JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndejembi alieleza Baraza la IRENA, Tanzania ina fursa kubwa ya kuendeleza nishati ya jotoardhi

📌Asisitiza ushirikiano wa taasisi za kifedha na Jumuiya za Kimataifa hasa katika hatua za utafiti  📌Akaribisha wawekezaji; Asema Serikali inaendelea kuboresha mifumo ya uwekezaji ikiwemo upatikanaji vibali na lesenii  📌Asema Tanzania ina maeneo 52 ya jotoardhi yenye uwezo wa kuzalisha megawati 5000 Waziri…

Serikali yaonya wataalamu wa ardhi wasio waadilifu

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora SERIKALI imewataka watumishi wa sekta ya ardhi nchini kufanya kazi kwa weledi na uadilifu ili kuhakikisha migogoro ya ardhi iliyopo katika maeneo yao inatatuliwa kwa wakati ili kuepusha malalamiko ya wananchi. Onyo hilo limetolewa na…

Manispaa ya Kibaha yafungua shule mbili mpya za mchepuo wa kiingereza

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha mwaka 2026 imejenga na kufungua shule mpya za awali na msingi za mchepuo wa Kiingereza, hatua inayolenga kukidhi mahitaji ya wananchi waliokuwa wakihitaji huduma hiyo kwa gharama nafuu. Miongoni mwa…

Mbaroni kwa tuhuma za kumpiga na kumchoma moto mtoto

Kufuatia habari iliyoiripotiwa kupitia ukurasa wa Instagram wa Mheshimiwa Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, tarehe 11 Januari, 2026 kuhusu tukio la ukatili dhidi ya mtoto katika eneo la Kinyerezi, Jeshi la Polisi…

Ado aongoza kikao cha Kamati Tendaji Taifa cha ACT-Wazalendo

Katibu Mkuu wa Chama cha ACT-WazeldnoTaifa, Ado Shaib, ameongoza kikao cha Kamati Tendaji ya Taifa cha chama hicho kilicholenga kupitia masuala mbalimbali ya kiutendaji, yakiwemo maandalizi ya kikao kijacho cha Kamati Kuu. Kikao hicho kimefanyika katika Ofisi za Makao Makuu…

Makumbusho ya Taifa ya Tanzania yapokea watalii 100 kutoka meli ya kifahali ya utalii (Cruise Ship)

Makumbusho ya Taifa ya Tanzania (NMT) imepokea zaidi ya watalii 100 walioingia nchini kupitia meli ya kifahari ya utalii (Cruise Ship), Ziara hiyo ni uthibitisho wa kuimarika kwa sekta ya utalii wa kitamaduni na juhudi za Serikali katika kufungua na…