JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mkutano wa kikanda wajadili usalama na biashara haramu ya silaha

Na Mwandishi Wetu Makamu Mwenyekiti wa RECSA na ‎Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Paschal Katambi Patrobass (Mb), ameshiriki Mkutano kwa njia ya Mtandao wa Kamati Ndogo ya Mawaziri ya Kikanda, unaoshughulikia Udhibiti wa Silaha ndogo na nyepesi…

EACOP kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Misenye Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)imerejea dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu hapa nchini kupitia mpango wake wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR), sambamba na Dira ya Maendeleo…

Wafungwa 1,369 wapunguziwa adhabu, 436 waachiwa huru

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametumia mamlaka yake ya kikatiba kutoa msamaha wa kupunguza adhabu kwa wafungwa 1,369, hatua iliyowezesha wafungwa 436 kuachiwa huru mara moja na wengine 933 kupunguziwa vifungo vyao. Hatua…

Wazuri Mkuu azungumza na wakazi wa Jiji la Dar es Salaam

*Asema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia ni kiongozi mbunifu na wa vitendo WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mbunifu, wa vitendo na mwenye dhamira ya dhati ya kuwatumikia Watanzania kwa kutoa majawabu ya…