Latest Posts
Tanzania yakamilisha mfumo wa kurejesha hali baada ya maafa
Na Mwandishi Wetu – Masvingo, Zimbabwe. TANZANIA imekamilisha maandalizi ya Mfumo wa Taifa wa Kurejesha Hali Baada ya Maafa, hatua inayolenga kuimarisha uwezo wa Taifa kukabiliana na athari za majanga yanapotokea. Mfumo huo unatajwa kuwa sehemu ya mkakati mpana wa…
Ukuaji teknolojia umechangia vijana kuiga tamaduni za kigeni – Simba
Na Kija Elias, JamhuriMedia, Mwanga KASI ya kuporomoka kwa maadili kwa watoto na vijana nchini imeelezwa kuchangiwa kwa kiwango kikubwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano, hali inayosababisha baadhi ya vijana kuiga tamaduni za kigeni zinazokwenda kinyume na…
Hakikisheni gesi yenu inapimwa kabla ya kununua – Kihulla
Na Veronica Simba – WMA DODOMA – Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Bw. Alban Kihulla amewaambia Waheshimiwa Wabunge kuwa WMA hufanya uhakiki wa mitungi ya gesi ya kupikia inayouzwa nchini ili kujiridhisha kuhusu ujazo wake kabla ya…
Dk Mwigulu : Msizuie wanafunzi kufanya mitihani
*Asema Serikali itaendelea kuongeza fedha za mikopo ya elimu ya juu WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka taasisi za elimu nchini kutowazuia wanafunzi kufanya mitihani ya masomo yao kwa kushindwa kulipa ada. Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itaendelea kuongeza fedha…
Tanzania, Kenya kuharakisha utekelezaji miradi ya kuunganisha njia za umeme
Tanzania na Kenya zimekubaliana kuharakisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya njia za umeme zinazounganisha gridi za nchi hizo mbili pamoja na kuboresha mifumo ya usafirishaji wa umeme ili kuimarisha usalama wa nishati, kuongeza uhakika wa upatikanaji wa umeme na kukuza…
MSD, wadau sekta ya afya wajadili namna bora ya kuondoa na kudhibiti madeni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Bohari ya Dawa (MSD) imeanza hatua mpya ya kimkakati ya kuimarisha usalama wa kifedha wa mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya nchini, kufuatia kikao kazi kilichowakutanisha…





