Latest Posts
MSD Kagera yapewa tano kwa usambazaji bidhaa za afya za bil.29/- RC ahimiza madeni kulipwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe.Kanali Yahya Ramadhan Kido, ameipongeza Bohari ya Dawa (MSD) Kanda ya Kagera kwa kufanikisha usambazaji wa bidhaa za afya kwa wakati zenye thamani ya shilingi bilioni 29 ambayo ni sawa…
Vijana 400 waagwa kwenda kufanya kazi nje ya nchi
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amewaaga vijana 400 wa Kitanzania wanaokwenda kufanya kazi nje ya nchi, akisisitiza umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii…
WRRB yapanua mfumo wa stakabadhi za ghala kwa bidhaa tano mpya
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Bw. Asangye Bangu, amesema Bodi inatarajia kuongeza bidhaa nyingine tano katika Mfumo wa Stakabadhi za Ghala ili kuendelea kuwanufaisha watanzania katika sekta mbalimbali. Akifungua kikao cha wadau cha kujadili…
Serikali yataka wadau kushirikiana na FCC kudhibiti bidhaa bandia
Serikali imetoa wito kwa wazalishaji, waingizaji bidhaa, wasambazaji, wafanyabiashara, vyombo vya habari, vyombo vya dola, mamlaka za forodha, Taasisi za umma, asasi mbalimbali pamoja na wananchi kwa ujumla kuendelea kushirikiana kwa karibu na Tume ya Ushindani (FCC) katika kubaini na…
Hospitali ya Shifaa yaja na tumaini jipya wanaosumbuliwa na kisukari
Na Mwandishi Wetu HOSPITALI ya Shifaa imeanzisha madarasa kwaajili ya kutoa elimu kuhusu umuhimu wa lishe bora na mtindo wa maisha ikiwa ni jitihada za kukabiliana na changamoto ya kisukari ambacho kimekuwa chanzo cha magonjwa mengi sugu. Hayo yalisemwa jana…
Prof. Mwegoha: Sekta binafsi nguzo muhimu katika kukabiliana na changamoto ya ajira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma CHUO Kikuu cha Mzumbe kimesema mafanikio ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 yatategemea kwa kiwango kikubwa ushiriki wa sekta binafsi, hususan katika kuzalisha ajira, kuvutia mitaji na kuharakisha ukuaji wa uchumi wa…





