Latest Posts
Skauti kuwa mabalozi wa matumizi salama ya gesi nchini
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Oryx Tanzania imezindua kitabu cha Mwongozo wa Matumizi Salama ya Gesi ya LPG na kusaini mkataba wa ushirikiano wa miaka mitatu na Chama cha Skauti Tanzania, hatua inayolenga kuimarisha elimu ya matumizi salama ya gesi…
NAIBU Waziri Salome awasili Morogoro kufungua warsha ya nishati safi ya kupikia
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Mussa Kilakala, akiwasili katika Ukumbi wa Morena Hotel mkoani Morogoro kwa ajili ya kufungua warsha ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari pamoja na Maafisa…
JKCI yang’ara Sabasaba, yatunukiwa tuzo ya huduma bora kwa wananchi
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri MediaDar es salaam Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imetunukiwa tuzo ya Huduma Bora kwa Wateja katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba), ikiwa ni kutambua mchango wake wa kutoa huduma za afya…
Wanaswa kwa tuhuma za kupanga kutapelo benki
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora JESHI la Polisi Mkoani Tabora limekamata watuhumiwa watatu kwa tuhuma za kupanga njama ya kufanya utapeli katika benki za CRDB na NMB zilizoko Mjini Tabora. Kamanda wa Polisi Mkoani hapa ACP Twaha Lulengelule amethibitisha kukamatwa…
Waziri Ulega asifu uchapakazi wa mbunge Dk Kellen- Rose Rwakatare
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilombero WAZIRI wa Ujenzi, Abdalah Ulega amempongeza Mbunge wa Mlimba (CCM), Dk Kellen- Rose Rwakatare kwa namna ambavyo amekuwa akiwasilisha kero za wananchi wa jimbo hilo kwenye mamlaka ili zipate ufumbuzi. Alitoa pongezi hizo jana wakati…
Watu 8,000 wapatiwa matibabu ya bure Arusha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Zaidi ya wananchi 8,000 kutoka Mkoa wa Arusha na maeneo mengine nchini wamepata huduma za uchunguzi na matibabu bila malipo katika siku mbili za kwanza za kambi maalumu ya afya inayofanyika jijini Arusha. Kambi hiyo…





