Latest Posts
Wananchi Ruvuma waiomba Serikali kuimarisha miundombinu ya barabara
Na Mwandishi wetu,Songea. Wananchi Mkoani Ruvuma wameiomba serikali kupitia Wakala wa Barabara vijijini na Mijini (TARURA) na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuona umuhimu wa kuchukua hatua za kuboresha miundombinu ya barabara ikiwa ni pamoja na kusafisha mifereji na mitaro…
Makamu wa Rais Ndejembi atoa maelekezo kuhusu bei ya sementi
Na Mwandishi Wetu MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, ametoa maeekezo kwa Wizara ya Viwanda na Biashara kukaa meza moja na wazalishaji wa saruji nchini ili kuweka mikakati ya haraka itakayohakikisha saruji inapatikana kwa wingi na bei nafuu. Ametoa…
Jubilee Life Insurance yazindua bidhaa tatu mpya za bima ya maisha
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM KAMPUNI ya Jubilee Life Insurance Tanzania imezindua bidhaa tatu mpya za bima ya maisha zinazolenga kuwasaidia Watanzania katika uwekaji akiba, maandalizi ya elimu, ulinzi wa maisha na mahitaji mengine ya kifedha ya baadaye. Bidhaa…
PBPA Yawawezesha Mama Lishe Kurasini kuhamia Nishati Safi ya kupikia
Dar es Salaam, Septemba 3, 2026 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA), Mhandisi Bruno Tarimo, amewahimiza mama na baba lishe kuachana na matumizi ya kuni na mkaa wa kawaida na kuhamia katika nishati safi ya…
Serikali yaimarisha mikakati kukuza sekta ya viwanda
Serikali imeweka mikakati ya kukuza sekta ya viwanda nchini kwa kuongeza ufanisi, uwekezaji, ajira na mchango wake katika Pato la Taifa. Mikakati hiyo inalenga kuchakata malighafi zinazozalishwa nchini na kuongeza thamani yake. Hayo yamebainisha na Waziri wa Viwanda na Biashara,…
Ndembeji Anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Kongamano la Tano la Uchumi wa Bluu
Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media,Dar es salaam Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano la Tano la Kimataifa la Uchumi wa Buluu, litakalofanyika Septemba 7 hadi 9, 2026 katika Ukumbi…





