Latest Posts
Nimewasikia Rais Samia, Maaskofu, BAKWATA, nashauri tuienzi busara ya mfalme Suleiman
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Singida Leo nimesali jijini Dar es Salaam. Mara tu baada ya misa nikasafiri kuja hapa Singida. Nashukuru ujio wa SGR na kuboreshwa kwa miundombinu, muda nilioutumia Dar es Salaam hadi Singida, zamani ilikuwa ndoto za alinacha….
Madini yaibuka kama nguzo ya maendeleo Morogoro
🔶 Sekta yaongezeka kwa kasi, yajenga miundombinu na kuinua wananchi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mauzo ya madini ya dhahabu mkoani Morogoro yamefikia Shilingi bilioni 16.51 katika kipindi cha Julai 2023 hadi Septemba 2025, yakionesha kasi kubwa ya ukuaji wa…
Tanzania, Comoro zaimarisha ushirikiano dhidi ya rushwa
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Chrispin Chalamila amesema Tanzania na Comoro zitaendelea kushirikiana katika maeneo matano ikiwemo utawala bora. Chalamila amesema hayo Novemba 17, 2025 wakati alipotembelewa na ugeni kutoka nchini Comoro ulioongozwa na…





