JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kamati ya Kitaifa ya Ufungaji Migodi Yapitia Mpango wa Ufungaji wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu

Msalala, Kahama Kamati ya Kitaifa ya Ufungaji Migodi imepitia na kujadili Mpango wa Ufungaji wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu uliopo Halmashauri ya Msalala, Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga, ili kujiridhisha kama unakidhi matakwa ya sheria, kanuni na miongozo inayosimamia…

Tanzania, Oman zaimarisha ushirikiano wa kidijitali katika usimamizi wa nyaraka za Serikali

Serikali ya Tanzania imepokea vifaa vya kisasa vya Chumba cha Kanzi Data (Data Centre), vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) pamoja na miundombinu iliyoboreshwa ya mtandao kutoka Mamlaka ya Taifa ya Nyaraka na Kumbukumbu ya Sultanate ya Oman,…

Kafulila Kutoa Mhadhara wa Umma SUA Kuhusu Ubia na Mageuzi ya Kilimo

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP-Centre), imeandaa Mhadhara wa Umma utakaotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa PPP-CENTRE,  David Kafulila, siku ya Ijumaa, Julai 17, 2026. Mhadhara…

Korea Kaskazini na China zaimarisha ushirikiano wa kimkakati

China imetuma ujumbe wake wa ngazi za juu kwa majadiliano ya kuimarisha uhusiano na mshirika wake wa muda mrefu, Korea Kaskazini. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China, Wang Huning, amefanya mazungumzo mjini Pyongyang na ofisa mkuu…

Marekani yaanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Iran 

Marekani imesema imeanzisha wimbi jipya la mashambulizi dhidi ya Iran ikiwa ni usiku wa tano mfululizo, huku Rais Donald Trump akiionya Tehran kwamba “ni vyema ikaishi kwa nidhamu”. Jeshi la Marekani limesema mashambulizi hayo yalilenga uwezo wa kijeshi wa Iran…

Zelensky afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri

Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amempendekeza mkuu wa shirika la nishati la serikali la Naftogaz, Sergii Koretskyi, kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo. Pendekezo hilo tayari limewasilishwa bungeni ambapo kura inatarajiwa kupigwa mapema leo Alkhamis, kufuatia kujiuzulu kwa Waziri…