Latest Posts
NMB yahimiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya NMB imewataka wafanyabiashara wa Mwanza, Mara na Geita kutumia malipo ya kidijitali na akaunti mahsusi za biashara ili kufikia masoko mapya na kusimamia fedha zao kwa usahihi. Akizungumza katika jukwaa la…
Mkuranga watakiwa kulinda miundombinu ya gesi asilia
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Khadija Nassir Ali, amewataka wananchi wa Mkuranga kuhakikisha wanalinda miundombinu ya gesi asilia iliyojengwa katika maeneo yao ili iweze kudumu na kuwanufaisha wananchi pamoja na taifa kwa ujumla. Amesema ulinzi wa miundombinu hiyo ni jukumu…
Wananchi wafurahishwa na elimu ya PBP Maonesho ya Utamaduni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, WANANCHI waliotembelea banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) katika Maonesho ya Utamaduni, wameeleza kufurahishwa na elimu wanayoipata kuhusu majukumu ya Wakala katika kuratibu uagizaji wa mafuta kwa pamoja na kuhakikisha upatikanaji wa mafuta…
NMB, Bunge wachochea hamasa ya AFCON 2027
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Spika wa Bunge, Daniel Baran Sillo, amesema Bunge lipo tayari kushirikiana na Serikali katika maandalizi ya AFCON PAMOJA 2027. Alitoa kauli hiyo wakati wa Bonanza la Bunge na NMB jijini Dodoma, lililoandaliwa na NMB…
Puma Energy Tanzania yapongwezwa kwa huduma na gawio kwa Serikali
Na Peter Haule na Saidina Msangi, WF, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameipongeza Kampuni ya Puma Energy Tanzania kwa jitihada zake za kuongeza uwekezaji na kuboresha uendeshaji wa kampuni, hatua iliyowezesha Serikali kupata gawio la…
CMT yawataka wawekezaji kutumia baraza kutatua migogoro kwa haraka
Na. Joseph Mahumi, Dar es Salaam Msajili wa Baraza la Masoko ya Mitaji (CMT), Mhe. Dkt. Martin Kolikoli, amewataka wadau hususan wawekezaji kulitumia Baraza lake ili kutatua migogoro ya biashara kwa uharaka zaidi kwa lengo la kuchochea uwekezaji, biashara na…





