JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Umoja wa kitaifa ni muhimu katika utekelezaji wa Dira 2050 – Waziri Sangu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Serikali imeviasa vyama vya siasa kuendelea kuimarisha mazungumzo, ushirikiano na umoja wa kitaifa wakati Tanzania ikijiandaa kuanza kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 mwezi Julai mwaka huu. Wito huo umetolewa na Waziri wa Nchi,…

Ndege agawa kompyta, meza, kabati kwa shule na zahanati Babati

Na Mwandishi Wetu, Babati NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Regina Ndege Qwaray amegawa viti 45, kompyuta 36, makabati na meza kwa shule za msingi, sekondari, zahanati na vituo vya Afya,…

OWM yashiriki Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2026

Na Mwandishi Wetu , JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Bi. Stella Mwaiswaga pamoja na Watumishi wengine kutoka Ofisi hiyo wameshiriki ufunguzi wa Maonesho…

TANESCO muongeze vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme -Ridhiwani

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amelitaka Shirika la umeme Tanzania ( TANESCO) kuongeza vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia nishati ya umeme ili kuongeza wigo wa utoaji…

Tanzania yazindi kupata uwekezaji kutoka mataifa ya nje

Na Mwandishi Wetu WADAU wa mazingira kutoka Taasisi ya Hanns R. Neumann Stiftung (HRNS) ya Ujerumani wameonesha nia ya kuwekeza na kushirikiana na Tanzania katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu ikiwemo uhifadhi wa mazingira, nishati safi, biashara ya…

Marekani na Iran wasaini makubaliano ya kumaliza vita

Makubaliano ya msingi kati ya Marekani na Iran yenye lengo la kumaliza vita yameanza rasmi kutekelezwa baada ya kutiwa saini kidiijitali na marais wa nchi hizo mbili. Hayo ni kwa mujibu wa maafisa wa pande zote mbili. Kwa mujibu wa…