JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mahundi aieleza dunia hatua za Tanzania katika kulinda haki za wenye ulemavu

Na Jackline Minja, New York, Marekani Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, ameieleza Jumuiya ya Kimataifa hatua kubwa zinazochukuliwa na Serikali ya Tanzania katika kulinda na kuendeleza haki za watu wenye…

Mbunge Anne Kilango aongoza mapokezi ya shujaa wa AFCON U -17 Same Mashariki

Na Ashrack Miraji, JamhutiMedia, Same Mamia ya wananchi wa Kata ya Kalemawe, Kijiji cha karamba wilayani Same, wamejitokeza kwa wingi kumpokea nyumbani kwao nyota chipukizi wa soka, Issa Chole, ambaye ni mchezaji wa timu ya taifa ya vijana ya Serengeti…

Tanzania, Singapore, zaimarisha ushirikiano wa uendelezaji ujuzi na rasilimali watu

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Jamhuri ya Singapore, Tharman Shanmugaratnam wakishuhudia utiaji saini wa hati ya makubaliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Singapore kuhusu Uendelezaji…

TRA kuadhimisha miaka 30, Rais kutoa tuzo kwa walipa kodi bora

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kuadhimisha miaka 30 tangu kuanzishwa kwake kwa hafla maalum itakayofanyika Julai 1, 2026, sambamba na utoaji wa Tuzo za Rais kwa Walipakodi Bora wa Mwaka wa Fedha 2024/2025. Akizungumza jijini Dodoma kwa niaba ya…

Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA ni mkakati wa kujenga vijana wenye afya bora -Prof. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Iringa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA ni sehemu ya mkakati wa taifa wa kujenga vijana wenye…

Ziara ya Rais Samia Urusi imethibitisha hatufungamani upande wowote -Wasira

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema ziara ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan inathibitisha dhamira CCM nchi kutofungamana na upande wowote. Amesema waasisi wa taifa wakiongozwa na Mwalimu Julius Nyerere, waliitaka Tanzania kuwa katikati…