Latest Posts
Mafuriko yauwa watu 61 nchini Afghanistan
Theluji na mvua kubwa ambayo imenyesha kwa muda wa siku tatu zilizopita nchini Afghanistan, zimesababisha vifo vya zaidi ya watu 60 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 100 kote nchini humo. Msemaji wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kukabiliana na Maafa Yousaf…
Nanauka : Vijana ondokeni kwenye uchuuzi, njooni kwenye uzalishaji
Na Mwandishi Wetu Serikali imeendelea kusisitiza dhamira yake ya dhati katika kuwawezesha vijana kiuchumi kwa kuweka mikakati madhubuti itakayowainua kutoka kwenye uchuuzi wa mitaani na kuwa wazalishaji wakubwa na wamiliki wa biashara endelevu. Kupitia mpango wa Maeneo Maalumu ya Kiuchumi…
Rais Samia ameimarisha uchumi Geita kupitia ujenzi wa barabara -Prof. Shemdoe
Na Mwandishi Wetu, Geita WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuidhinisha Shilingi 1,035,047,200 za ujenzi wa dharura wa barabara ya Kasamwa- Gamashi yenye urefu wa kilomita 18,…
Mkurugenzi Mkuu NSSF aongoza kampeni ya elimu na uandikishaji Mabibo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kutoa elimu ya hifadhi ya jamii na kuandikisha wanachama wapya kupitia kampeni ya NSSF Staa wa Mchezo Paka Rangi, ambapo Mkurugenzi Mkuu wa NSSF,…
Waziri Kikwete azindua jengo la TAKUKURU Chalinze, lagharimu milioni 406.49
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb), amezindua jengo jipya la Ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) katika Wilaya…
Prof. Shemdoe : Bilioni 67/- zatumika kujenga barabara, masoko Mwanza
Na OWM – TAMISEMI, Mwanza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali kupitia Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) imetumia kiasi cha Shilingi Bilioni…





