JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Baraza la Mawaziri EAC laridhia mapendekezo ya Bajeti ya Jumuiya

Mkutano Maalumu wa 60 wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umeridhia mapendekezo ya bajeti ya Sekretarieti ya Jumuiya pamoja na taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2026/2027, katika kikao kilichofanyika Mei 22, 2026 katika Makao Makuu…

Wauguzi, wakunga wahimizwa utendaji wa mabadiliko, kulinda utu wa magonjwa

Na Hassan Kimweri, WAF – Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya anayeshughulikia Dawa na Vifaa Tiba, Bw. Emmanuel Tayari, amewataka Viongozi wa huduma za afya nchini hususani Wauguzi na Wakunga kuleta mabadiliko ya kweli kwa kutoa huduma zinazozingatia…

Serikali yaeleza mikakati ya kulinda watoto wa mazingira hatarishi

Na Jackline Minja, Dodoma Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya kulinda watoto walio katika mazingira hatarishi ikiwemo watoto yatima, wenye ulemavu pamoja na watoto…

TIRDO yasajili viwanda 25,650, Serikali yaongeza nguvu maabara za kisasa

Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara imeendelea kuimarisha sekta ya viwanda nchini huku Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) likisajili jumla ya viwanda 25,650 na kuongeza nguvu katika huduma za maabara pamoja na teknolojia za uzalishaji…