Latest Posts
Rais Samia atoa sh. bilioni 15 maboresho shule ya Polisi Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa Shilingi Bilioni 25 ikiwa ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa wakati wa Kikao cha Maafisa Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Polisi kilichofanyika mwaka 2024 lengo ikiwa…
Wananchi Duluti waibuka na mkakati wa kupanda miti kulinda barabara
📌Miundombinu mipya imerahisisha usafirishaji wa vikonyo vya mimea na kuchochea maendeleo Arumeru Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arumeru Wananchi wa kijiji cha Duluti wilayani Arumeru mkoani Arusha wameweka mkakati wa kupanda miti kandokando ya barabara mpya ya lami ya Sangisi-Nambala yenye…
Airtel Tanzania yazindua maduka 17 ya Smart Shops Dar, kukuza huduma za kidijitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza huduma za mawasiliano nchini, imezindua maduka mapya 17 ya Airtel Smart Shops jijini Dar es Salaam. Maduka haya ni sehemu ya mtandao wa maduka 31 nchini kote, ukiwa na…
Kamati ya Bunge TAMISEMI yataka fedha kuongezwa kukamilisha barabara za Pichandege -SGR na Kongowe
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya TAMISEMI imeielekeza Serikali kuongeza fedha ili kukamilisha ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami ya Pichandege–Sofu–Bokomnemela kutokana na umuhimu wake katika kurahisisha usafiri wa wananchi kuelekea Stesheni ya SGR….
Tanzania yashiriki mkutano wa Umoja wa Afrika masuala ya wanawake na jinsia Mkutano wa CSW 70
Na WMJJWM-New York Marekani Tanzania imeshiriki Mkutano wa masuala ya Jinsia na Wanawake wa nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kando ya Mkutano wa 70 wa Hali ya Wanawake Duniani unaendelea jijini New York nchini Marekani kwa lengo la…
CRDB yawataka wananchi kuchanja kidigitali ili kushinda safari ya kungalia kombe la Dunia
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya CRDB imewataka wananchi kuchanja kidital ili kushinda safari ya kwenda kungalia kombe la Dunia Akizungumza na waandishi wa habari mkurugenzi wa wateja wadogo na wakati Boniventure Paul ,alipokuwa akizindua kampeni ya…





