Latest Posts
TEA Yaimarisha Elimu ya Amali kwa Vifaa vya kisasa vya ushonaji
Na Mwandishi Wetu WANAFUNZI wanaosoma mkondo wa elimu ya amali katika Shule ya Sekondari Dar es Salaam wameeleza kuwa ufadhili wa vifaa vya ushonaji uliotolewa na Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) umeleta mapinduzi makubwa katika utoaji wa mafunzo ya vitendo,…
Balozi Omar; Mapinduzi ya viwanda ni muhimu katika kukuza uchumi wa nchi za Afrika
NA BENNY MWAIPAJA,BANJUL,GAMBIA Balozi Omar amesema hayo aliposhiriki mjadala kuhusu nafasi ya sekta ya viwanda inavyoweza kuchangia ukuaji wa uchumi katika nchi Afrika, mjadala uliofanyika pembezoni mwa Mkutano wa African Caucus wa Mwaka 2026, unaofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha…
Kapinga: Watanzania wajitokeze Sabasaba, bidhaa za ndani zazidi kuboresha
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga (Mb), amewataka Watanzania kuendelea kutembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), akisema maonesho ya mwaka huu 2026 yameonesha mafanikio makubwa ya maendeleo ya viwanda, ubunifu wa…
Msigwa atoa wito taasisi kutumia fursa ya kuongezeka kwa matumizi ya Kiswahili
Na Timothy Mwakyenda – MAELEZO Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali amesema kuwa mafanikio ya Tamasha la Lugha ya Kiswahili lililofanyika nchini Ufaransa yamefungua ukurasa mpya wa kuitangaza lugha ya Kiswahili…
Trump aionya Iran kujiandaa kwa mashambulizi zaidi
RAIS wa Marekani, Donald Trump ameionya Iran kuwa nchi yake inajiandaa kwa usiku mwingine wa mashambulizi, saa chache tu baada ya kusema kuwa makubaliano ya muda ya kusitisha mapigano yamefika mwisho. Trump ametishia kuchukua hatua hiyo, baada ya mashambulizi ya…
Tanzania yajipanga kitovu cha uzalishaji dawa Afrika, yawaalika wawekezaji wa China
Na John Mapepele, Wu hani – China Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kujenga sekta imara ya viwanda vya dawa na kuifanya nchi kuwa kitovu cha uzalishaji wa dawa kwa ukanda wa Afrika Mashariki na kwingineko barani Afrika, huku…




