JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

BoT yapata tuzo tano kwa kukuza huduma jumuishi za fedha

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imepata tuzo na utambuzi tano kutokana na hatua mbalimbali ilizochukua katika kukuza ujumuishi wa huduma za fedha nchini, ikiwamo kupunguza pengo la upatikanaji wa huduma hizo kati ya wanawake na wanaume. Tuzo hizo zilitolewa katika…

NIDA Kuanza kuwasajili watoto chini ya miaka 18- Dkt. Mwigulu

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali kupitia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) itaanza kuchukua hatua za kuwasajili na kuwatambua watoto walio chini ya umri wa miaka 18, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mfumo wa utambulisho wa Taifa. Dkt….

TADB, EADB wazindua dirisha la Sh bilioni 50 kwa wakulima

BENKI ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya Afrika Mashariki (EADB), imezindua dirisha maalum la uwezeshaji wa fedha lenye thamani ya Sh bilioni 50 kwa ajili ya kuwawezesha wakulima wadogo na wafanyabiashara katika minyororo…

Msajili wa Hazina na Barrick wajadili namna bora ya uendelezaji wa migodi

Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, leo Jumatano, Septemba 16, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa kampuni ya Barrick kuhusu namna bora ya uendelezaji wa migodi nchini. Ujumbe wa Barrick uliongozwa na Afisa Mkuu wa Masuala ya Kimataifa…

Rais Dk Mwinyi apokea mwaliko wa dua maalum ya kuliombea taifa juu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amepokea mwaliko wa kushiriki katika dua maalum ya kuwaombea viongozi wa nchi na kuliombea Taifa kutokana na matarajio ya mvua kubwa zinazohusishwa na hali ya El…

Wizara ya Madimi yaja na sheria kusimamia taaluma ya wajiolojia

Sheria kuanzisha Bodi ya Wajiolojia kusimamia na kuratibu taaluma nchini Serikali kutenga asilimia 10 ya mapato ya madini kwa utafiti wa jiosayansi Taarifa sahihi za jiolojia kuimarisha uwekezaji na kuwalinda wadau wa madini Na Mwamdishi Wetu Wizara ya Madini imewasilisha…