Latest Posts
WRRB yaja na ubunifu kwenye zao la parachichi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imeanza mazungumzo na wazalishaji wa parachichi katika wilaya za Mufindi na Njombe kwa lengo la kuanzisha mfumo wa ubunifu utakaoruhusu shamba kutumika kama ghala la bidhaa hai…
TAMESOT yakemea vitendo vya udanganyifu, utapeli na uposhaji tiba
Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Dodoma Chama cha waganga watiba asili nchini TAMESOT kimekemea na kulaani vitendo vyote vinavyotumika vibaya na baadhi watu wanaotumia vibaya jina la tiba asili kwa maslahi binafsi. Kauli hiyo imetolewa naye katibu mkuu wa chama hicho…
TBS Yaendelea kutoa elimu ya uthibitishaji ubora wa bidhaa Nanenane Morogoro
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka wazalishaji wa bidhaa nchini kuhakikisha wanathibitisha ubora wa bidhaa zao ili kuondokana na vikwazo vya kibiashara na kuongeza wigo wa masoko ya kitaifa, kikanda na kimataifa. Akizungumza wakati wa Maonesho ya Nanenane Kanda ya…
Katibu Tawala Tanga avutiwa na sayansi ya hali ya hewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Katibu tawala wa Mkoa wa Tanga, Bw. Rashid Mchatta avutiwa na sayansi ya hali ya hewa, aliyasema hayo Tarehe 06 Agosti 2026 mara baada ya kupokea elimu ya hali ya hewa iliyokuwa inatolewa na wataalamu…
EWURA: Ukaguzi wa mifumo ya umeme kila baada ya miaka mitano unaweza kuzuia majanga ya moto
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imewataka wananchi kujenga utamaduni wa kukagua mifumo ya umeme majumbani kila baada ya miaka mitano, ikisema hatua hiyo inaweza kubaini mapema hitilafu zinazoweza kusababisha moto,…
BPA: Tanzania yazidi kuwa kitovu cha usambazaji wa mafuta Afrika Mashariki na Kati
Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema mfumo wa uagizaji wa mafuta kwa pamoja umeifanya Tanzania kuendelea kuwa kitovu muhimu cha usambazaji wa mafuta kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, hatua inayochochea biashara…




