JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

REA na Shirika la Mzinga kushirikiana muendeleza nishati safi ya kupikia

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Mzinga leo Mei 21, 2026 wamesaini hati ya makubaliano ya ushirikiano yanayolenga kuimarisha ushirikiano katika Utafiti, Teknolojia, Uzalishaji na Usambazaji wa nishati safi ya kupikia. Akizungumza wakati wa hafla hiyo iliyofanyika Mkoani…

Bandari ya Mbamba bay kufungua fursa mpya za biashara ya mafuta ukanda wa Kusini

Na Mwandishi Wetu Ujenzi wa Bandari ya Mbamba Bay unatarajiwa kuchochea kwa kiasi kikubwa biashara ya mafuta katika ukanda wa Kusini na kufungua njia mpya za usafirishaji wa bidhaa hiyo kuelekea nchi jirani kupitia miundombinu ya kisasa inayojengwa eneo hilo….

TANESCO yaendelea kuwaelimisha wanaofanya shughuli za kiuchumi kwenye miundombinu ya umeme

📌Ni katika muendelezo wa ukaguzi wa miundombinu ya umeme Dar es salaam 📌Yatoa rai kwa wananchi kuondoka kwa ajili ya usalama wa maisha na mali zao Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kuwasisitiza wananchi wanaofanya shughuli zao za kiuchumi katika…

Dodoma yaunga mkono mfuko wa matibabu ya Figo,Uroto wa BMH

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI mkoani hapa imewahamasisha Watanzania na wadau mbalimbali wa maendeleo kujitokeza kuchangia Mfuko wa Kusaidia Matibabu ya Figo na Uroto ulioanzishwa na Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kwa lengo la kusaidia wagonjwa wenye uhitaji wa huduma…

Serikali kukamilisha maboresho ya Sheria ya Elimu ifikapo 2027

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI imeeleza dhamira yake ya kuhakikisha mchakato wa kufanya maboresho ya Sheria ya Elimu unakamilika ifikapo mwaka 2027 ili kuifanya iendane na mahitaji na mabadiliko ya sasa katika sekta ya elimu nchini. Kauli hiyo imetolewa Leo…