Latest Posts
Mfumo wa PBPA waleta unafuu wa mafuta nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Morogoro Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umeeleza kuwa Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja umeendelea kuhakikisha Tanzania inapata bidhaa za mafuta kwa uhakika, kwa wakati na kwa gharama shindani. Akizungumza katika Maonesho ya Nne…
Msajili wa Hazina ataka mageuzi makubwa TBC
Na Mwandishi wa OTR, Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ametaka kufanyika kwa mageuzi makubwa katika Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ili kujenga taasisi yenye ufanisi zaidi, kuongeza tija na mapato, na kuimarisha ushindani wake katika soko…
Bodi ya REB yaridhishwa na usambazaji umeme kisiwani Jibondo
📌 Bilioni 8 zatumika 📌 Mradi umekamilika kwa asilimia 90 Jibondo, Mafia 📍 Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imeeleza kuridhishwa kwake na kasi ya usambazaji wa nishati ya umeme katika vitongoji vya Kisiwa cha Jibondo, kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya…
TBS Yateketeza Tani 3.4 za Unga wenye Sumukuvu
Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Magharibi limeteketeza tani 3.4 za unga wa mahindi wenye sumukuvu (Aflatoxin), wenye thamani ya takribani Sh. milioni 3.5, baada ya vipimo vya maabara kubaini kuwa haukidhi viwango vya usalama kwa…
NMB, Bunge kuwakutanisha zaidi ya 1,000 michezoni Dodoma
Na Mwandishi Wetu, Dodoma.ZAIDI ya washiriki 1,000 kutoka Bunge, wizara 14 na taasisi 10 wanatarajiwa kushiriki NMB Bunge Bonanza 2026 litakalofanyika Jumamosi jijini Dodoma, baada ya NMB Bank Plc kukabidhi udhamini wake wathamani ya Sh milioni 210 ikiwemo vifaa vya…
TPLB yatangaza tarehe ya kuanza kwa msimu wa NBC Premier League 2026/2027
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Dar es Salaam BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuwa msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, maarufu kama NBC Premier League, kwa mwaka 2026/2027 unatarajiwa kuanza rasmi Oktoba 29, 2026 na kuhitimishwa Mei…





