JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wizara ya viwanda na biashara yaomba bunge kuidhinisha bajeti ya shilingi bilioni 137.8 mwaka 2026/2027

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Viwanda na Biashara imeliomba Bunge kuidhinisha bajeti ya Shilingi bilioni 137.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kutekeleza majukumu mbalimbali ya maendeleo ya sekta ya viwanda na biashara nchini. Kati ya…

Kapinga: Operesheni zakamata mamia ya chupa za vifaa vya uzalishaji pombe bandia Dar

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Viwanda na Biashara imeeleza kuendelea kwa mapambano dhidi ya bidhaa bandia nchini kupitia operesheni maalum zinazoendeshwa na Tume ya Ushindani (FCC), ambapo hadi Aprili 2026 jumla ya chupa 4,251 za pombe bandia zimekamatwa jijini…

TMA yatoa elimu ya hali ya hewa kwa wavuvi kupitia mradi wa ECOFISH

Mradi wa ECOFISH unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Denmark kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Shirika la Denmark la Maendeleo ya Kimataifa (DANIDA), unaendelea kuboresha shughuli za uvuvi kwa jamii ya Pwani na…

Somo la hasira, siasa na hatima ya taifa

Na Bituro Kazeri, JamhuriMedia, Mwanza Hakuna tukio linaloibua maswali mengi kama kuukuta mtumbwi ufukweni ukiwa hauna wavuvi, huku samaki waliomo wakiwa wameoza. Watu hujiuliza; wenye mtumbwi wamezama? Wameukimbia? Au kuna jambo kubwa lililotokea nyuma yake? Ndivyo ilivyo kwa matukio ya…

DP World yatoa msaada ‘ambulance’ gari la wagonjwa kwa TPA Dar

DP World imetoa msaada wa gari la wagonjwa kwa Idara ya Zimamoto na Usalama ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika Bandari ya Dar es Salaam. Ambulance hiyo itasaidia kuimarisha huduma za dharura za matibabu…

Huduma za fistula zitolewe hadi ngazi ya jamii kufikia malengo ya 2030

Na Atley Kuni, WAF – Nkinga Tabora Wataalamu wa afya kutoka Wizara ya Afya pamoja na wadau wa mapambano dhidi ya fistula wamehimizwa kuimarisha huduma hadi ngazi ya jamii ili kuongeza kasi ya kutokomeza ugonjwa huo ifikapo mwaka 2030. Rai…