Latest Posts
Rais Samia: Tutaendelea Kuimarisha Mitaji kupitia TADB
RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kuimarisha upatikanaji wa mitaji kwa wadau wa sekta ya kilimo kupitia Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), huku mtaji wa benki hiyo ukiongezeka kutoka Sh bilioni 60 mwaka 2020/21 hadi Sh bilioni…
Chatanda : Mikopo asilimia 10 imebadili maisha ya wananchi Mbalizi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mpango wa serikali wa kutoa mikopo isiyo na riba ya asilimia kumi kwa wanawake, vijana na wenye mahitaji maalum, imeonyesha kuzaa matunda kwa wananchi wa Mbalizi mkoani Mbeya. Hii ni kutokana wa wanufaika wa mikopo hiyo…
Mhandisi Swedi: Nanenane ni fursa ya kuimarisha sekta ya madini
DODOMA Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Aziza Swedi, amesema Maonesho ya Nanenane ni jukwaa muhimu la kuwaelimisha wananchi kuhusu Sekta ya Madini, kusikiliza maoni yao na kupata mrejesho unaosaidia kuboresha huduma na kuongeza thamani ya sekta hiyo….
Msajili wa Hazina ateta na Rais wa Benki ya Biashara na Maendeleo
Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara na Maendeleo (TDB), Bw. Admassu Tadesse, kuhusu namna benki hiyo inavyoweza kuendelea kushirikiana na…
Wanawake na vijana waaswa kuchangamkia ajira na uchumi kupitia nishati safi
Serikali, kupitia Wizara ya Nishati, imeitaka jamii kuchangamkia fursa za uwekezaji katika sekta ya nishati safi ya kupikia, ikiwemo uzalishaji, usambazaji na matumizi ya teknolojia za kupikia kwa kutumia umeme, gesi, bayogesi na majiko banifu, hatua itakayosaidia kuongeza kipato cha…
REA yapeleka fursa ya mkopo nafuu wa ujenzi wa vituo vidogo vya mafuta vijijini kwa wanaushirika wote Tanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kushirikiana na Shirikisho la Vyama vya Ushirika (TFC) imeendesha mafunzo kuhusu nishati safi pamoja na kuileza kwa kina fursa ya mkopo nafuu wa ujenzi na uendeshaji wa vituo vidogo…





