JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mwenge wahamasisha nishati safi kwa kumuunga mkono Rais Samia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenge wa Uhuru wahimiza na kuhamasisha wananchi kuunga mkono matumizi ya nishati safi ikiwemo gesi ya kupikia, majiko banifu na umeme, hatua inayolenga kulinda mazingira, kupunguza utegemezi wa kuni na mkaa ili kuboresha afya ndani…

Mwenge wa Uhuru waridhishwa na barabara za TARURA, ikiwemo Chumbi Kiegele Rufiji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenge wa Uhuru umeonesha kuridhishwa na utekelezaji wa miradi saba wilayani Rufiji mkoani Pwani, ukiwemo mradi wa barabara ya Chumbi–Kiegele unaotekelezwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wenye thamani ya shilingi bilioni…

Mkutano wa kikanda wajadili usalama na biashara haramu ya silaha

Na Mwandishi Wetu Makamu Mwenyekiti wa RECSA na ‎Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Paschal Katambi Patrobass (Mb), ameshiriki Mkutano kwa njia ya Mtandao wa Kamati Ndogo ya Mawaziri ya Kikanda, unaoshughulikia Udhibiti wa Silaha ndogo na nyepesi…

EACOP kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Misenye Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP)imerejea dhamira yake ya kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu hapa nchini kupitia mpango wake wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR), sambamba na Dira ya Maendeleo…

Wafungwa 1,369 wapunguziwa adhabu, 436 waachiwa huru

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametumia mamlaka yake ya kikatiba kutoa msamaha wa kupunguza adhabu kwa wafungwa 1,369, hatua iliyowezesha wafungwa 436 kuachiwa huru mara moja na wengine 933 kupunguziwa vifungo vyao. Hatua…