Latest Posts
Dhahabu yapanda thamani kutokana na mivutano ya kisiasa na kiuchumi
BEI ya dhahabu imepanda kwa zaidi ya dola za kimarekani 5,000 (£3,659) kwa gramu 28.35 kwa mara ya kwanza, ni ongezeko la thamani kwa zaidi ya asilimia 60 mwaka 2025. Hii inakuja huku mvutano kati ya Marekani na NATO kuhusu…
EACOP yakabidhi madarasa, vyoo vya kisasa Nzega kupitia Mkandarasi Wasco Isoaf
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nzega Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kupitia mkandarasi wake, WASCO ISOAF Tanzania Limited umekabidhi miundombinu ya vyoo vya kisasa na madarasa kwa Shule za Msingi na Sekondari za Igusule, zilizopo Kijiji…
SinoAm Global Fund kuwekeza dola bilioni tano Tanzania
London, Uingereza Katika mwendelezo wa ziara yake Nchini Uingereza, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji prof. Kitila Mkumbo, amekutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa Mfuko wa Kimataifa wa Uwekezaji Sino American Global Fund (SinoAm LLC). Mazungumzo…
Balozi wa Tanzania Comoro akutana na mwanamuziki mashuhuri ‘La Diva’
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Umoja wa Visiwa vya Comoro, Mheshimiwa Balozi Saidi Yakubu, amekutana na mwanamuziki mashuhuri nchini Comoro, Samra Athoumani maarufu kama “La Diva”, ambaye alitembelea Ubalozi wa Tanzania ili kuelezea azma yake ya kushirikiana…
Ujenzi wa minara 758 wakamilika, wananchi milioni 8.5 vijijini wanufaika
Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) imekamilisha ujenzi wa minara yote 758 kati ya 758, mradi mkubwa wa kimkakati uliotekelezwa kwa kipindi cha takribani miaka miwili kwa lengo la kupanua upatikanaji wa huduma za mawasiliano…





