JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Baraza la wafanyakazi siri ya utendaji bora

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Baraza la Wafanyakazi la Sita la TMDA limefanyika kwa ufanisi tarehe 5-6 Februari, 2026 katika Manispaa ya Morogoro, kwa kuwakutanisha wajumbe wa Menejimenti na kutoka kwa Watumishi wa TMDA kwa lengo la kujadili na kukubaliana…

RC Iringa awataka wahandisi wa umwagiliaji kutanguliza uzalendo na weledi kulinda fedha za Serikali

📍NIRC Iringa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amewataka Wahandisi wa Mikoa na Wasimamizi wa miradi ya Umwagiliaji nchini kufanya kazi kwa uzalendo wa hali ya juu na weledi ili kuhakikisha uwekezaji mkubwa unaofanywa na Serikali unaleta tija…

Umeme vitongojini wachochea uchakataji mazao Katavi

📌Wakandarasi watakiwa kuacha maneno, ahadi na michakato wamalize mradi kwa wakati 📌Bilioni 57.3 kupeleka umeme vitongoji 358 mkoani Katavi 📌Ajira kupewa kipaumbele 📍Katavi Imeelezwa kuwa mradi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Awamu ya Pili B (HEP 2B) unakwenda kuongeza…

Serikali yapongeza Kituo cha Kairuki Green IVF kwa mtambo mpya wa kusaidia upandikizaji mimba

……..Yaahidi kuendelea kushirikiana na KHEN kuenzi maono ya Kairuki Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Dk Seif Shekalaghe, amezindua mtambo mpya wa kisasa wa teknolojia ya Laser ambao utasaidia kwenye uchambuzi wa viini…

Dk Mwigulu amkabidhi Nanauka hundi ya bilioni 200/-

*Ni utekelezaji wa ahadi za Rais Dkt. Samia ndani ya siku 100 tangu achaguliwe WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekabidhi hundi ya shilingi bilioni 200 kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka ikiwa ni utekelezaji…

Mazungumzo kuhusu amani ya Ukraine yakamilika

Ukraine na Urusi zimekamilisha duru ya pili ya mazungumzo yanayosimamiwa na Marekani huko Abu Dhabi yanayolenga kufikisha mwisho vita kati ya nchi hizo mbili. Duru mpya ya mazungumzo inatarajiwa kufanyika hivi karibuni. Ukraine na Urusi zimehitimisha duru ya pili ya…