Latest Posts
Tanzania yasisitiza ushirikiano Umoja wa Afrika kupunguza vifo vya mama na mtoto
Na Hassan Kimweri, WAF – Addis Ababa Tanzania imeendelea kusisitiza ushirikiano wa Umoja wa Afrika (AU) katika kuimarisha juhudi za kupunguza vifo vya mama na mtoto barani Afrika, hususan kupitia utekelezaji wa mikakati na hatua madhubuti zinazolenga kuboresha afya na…
Tanzania yasisitiza ufadhili endelevu wa afya kupitia rasilimali za ndani
Na Benny Mwaipaja, Addis Ababa Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khams Mussa Omar, amesisitiza kuwa katika kipindi cha miaka miwili ijayo asilimia 100 ya kaya zitakuwa zimesajiliwa katika Mpango wa Huduma ya Bima ya Afya kwa Wote ikiwa ni dhamira…
NMB yaibuka Superbrand Afrika Mashariki 2026–2028
Benki ya NMB imetunukiwa cheti cha hadhi ya Superbrand Afrika Mashariki kwa kipindi cha 2026–2028 baada ya kupata kura nyingi zaidi za watumiaji katika kundi la benki, kwa mujibu wa Baraza la Superbrands. Utambuzi huo umetokana na tathmini iliyohusisha Baraza…
Shirika la AAWORD latoa mafunzo ya ujasiriamali kwa wanafunzi sekondari Keko
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia Shirika la AAWORD limewapatia mafunzo zaidi ya wanafunzi 100 wa Shule ya Sekondari Keko, kuhusu namna ya kurejesha taka ngumu na kuzibadilisha kuwa bidhaa zenye thamani. Akizungumza kuhusu mafunzo hayo,Mratibu wa Vijana wa Shirika la Active…
Wadau wa mnyororo wa uchukuzi na usafirishaji wakutana
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewataka wadau wamnyororo wa uchukuzi na usafirishaji mizigo ,kushirikiana kutafuta suluhisho la muda mrefu la changamoto zinazoikabili sekta hiyo, ikiwamo foleni za malori, ukosefu…





