JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TBA yafungua fursa mpya za uwekezaji katika makazi na majengo ya biashara

Na Mwandishi Wetu Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umefungua fursa mpya za uwekezaji katika sekta ya makazi, majengo ya biashara na maendeleo ya miji, hatua inayolenga kuboresha huduma kwa wananchi, kuvutia mitaji na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa. Meneja…

Serikali yahakikisha upatikanaji wa mbolea, tani 33,000 za DAP zaanza kusambazwa nchini

Serikali kupitia Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahakikishia wakulima nchini upatikanaji wa mbolea ya kutosha kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, ikitangaza kuanza kwa usambazaji wa tani 33,000 za mbolea ya kupandia aina ya DAP zilizowasili nchini kupitia Bandari…

Waziri wa Kilimo Sudan Kusin avutiwa na mfumo wa TOSCI udhibiti ubora wa mbegu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Kilimo wa Jamhuri ya Sudani Kusini, Mhe. Clement Juma Mbugoniwia, ametembelea banda la Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) katika Maonesho ya Kitaifa ya Nanenane yanayoendelea Nzuguni, mkoani Dodoma, kwa lengo…

Ushirikiano wa Tanzania na Ufilipino wazidi kuimarika

Na Prosper Makene Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa na Mashirika mengine ya Kimataifa Geneva, Balozi Dkt. Hoyce Temu, amekutana na mwenzake kutoka Jamhuri ya Ufilipino, Bw. Eric Tamoya kujadili…