Latest Posts
Wananchi wahamasishwa kutumia umeme katika vyombo vya usafiri kupunguza gharama za usafiri
📌 TANESCO yaeleza matumizi ya umeme katika magari, bajaji na pikipiki 📌 Pikipiki ya umeme hutumia uniti 3 pekee kusafiri hadi kilometa 130 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wananchi wamehimizwa kutumia umeme katika vyombo vya usafiri ili kupunguza gharama…
Rais Mwinyi atoa milioni 200/- kusaidia kituo cha Irshaad Lushoto, aridhia ombi la Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Lushoto Alhaji Dkt. Hussein Mwinyi, Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, amekubali ombi la Mbunge wa Jimbo la Lushoto Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, Waziri wa Nchi, Ofisi ya…
Halmashauri Wilaya Nyasa yapata hati safi
Na Mwandishi Wetu, JamuhuriMedia, Nyasa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa imeendelea kuonyesha mafanikio katika usimamizi wa fedha za umma baada ya kupata hati safi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Mafanikio hayo yametokana na matumizi…
Ridhiwani:Chuo Cha Utumishi wa Umma kiendelee kujenga watumishi wenye weledi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amekumbusha umuhimu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania, kuendelea kufundisha na kukuza utumishi wa Umma Tanzania. Ridhiwani ameyasema hayo aliposhiriki kilele cha maadhimisho…
NSSF Yawahimiza waajiri kuchangamkia msamaha wa tozo, waliojiajiri wahimizwa kujiunga na hifadhi skimu
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kuimarisha juhudi za kupanua wigo wa hifadhi ya jamii nchini kwa kuwahamasisha wananchi waliojiajiri kujiunga na Hifadhi Skimu, huku ukiwahimiza waajiri wenye malimbikizo ya…
WASHINDI ‘VIJANA UCHUMI CHALLENGE’ WAKABIDHIWA MAMILIONI, SERIKALI KUJA NA MPANGO MAALUM WA MIKOPO KWA VIJANA
KATIKA kuhakikisha vijana wanawekwa viti vya mbele katika ajenda ya uchumi Serikali inaandaa maboresho ya kisera na kisheria yatakayowaondolea vijana wajasiriamali kikwazo cha muda mrefu cha ukosefu wa dhamana za mikopo kwa kuimarisha mfumo wa udhamini wa mikopo na kuruhusu…





