JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mgongano wa maslahi watajwa kurudisha nyuma maendeleo

Na Mwandishi Wetu, Arusha Mgongano wa maslahi kwa watumishi wa umma umetajwa kuathiri ufanisi kwenye utendaji na majukumu ya Serikali kutokana na matokeo hasi ya vitendo hivyo vinavyopelekea kuchochea mazingira ya rushwa na kujinufaisha binafsi badala ya ofisi na kukwamisha…

Imani potofu zinavyoweka hatarini maisha ya watoto wenye ugonjwa wa sikoseli Tanzania

Na John Walter WATOTO wengi wenye ugonjwa wa Sikoseli huchelewa kufikishwa hospitalini kutokana na imani potofu zinazohusisha ugonjwa huo na uchawi au laana. Usiku mwingi wa utotoni kwake ulikuwa wa vilio na maumivu makali ya viungo. Mara nyingine alikuwa akishindwa…

Wataalamu kutoka Uganda, Kenya watembelea TMA kujifunza mifumo ya tahadhari za mapema

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea wataalamu wa hali ya hewa na uratibu wa maafa kutoka Uganda na Kenya pamoja na wataalamu kutoka Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupunguza Hatari za Maafa (UNDRR), kwa lengo la kujifunza…

Tamasha la Kahawa lawavutia watu maarufu wa Korea Kusini kutembelea Tanzania

Katika kuendeleza diplomasia ya utamaduni na kuthamini kahawa kama urithi wa pamoja, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuimarisha urafiki, maelewano na ushirikiano wa kudumu kati ya wananchi wa Tanzania na Jamhuri ya Korea, hatua inayolenga kufungua fursa zaidi za…

Wachimbaji watakiwa kujiunga WFC

Na Mwandishi wetu, Mirerani WACHIMBAJI wa madini nchini wametakiwa kuwalipia wafanyakazi wao asilimia 0.5 ya mishahara yao ili kuwachangia kwenye mfuko wa fidia kwa wafanyakazi utakaowanufaisha pindi wakipata madhila kupitia mafao saba. Mwakilishi wa Meneja mkuu wa mfuko wa fidia…

CCM yafichua vikao vya siri vya CHADEMA, yahofia njama za maandamano na vurugu

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayeshughulikia Itikadi, Uenezi na Mafunzo,amedai kuwa chama hicho kimepata taarifa zinazoonyesha kuwapo kwa vikao vya siri vinavyodaiwa kufanywa na baadhi ya viongozi wa…