JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

BOT Academy Yawakaribisha Watanzania kujiunga na mafunzo ya kibenki

Na Mwandishi Wetu CHUO cha Benki Kuu ya Tanzania (BOT Academy) kimewahimiza Watanzania, hususani wahitimu wa elimu mbalimbali na watumishi wa sekta ya fedha, kujiunga na programu zake za mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi zinazolenga kuwajengea ujuzi wa…

TEA Yaweka Vipaumbele Vitatu Katika Utafutaji wa Rasilimali Kuboreshwa kwa Sekta ya Elimu

MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA) imeeleza kuwa imejikita katika kutafuta rasilimali zitakazowezesha utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2023, kwa kuwekeza nguvu katika maeneo matatu ya kipaumbele ambayo ni ujenzi wa miundombinu kwa elimu ya lazima ya…

FCC Yaimarisha elimu ya Ushindani kwa wafanyabiashara SABASABA

WAFANYABIASHARA na wananchi kwa ujumla wametakiwa kutumia Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutembelea banda la Tume ya Ushindani (FCC) ili kupata huduma mbalimbali za papo kwa papo pamoja na elimu kuhusu ulinzi wa…

TET Yatumia Maonesho ya Sabasaba Kuelimisha Umma kuhusu Mtaala Ulioboreshwa

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imesema ushiriki wake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) unalenga kuelimisha wananchi kuhusu maboresho ya mitaala, kuhamasisha elimu jumuishi na kusogeza karibu…

Majaji wapya wa rufani wapigwa msasa: wahimizwa kuzingatia maadili, hekima katika utoaji haki

Na MARY GWERA, Mahakama-Dodoma Majaji wapya tisa wa Mahakama ya Rufani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamehimizwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia misingi ya haki, hekima na huruma, badala ya kufungwa na masharti ya kiufundi ya kisheria yanayoweza kukwamisha…

Mafunzo elekezi yanawajengea Majaji wa rufani uwezo wa kutoa haki kwa ufanisi : Jaji Kihwelo

·       Yanawaandaa pia Majaji wapya kutekeleza majukumu yao kwa weledi, kujiamini na kuzingatia misingi ya utoaji haki Na HALIMA MNETE, Mahakama-Dodoma. Majaji wa Mahakama ya Rufani wametakiwa kutumia mafunzo elekezi wanayopatiwa kama fursa ya kujenga uwezo, kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa…