JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Yapitisha maazimio 15 kuendeleza matumizi ya AI na kuhamasisha ubunifu

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kupitia Kamisheni ya Sayansi na Teknolojia ya Jumuiya hiyo (EASTECO), kwa kushirikiana na Baraza la Vyuo Vikuu la Afrika Mashariki (IUCEA) na wadau wa maendeleo, imetoa motisha ya kifedha kwa vijana wabunifu kama njia mojawapo…

LATRA yaonya upandishaji nauli, yaitisha kikao cha wadau haraka

Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Kibaha WAKATI bei ya mafuta ikipanda zaidi kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA), umewasihi wasafirishaji na wamiliki wa vyombo vya usafiri kutopandisha nauli. Mbali ya kuwasihi hivyo,…

CCM yatoa pole kifo cha Rais Mstaafu wa Algeria

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Rabia Abdalla Hamid amewasilisha salamu za pole za Chama kwa Algeria, kutokana na kifo cha Rais Mstaafu wa nchi hiyo, Liamine Zeroual….

Dk Dugange azindua zoezi la upandaji miti kumbukizi ya Mwalimu Nyerere

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange amezindua zoezi la upandaji wa miti kuelekea kumbukizi ya miaka 104 ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa Hayati Julius Kambarage Nyerere Aprili 11, 2026. Zoezi hilo…