Latest Posts
Serikali yaimarisha mikakati kukuza sekta ya viwanda
Serikali imeweka mikakati ya kukuza sekta ya viwanda nchini kwa kuongeza ufanisi, uwekezaji, ajira na mchango wake katika Pato la Taifa. Mikakati hiyo inalenga kuchakata malighafi zinazozalishwa nchini na kuongeza thamani yake. Hayo yamebainisha na Waziri wa Viwanda na Biashara,…
Ndembeji Anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Kongamano la Tano la Uchumi wa Bluu
Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media,Dar es salaam Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano la Tano la Kimataifa la Uchumi wa Buluu, litakalofanyika Septemba 7 hadi 9, 2026 katika Ukumbi…
NMBF yafungua maombi ya ‘Nuru ‘Yangu’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam VIJANA 50 wenye ufaulu wa juu lakini wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo wa kifedha watanufaika na uwezeshaji wa elimu ya chuo kikuu na maandalizi ya kuingia katika soko la ajira. NMB Foundation…
Serikali yaimarisha miundombinu ya umeme Igunga – Salome
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imeendelea kuimarisha miundombinu ya umeme katika Wilaya ya Igunga kwa kutekeleza miradi mbalimbali yenye lengo la kuongeza upatikanaji na uhakika wa umeme katika maeneo ya…
Mawasilisho 294 kupigiwa kura Samia kalamu Awards 2026.
Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Samia Kalamu Awards (SKA) Mhandisi Peter P. Mwasalyanda amesema jumla ya mawasilisho 294 yamefuzu kuingia hatua ya kupigiwa kura na wananchi katika Tuzo za Uandishi wa Habari na Makala za Maendeleo…
Makamu wa Rais ataka bei ya saruji ishuke haraka
*Aipongeza CTI tuzo za PMAYA kwa kuchochea ukuaji wa uchumi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAKAMU wa Rais, Deogratius Ndejembi ameitaka Wizara ya Viwanda na Biashara kukaa na wazalishaji wa saruji kuweka mipango kuhakikisha saruji inapatikana kwa wingi…





