JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yaimarisha ulinzi wa miundombinu muhimu ya TEHAMA

SERIKALI imeonya kuwa mtu au taasisi itakayobainika kuharibu au kutenda kosa dhidi ya Miundombinu Muhimu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (CII) atakabiliwa na adhabu kali kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015. Waziri wa Mawasiliano…

Wamiliki miundombinu muhimu ya TEHAMA watakiwa kujisajili ndani ya miezi sita

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es salaam Wamiliki na waendeshaji wa miundombinu muhimu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) nchini wametakiwa kujisajili ndani ya miezi sita kupitia mfumo maalumu wa CII Portal, ili kuwezesha miundombinu hiyo kupata ulinzi wa…

Serikali kuongeza nguvu mapambano dhidi ya UKIMWI

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga SERIKALI imesema itaendelea kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU), kwa kuboresha vituo vya huduma, kuwezesha vikundi na kuimarisha ushirikiano na wadau, ili kuhakikisha Tanzania inafikia lengo la kutokomeza UKIMWI…

Maafisa biashara wapewa mbinu za kulinda walaji na ushindani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Ushindani (FCC) imetoa elimu  kwa Maafisa Biashara kwa lengo la kuwaongezea uelewa kuhusu masuala ya ushindani katika biashara, udhibiti wa bidhaa bandia pamoja na umuhimu wa kumlinda mlaji dhidi ya bidhaa na huduma…

Tanzania kuwa kitovu cha uchakataji wa madini tembo

Dkt.Kiruswa Ataka Ujenzi Kuharakishwa, Asisitiza Uongezaji Thamani Nchini Tayari WanaKigamboni 278 Wameajiriwa, Zaidi ya Asilimia 90 ni Watanzania Mwezi Julai Pekee Mkoa wa Kimadini Dar/Pwani Umekusanya Bil 4.06 📍 Kigamboni,Dar Es Salaam Tanzania imeingia katika Hatua Mpya ya Uendelezaji wa…

WRRB, mikoa na halmashauri kuimarisha mfumo wa stakabadhi za ghala

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema itaendelea kushirikiana kwa karibu na Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri nchini ili kuimarisha utekelezaji wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS), kuongeza tija kwa wakulima na…