JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wabunge washauri miradi ya kaboni iendelee kunufaisha wananchi

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira imeshauri kuwa miradi ya biashara ya kaboni iendelee kuwanufaisha wananchi hususani  mwananchi mmoja mmoja katika maeneo yanayotekeleza miradi hiyo. Kamati hiyo imebainisha kuwa ni vyema maeneo yanayotekeleza miradi ya Biashara ya…

Rais Dk Samia atembelea chanzo cha Maji Machomwe, aweka jiwe la msingi Skuli ya Amali Kizimkazi

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Amali Kizimkazi katika moja ya matukio kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi,…

STANBIC yawa benki ya kwanza Tanzania kuzindua malipo ya moja kwa moja kwa Yuan ya China

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya Stanbic Tanzania imekuwa benki ya kwanza nchini kuzindua huduma ya Malipo ya Moja kwa Moja kwa Yuan ya China, inayowawezesha wafanyabiashara wa Tanzania wanaofanya biashara na China kulipa na kupokea malipo…

TASWA kuzindua kampeni ya ‘AFCON Kitaa 2027’ kuelekea fainali za Afrika

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kimetangaza rasmi kuanzisha kampeni maalum inayojulikana kama ‘AFCON Kitaa 2027’, inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi Oktoba 30, 2026 jijini Dar es Salaam. Kampeni hiyo imelenga kuhamasisha wanataaluma ya habari pamoja na wananchi wote…

Kapinga atoa wito wa ushirikiano katika miradi ya maendeleo Mtwara

Wananchi mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya huduma za afya, hatua iliyowarahisishia upatikanaji wa huduma hizo bila kulazimika kusafiri umbali mrefu. Hayo yamejiri, katika siku ya tatu ya ziara ya kikazi ya Waziri wa Viwanda…

Ngasongwa aanza ziara Mwanza, atoa wito kwa wafanyabiashara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, ameanza ziara ya kikazi mkoani Mwanza kwa lengo la kuimarisha udhibiti wa bidhaa bandia na kukuza ushindani wa haki katika soko. Katika ziara hiyo,…