JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Mavunde aitaka GST kutoka ofisini na kuwafuata wachimbaji migodini

Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imetakiwa kuwa miongoni mwa taasisi zinazoongoza katika utafiti wa madini na tafiti za jiosayansi katika nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara, kupitia uwekezaji mkubwa katika teknolojia, wataalamu, miundombinu na upatikanaji…

Prof. Shemdoe : Serikali kutafuta fedha za ujenzi wa vituo vya afya kwenye kata

Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa Vituo vya Afya kwenye Kata zenye…

TPHPA yaokoa zaidi ya Tani milioni 1.4 za mazao na kufungua masoko mapya ya nje

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Tanzania imefikia kiwango cha utoshelevu wa chakula cha asilimia 130, huku uzalishaji ukifikia tani 23.8 milioni katika mwaka wa fedha 2025/2026, huku Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) ikisema hatua za kudhibiti visumbufu…

Tanzania yaunga mkono teknolojia bunifu za nyuklia kupitia mpango wa Atlas

Washington Dc, Waziri wa Nishati na Makamu wa Rais Mteule, Mhe. Deogratius Ndejembi, amelipongeza Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) kwa juhudi zake za kuwezesha uzinduzi wa Mpango wa Teknolojia za Atomiki Zilizopewa Leseni ya Matumizi ya Baharini…

ACT Wazalendo: Kutekelezwa maridhiano sio hisani wala zawadi ya CCM

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema utekelezaji wa makubaliano ya maridhiano ya kisiasa yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya chama hicho na CCM si hisani wala zawadi kutoka kwa mamlaka zinazotawala, bali…