JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wakili :CCM Inawatengenezea Polisi kwenda motoni

Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Iringa Wakili Msomi na Mwenyekiti wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Deogratius Mahinyila amedai, Chama cha Mapinduzi (CCM) kinawatengenezea Polisi njia kwenda motoni. Mahinyila alisema hayo mwishoni mwa wiki kwenye ziara ya Chadema…

Wabunge wazidi kuvutiwa zaidi na utendaji kazi mzuri wa Bandari

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (TPA) imeendelea kupokea sifa za utendaji mzuri wenye tija kwa taifa kutoka kwa kamati mbalimbali za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Taifa baada ya Kamati ya…

Sekta za uchukuzi, usafirishaji zatakiwa kuongeza ufanisi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es SEKTA ya Uchukuzi na Usafirishaji imetakiwa kushirikiana na kujadiliana mara kwa mara, ili iweze kuongeza tija na ufanisi kwa nchi. Mkutano huo mkubwa wa siku moja uliwakutanisha wadau wa sekta ya uchukuzi kwa njia…

Vifo tetemeko la Myanmar vyafikia 2000

Waokoaji wamemuokoa mwanamke mmoja aliyefunikwa na kifusi kwenye jango la hoteli moja lililoporomoka nchini Myanmar, maafisa walisema siku ya Jumatatu. Mwanamke huyo amekaa siku tatu baada ya tetemeko kubwa la ardhi lililosababisha vifo vya watu karibia 2,000 huku waokoaji nchini…

Trump akasirishwa na Rais Putin

DONALD Trump amesema kuwa ana “hasira kubwa” na “amechukizwa” na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, baada ya wiki kadhaa za majaribio ya kusitisha mapigano nchini Ukraine. Katika mahojiano na NBC News, rais huyo wa Marekani alisema anakerwa na Putin kwa…