JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania, Qatar zafungua fursa mpya sekta ya madini

✅Al Mansour Group Yaonesha Nia Kuwekeza kwenye Uongezaji Thamani wa Dhahabu, Nikeli, Kobalti na Chuma ✅Teknolojia, Mitambo, Mafunzo na Uzalishaji wa Mbolea Vyatajwa Maeneo Muhimu ya Ushirikiano ✅Wachimbaji Wadogo Waguswa 📍 Doha, Qatar Tanzania imeendelea kupanua wigo wa ushirikiano wa…

TPSF yasifu viongozi wa BoT na TRA kwa utendaji uliotukuka

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) imesema inatambua na kuthamini uongozi na utendaji kazi wa viongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na kwamba ina kila sababu ya kuwapa…

MSD kuokoa bilioni 2.3 zilizokuwa zikitumika kukodisha maghala binafsi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bohari ya Dawa (MSD) inatarajia kuokoa zaidi ya Sh bilioni 2.3 kwa mwaka, ikiwa ni gharama ambazo zimekuwa zikitumika kukodisha maghala binafsi kwa ajili ya kuhifadhia bidhaa za afya. Tathimini hiyo imetolewa na…

Bei ya Petroli yashuka, Serikali yaweka ruzuku kwenye dizeli

Watumiaji wa petroli wamepata afueni mwezi Juni 2026 baada ya bei ya mafuta hayo kushuka ikilinganishwa na mwezi uliopita. Kwa Dar es Salaam, petroli sasa itauzwa kwa bei kikomo ya shilingi 4,086 kwa lita, hatua inayotarajiwa kupunguza gharama kwa watumiaji…

Makatibu Wakuu EAC wakutana kukamilisha maandalizi ya SCTIFI

MAKATIBU Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanaosimamia masuala ya mtangamano wamekutana katika Makao Makuu ya Jumuiya hiyo jijini Arusha kwa ajili ya kukamilisha maandalizi ya Mkutano wa 48 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa…