JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Papa Leo atoa wito wa kimataifa kukabili Ebola DRC

Papa Leo XIV ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kudhibiti mlipuko wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,DRC. “Naishauri Jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua zinazowahusisha pia jamii za wenyeji katika juhudi za kuzuia Ebola, ili…

Prof. Shemdoe : Michezo kwa watumishi wa Halmashauri itumike kuimarisha mshikamano

Na: OWM – TAMISEMI, Mbeya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amezitaka Halmashauri zote nchini kutumia michezo kama nyenzo ya kuimarisha afya, ustawi, mshikamano na tija kwa…

Wanafunzi 95 waenda India kusomea AI, Uhandisi

Na Mwandishi Wetu Zaidi ya wanafunzi 95 wa Kitanzania wameondoka nchini kuelekea India kuanza masomo ya elimu ya juu katika vyuo mbalimbali, ikiwa ni kundi la kwanza kati ya wanafunzi 198 wanaotarajiwa kwenda kusoma nchini humo kupitia Global Education Link…

NMB yaweka afya ya watumishi mbele SHIMISEMITA 2026

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Benki ya NMB imeendelea kuunga mkono jitihada za Serikali za kuimarisha afya ya mwili na akili ya watumishi kupitia Mashindano ya Kitaifa ya SHIMISEMITA yanayoendelea mkoani Mbeya. Mashindano hayo yanawakutanisha zaidi ya watumishi 5,000 kutoka…

ADEM yaendesha mafunzo ya uongozi na usimamizi wa utekelezaji wa mtaala ulioboreshwa

23 Agosti 2026. | 📍Bagamoyo, Tanzania. Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) umeendelea kutoa mafunzo maalum ya siku mbili kuhusu Uongozi na Usimamizi wa Utekelezaji wa Mtaala Ulioboreshwa, yakilenga kuimarisha uwezo wa Wakuu wa Shule za Sekondari katika…

Watoto 587,509 kupatiwa chanjo ya Polio Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani WATOTO 587,509 walio chini ya umri wa miaka 10 mkoani Pwani wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya polio ya matone aina ya nOPV2, katika awamu ya pili itakayoanza Agosti 27 hadi 30, mwaka huu. Watoto hao ni sehemu…