Latest Posts
Makamu wa Rais afanya ziara kushtukiza mto Ng’ombe, aagiza taka ziondolewe haraka
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, amefanya ziara ya kushtukiza katika eneo la Mto Ng’ombe, Tandale jijini Dar es Salaam, kukagua hali ya usafi wa mazingira na maandalizi ya kukabiliana na athari zinazoweza kujitokeza…
Ndivyo msamaha kodi mwaka mzima ulivyo nyenzo ya kuwakuza wafanyabiashara wadogo
NA: DK. REUBENI LUMBAGALA Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa tafsiri ya mfanyabiashara mdogo kwa muktadha wa ulipajikodi. Mfanyabiashara mdogo ni mtu anayeuza bidhaa au huduma ambaye mauzo yake kwa mwaka mzima ni kati ya shilingi sifuri hadi…
Tanzania kuwa mwenyeji wa Kongamano la Mitaala Afrika
TANZANIA inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Kongamano la Sita la Jumuiya ya Taasisi za Mitaala Afrika (ACA), litakalofanyika Septemba 22 hadi 25, 2026 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari,…
Friedkin yazindua technolojia ya matumizi ya Mizinga ya Plastiki Meatu
Mussa Juma,Meatu Taasisi ya Friedkin Conservation Fund(FCF),imeanza majaribio ya matumizi ya Mizinga ya Nyuki ya Plastiki ambayo ni rafiki kwa mazingira na itagawanywa katika vikundi vya ufugaji Nyuki wilaya ya Meatu,Mkoa wa Simiyu. Mizinga hiyo pia inatarajiwa kuongeza uzalishaji wa…
TPi Yashirikiana na jamii kuimarisha usafi wa mazingira
TAASISI ya Tanzania Pathways Initiative (TPi) imeungana na jamii ya Kawe Ukwamani jijini Dar es Salaam katika zoezi la usafi wa mazingira, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhakikisha jiji linakuwa safi na salama. Zoezi hilo…
Wami/Ruvu yaweka mikakati kuikabili El Nino, mhandisi Mmassy atoa angalizo usafi wa mito
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imekutanisha Kikosi Kazi cha Mkoa wa Dar es Salaam na wadau wasafisha mito jijini Dar es Salaam kujadili changamoto zinazoathiri usafi wa vyanzo vya maji na kuweka…





