Latest Posts
Prof. Shemdoe apongeza mpango wa Mufti Bima Foundation kuwasaidia wananchi wasio na uwezo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekutana na Naibu Mufti na Mjumbe wa Baraza la Ulamaa na Mkurugenzi wa…
TASAC yasitisha leseni za ICD na kufungia sita
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (TASAC) imesimamisha utoaji waleseni mpya za Bandari Kavu za Makontena (ICD) kufuatia kuongezeka kwa malalamiko ya wananchi kuhusu vituo hivyo vinavyoanzishwa katikamaeneo ya mijini na kusababisha ongezeko la…
BoT yawataka wasanii kuwa mabalozi wa elimu ya fedha
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kuwa mabalozi wa elimu ya matumizi sahihi ya fedha, ikiwemo umuhimu wa kutunza noti na sarafu kwa usahihi. Akizungumza leo, Agosti, 31 2026 jijini Dar es…
Serikali ichukue hatua hizi kukabiliana na mvua za El Nino
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo kuhusu msimu wa mvua za Vuli 2026, ambao unatarajiwa kuathiriwa kwa kiwango kikubwa na hali ya El Niño. Kwa mujibu wa TMA, mvua za…
Serikali yatoa trilioni 4.7/- kulipa mikopo ya wanafunzi
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya Sh.trilioni 4.7 kwa ajili ya mikopo na ruzuku kwa wanafunzi wa elimu ya juu tangu ilipoingia madarakani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhakikisha vijana…





