Latest Posts
Wadau waeleza matarajio maboresho ya bandari kupitia ushirikiano wa umma na sekta binafsi
Zaidi ya wadau 100 wa sekta ya bandari na usafirishaji wameeleza matarajio yao juu ya maboresho ya uendeshaji wa bandari kwa lengo la kupunguza gharama za biashara na kuhakikisha manufaa yanawafikia wananchi kupitia ushirikiano wa sekta ya umma na binafsi…
Prof. Shemdoe amtaka mkandarasi anayejenga Mahakama ya Wilaya Lushoto kuwapa kazi wazawa
Na James Mwanamyoto – Lushoto Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amemuelekeza Mkandarasi Namis Cooperate Limited aliyepewa kandarasi ya Ujenzi wa Mahakama ya Wilaya ya Lushoto, kuwapatia…
Mavunde akabidhi madawati 2713 kwa sekondari za Dodoma Jiji
▪️Ni Utekelezaji wa agizo la Mh. Rais Samia juu ya mazingira bora ya ufundishaji ▪️Mbunge Mavunde apongeza jitihada ya kutatua changamoto ya madawati ▪️Miundombinu ya madarasa na madawati mapya kuelekea Januari 2026 yakamilika ▪️Jiji la Dodoma lipo tayari kuwapokea wanafunzi…



