JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TANESCO Kimbiji yawasogezea huduma wananchi, yatoa elimu matumizi ya nishati safi ya kupikia

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Kigamboni, Wilaya ya Kimbiji, limesogeza huduma karibu na wananchi kwa kutoa elimu kwa wakazi wa Mwasonga kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia, utaratibu mpya wa kuomba huduma ya umeme kupitia mfumo wa…

NMB Foundation, Mercy Corps wasaini mradi wa bil. 2.6/- kukuza biashara

Taasisi za NMB Foundation na Mercy Corps Tanzania zimesaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa Evolve wenye thamani ya Shilingi bilioni 2.6 utakaotekelezwa kwa miaka miwili ili kukuza biashara zinazohusiana na usafiri wa vyombo vya moto vinavyotumia umeme jijini Dar…

Bangu :Ajira 31,875 zimezalishwa kupitia WRRB

….…… Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS) umezalisha ajira 31,875 katika mwaka wa fedha 2025/26 kupitia shughuli mbalimbali za mnyororo wa thamani wa mazao na bidhaa. Hayo yameelezwa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi…

Alama ya Ubora ya Afrika Yazinduliwa

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Denis Londo, amesema ubora wa bidhaa ni nguzo muhimu katika kuongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania kwenye soko la kimataifa na kufanikisha azma ya nchi ya kujenga uchumi wenye thamani ya dola za Marekani…

Chatila afunguka mipango ya kuibadili Ujenzi Sports Club

Na Mtemi Sona, Dodoma Mwenyekiti wa Ujenzi Sports Club, Arch. Ibrahim Chatila, amesema uongozi mpya umejipanga kuijenga timu hiyo kuwa ya kisasa, imara na yenye ushindani mkubwa katika mashindano yote itakayoshiriki. Akizungumza kuhusu mikakati ya kuiboresha klabu hiyo iliyo chini…

Bandari ya Mtwara yawania kuteka soko kubwa zaidi ndani ya SADC

Na Florid Mapunda, Mtwara Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) iliundwa kwa malengo ya kuboresha ushirikiano kati ya nchi huru wanachama, kuhakikisha ulinzi na usalama wa nchi hizo na kukuza biashara baina yao ili uhuru uwe na maana kwa…