JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

GEL yawafungulia milango fursa za elimu duniani wanafunzi 387.

*Wengine waenda India na wengine China Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam GLOBAL Education Link (GEL) imewakabidhi nyaraka rasmi za safari wanafunzi 387 wa Kitanzania wanaotarajia kwenda kuendelea na masomo ya elimu ya juu nchini China na India, huku wakihimizwa…

IAEA kushirikiana na Tanzania kusafirisha mabaki ya vyanzo vya mionzi ORCI

Na Mwandishi Maalumu, Dar es Salaam Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), kwa kushirikiana na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC), limekubaliana na Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) kuanza mchakato wa kusafirisha mabaki ya vyanzo vya…

Biteko: Tanzania imepiga hatua kubwa katika ajenda ya nishati safi ya kupikia

📌 Asema wajibu wa kila Mtanzania ni kuhakikisha mafanikio yanakuwa endelevu Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa Ajenda ya Nishati…

Biteko: Tanzania imepiga hatua kubwa katika ajenda ya Nishati safi ya kupikia

📌 Asema wajibu wa kila Mtanzania ni kuhakikisha mafanikio yanakuwa endelevu KIZIMKAZI, ZANZIBAR Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa Ajenda ya Nishati Safi ya…

Serikali yaweka mkakati wa hifadhi ya bionuai

Na Mwandishi Wetu Serikali, kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, imeendelea kuimarisha uwezo wa kitaalamu na utafiti katika masuala yanayohusu bioanuai, pamoja na kujenga na kuimarisha mfumo thabiti wa kisheria na utawala ili kuwezesha uhifadhi na matumizi ya rasilimali za bioanuaii…

Tanzania, Marekani zaahidi kuendeleza ushirikiano katika nishati, afya na uwekezaji

Tanzania na Marekani zimeendelea kusisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kimkakati katika sekta mbalimbali zikiwemo madini adimu, nishati, afya, uwekezaji na maendeleo ya kiuchumi, pamoja na dhamira ya kuendeleza mazungumzo na ushirikiano wa kitaalamu kwa manufaa ya nchi hizo mbili….