Latest Posts
Tanzania yaenzi urithi wa Nelson Mandela, yaweka misisitizo kwa vijana
Tanzania imetumia maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela 2026 kusisitiza dhamira yake ya kuendeleza amani, umoja wa kitaifa, maridhiano na maendeleo jumuishi, huku ikiweka mkazo katika kuwawezesha vijana kama nguzo ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo…
Tanzania yataja vipaumbele vitatu kutekeleza ajaenda mpya ya miji hadi 2036
Na Munir Shemweta, New York SERIKALI ya Tanzania imetaja vipaumbele vitatu vitakavyoiongoza kuharakisha utekelezaji wa Ajenda Mpya ya Miji (New Urban Agenda) hadi mwaka 2036, vikilenga kuongeza upatikanaji wa makazi bora na nafuu, kuboresha huduma za msingi pamoja na kuimarisha…
Rais Dk Mwinyi awatembelea wagonjwa wa Zanzibar wanaopatiwa matibabu India
CHENNAI, INDIA, Julai 18, 2026 – Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewatembelea wagonjwa kutoka Zanzibar wanaopatiwa matibabu katika Hospitali ya MIOT International jijini Chennai, India, kupitia udhamini wa Serikali ya Mapinduzi ya…
Katambi aongoza kikao cha kupambana na usafirishaji haramu wa binadamu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ameongoza Kikao Kazi na Viongozi wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu ambapo lengo la kikao hicho ni kuhakikisha taifa linakua salama, kuimarisha na kulinda wananchi juu…
REA yaondoa giza Kitongoji cha Simanjiro, furaha yatawala
-Wananchi wapongeza, waeleza matumaini ya ajira na maendeleo SINGIDA-Wananchi wa Kitongoji cha Simanjiro, Kijiji cha Maweni wilayani Manyoni, wameushukuru Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kuwafikishia huduma ya umeme, wakisema hatua hiyo itachochea maendeleo ya kiuchumi, kuboresha huduma za kijamii…
Makonda: Arusha inajiandaa kuwa kitovu cha tiba utalii na huduma za moyo
Na Mwandishi Wetu, Arusha Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Mbunge wa Arusha, Paul Christian Makonda, ameridhishwa na maboresho yanayoendelea katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center inayotoa huduma kwa ushirikiano na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete,…





