JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dk Mwigulu : Tuendelee kuliombea taifa na kudumisha amani

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kuendelea kuliombea Taifa na kudumisha amani, akisema amani ni msingi unaowezesha wananchi, taasisi za dini na Taifa kwa ujumla kutekeleza mipango mbalimbali ya maendeleo. Amesema dunia inaendelea kushuhudia mabadiliko na mitikisiko katika maeneo…

Mwenda atoa rai kwa watumishi kufanya mazoezi

Na Peter Haule, WF, Manyara Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda, ametoa rai kwa watumishi wa umma na wananchi kwa ujumla kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kuimarisha…

Askari wa TAWA wamdhibiti Simba aliyezua taharuki Mkarango

📍 Msako wa Simba Mwingine Waendelea Na Mwandishi Wetu, Lindi Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imefanikiwa kumdhibiti simba mmoja dume aliyekuwa akihusishwa na matukio ya kushambulia mifugo na kuzua taharuki katika Kitongoji cha Songea, Kijiji cha Mkarango, Wilaya…

TMDA yatakiwa kutoa adhabu kali

Na Dennisi Luambano, JamhuriMedia, Babati Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, ameitaka Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) kutoa adhabu kali kwa wanaoingiza dawa bandia, duni na zisizosajiliwa na iendelee kuwaelimisha wananchi kuhusu matumizi sahihi ya dawa na…

Rais Samia aagiza ma -RC, ma- DC kujiandaa mapema kukabiliana na athari za Elnino

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Taasisi mbalimbali za serikali kujiandaa mapema kukabiliana na mvua kubwa zinazotabiriwa nchini, ili kuepusha maafa na madhara kwa wananchi….

NEMC na JNHPP: usimamizi wa mazingira katika miradi ya kimkakati

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki kikamilifu katika uzinduzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), unaofanywa leo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni…