Latest Posts
Wamiliki viwanda vipya watakiwa kuajiri wazawa kukuza biashara na uchumi
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amewashauri Wamiliki wa Viwanda vipya Kutoa kipaumbele kwa wazawa katika ajira ili kukuza uchumi na mapato ya Taifa kwa ujumla. Akizungumza wakati wa akifungua wa Kiwanda kipya cha kutengeneza tambi za papo…
Wahimizwa kutumia fursa ya biashara China
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Darv3s Salaam Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga,amewahimiza wafanyabiashara nchini kutumia fursa ya sera ya “uchumi sifuri” iliyotolewa na China ili kukuza biashara na uchumi wao. Hayo ameyasema wakati wa mkutanowa wadau wa biashara kuhusu…
Waziri Ndejembi aweka jiwe la msingi mradi wa kusafirisha umeme Benaco – Kyaka
📌Lengo ni kuunganisha Mkoa wa Kagera na Gridi ya Taifa 📌Zaidi ya bilioni 270 zitatumika kutekeleza mradi Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Deogratius Ndejembi, ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti…
Kamati ya Bunge ya Nishati yafurahishwa na uwekezaji unaofanywa na Oryx kwa kuchochea maendeleo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema kuwa uwekezaji unaofanywa na Oryx Energies Tanzania Limited ni kielelezo cha mafanikio ya juhudi za Serikali katika kuimarisha sekta binafsi na kuongeza mchango…
ACT yaomba Serikali ipunguze tozo kutokana hali ya maisha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKATI wananchi wakilalamikia kupanda kwa gharama za maisha nchini, Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kuondoa angalau Sh. 500 katika kodi na tozo za mafuta kwa kila lita ili kupunguza mzigo unaoendelea kuwaathiri…
Waziri Kapinga : Ushirikiano wa Tanzania na EU ufungue milango ya kiuchumi na sio utegemezi
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amesema Tanzania itaendelea kuimarisha mazingira ya biashara na uwekezaji ili kuhakikisha sekta binafsi, hususan wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs), wanakuwa chachu ya maendeleo ya uchumi wa taifa. Waziri Kapinga aliyasema hayo Mei…





