JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

St Anne Marie Academy yaahidi kuendelea kusomesha waliofiwa na wazazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa zamani wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amewataka wakaguzi wa shule kutenda haki kwa shule binafsi na kuziona kama mshirika wa maendeleo badala ya mshindani. Kadhalika, Profesa…

Waziri Ndejembi awasili Shinyanga kwa ziara ya kikazi

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili mkoani Shinyanga kwa ziara ya kikazi na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita, leo Julai 27, 2026. Akiwa mkoani humo, Waziri Ndejembi ataongoza viongozi na wananchi wa Mkoa…

Waziri Chongolo asifu uwekezaji uwanja wa AFCON, ahimiza wananchi fursa za AFCON 2027

Waziri wa Kilimo na Mlezi wa Kiserikali wa Mkoa wa Arusha Mhe. Daniel Godfrey Chongolo amesema kazi kubwa inayoendelea kufanyika katika mradi wa ujenzi wa Uwanja wa michezo Jijini Arusha unaotarajiwa kutumika kwenye Michuano ya Soka ya AFCON 2027 ni…

Rais Samia aongoza Maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya mashujaa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 25, 2026 ameongoza Watanzania kuadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa katika Uwanja…

Taasisi za Umma zatakiwa kutokuwa kikwazo kwa wawekezaji

Na Mwandishi wa OTR Pwani. Serikali imezitaka Taasisi za Umma kuhakikisha zinakuwa chachu ya ukuaji wa uchumi kwa kutengeneza mazingira rafiki ya biashara na uwekezaji kupitia mifumo yenye ufanisi, kupunguza urasimu usio wa lazima, kuboresha utoaji wa huduma na kuimarisha…

Wananchi watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani

Wananchi wa Kata ya Mkwajuni, Wilaya na Mkoa wa Songwe, wametakiwa kufuata sheria za usalama barabarani, ili kupunguza ajali za barabarani katika eneo hilo. Akizungumza na wananchi Julai 25, 2026, Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mheshimiwa Jabiri Makame alisema wakati…