Latest Posts
Kikwete ateta na Ban Ki- Moon kuboresha elimu duniani
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari (Dkt) Jakaya Mrisho Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Ban Ki-moon, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) kuhusu kukuza elimu ya awali na msingi duniani kupitia Taasisi ya Kimataifa…
WSIS 2026 Yataitambua Tanzania kwa kuwafikishia watu mawasiliano
Na Prosper Makene_ Geneva, Uswisi, Julai 09, 2026 – Tanzania imepewa heshima ya kimataifa baada ya kutunukiwa Tuzo ya WSIS Prizes 2026 kutokana na mafanikio ya mradi wa ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano. Mradi huo umefanikiwa kupeleka huduma za…
Dk Mlimuka aridhishwa na utendaji wa FCC maonesho ya Sabasaba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Tume ya Ushindani (FCC), Dkt. Aggrey Mlimuka, ametembelea banda la FCC katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026), yanayoendelea katika Viwanja vya Julius Nyerere,…
NSSF: Wananchi waliojiajiri jiungeni, jiwekeeni akiba kwa kesho yenye uhakika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam, Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewahimiza wananchi waliojiajiri nchini kujiunga na kuchangia katika Mfuko huo ili kujijengea akiba, kupata kinga ya kijamii na kuwa na uhakika wa maisha ya sasa…
Gavana BOT: Maonesho ya Sabasaba yamekuwa chachu ya biashara na ukuaji wa uchumi
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) amepongeza mafanikio yanayoendelea kupatikana katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema yameendelea kuwa jukwaa muhimu la kukuza biashara, uwekezaji na uchumi wa Taifa. Akizungumza leo Julai…
TWCC Yaipongeza FCC kwa kuimarisha elimu dhidi ya bidhaa bandia
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM CHAMA cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC) kimeipongeza Tume ya Ushindani (FCC) kwa kuendelea kutoa elimu kuhusu utambuzi wa bidhaa bandia na ulinzi wa biashara kwa wajasiriamali, kikisema mafunzo hayo yameongeza uelewa na kusaidia kulinda…





