JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Stergoma ajiandikisha daftari la Mkazi la Mpiga kura

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) tarehe 15 Oktoba, 2024 amejiandikisha katika Daftari la Mkazi katika kituo kilichopo Kitongoji cha Unyamwezini Kata ya Itumbili Wilayani Magu. Mara baada ya kuwasili katika Kituo…

Serikali yaingiza bilioni 287 sekta ya madini

Waziri wa Madini Anthony Mavunde  amesema serikali imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 287 katika kipindi cha robo ya kwanza, ikivuka lengo la awali la makusanyo ya shilingi bilioni 247 katika  sekta ya madini. Akizungumza wakati wa mjadala wa mafanikio ya serikali…

SMZ kuwekeza miundombinu ya afya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali amesema Serikali imeweka uwekezaji mkubwa wa miundombinu ya Afya kutokana na umuhimu wa sekta hiyo kwa jamii. Rais Dk.Mwinyi ameyasema hayo Ikulu, Zanzibar alipozungumza na Meneja Mwandamizi wa Mfuko…

Korea Kaskazini yalipua barabara kwenda Kusini

Korea Kaskazini leo imelipua sehemu ya barabara zisizotumika ambazo awali ziliunganisha kwenda Korea Kusini huku mataifa hayo pinzani yakitishiana siku chache baada ya Kaskazini kudai mpinzani huyo alirusha ndege zisizokuwa na rubani katika anga la mji mkuu wake, Pyongyang. Kiongozi…

Serikali kufanya uwekezaji kukuza sekta ya TEHAMA nchini

Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry William Silaa (Mb) akizungumza jambo leo Oktoba 15, 2024 wakati akifungua  Kongamano la nane la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) linalofanyika kuanzia Oktoba  13 – 17, 2024 katika  Ukumbi wa Mikutano wa…

Mkuu wa Majeshi awavisha nishani majenerali, maafisa askari JWTZ

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Mhe Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt Samia Suluhu Hassan amewavisha nishani mbalimbali Majenerali, Maafisa na Askari wa JWTZ jijini Mwanza tarehe 15 Oktoba…