Latest Posts
Serikali yaazimia kufungua kituo cha fedha cha Kimataifa kuvutia uwekezaji
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali kupitia Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) imeazimia kuanzisha Kituo cha Fedha cha Kimataifa (International Financial Centre) kitakacholenga kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, kuongeza upatikanaji wa mitaji, kuchochea ukuaji wa…
Rais Putin amwalika Rais Samia Urusi kwa ziara ya kitaifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya Picha alipoondoka Katika Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Dar es salaam kuelekea Nchini Urusi kwenye Ziara ya Kitaifa ikiwa ni Mwaliko wa Rais…
Tanzania miongoni mwa masoko yanayokua kwa kasi zaidi kwa Bolt duniani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mjadala huo ulijikita katika athari za kanuni, mahusiano ya wawekezaji na ujumuishaji wa kiuchumi katika sekta ya usafiri, huku ukibainisha mchango wa moja kwa moja wa huduma za ride-hailing katika kukuza uchumi wa…
Ridhiwani awataka maafisa tawala, rasilimali watu kuimarisha matumizi ya teknolojia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewataka Maafisa Tawala na Rasilimali Watu nchini kuzingatia taratibu za utumishi na kuimarisha matumizi ya mifumo ya kidijitali iliyowekwa…
Wasichana wa shule 11 Mafia wanufaika na taulo za kike kutoka TEEMO
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Jumla ya seti 2,408 za taulo mbadala za kike (Reusable Pads) zimetolewa kwa wanafunzi wa kike katika shule 11 za sekondari Wilaya ya Mafia kupitia awamu ya pili ya mradi wa “Wezesha Wasichana – Tabasamu…
Tusijipime ubavu na Wamarekani, tuzungumze
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kuna msemo wa Kiswahili unaosema, “Ukiona simba anakuangalia, usianze kupambana naye kwa hasira; kwanza jiulize kwa nini amesimama mbele yako.” Leo Tanzania imejikuta katika hali ambayo Seneti ya Marekani imewasilisha muswada unaopendekeza mapitio…





