Latest Posts
Mzee Onyango afariki dunia
Staa wa Tasinia ya uigizaji nchini Tanzania Isaa Joseph maarufu kama mzee Onyango amefariki dunia asubuhi ya leo Juni 11, 2026. Taarifa hizi zimethibitisha na mtoto wake, Joshua Issa na kusema kuwa baba yake amefariki katika Hospitali ya Lugalo jijini…
Tanzania, Canada zaimarisha ushirikiano katika kuendeleza haki za wenye ulemavu
……………. Na Mwandishi Wetu-New York,Marekani Tanzania na Canada zimejadili fursa za kuimarisha ushirikiano katika kukuza haki, ujumuishwaji na ustawi wa watu wenye ulemavu katika kikao cha pande mbili kilichofanyika leo Juni 10, 2026 katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa…
Jaji Mkuu apongeza ushirikiano wa wadau wa mahakama
*Asema ushirikiano huo una manufaa makubwa kwa Mahakama na kuleta ustawi na maendeleo ya Taifa*Asema Mahakama haitamvumilia yeyote anayekwamisha upatikanaji haki mapema ipasavyo*Awataka wadau wa haki madai kuwa huru kuwasilisha changamoto zilizopo ili zitatuliwe na kuwezesha haki kupatikana bila vikwazo…
Historia ya Uhuru wa Tanzania na ukombozi wa Afrika kung’ara Paris
Na Mwandishi Wetu Historia ya Tanzania katika harakati za kupigania uhuru, kuundwa kwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar pamoja na mchango wake katika ukombozi wa Afrika ni miongoni mwa vivutio vitakavyopewa nafasi ya kipekee katika Maonesho ya Kiswahili yatakayofanyika jijini…
CP Kavirondo: Teknolojia ni nguzo muhimu ya urekebishaji wafungwa
Kamishna wa Huduma za Urekebu Jeshi la Magereza, CP Amina Kavirondo, alisema Jeshi la Magereza limejipanga kutumia mifumo mbalimbali ya kidijitali ili kuachana na mifumo ya zamani na kwenda sambamba na maendeleo ya teknolojia katika utekelezaji wa majukumu yake. CP….
Rais Dk Mwinyi ateta na Rais wa Singapore Ikulu Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amempokea Rais wa Jamhuri ya Singapore Mhe.Tharman Shanmugaratnam,katika Ikulu ya Zanzibar, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kikazi nchini Tanzania iliyoanza Juni 8, 2026. Kikao hicho…




