Latest Posts
Serikali yaitaka NIDA kuboresha utendajikazi, yaipatia magari 140
Serikali imeipatia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) magari mapya 140 ili kuboresha zaidi utendaji kazi wa Mamlaka hiyo, hatua ambayo imepokelewa kwa mikono miwili na hasa ikizingatiwa kuwa miongoni mwa changamoto kubwa zlizokuwa zikiikabili Mamlaka hiyo ilikuwa ni uhaba…
NLD imeweka vipaumbele vya kumwezesha kijana kujiajiri, yawaomba Watanzania wasifanye makosa Oktoba 29
Mgombea urais kupitia chama cha NLD, Doyo Hassan, amesema chama chake kimeendesha kampeni za kistaarabu na kisayansi katika mikoa yote 26 nchini, akisisitiza dhamira ya serikali watakayoiongoza kuwa ya kumkomboa Mtanzania kiuchumi na kuwashauri kukichagua chama hicho ili kupata maendeleo….
Mwili wa Raila kuagwa kwa siku ya pili leo Nairobi
Wakenya hususan wale wanaoishi Mjini Nairobi hii leo siku ya Ijumaa watapata fursa ya kuuaga mwili wa Raila Odinga kwa siku ya pili mfululizo katika uwanja wa Nyanyo Jijini Nairobi. Hatua hii inajiri baada ya Serikali Kutangaza siku kuu ya…
Guterres alaani jeshi kuchukua madaraka nchini Madagascar
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini Madagascar baada ya wiki kadhaa za maandamano ya umma dhidi ya utawala wa Rais Andry Rajoelina. Guterres amekosoa mabadiliko ya uongozi yasiyozingatia katiba na ametoa mwito…
Papa Leo XIV: Kushindwa kuzuia njaa duniani ni dhambi
Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV ameikosoa dunia kwa kushindwa kuzuia mamilioni ya watu kufa kwa njaa. Papa amesema kuruhusu binaadamu wengine wafe kwa njaa ni kushindwa kwa pamoja kuchukua hatua stahiki, ni kupotoka kwa maadili na…
Vurugu zashuhudiwa wakati wa kuagwa mwili wa Odinga
Polisi nchini Kenya imelazimika kufyetua mabomu ya machozi na risasi hewani kuwatawanya maelfu ya waombolezaji waliokwenda kuuga mwili wa Raila Odinga. Watu hao walikuwa wamekusanyika katika uwanja wa mpira wa Kasarani jijini Nairobi kuuaga mwili wa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu…