JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais wa Msumbiji, Daniel Francisco Chapo awasili Ikulu Jijini Dar es Salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mheshimiwa Daniel Francisco Chapo Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa Ziara ya Kikazi, tarehe 03 Julai, 2026. 

Wizara ya Nishati yawahamasisha watoto kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia

Watoto wameaswa kuwa mabalozi wa matumizi ya nishati safi ya kupikia ili kuunga mkono juhudi za Serikali za kulinda mazingira, kupunguza athari za kiafya zitokanazo na matumizi ya nishati zisizo safi na kufanikisha lengo la Taifa la kuhakikisha asilimia 80…

Salome : Wananchi wanaopitiwa na miundombinu ya umeme waunganishwe huduma kwa sh 27,000

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeelekeza kuwa wananchi wote ambao wamepitiwa na miundombinu ya umeme lakini bado…

Mchecu: Masoko ya mitaji kufungua fursa za uchumi

Na Mwandishi wa OTR Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ametoa wito kwa nchi za Afrika kuimarisha ushirikiano na ujumuishaji wa masoko ya mitaji, akisema kuwa masoko imara na yaliyounganishwa ndiyo msingi wa kuhamasisha uwekezaji wa muda mrefu, kugharamia miradi…

Waziri Mkuu aweka jiwe la msingi Hospitali ya Butiama Kizurira Nyerere

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la Hospitali ya Wilaya ya Butiama Kizurira Nyerere wilayani Butiama, mkoani Mara, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Hospitali hiyo imejengwa kwa lengo la…