Latest Posts
Siku 100 za Dkt Samia Kata ya Kigogo kutekeleza ugawaji bima za afya kwa wazee
Na Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Diwani wa kata ya Kigogo Manispaa ya Kinondoni Nasibu Limira amesema kuwa ndani ya siku 100 ya Dkt.Samia Suluhu Hassan anaendelea kusimamia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Sekta ya afya, elimu na miundombinu….
Millya atembelea kituo cha utoaji huduma kwa pamoja cha Namanga
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki Mhe. James Kinyasi Millya (Mb.) ametembelea Kituo cha Utoaji Huduma kwa Pamoja Mpakani ( One Stop Boarder Post-OSBP ) cha Namanga kilichopo mkoani Arusha Januari 24,2026. Akitembelea kituoni hapo,…
Mafuriko yauwa watu 61 nchini Afghanistan
Theluji na mvua kubwa ambayo imenyesha kwa muda wa siku tatu zilizopita nchini Afghanistan, zimesababisha vifo vya zaidi ya watu 60 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 100 kote nchini humo. Msemaji wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kukabiliana na Maafa Yousaf…
Nanauka : Vijana ondokeni kwenye uchuuzi, njooni kwenye uzalishaji
Na Mwandishi Wetu Serikali imeendelea kusisitiza dhamira yake ya dhati katika kuwawezesha vijana kiuchumi kwa kuweka mikakati madhubuti itakayowainua kutoka kwenye uchuuzi wa mitaani na kuwa wazalishaji wakubwa na wamiliki wa biashara endelevu. Kupitia mpango wa Maeneo Maalumu ya Kiuchumi…
Rais Samia ameimarisha uchumi Geita kupitia ujenzi wa barabara -Prof. Shemdoe
Na Mwandishi Wetu, Geita WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuidhinisha Shilingi 1,035,047,200 za ujenzi wa dharura wa barabara ya Kasamwa- Gamashi yenye urefu wa kilomita 18,…





