Latest Posts
Kambi maalumu ya matibabu Arusha, yawanufaisha wagonjwa wa mishipa ya damu na figo
Na Mwandishi Maalumu, Arusha Wagonjwa wanaosumbuliwa na matatizo ya mishipa ya damu kutanuka miguuni pamoja na wanaohitaji kuwekewa njia za kusafisha damu wameombwa kujitokeza katika kambi maalumu ya matibabu ya magonjwa mbalimbali inayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center…
Kuelekea mwaka mpya 2026, REA yawakumbuka wenye mahitaji
Kuelekea Mwaka Mpya 2026, Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imewagusa Watanzania wenye mahitaji mbalimbali kwa kutoa mkono wa faraja na kuwatakia heri ya mwaka Mpya ujao. Zoezi la kuwapatia mahitaji walemavu limeongozwa na Bi. Judith Abdalah kwa niaba ya Mkurugenzi…
TIB yaagizwa kuhakikisha inachagiza ukuaji wa maendeleo ya uchumi wa taifa
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameiagiza Benki ya Maendeleo ya TIB kuimarisha zaidi mifumo yake ya uendeshaji ili iweze kufikia malengo yake ya kuisaidia Serikali kutekeleza Dira ya Taifa ya…
Mafunzo ufuatiliaji, tathmini kuongeza tija utekelezaji wa mipango ya wizara
Na Augustina Makoye, WMJJWM – Dodoma Mkurugenzi wa Idara ya Ufuatiliaji na Tathmini, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Daktari Hango amesema mafunzo ya ufuatiliaji na tathmini yatawasaidia Maafisa viungo wa ufuatiliaji na tathmini kuelewa kwa…




