JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mvomero wapokea bilioni 1.1/- za kujenga shule mbili

•Prof. Shemdoe atoa wito kwa sekta binafsi kuwekeza katika ujenzi wa nyumba za watumishi Na. OWM–TAMISEMI, Mvomero Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la wananchi wa mvomero la kujengewa shule mbili za…

Masauni: Uhifadhi wa udongo ni msingi wa maendeleo endelevu

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inaendelea kuimarisha juhudi za kuhakikisha kuwa masuala ya uendelevu wa mazingira yanapewa kipaumbele katika ajenda ya maendeleo…

Bodi ya Nishati Vijijini Yaridhishwa na Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia Gereza la Manyoni

Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imeridhishwa na hatua, ubunifu na kasi ya mageuzi yanayotekelezwa na Gereza la Manyoni, mkoani Singida, katika kuachana na nishati isiyo safi na kuanza kutumia bidhaa na teknolojia za Nishati Safi ya Kupikia. Hayo yalisemwa Julai…

Tanzania yaenzi urithi wa Nelson Mandela, yaweka misisitizo kwa vijana

Tanzania imetumia maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela 2026 kusisitiza dhamira yake ya kuendeleza amani, umoja wa kitaifa, maridhiano na maendeleo jumuishi, huku ikiweka mkazo katika kuwawezesha vijana kama nguzo ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo…

Tanzania yataja vipaumbele vitatu kutekeleza ajaenda mpya ya miji hadi 2036

Na Munir Shemweta, New York SERIKALI ya Tanzania imetaja vipaumbele vitatu vitakavyoiongoza kuharakisha utekelezaji wa Ajenda Mpya ya Miji (New Urban Agenda) hadi mwaka 2036, vikilenga kuongeza upatikanaji wa makazi bora na nafuu, kuboresha huduma za msingi pamoja na kuimarisha…

Rais Dk Mwinyi awatembelea wagonjwa wa Zanzibar wanaopatiwa matibabu India

CHENNAI, INDIA, Julai 18, 2026 – Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewatembelea wagonjwa kutoka Zanzibar wanaopatiwa matibabu katika Hospitali ya MIOT International jijini Chennai, India, kupitia udhamini wa Serikali ya Mapinduzi ya…