Latest Posts
Polisi wawili wafariki kwa kugongwa na gari kwenye kivuko Kibaha
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WATU wawili ambao ni askari wa Jeshi la Polisi wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari katika kivuko cha waenda kwa miguu eneo la Maili Moja, Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani. Ajali hiyo ilitokea…
Aweso : Wazazi Pangani pelekeni watoto wakapate chanjo ya Polio
Na Mwandishi Wetu Wazazi na walezi waishio wilayani Pangani mkoani Tanga, wamehimizwa kuwapeleka watoto wao walio chini ya umri wa miaka kumi katika vituo vya kutolea huduma ili wakapate chanjo ya ugonjwa wa Polio. Hayo yameelezwa na Mbunge wa Jimbo…
RC Makala: Uwekaji taa uwanja wa ndege Arusha umekamilika
Na Mwandishi Maalumu RS Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla ametangaza kukamilika kwa mradi wa uwekaji wa taa katika uwanja wa Ndege wa Arusha, akimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa ahadi yake…
Mvua za Vuli 2026, tahadhari leo, usalama wa kesho
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mvua inaponyesha, wengine huona neema; wengine huona hatari. Kwa mkulima, tone la kwanza linaweza kuwa mwanzo wa msimu wa matumaini. Kwa mfugaji, linaweza kumaanisha malisho na maji tele. Kwa mji, mvua hiyo hiyo…
Koka: Vijana changamkieni fursa za kiuchumi
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha MBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Silvestry Koka, amewasihi vijana wa Kata ya Tangini na jimbo hilo kujikita katika shughuli za kiuchumi na kutumia fursa zilizopo, ili kujiandaa na utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa…
Waziri Mkuu awataka Watanzania kuimarisha malezi, kulinda amani
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kuendelea kuimarisha malezi ya watoto na vijana, kulinda amani, kuheshimu tofauti na kutimiza wajibu wao kwa taifa, akisisitiza kuwa haki na wajibu haviwezi kutenganishwa. Dkt. Mwigulu ameyasema hayo leo Jumanne, Agosti 25, 2026,…





