Latest Posts
Mchungaji TAG akemea migogoro ya ndoa, aeleza inavyosababisha ukatili
Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Kagera. Mchungaji wa Kanisa la T.A .G lililopo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera Bruno Athazi amekea vikali changamoto ya migogoro ya ndoa ambayo imekuwa chanzo cha matukio mbalimbali ya kikatili katika jamii. Mchungaji Bruno ametoa kauli…
Tanzania yakamilisha mfumo wa kurejesha hali baada ya maafa
Na Mwandishi Wetu – Masvingo, Zimbabwe. TANZANIA imekamilisha maandalizi ya Mfumo wa Taifa wa Kurejesha Hali Baada ya Maafa, hatua inayolenga kuimarisha uwezo wa Taifa kukabiliana na athari za majanga yanapotokea. Mfumo huo unatajwa kuwa sehemu ya mkakati mpana wa…
Ukuaji teknolojia umechangia vijana kuiga tamaduni za kigeni – Simba
Na Kija Elias, JamhuriMedia, Mwanga KASI ya kuporomoka kwa maadili kwa watoto na vijana nchini imeelezwa kuchangiwa kwa kiwango kikubwa na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano, hali inayosababisha baadhi ya vijana kuiga tamaduni za kigeni zinazokwenda kinyume na…
Hakikisheni gesi yenu inapimwa kabla ya kununua – Kihulla
Na Veronica Simba – WMA DODOMA – Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Bw. Alban Kihulla amewaambia Waheshimiwa Wabunge kuwa WMA hufanya uhakiki wa mitungi ya gesi ya kupikia inayouzwa nchini ili kujiridhisha kuhusu ujazo wake kabla ya…
Dk Mwigulu : Msizuie wanafunzi kufanya mitihani
*Asema Serikali itaendelea kuongeza fedha za mikopo ya elimu ya juu WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka taasisi za elimu nchini kutowazuia wanafunzi kufanya mitihani ya masomo yao kwa kushindwa kulipa ada. Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itaendelea kuongeza fedha…
Tanzania, Kenya kuharakisha utekelezaji miradi ya kuunganisha njia za umeme
Tanzania na Kenya zimekubaliana kuharakisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya njia za umeme zinazounganisha gridi za nchi hizo mbili pamoja na kuboresha mifumo ya usafirishaji wa umeme ili kuimarisha usalama wa nishati, kuongeza uhakika wa upatikanaji wa umeme na kukuza…





