Latest Posts
Wananchi Morogoro wahimizwa kufanya ‘wiring’ kupokea umeme
Wananchi katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Morogoro wamehimizwa kufanya maandalizi ya kupokea huduma ya umeme kwa kutandaza nyaya kwenye nyumba zao (wiring) ili kujitayarisha na miradi inayoendela ya umeme kwenye vitongoji. Wito huo umetolewa leo Mei 19, 2026 na…
Wafanyabiashara waiomba Serikali kudhibiti wageni
Na Aziza Nangwa, Jamhuri Media, Dar es Salaam Wafanyabiashara wa spare za pikipiki nchini kupitia Chama cha Wauza Spare za Pikipiki Tanzania (CHAWASAPI), wameiomba serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara kusimamia kikamilifu sheria zinazodhibiti ushiriki wa wageni katika biashara…
Dk Yonazi atoa wito kwa wananchi kutumia vituo vya Maarifa kujua hali zao za afya
Na Mwandishi Wetu -Morogoro Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Dkt. Jim Yonazi, ametoa wito kwa wananchi kutumia Vituo vya Maarifa ili kupata huduma mbalimbali za afya na kufahamu hali zao za kiafya,…
Tanzania kujifunza kutoka China kuhusu mageuzi ya mashirika ya umma
Na Mwandishi wa OMH, Dar es Salaam Tanzania imeonesha nia ya kutumia uzoefu wa China katika mageuzi ya mashirika ya umma, ikiwa ni sehemu ya mkakati mpana wa serikali wa kuongeza ufanisi, faida na uwajibikaji katika uwekezaji wa umma. Nia…
MAIPAC na THRDC wanoa wanoa waandishi wa Mazingira kanda ya Ziwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza. Taasisi ya Wanahabari ya usaidizi wa jamii za pembezoni(MAIPAC) kwa kushirikiana na Mtandao wa watetezi wa haki za Binaadamu(THRDC) , imezindua mafunzo kwa wanahabari wa mazingira wa Kanda ya Ziwa ili kuwajengea uwezo kuandika vyema…
MCT yatangaza wateule 18 tuzo za EJAT, washindi kujulikana Mei 29 Dar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Habari Tanzania (MCT) limesema kuwa Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) hazilengi umaarufu wala thamani ya fedha, bali zinatambua ubora wa kazi, weledi na mchango wa waandishi wa…





