JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wachambuzi wa kisiasa wawasihi vijana kuepuka makundi yanayodaiwa kuhujumu sekta ya utalii

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media ,Dar es Salaam  Wachambuzi huru wa kisiasa wamewataka vijana kujiepusha na makundi yenye mienendo inayodaiwa kutokuwa na maslahi mema kwa taifa, wakisema kuwa baadhi ya vitendo vinavyofanywa kupitia mitandao ya kijamii vinaweza kuathiri sekta ya utalii na…

Marekani yaionya Iran

Marekani yaonya iko tayari kurejea vitani na Iran, huku Trump akisisitiza masharti makali ya makubaliano ya amani, wakati mazungumzo na mvutano Mashariki ya Kati ukiendelea kuongezeka. Marekani imesema iko tayari kurejea vitani na Iran ikiwa itahitajika, huku Rais wa Marekani,…

Skimu za umwagiliaji zinavyopeleka furaha kwa wakulima Mbarali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbarali Wakulima wa zao la mpunga wilayani Mbarali Mkoa wa Mbeya wameiomba Serikali kuendelea na utekelezaji wa miradi 10 ya skimu za umwagiliaji inayotekelezwa wilayani humo, wakisema tayari imeanza kuleta matokeo chanya katika uzalishaji wa mazao….

Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa ahimiza usawa wa kijinsia katika elimu ya juu

Paris, Ufaransa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa, Mheshimiwa Saidi Othman Yakubu, amekutana na ujumbe wa viongozi wanawake 18 kutoka Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) waliopo nchini Ufaransa kwa ziara ya kitaaluma ya kujenga uwezo na…

Kuimarishwa mifumo ya usimamizi wa maafa Tanzania kwatoa somo Mapai Msumbiji

Na Mwandishi Wetu, Mapai – Msumbiji TANZANIA imeendelea kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha udhibiti wa maafa unaanzia ngazi ya chini ya jamii, hatua inayolenga kuongeza ufanisi katika tahadhari, maandalizi na mwitikio wa haraka pindi majanga yanapotokea. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi…

Makamu wa Rais aongoza waombolezaji mazishi ya marehemu Bi Suzana Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mazishi ya Marehemu Bi. Suzana Ngolo Magufuli, ambaye ni Mama wa aliyekuwa…