JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Makamu wa Rais ataka bei ya saruji ishuke haraka

*Aipongeza CTI tuzo za PMAYA kwa kuchochea ukuaji wa uchumi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAKAMU wa Rais, Deogratius Ndejembi ameitaka Wizara ya Viwanda na Biashara kukaa na wazalishaji wa saruji kuweka mipango kuhakikisha saruji inapatikana kwa wingi…

Sekta binafsi injini ya Tanzania kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050

Na. Peter Haule na Joseph Mahumi, WF, Dar es Salaam Serikali imetoa wito kwa wadau wa sekta ya fedha, wawekezaji na sekta binafsi nchini kuunganisha nguvu katika kubadili akiba za Watanzania kuwa mitaji ya uwekezaji yenye tija, itakayochochea uzalishaji, kuongeza…

TANESCO Ubungo yawabaini wateja waliochepusha umeme kupitia vishoka

SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ubungo jijini Dar es Salaam limeendelea na operesheni yake maalum ya kuwabaini na kuwachukulia hatua wateja ambao wanatumia umeme bila kulipia wakiwa wameunganishiwa umeme na vishoka mtaani kinyume na utaratibu. Katika operesheni hiyo…

FCC yawataka wafanyabiashara kuripoti bidhaa bandia

KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, amewataka wadau wa sekta ya umma na binafsi kuongeza ushirikiano katika mapambano dhidi ya bidhaa bandia, akisema biashara hiyo inahatarisha uwekezaji, ushindani wa haki na usalama wa watumiaji. Ngasongwa…

Sumaye : Watanzania kukutana kuliombea Taifa

Watanzania kutoka makundi mbalimbali wanatarajiwa kukutana Novemba 7 mwaka huu , kwa ajili ya kuliombea Taifa, kuimarisha umoja na mshikamano, huku viongozi, vijana na wanawake wakishiriki katika mjadala wa kujenga Tanzania yenye maadili. Mwenyekiti wa Tanzania National Prayer Breakfast, Waziri…

Tanesco Ubungo yanasa waliojiunganishia Umeme kinyume na utaratibu

Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ubungo jijini Dar es Salaam limeendelea na operesheni yake maalum ya kuwabaini na kuwachukulia hatua wateja ambao wanatumia umeme bila kulipia wakiwa wameunganishiwa umeme na vishoka mtaani kinyume na utaratibu….