JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kuelekea uzalishaji megawati 8,000 ifikapo 2030, Salome akaribisha wawekezaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Tanzania inalenga kuongeza uwezo wa uzalishaji wa umeme hadi kufikia megawati 8,000 ifikapo mwaka 2030, hivyo kuna fursa kubwa kwa wawekezaji kushiriki katika utekelezaji wa miradi mbalimbali…

Kikwete ahimiza Tanzania na Japan kuimarisha ushirikiano katika usalama wa chakula na uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mtafiti Mkuu wa Taasisi ya Sasakawa Peace Foundation ya Japan, Bw. Masanori Kobayashi, katika ofisi…

Makamu wa Rais aagwa rasmi na Wizara ya Nishati

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameagwa rasmi na Menejimenti ya Wizara ya Nishati pamoja na Taasisi zilizo chini yake katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Kambarage Treasury Square, Dodoma. Jumatano Septemba 09, 2026….

Tanzania yakaribisha wawekezaji na taasisi za fedha za kimataifa kuwekeza sekta ya nishati

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Saidi Othman Yakubu, amewakaribisha wawekezaji na taasisi za fedha za kimataifa kutumia fursa pana za uwekezaji zinazopatikana nchini Tanzania, hususan katika sekta za nishati, miundombinu na uzalishaji viwandani. Mhe. Balozi…