JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri Mkuu: Tutafute mbinu mpya za kukieneza kiswahili

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuna haja ya kutafuta mbinu mpya ya kukieneza Kiswahili baada ya kuwa kimepata hadhi ya kimataifa. “Kadiri Kiswahili kinavyoendelea kupata hadhi ya kimataifa, ni muhimu sasa kuanza kutazama hatua inayofuata ya kukieneza duniani. Mataifa…

Wasimamizi wa ghala waagizwa kuzingatia uadilifu na uweledi

Na.Mwandishi Wetu, Morogoro Watumishi na wasimamizi wa shughuli za ghala nchini wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, weledi na uwajibikaji ili kuimarisha Mfumo wa Stakabadhi za Ghala na kuongeza ufanisi katika biashara ya mazao ya kilimo. Wito huo umetolewa na…

Mifugo iliyohifadhiwa ghalani kuwa dhamana ya mikopo kwa wafugaji

Wafugaji nchini wanatarajiwa kunufaika na biashara ya kisasa ya mifugo baada ya Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kuanza kuingiza mifugo katika Mfumo wa Stakabadhi za Ghala, utakaounganisha taarifa za mifugo kidijitali na kuwawezesha wanunuzi kushindana kwa uwazi…

Wazalishaji kutumia alama ya ‘Made in Tanzania’ kuongeza ushindani kimataifa

Serikali imewaagiza wazalishaji wote nchini kutumia alama ya ‘Made in Tanzania’ ili kuongeza imani kwa bidhaa zinazozalishwa nchini na kuimarisha ushindani wake katika masoko ya kimataifa. Agizo hilo limetolewa  na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe….

Tanzania yatoa wito wa ushirikiano wa kimataifa katika matumizi ya akili unde

Tanzania imezitaka Nchi Duniani kuimarisha ushirikiano wa kimataifa katika maendeleo na usimamizi wa Akili Unde (AI) ili kuhakikisha mataifa yote yananufaika kwa usawa na fursa zinazotokana na teknolojia hiyo. Wito huo umetolewa leo tarehe 6 Julai, 2026 na Waziri wa…

Viongozi wa vijiji waonywa kujihusisha na uuzaji wa ardhi kiholela

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Misungwi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo amewatahadharisha viongozi wa vijiji nchini kuacha kujihusisha moja kwa moja na uuzaji wa ardhi bila kufuata taratibu za kisheria, akisema tabia hiyo imekuwa…