Latest Posts
Waziri Mkuu azungumza na wajasiriamali wadogo ufukwe wa Coco Beach
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na wajasiriamali wadogo wanaofanya shughuli zao katika eneo la fukwe ya Coco “Coco Beach” jijini Dar es Salaam Machi 29, 2026 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
‘Camp’ ya macho CCBRT Mbagala yavuta mamia ya wakazi wenye matatizo
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAELFU ya wakazi wa Mbagala na vitongoji vyake katika Manispaa ya Temeke, Jijini Dar es Salaam wamejitokeza kwa wingi kupima macho,kupata ushauri nasaha sambamba na kupata matibabu stahiki yalitolewa bure Hospitali ya CCBRT jana….





