JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kapinga: Dhana ya taka sifuri inafungua za biashara na viwanda

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amesema dhana ya taka sifuri na urejeshaji bidhaa ni fursa muhimu ya kukuza sekta ya viwanda, kuongeza thamani ya malighafi na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa. Akizungumza katika kikao cha mawaziri…

Ushirikiano sekta binafsi nyenzo muhimu ya mageuzi sekta ya afya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam USHIRIKIANO kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) unazidi kuonekana kuwa nyenzo muhimu katika kuleta mageuzi ya sekta ya afya nchini Tanzania, huku wataalamu wakisisitiza kuwa ushirikiano huo ni muhimu katika…

Vijana 100 bora waingia mafunzoni shindano vijana uchumi challenge 2026

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Katibu wa Kamati ya Kitaifa ya shindano la Vijana Uchumi Challenge 2026,Amina Sanga ametangaza rasmi majina ya vijana 100 bora waliofanikiwa kuingia hatua inayofuata ya shindano hilo baada ya mchakato mkali ulioshirikisha jumla ya maombi 7,852…

Dk Mwigulu aagiza uchunguzi wa mapato ya maegesho Ifunda

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amemwagiza Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Iringa kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ukusanyaji wa mapato ya maegesho katika eneo la Ifunda wilayani Iringa na kuwasilisha taarifa kamili kuhusu namna mapato hayo yalivyokuwa yakikusanywa kabla na…

Ole Millya akemea uuzwaji ardhi Simanjiro

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Mirerani NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki James Ole Millya ambaye pia ni Mbunge wa Simanjiro Mkoani Manyara, amekemea vikali uuzwaji holela wa ardhi unafanywa baadhi ya viongozi wa vijiji. Ole…

Ongezeko la mapato Pwani lachangia mafanikio ya utekelezaji wa ilani Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani umeendelea kutekeleza kwa mafanikio Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku ongezeko la makusanyo ya mapato kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na halmashauri likiimarisha uwezo wa serikali wa kugharamia na kutekeleza…