JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Jafo aibana Wizara ya Ujenzi, barabara ya lami Mlandizi -Mzenga-Boga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mbunge wa Jimbo la  Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, amehoji mpango wa Serikali wa kutenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya ujenzi wa Barabara ya Mlandizi–Mzenga–Maneromango kwa kiwango cha lami, akisisitiza kuwa ni barabara muhimu kwa…

Rais Samia: Hakuna mtoto atafika darasa la tatu bila kujua kusoma na kuandika

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali imejipanga kuhakikisha hakuna mtoto anayefika darasa la tatu bila kuwa na uwezo wa kusoma, kuandika na kuhesabu, akisisitiza kuwa…

Dk Kijaji : Hifadhi ya Ngorongoro ni moja ya maeneo yanayotambuliwa kama urithi wa dunia na UNESCO

Na Kassim Nyaki, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) leo tarehe 29 Januari, 2026 jijini Arusha amezindua bodi ya wakurugenzi wa Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na kuielekeza kusimamia uhifadhi, kubuni mazao mapya…

Naibu Kamishna Mkuu TRA afungua mafunzo ya IDRAS kwa walipa kodi Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato(TRA) Bw. Mcha Hassan Mcha Tarehe 29 Januari 2026 amezindua rasmi mafunzo ya Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Kodi za Ndani (IDRAS) kwa walipa kodi Mkoa wa Dodoma, ikiwa…

Tanzania, Brazil zaahidi kuendelea kushirikiana

Na Mwandishi Maalum Tanzania na Brazil zimeahidi kuendelea kushirikiana katika sekta za kimkakati zenye maslahi mapana kwa mataifa haya mawili ikiwemo Afya, Kilimo, biashara, uwekezaji, elimu na ulinzi na usalama. Hayo yamebainishwa wakati wa mazungumzo baina ya Naibu Waziri wa…

Waziri Mwigulu : Maeneo ya wazi yaachwe kwa ajili ya wanamichezo

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, amezitaka Halmashauri zote nchini kuhakikisha maeneo ya wazi yaliyopo katika mitaa na kata mbalimbali hayauzwi, bali yaachwe kwa ajili ya mazoezi na shughuli za michezo kwa vijana. Ameyasema hayo bungeni Dodoma, akijibu swali la Mbunge…