Latest Posts
Dk Kijaji akutana na Katibu Mkuu Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa
Na John I Bera Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa (UN Tourism), Shaikha Nasser Al Nowais, tarehe 29 Aprili, 2026 katika eneo…
RC Kunenge atoa rai kwa askari Polisi kuzingatia weledi, utii, haki na nidhamu
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MWENYEKITI wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Pwani ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa huo, Abubakar Kunenge, ameagiza askari polisi kujitathmini kwa kuzingatia utii, weledi na haki katika utekelezaji wa majukumu yao. Kunenge…
Polisi Kata ya Nawenge awapa wanafunzi mbinu za kuepuka ukatili
Polisi Kata Kata ya Nawenge, iliyopo Wilaya ya Ulanga Mkoani Morogoro, ametoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Nawenge na kuwapa mbinu kuhusu namna ya kuepukana ukatili na kuripoti vitendo vya ukatili. Akizungumza na wanafunzi hao, Staff Sajenti wa…
Watendaji wa uchaguzi watakiwa kusimamia uchaguzi kwa weledi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imetoa wito kwa watendaji wa uchaguzi kuhakikisha wanatumia muda wao kusoma Katiba, sheria za uchaguzi, kanuni na maelekezo ya Tume ili waweze kusimamia uchaguzi kwa weledi. Wito huo umetolewa…
Nkasi yapokea boti ya chanjo kuimarisha huduma mwambao ziwa Tanganyika
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi, Afraha Hassan, kwa niaba ya wananchi wa wilaya hiyo, amepokea boti ya huduma za chanjo katika hafla iliyofanyika katika Halmashauri ya Kibiti, Mkoa wa Pwani.Akizungumza mara baada ya kupokea boti hiyo, Mkurugenzi…
Mtoto afariki kwa kusombwa na maji akivuka mto Rukwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, NkasiMtoto mmoja aliyefahamika kwa jina la Jenifa Mafuru (8) mkazi wa Kijiji Cha Ipanda kata ya Nkomolo amefariki Dunia baada ya kusomwa na maji alipokuwa akivuka.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kamanda wa Polisi mkoa Rukwa…





