Latest Posts
Serikali yainua utalii tiba kwa wagonjwa wa nje hadi kufikia 3,018
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imesema idadi ya wagonjwa kutoka nje ya nchi wanaokuja kupata huduma za matibabu nchini Tanzania imeendelea kuongezeka, ikifikia wagonjwa 3,018 katika kipindi cha miezi nane, jambo linaloashiria kukua kwa kasi kwa sekta ya utalii wa tiba….
Waziri Ndejembi akutana na taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya kikao kazi cha pamoja na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati zinazoshughulikia mafuta leo Aprili 07, 2026 jijini Dodoma. Lengo la kikao hicho ni kupitia na Taarifa ya Kamati ya…
Rais wa Uganda akutana na Rais Mstaafu Dk Kikwete
Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu wa Tanzania na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika (AU) kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika na Bahari ya Shamu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, katika Ikulu ndogo…
Mkenda: Tuzo ya Mwalimu Nyerere kuendeleza Kiswahili
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, ametangaza kufanyika kwa hafla ya utoaji wa Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu 2026, akisema tuzo hiyo ni nyenzo muhimu ya kukuza lugha ya Kiswahili…
Marekani na Iran zakubaliana kusitisha mapigano
Rais wa Marekani Donald Trump amesema amekubali kusitisha mashambulizi dhidi ya Iran kwa muda wa wiki mbili, kufuatia pendekezo la wapatanishi katika mgogoro huo. Trump alisema uamuzi huo umefikiwa baada ya mazungumzo na viongozi wa Pakistan, akiwemo Waziri Mkuu Shehbaz…
Bank of Afrika Tanzania yatoa msaada vituo vya watoto wanaoishi mazingira magumu
Na Mwandishi Wetu BANK of Africa Tanzania imeendelea kutekeleza sera yake ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 24 kwa vituo vinne vinavyolea watoto wanaoishi katika mazingira magumu, ikiwa ni juhudi za kuboresha maisha yao hususan…





