

Serikali kufuatilia mradi wa barabara Pangani hadi Tanga

Na Peter Haule na Joseph Mahumi, WF, Tanga Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema Serikali itafuatilia kwa karibu changamoto zinazokwamisha utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya Pangani-Tanga ili kuhakikisha unakamilika kwa wakati na kuanza…

Wanahisa TBL wapitisha hesabu za mwaka 2025 baada ya mwaka wa ukuaji wenye faida

▪︎TBL imehitimisha mwaka kwa ongezeko la faida, ukuaji endelevu wa chapa zake Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania Breweries Public Limited Company (TBL Plc) imefanya Mkutano Mkuu wa 53 wa Wanahisa katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha…