JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Vipengele 63 Kuing’arisha Serengeti Awards 2026

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUMLA ya vipengele 63 vitaingia katika kinyang’anyiro cha The Serengeti Awards 2026, huku wadau wa uhifadhi na utalii wakipewa fursa ya kuonyesha kazi, ubunifu na mafanikio yao katika sekta hizo. Mkurugenzi wa Idara…

Wasira ataka wana CCM wakutane, wasiingie mkenge kwa maneno ya mitandaoni

Na Mwandishi Wetu ,Singida Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Stephen Wasira, amewataka wanachama wa CCM kukutana mara kwa mara katika vikao rasmi vya chama ili kujadili masuala muhimu na kuepuka kupotoswa na taarifa zisizo na ukweli…

Wataalam washauriwa kuandaa mikakati ya taasisi kwa kuwianisha na Dira ya Taifa 2050

Farida Ramadhani na Saidina Msangi, WF, Dodoma Serikali imewaagiza wataalamu wanaosimamia mipango na bajeti katika wizara na taasisi mbalimbali nchini kuzingatia nidhamu ya matumizi ya fedha za umma ili kuboresha utekelezaji na usimamizi wa bajeti ya Serikali. Hayo yalibainishwa na…

Uwekezaji wa bilioni 50/- wabadili huduma za Saratani Tanzania

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodom TAASISI ya Saratani Ocean Road (ORCI) imeeleza kuwa Serikali imewekeza zaidi ya Sh bilioni 50 katika miradi mbalimbali ya miundombinu, vifaa tiba na teknolojia za kisasa kwa lengo la kuongeza uwezo wa Tanzania katika uchunguzi na…

Serikali yaimarisha ulinzi wa miundombinu muhimu ya TEHAMA

SERIKALI imeonya kuwa mtu au taasisi itakayobainika kuharibu au kutenda kosa dhidi ya Miundombinu Muhimu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (CII) atakabiliwa na adhabu kali kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015. Waziri wa Mawasiliano…

Wamiliki miundombinu muhimu ya TEHAMA watakiwa kujisajili ndani ya miezi sita

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es salaam Wamiliki na waendeshaji wa miundombinu muhimu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) nchini wametakiwa kujisajili ndani ya miezi sita kupitia mfumo maalumu wa CII Portal, ili kuwezesha miundombinu hiyo kupata ulinzi wa…