Latest Posts
Serikali kushirikiana na taasisi za dini kuimarisha maadili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Manyara Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu amesema Serikali itaendelea kushirikiana na Taasisi za Dini nchini kuimarisha maadili kwa jamii na kukuza maemdeleo. Mhe. Sangu amesema hayo…
Dk Jafo awapambania maafisa maendeleo ya jamii nchini
MBUNGE wa Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, ameitaka Serikali kuboresha mazingira ya kazi kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii nchini ikiwemo kuwapatia magari ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi zaidi. Akichangia hotuba ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na…
Tanzania kuwa na mkakati maalum wa mawasiliano wakati wa mlipuko wa magonjwa ya mifugo
Mkurugenzi Msaidizi wa Epidemiolojia na Magonjwa ya Mifugo Yanayovuka Mipaka (TADs) akitoa mchango wake katika majadiliano ya Warsha ya Uandaaji wa Rasimu ya Mkakati wa Kitaifa wa Mawasiliano Wakati wa Dharura kwa Huduma za Mifugo Tanzania, iliyofanyika leo Juni 1,…
EACOP na TotalEnergies wawajengea uwezo wanafunzi 200 kutambua fursa za sekta ya nishati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Katika juhudi za kuhakikisha sekta ya nishati inachangia kikamilifu ukuaji wa uchumi wa taifa, Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kushirikiana na wanahisa wakuu wa mradi huo, TotalEnergies umeendelea kuwawezesha…
Wachambuzi wa kisiasa wawasihi vijana kuepuka makundi yanayodaiwa kuhujumu sekta ya utalii
Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media ,Dar es Salaam Wachambuzi huru wa kisiasa wamewataka vijana kujiepusha na makundi yenye mienendo inayodaiwa kutokuwa na maslahi mema kwa taifa, wakisema kuwa baadhi ya vitendo vinavyofanywa kupitia mitandao ya kijamii vinaweza kuathiri sekta ya utalii na…
Marekani yaionya Iran
Marekani yaonya iko tayari kurejea vitani na Iran, huku Trump akisisitiza masharti makali ya makubaliano ya amani, wakati mazungumzo na mvutano Mashariki ya Kati ukiendelea kuongezeka. Marekani imesema iko tayari kurejea vitani na Iran ikiwa itahitajika, huku Rais wa Marekani,…





