JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TMA : Mvua kubwa yaathiri miundombinu ya SGR, kuendelea kunyesha kwa mikoa 20

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inapenda kutoa taarifa ya mwenendo wa Mvua Kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Mnamo tarehe 26 hadi 27 Desemba, 2025 Mamlaka iliendelea kutoa Tahadhari ya vipindi vya Mvua Kubwa katika maeneo…

Simbachawene : Mabadiliko makubwa kuligusa Jeshi la Polisi

*Taratibu za ukamataji mtuhumiwa kurekebishwa Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameweka wazi maelekezo aliyoagizwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yanaenda kugusa Jeshi la Polisi…

Mwakinyo amchapa Mnigeria kwa KO

Bondia wa Kimataifa Mtanzania, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kuibuka mshindi wa pambano lake dhidi ya mpinzani wake Mnigeria, Stanley Eribo katika raundi ya pili tu. Katika pambano hilo lililopigwa katika dimba la Warehouse Masaki, Dar es Salaam ambako zimepigwa ngumi haswa,…

‘Kituo cha kupoza umeme Handeni kuleta mapinduzi ya uwekezaji’

Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Salum Nyamwese, ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo cha kupooza umeme (substation) cha Handeni mkoani Tanga, unaolenga kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa wakazi na wawekezaji wa wilaya hiyo….

Watumia jina la Mchengerwa kuomba michango ya harusi kitapeli

Wizara ya Afya imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wenye nia ovu ambao wamekuwa wakitumia jina la Waziri wa Afya, Mohamed Omary Mchengerwa kuwatapeli watu kwamba anaozesha mwanae, hivyo kuwaomba michango ya harusi ya mtoto wa Mhe. Mchengerwa. Tunapenda…