Latest Posts
Serikali kufungua fursa za ajira kupitia mikataba mitano
*Mikataba 16 ya Ajira Kimataifa ipo Katika Hatua za Mwisho Serikali Kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano imesaini Mikataba Mitano ambayo itawawezesha wananchi kupata ajira Nje ya Nchi. Hayo yamesemwa Februari 7, 2026 Jijini Dar es…
Prof. Shemdoe aridhishwa na maandalizi ufunguzi soko la Kariakoo
Na OWM- TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM- TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe ameridhishwa na hatua iliyofikiwa ya maandalizi ya ufunguzi Soko Kuu la Kariakoo lililopo Ilala Jijini…
Mkoa wa Dar es Salaam kuanzishwa tuzo maalumu shule zitakazofanya vizuri kiitaifa
Na Mwandishi wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametangaza kuanzishwa kwa tuzo maalum zitakazotolewa kwa shule zitakazofanya vizuri katika matokeo ya jumla ya kitaifa, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuinua kiwango cha elimu…
Tanzania imeimarisha maendeleo na haki za kijamii
Na Mwandishi Wetu WMMJW-New York Marekani Tanzania chini ya uongozi Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania maendeleo ya jamii na haki za kijamii yameimarika na kuwa kati ya vipaumbele vya Ajenda ya Kitaifa…
Profesa Kairuki akumbukwa Mtanzania wa mwanzo kuanzisha hospitali binafsi
Na Mwandishi Wetu MWANZILISHI Mtandao wa Afya na Elimu Kairuki (KHEN) na Hospitali ya Kairuki, Profesa Hubert Kairuki ametajwa kama mtu alieacha alama isiyofutika kwenye maisha ya watanzania kutokana na maono aliyokuwa nayo wakati wa uhai wake. Hayo yaliibuliwa na…





