Latest Posts
CRDB yahitimisha Kampeni ya Fainali ndiyo Mpango na Tembo Card Washindi 10 kupelekea Kombe la Dunia 2026
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Benki ya CRDB imehitimisha rasmi kampeni yake ya “Fainali Ndiyo Mpango” kwa kushirikiana na TemboCard, huku washindi mbalimbali wakijinyakulia zawadi zenye thamani kubwa ikiwemo televisheni za kisasa (Smart TV) na safari ya kwenda kushuhudia…
TAMA yapokea ujumbe wa kitaalamu kutoka Taasisi ya hali ya hewa a Denmark
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea ujumbe wa wataalamu kutoka Taasisi ya Hali ya Hewa ya Denmark (DMI) chini ya Mradi wa Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa kuimarisha Uangazi wa Hali ya Hewa (SOFF), wenye lengo la…
Jumla ya macho 996 kwa wagonjwa 823 yamefanyiwa uchunguzi kufanyiwa upasuaji
Na Hassan Kimweri, WAF – Tabora Jumla ya macho 996 yamefanyiwa uchunguzi kwa wagonjwa 823 wanaotarajiwa kufanyiwa upasuaji wa mtoto wa jicho katika kambi maalum ya madaktari bigwa iliyowekwa na Serikali kwa kushirikiana na Taasisi ya ‘Helen Keller International’ na…
Mzee Onyango afariki dunia
Staa wa Tasinia ya uigizaji nchini Tanzania Isaa Joseph maarufu kama mzee Onyango amefariki dunia asubuhi ya leo Juni 11, 2026. Taarifa hizi zimethibitisha na mtoto wake, Joshua Issa na kusema kuwa baba yake amefariki katika Hospitali ya Lugalo jijini…
Tanzania, Canada zaimarisha ushirikiano katika kuendeleza haki za wenye ulemavu
……………. Na Mwandishi Wetu-New York,Marekani Tanzania na Canada zimejadili fursa za kuimarisha ushirikiano katika kukuza haki, ujumuishwaji na ustawi wa watu wenye ulemavu katika kikao cha pande mbili kilichofanyika leo Juni 10, 2026 katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa…
Jaji Mkuu apongeza ushirikiano wa wadau wa mahakama
*Asema ushirikiano huo una manufaa makubwa kwa Mahakama na kuleta ustawi na maendeleo ya Taifa*Asema Mahakama haitamvumilia yeyote anayekwamisha upatikanaji haki mapema ipasavyo*Awataka wadau wa haki madai kuwa huru kuwasilisha changamoto zilizopo ili zitatuliwe na kuwezesha haki kupatikana bila vikwazo…




