JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Katambi akutana na uongozi wa Kampuni ya Condor kutoka Brazil

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi akizungumza na Wawakilishi wa Kampuni ya Condor, kutoka nchini Brazil, ambapo walijadiliana masuala mbalimbali yanayohusiana na kudhibiti uhalifu, ambapo nchi mbili hizo, Tanzania na Brazil walibadilishana uzoefu katika masuala ya udhibiti…

Halmashauri Wilaya ya Shinyanga yakamilisha ujenzi jengo jipya

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Shinyanga HALMASHAURI ya Wilaya ya Shinyanga Mkoani Shinyanga imesema kukamilika kwa jengo lake lililogharimu shilingi bilioni tatu kumeboresha utoaji wa huduma kwa wananchi wa halmashari hiyo kwa kiwango kikubwa. Halmashauri hiyo imemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan…

Tamasha la Sauti za Busara lapamba moto

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Shamrashamra za ufunguzi wa Tamashara la Sauti za Busara linalojulikana kama Tamasha rafiki zaidi Dunia ,zimeendelea kushika kasi na maandalizi yapo katika hatua za mwisho. Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari ,Mkurugenzi…

Dk Mwigulu akutana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20,2026 amefanya mazungumzo na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Emmanuel Tutuba, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma.

Siku 100 za Rais Samia, Kamati ya Bunge yaridhishwa na kasi ya Wizara ya Nishati

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kazi kubwa inayoendelea kutekelezwa ndani ya siku 100 za uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwemo kuanza kusambaza umeme…

Wanaswa kwa kuhujumu mradi wa maji wa miji 28

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora WATU wanne wamekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoani Tabora kwa tuhuma za kuhujumu Mradi wa Maji wa Miji 28 unaoendelea kutekelezwa na serikali katika Wilaya za Sikonge, Urambo na Kaliua ili kumaliza kero ya wananchi….