JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wanafunzi Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Njombe wapata elimu kuhusu haki za malaji

……………….. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe TUME ya Ushindani (FCC) kanda ya Nyanda za Juu Kusini  imetoa elimu kwa wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Njombe (FDC) kuhusu masuala ya kumlinda mlaji, ikiwemo haki na wajibu wa mlaji pamoja…

Mkandarasi anayejenga barabara ya uwanja wa AFCON 2027 Arusha hatoongezewa muda -Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameitaka kampuni ya M/s China Railway Construction Engineering Group kuhakikisha ifikapo Mei 2027 iwe imekamilisha ujenzi wa miundombinu ya bababara za kuelekea na…

Balozi Kaganda atembelea ofisi za TPA nchini Zimbabwe

Na Mwandishi Wetu Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Kamishna wa Polisi (CP) Suzan Kaganda, ametembelea ofisi za Mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA) zilizopo mjini Harare na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa TPA nchini humo, Bi. Kulthum Boma kuhusu namna…

FCC yatoa elimu kwa wanachuo VETA Kibaha kuhusu haki za mlaji

…………………. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kibaha KATIKA harakati za kuimarisha uelewa wa haki za walaji nchini, Tume ya Ushindani (FCC) leo Machi 19, 2026 imetoa elimu kwa wanachuo wa Chuo Cha Ufundi Stadi VETA Kibaha kuhusu masuala ya kumlinda mlaji na…

WIKI YA MAJI, Rais Samia alivyoitoa Wizara ya Maji kutoka kuwa kero na lawama hadi faraja

Na: Dk. Reubeni Lumbagala Maji ni miongoni mwa huduma muhimu ya kijamii. Maji ni huduma ambayo kila mtu anahitaji tena kila siku. Utahitaji maji kwa kuoga, kupikia, kufulia, kupigia mswaki, kunyweshea mifugo, kumwagilia maua au bustani. Mambo yanayohitaji maji ni…

Nchimbi awasisitiza viongozi wa dini kuimarisha mafundisho ya maadili kwa vijana

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi Viongozi wa Dini kuendelea kuwekeza katika kufundisha maadili mema kwa kizazi cha sasa ili kuwa na Taifa zuri baadaye. Makamu wa Rais amesema hayo wakati aliposhiriki…