JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yadhamiria mageuzi makubwa ya elimu kwa vitendo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imejidhatiti kuhakikisha inafanya mageuzi makubwa ya elimu ujuzi kwa vitendo kuhakikisha wanaongeza vyuo vya Veta ili kusaidia vijana wanapata ujuzi katika fani mbalimbali ili wasitegemee kuajiriwa bali…

Slovakia yafungua ubalozi nchini Tanzania

Balozi Mteule wa kwanza wa Slovakia nchini Tanzania, Mhe. Ivan Lančarič amewasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe jijini Dodoma Desemba 10, 2025. Mhe. Lančarič…

Wawekezaji Kwala waleta neema kwa Watanzania

Serikali kupitia Wizara mbalimbali kwa kushirikiana na Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), imejipanga kuratibu uwekezaji wa viwanda 200 vyenye thamani ya shilingi trilioni 10, hatua inayotarajiwa kuleta manufaa kwa Taifa ikiwemo kuzalisha ajira 100,000. Hatua…

Maghembe apokea nakala za hati za utambulisho za balozi mteule Namibia nchini

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Namibia nchini, Mhe. Gabriel Sinimbo, katika tukio lililofanyika katika Ofisi za Wizara…

Nchi za Afrika zahimizwa kushirikiana katika kuimarisha matumizi bora ya nishati

WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi ametoa wito kwa Nchi za Afrika kuungana kwa pamoja katika kutekeleza mikakati na mipango ya kuendeleza matumizi bora ya Nishati, ili kuokoa upotevu wa Nishati pamoja na fedha ambazo zingetumika kwa uwekezaji usiohitajika. Mhe.Ndejembi ametoa…