JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Simbachawene anadi mabadiliko makubwa uhamiaji

Mabadiliko Makubwa Uhamiaji Simbachawene apendekeza wasomee utalii Agusia kigezo cha elimu ili uajiriwe Uhamiaji Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imedhamiria kuiboresha Idara ya uhamiaji ikiwa ni mpango mkakati wa kuendelea kuboresha sekta ya utalii ambayo…

Tume ya Madini yaangazia fursa za uwekezaji maonesho ya kimataifa Zanzibar

‎Tume ya Madini kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za Serikali na sekta binafsi inashiriki kikamilifu katika Maonesho ya 12 ya Biashara ya Kimataifa Zanzibar yanayoendelea katika eneo la Fumba, Zanzibar, kwa lengo la kutangaza fursa lukuki za uwekezaji zilizopo katika…

Wengi wavutiwa huduma za msaada wa kisheria bure,wapongeza

Na Mwandishi Wetu, Morogoro MAELFU Mkoa Morogoroni wavutiwa na mpango wa huduma za msaada wa kisheria bila malipo na kuipongeza serikali wakisema mpango huo siyo tu unasaidia wananchi wenye kipato cha chini tu bali utapunguza migogoro ikiwemo mirathi, ndoa na…

‘SMZ kuimarisha mfumo wa kidigitali kudhibiti ajali’

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inaendelea kujipanga kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidigitali ili kudhibiti vifo vinavyotokana na ajali pamoja na makosa ya barabarani. ‎Rais Dkt. Mwinyi ametoa kauli hiyo…

Waziri Homera azindua huduma bure za msaada wa kisheria Morogoro

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera, amezindua kliniki ya huduma za msaada wa kisheria (Legal Aid Clinic) mkoani Morogoro, itakayotoa huduma za ushauri na msaada wa kisheria bila malipo kwa wananchi, ikiwa ni…

CPA Makalla awataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupata huduma ya upimaji magonjwa yasiyoambukiza

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Arusha .Mkuu wa mkoa wa Arusha ,CPA Amos Makalla amewataka wananchi wa mkoa wa Arusha na mikoa jirani kujitokeza kwa wingi kupata huduma ya upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza yanayotolewa na Taasisi ya moyo ya Jakaya…