Latest Posts
Matatani kwa mauaji ya mkewe, kisa wivu wa mapenzi
Na Israel Mwaisaka, JamhuriMedia, RukwaJESHI la Polisi mkoani Rukwa linamshikilia Maiko Sosolo Kazikulima (35), mkazi wa Kijiji Cha Mashete kata ya Mashete wilayani Nkasi kwa kosa la kumuua mkewe Victoria Mputa (32) kwa kumpiga na rungu kichwani na kusambaratisha ubongo…
TEA Yafungua milango ya elimu bora Pemba
PEMBA — Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bw. Khamis Abdulla Said, ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa kuendelea kufadhili miradi ya maendeleo ya elimu Unguja…
Vuli 2026 na tishio la El Niño; tusisubiri mafuriko ndipo tujiandae
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo kuhusu msimu wa mvua za Vuli 2026, unaotarajiwa kuathiriwa kwa kiasi kikubwa na hali ya El Niño. Kwa mujibu wa TMA, maeneo mengi ya…
Uwekezaji unaofanywa na Serikali katika afya ya msingi ndio msingi wa afya kwa wote – Prof. Shemdoe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imesisitiza kuwa inaendea kuwekeza katika ujenzi wa miundombinu na ununuzi wa vifaa tiba katika ngazi ya Afya ya Msingi, ikiwa ni hatua muhimu ya kuhakikisha kila Mtanzania anapata huduma bora za afya kwa wakati….





