Latest Posts
Dk Jingu apokelewa Wizara ya Katiba na Sheria, aahidi ushirikiano
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. John Jingu, amepokelewa rasmi na Waziri wa Wizara hiyo, Dkt. Juma Homera kufuatia uhamisho uliofanywa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoka Wizara…
Benki ya MCB yazindua mpango wa uuuzaji wa hisa stahiki
📌*Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa apongeza mpango huo. 📌*Asema ni chachu ya utoaji wa Mikopo nafuu na kuongeza mtaji wa benki hiyo. Na Mwandishi wetu -Dar es salaam Uuzaji wa hisa za Benki ya Biashara ya Mwalimu (MCB) ni chachu…
Zaidi ya mabasi ya Mwendokasi 150 yapaki Mofat, changamoto ukosefu eneo la kutoa huduma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es salaam Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-CENTRE) kimeeleza kuwa kampuni ya mabasi yaendayo haraka ya Mofat inakabiliwa na changamoto ya kukosa maeneo ya kutoa huduma, hali iliyosababisha zaidi…
Prof. Shemdoe akemea ubaguzi wanafunzi wenye mahitaji maalum wakati wa mitihani
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amekemea tabia ya ubaguzi wa wanafunzi wenye mahitaji maalum unaofanywa na baadhi ya shule wakati wa…
Mawaziri Tanzania na Zambia kukutana Tunduma
Maandalizi ya Mkutano wa Mawaziri wa Biashara (Joint Trade Committee – JTC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia yamekamilika kufuatia kuhitimishwa kwa kikao cha Kamati ya Pamoja ngazi ya Makatibu Wakuu kilichofanyika leo, Mei 6,…




