Latest Posts
Mnzava : Tutatoa ushirikiano kwa Wizara
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii imeahidi kutoa ushirikiano kwa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakati wote wa kutekeleza majukumu yake. Kauli hiyo imetolewa leo tarehe 15 Januari, 2026 na Mwenyekiti wa Kamati…
Serikali kupitia REA kuzindua miradi mikubwa ya kimkakati
📌Kituo cha Kupoza Umeme Mtera 📌Mradi wa Kusambaza umeme katika vitongoji 9,009 Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatarajia kuzindua Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Mtera na Kusaini Mikataba ya kutekeleza mradi kabambe wa kusambaza umeme kwenye…
Msajili wa Hazina aomba ushirikiano wa PIC kuimarisha mageuzi ya uwekezaji wa umma
Na Mwandishi wa OMH, JamhuriMedia, Dodoma Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) leo, Januari 15, 2026 imeendesha semina maalumu kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) katika Ukumbi wa Bunge, jijini Dodoma. Semina hiyo…
RAS Tanga : Maadhimisho Wiki ya Huduma za Fedha yatakuwa na mafanikio
Na Chedaiwe Msuya na Eva Ngowi, WF, Tanga Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga (RAS), Bw. Rashid Mchatta, amewahakikishia wadau wa sekta ya fedha kuwa maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha yatakayofanyika jijini Tanga yatakuwa na mafanikio makubwa kutokana…
Urambo wafungua milango ya uwekezaji
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Urambo HALMASHAURI ya Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora imefungua milango kwa wawekezaji wa ndani na nje kuja kuwekeza katika sekta mbalimbali, kwa kuanzia wametenga eneo la ardhi lenye ukubwa wa hekari 72 kwa ajili ya kazi…
Gharama za kupasha joto Ujerumani kuongezeka
Katika msimu wa baridi kali, matumizi ya nishati huongezeka kwa sababu watu hutumia muda mwingi ndani ya nyumba na wanahitaji joto la kutosha ili kukabiliana na baridi kali – hali hii husababisha bili za nishati kupanda. Raia nchini Ujerumani wanatarajiwa…




