JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Msajili wa Hazina ateta na uongozi wa kampuni ya Barrick

Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi wa Barrick Corporation, mwanahisa mwenza wa Twiga Minerals Corporation Limited (TWIGA), pamoja na uongozi wa TWIGA, kujadili maendeleo na masuala mbalimbali…

Mhe. Salome: Wizara ya Nishati ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema jukumu kuu la Wizara ya Nishati ni kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika na wanapatiwa taarifa kwa wakati pindi changamoto zinapojitokeza. Mhe. Makamba ameyasema hayo leo, tarehe 01 Septemba 2026, wakati akijibu…

Serikali, KPMG kuimarisha ushirikiano katika maboresho ya mfumo wa kodi

Joseph Mahumi na Peter Haule, WF, Dar es Salaam Serikali imesema itaendelea kuimarisha ushirikiano na Kampuni ya Kimataifa ya Ukaguzi na Ushauri wa Kitaalamu ya KPMG, hususan katika masuala ya sera za kodi, usimamizi wa mapato na mageuzi ya mfumo…

ADEM yasisisitiza matumizi sahihi ya AI kuboresha ubora wa elimu nchini

NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO WAKALA wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) umesisitiza matumizi sahihi ya Akili Bandia (AI) na elimu ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) katika kuboresha ubora wa elimu na kuwaandaa wanafunzi kukabiliana na mahitaji ya…

Makamu wa Rais awasalimu wananchi wa Mbuyuni wilayani Moshi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasalimu Wananchi wa Mbuyuni, Wilayani Moshi waliokusanyika kumlaki akiwa katika ziara binafsi mkoani Kilimanjaro leo tarehe 01 Septemba 2026. Akiwasalimu wananchi hao, Makamu wa Rais amewasihi kuendelea kumuombea…

Rais Mwinyi azitaka nchi za NAM kuunganisha sauti katika maamuzi ya kimataifa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito kwa nchi wanachama wa Harakati za Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM) kuunganisha sauti na misimamo yao ili zisibaki kusikika pekee, bali ziwe na…