JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Jaji Mkuu akemea vikali vitendo vya kuingilia amri na maamuzi ya mahakama

*Awataka Madalali na Wasambaza Nyaraka za Mahakama kusimama ipasavyo katika utendaji kazi wao Na MARY GWERA, Mahakama-Dodoma Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. George Masaju amekemea vikali vitendo vya baadhi ya Viongozi wa Serikali na wa Kisiasa…

Waziri Mkuu : Kafulila kiongozi kijana mwenye upeo mpana

*Amtaja Kama Kiongozi Kijana Mwenye Exposure ya Kimataifa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, amemsifu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, akimtaja kuwa ni…

Serikali kuendelea kuimarisha mazingira ya biashara na uwekezaji

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuimarisha mazingira ya biashara, uwekezaji na viwanda kwa kufanya mageuzi ya sera, sheria, kanuni na mifumo ya utoaji huduma ili kuiwezesha sekta binafsi kuwa mhimili wa ukuaji wa uchumi na utekelezaji wa…

Bei za mafuta yashuka

Habari njema kwa watumiaji wa mafuta nchini. Kuanzia Jumatano, tarehe 01 Julai 2026, bei kikomo za bidhaa za petroli zimeshuka kutokana na kupungua kwa bei za mafuta katika soko la dunia. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji…

Tanzania yavutia uwekezaji wa ujenzi wa viwanda vya kuzalisha bidhaa za migodini

▪️Waziri Mavunde akutana na Mwekezaji wa Kiwanda cha Kuzalisha Goroli za Chuma ▪️Ni kiwanda cha Oriental Casting and Forging Ltd cha China ▪️Kiwanda kikubwa kujengwa Buzwagi Kahama ▪️Tanzania yajipanga kuwa kitovu cha uzalishaji wa bidhaa za migodini Afrika Dar es…

RC Ruvuma amshukuru Rais Samia kwa bilioni 47 za miradi ya maendeleo

Na Mwandishi Wetu, JamuhuriMedia, Songea Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea kuwapatia kiasi kikubwa cha fedha za miradi ya maendeleo ambapo kwa mwaka…