JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TCMA yawaonya watoa huduma za afya wanaogeuza wagonjwa kuwa vitega uchumi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Watoa huduma za afya nchini wametakiwa kuzingatia maadili, uadilifu, huruma na utu katika kuwahudumia wagonjwa na kuacha mtazamo wa kuona ugonjwa wa mtu ni fursa ya kujipatia fedha. Rai hiyo imetolewa na Askofu Mkuu wa Kanisa la…

Uwekezaji kwa vijana ni msingi wa viongozi bora

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM VIJANA nchini wametakiwa kupewa mafunzo ya uongozi tangu wakiwa katika umri mdogo ili kuwaandaa kuwa viongozi wenye maadili, uwajibikaji na uwezo wa kuongoza katika nyanja mbalimbali, hatua inayolenga kuchangia utekelezaji wa Dira ya Taifa…

Serikali yatenga bil. 67.9/- kuboresha miundombinu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA) imefikisha wanafunzi 37,397 katika mwaka wa masomo 2025/26, kutoka 24,494 mwaka 2021/22, sawa na ongezeko la asilimia 52.7, huku Serikali ikiwekeza Sh67.9 bilioni katika kuboresha miundombinu ya taasisi hiyo katika kipindi…

TANESCO yatunukiwa tuzo kutambua mchango wa ubunifu na maendeleo ya nishati

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekabidhiwa tuzo ya kwa kutambua mchango wa kipekee katika ubunifu na maendeleo ya sekta ya Nishati nchini ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wa Shirika katika kuendeleza sekta hiyo. Tuzo hiyo imekabidhiwa kwa Shirika la…

TASAC yaingilia ujenzi wa ICD Kigamboni

*Malalamiko ya wakazi yachochea ukaguzi Kisota, mdhibiti ataka maelezo ndani ya siku saba Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeingilia kati ujenzi unaohusishwa na mpango wa kuanzisha Bandari Kavu (ICD) katika eneo…