JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wizara ya Mambo ya Nje kuandaa utaratibu wa kuvuna maarifa ya mabalozi wastaafu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar 3s Salaam Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetakiwa kutumia hazina ya maarifa na uzoefu kutoka kwa Mabalozi Wastaafu katika utekelezaji wa mipango mbalimbali ya kuimarisha diplomasia ya nchi. Kauli hiyo…

Vijana, wanawake wahamasishwa kurasimisha biashara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma VIJANA nchini Tanzania wanaendelea kurasimisha shughuli zao za biashara kwa kasi, hali inayoashiria kuongezeka kwa ushiriki wao katika uchumi rasmi na mchango wao katika juhudi za maendeleo ya taifa. Hayo yameelezwa leo Aprili 15,2026 na…

Mpango wa Mkoa wa afya moja waandaliwa Tanga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Korogwe Mpango wa Afya Moja kwa mkoa wa Tanga umeendelea kuandaliwa ukiwa na lengo la kuainisha Afua mbalimbali za kuboresha uratibu wa utekelezaji wa Dhana ya Afya ya Moja. Timu ya wataalam kutoka sekta za afya,…

Wizara ya Fedha kuendelea kuimarisha sekta ya fedha

Na. Asia Singano na Jordan Mbwambo, WF – Dodoma. Serikali kupitia Wizara ya Fedha, inaendelea kutekeleza mageuzi yanayolenga kuimarisha sekta ya fedha, kuboresha upatikanaji wa fedha, na kuendeleza jukumu la ushirikishaji wa sekta binafsi katika ukuaji wa uchumi. Hayo yameelezwa…

Tanzania yaonyesha mageuzi makubwa ya afya Jukwaa la Kimataifa

Na John Mapepele, New York- Marekani   Tanzania imewasilisha kwa uthabiti mafanikio yake katika kuboresha sekta ya afya kupitia mageuzi ya kimkakati, ubunifu wa kidijitali, na uwekezaji wa ndani unaolenga kuokoa maisha.  Akiwasilisha taarifa hiyo katika mkutano unaofanyika 13- 17 Aprili…

Jela miaka mitano kwa kudanganya ameibiwa nyeti zake

JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa limefanikiwa kuwakamata jumla ya watuhumiwa 53 wanaodaiwa kuhusika na makosa mbalimbali katika kipindi cha kuanzia Aprili 1, 2026 kufuatia operesheni endelevu za kuimarisha ulinzi na usalama mkoani humo. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi…