Latest Posts
FCC yaanzisha klabu za ushindani shuleni kujenga kizazi chenye uelewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Ushindani (FCC) imesema imeanza mpango wa kuanzisha klabu za elimu ya ushindani, ulinzi wa mlaji na udhibiti wa bidhaa bandia katika shule za msingi, sekondari na taasisi za elimu ya juu ili kujenga…
Tanzania inavyojiandaa kuvuna matunda ya AFCON 2027
Na John Walter, JamhuriMedia, Manyara Mwezi Juni mwaka 2027 utaingia kwenye historia ya Tanzania kwa maandishi yasiyofutika kirahisi. Kwa mara ya kwanza tangu kupata uhuru, Tanzania itakuwa mwenyeji wa mashindano makubwa zaidi ya soka barani Afrika, Kombe la Mataifa ya…
Prof. Shemdoe awaasa vijana kuwa waadilifu, wazalendo wanapotumikia umma na taifa
Na OWM – TAMISEMI, Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewaasa vijana wa vyuo vikuu kuwa waadilifu na wazalendo pindi watakapoajiriwa Serikalini kuwatumikia wananchi au kupata…
Tanzania yachaguliwa mratibu ajenda ya Climate Mobility
Tanzania imechaguliwa kuwa Mratibu wa Nchi za Afrika katika Ajenda ya Uhamaji unaosababishwa na Mabadiliko ya Tabianchi (Climate Mobility). Hayo yamejiri wakati wa Mkutano kuhusu Uhamaji unaosababishwa na Mabadiliko ya Tabianchi (Global Climate Mobility Forum) uliofanyika jijini Berlin, Ujerumani Juni…
Serikali yaahidi kusimamia haki za wakimbizi
Serikali ya Tanzania imeahidi kuendelea kulinda,kusimamia na kutekeleza haki za binadamu ikiwemo haki za raia wa Tanzania na Wakimbizi kutoka nchi mbalimbali wanaohifadhiwa hapa nchini ambapo pia imesema itaendelea kusimamia Amani na Usalama ili madhira yanayotokea katika nchi nyingine yasitokee…




