JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TPDC na PURA hakikisheni Watanzania wananufaika na rasilimali za mafuta na gesi- Mhe Salome

📌Awekea mkazo upatikanaji wa ajira, huduma za kijamii na nishati nafuu 📌Apongeza PURA na TPDC kwa jitihada wanazofanya katika utafiti na uendelezaji wa Mafuta na Gesi Asilia 📌Asisitiza mazingira rafiki ya uwekezaji Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Salome Makamba amefanya…

Wanandembo wafanya maombi maalumu kuliombea amani taifa

Na Theophilida Felician, JanhuriMedia, Kagera Washiriki wa imani za asili (Wanandembo) Manispaa ya Bukoba mkoa Kagera wamefanya maombi maalumu ya kuliombea amani taifa na jamii kwa ujumla. Maombi hayo ya siku moja yamefanyika eneo maalumu linalofahamika Omurulembo lililopo mtaa wa…

Kichwa cha nyani na thamani yake katika ushenga na harusi kwa kabila la Wadadzabe

Na Mwandishi Maalum, Ngorongoro. Kabila la Wahadzabe ni moja ya makabila yaliyopo eneo la hifadhi ya Ngorongoro, makabila mengine ni pamoja na wamasai na wadatoga ambapo kwa pamoja yanaguswa na mradi wa Jiopaki ya Ngorongoro maarufu kama Ngorongoro-Lengai UNESCO Global…

Simbachawane : Maandamano yanayohamasishwa kufanyika Desemba 9 ni haramu haramu

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Mambo ya ndani, George Boniface Simbachawene amesisitiza kuwa maandamano yanayohamasishwa kufanyika kesho Jumanne Desemba 09, 2025 ni haramu na yatadhibitiwa na vyombo vya ulinzi na usalama ikiwa yatafanyika, akitaka wote wanaotaka kuandamana kufuata sheria na…

Dk Mwigulu : Wafanyabiashara wasinyang’anyqe bidhaa zao

WAZIRI Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa maagizo kwa viongozi wa majiji na halmashauri zote nchini kuhakikisha wafanyabiashara hawanyang’anywi bidhaa zao na badala yake wawaelekeze namna bora ya kufuata taratibu zilizowekwa. “…Msichukue bidhaa za raia; hizo ndio ofisi za raia wetu,…

Tanzania na Marekani zasonga mbele kukamilisha makubaliano makubwa ya uwekezaji

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo amefanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andrew Lentz, katika Ikulu ya Chamwino, kujadili maeneo muhimu ya ushirikiano na kuimarisha dhamira ya pamoja ya kujenga…