Latest Posts
Serikali yaweka msingi imara wa uwezeshaji wanawake kiuchumi kupitia mradi wa PAMOJA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pemba Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Anna Athanas Paul, amewataka washiriki wa mafunzo ya utambuzi na uorodheshaji wa vikundi vya uzalishaji kiuchumi vya wanawake kufanya kazi kwa umakini na weledi ili…
Madini ya kinywe ‘ graphite’ yazidi kuimarika Handeni, kina uwezo wa kusindika tani 12,000 kwa mwaka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Handeni SEKTA ndogo ya madini kinywe (graphite) imezidi kuimarika kufuatia ujenzi wa kiwanda cha kuchenjua na kusindika madini hayo katika Wilaya ya Handeni mkoani Tanga. Juni 19, mwaka huu, Mwenge wa Uhuru wenye kaulimbiu inayosema “Tanzania…
ILO yazindua mwongozo wa habari za uhamiaji, JOWUTA yatia neno
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mombasa Shirika la Kimataifa la Kazi Duniani (ILO), limezindua mwongozo wenye kanzi data kwa wanahabari kuandika na kutangaza habari za wahamaji. Mwongozo huo umezinduliwa jana Ijumaa, Juni 20,2026 na Mshauri Mkuu wa Kiufundi kutoka ILO, Charles…
Wataalamu wahimiza kuimarishwa kwa umataifishaji wa elimu ya juu Tanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Vyuo vikuu nchini vinapaswa kuifanya agenda ya umataifishaji kuwa sehemu ya mikakati yake ya msingi kwa kuijumuisha katika ufundishaji, utafiti, ubunifu na huduma kwa jamii ili kuongeza ushindani wa kimataifa, kupanua fursa za elimu na…
TBS yatimiza miaka 50, yawekewa mkakati wa kuongoza ubora Afrika
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limepongezwa kwa mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha miaka 50 tangu kuanzishwa kwake, huku likitakiwa kuendelea kwenda sambamba na maendeleo ya teknolojia na mabadiliko ya soko la dunia ili kuongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania…
Mwigulu : Ufugaji wa kisasa utakomesha migogoro ya wakulima na wafugaji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema ufugaji wa kisasa unaojumuisha matumizi ya mashamba ya malisho, mbegu bora za mifugo na teknolojia za kisasa ni suluhisho la kudumu la migogoro ya wakulima na wafugaji inayotokana na…





