JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Morogoro, Tanga kukosa umeme kwa siku sita

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa kutakuwa na kukosekana kwa huduma ya umeme katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Morogoro na Tanga kuanzia Julai 9 hadi Julai 14, 2026, kupisha utekelezaji wa kazi za uvutaji waya (stringing) katika…

Waziri Sangu akutana na kuzungumza na Waziri wa Kazi Qatar

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Kazi wa Qatar, Mhe. Dkt. Ali bin Samikh Al Marri, leo Julai 8, 2026, jijini…

Rais wa Zimbabwe asaini sheria inayoongeza muda wa urais wake

Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa amesaini kuwa sheria muswada unaoongeza muda wake wa kuhudumu madarakani kwa miaka miwili zaidi, hadi mwaka 2030, msemaji wa serikali Nick Mangwana amesema Jumanne. Mwezi uliopita, mabunge yote mawili ya Zimbabwe yaliidhinisha muswada huo. Katika…

Tunalipa jana ya PSSSF, imefuta machozi kwa wastaafu

Na Dk Reuben Lumbagala, JamhuriMedia, Dar es SALAAM Miongoni mwa haki za msingi za mfanyakazi serikalini au sekta binafsi ni pamoja na kulipwa mafao yake kwa wakati pindi anapostaafu utumishi wake. Mafao hayo yanatokana na michango aliyochangia katika mifuko ya…

Tanzania, Qatar kushirikiana kuendelea kufungua fursa za ajira kwa vijana

Na: OWM (KAM) – Doha, Qatar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amesema Tanzania na Qatar zimeendelea kushiurikiana kwa karibu katika sekta mbalimbali, ikiwemo masuala ya ajira ambapo tangu nchi hizo…