Latest Posts
Dkt. Mwinyi: Maridhiano Yanafungua ukurasa mpya Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa uwasilishaji wa Tamko la Pamoja baina ya Chama Cha Mapinduzi na ACT Wazalendo ni hatua muhimu inayofungua njia ya utekelezaji wa uundaji wa Serikali…
Dk. Samia aonya makundi yanayotishia amani na usalama,
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kali kwa watu na makundi yanayojihusisha na vitendo vinavyohatarisha amani na usalama wa nchi, akisisitiza kuwa Serikali haitasita kuchukua hatua madhubuti kulinda raia, maisha yao na mali zao. Akizungumza…
Karume, Shein waongoza maridhiano ya kisiasa kati ya CCM na ACT- Wazalendo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT Wazalendo wamezindua rasmi hatua mpya ya maridhiano ya kisiasa yenye lengo la kuimarisha amani, umoja, utulivu na mshikamano wa kudumu Zanzibar. Hatua hiyo imeashiriwa na kutiwa saini kwa tamko…
Rais Mwinyi: Mchakato wa maridhiano ya kisiasa kurejesha imani ya wananchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema mchakato unaoendelea wa maridhiano ya kisiasa unatarajiwa kuimarisha umoja wa kitaifa, kurejesha imani ya wananchi na kuweka mazingira bora zaidi kwa ukuaji wa uchumi, uwekezaji na maendeleo…
Bodi ya Mkonge; fursa kubwa za uwekezaji, soko la dunia lahitaji tani laki tano kwa mwaka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Zao la mkonge linaendelea kuwa moja ya mazao yenye fursa kubwa za kiuchumi nchini Tanzania. Kwa mujibu wa Bodi ya Mkonge Tanzania, uzalishaji wa sasa ni takribani tani 72,000 kwa mwaka, wakati mahitaji ya…





