Latest Posts
Waziri Mkuu awapa tano wajumbe ALAT
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amewapongeza wajumbe wa ALAT kwa kuwa kinara katika usimamizi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa nchini. Dkt. Nchemba amezungumza hayo katika ufunguzi wa Mkutano wa ALAT unaofanyika jijini Arusha…
Rais Samia : Kilichotokea Oktoba 29 ni janga na doa kubwa kwa Taifa letu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amepokea rasmi Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Ghasia na Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Tukio…
Tanzania yatoa wito kwa EAC kuimarisha ushirikiano katika ulinzi na usimamizi wa maliasili
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa wito kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuimarisha zaidi ushirikiano wa kikanda katika kulinda na kusimamizi endelevu wa mazingira na maliasili, ikisisitiza umuhimu wa jitihada za pamoja katika kukabiliana na changamoto zinazoendelea…
Silinde azindua Baraza la Sita la wafanyakazi NIRC, ahimiza uwajibikaji
📍NIRC Dodoma Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde, amezindua Baraza la Sita la Wafanyakazi la Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), huku akitoa wito kwa watumishi wa Tume hiyo kudumisha umoja na kutokubali kukatishwa tamaa na sauti chache za…
Serikali yadhamiria kuibadili sura ya Sinza
Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 sinza ilikuwa na wakazi 40,546 lakini idadi hiyo ilipungua hadi kufikia 31,396 mwaka 2022. Licha ya kupungua kwa idadi ya wakazi bado…
Kiwanda cha kuchakata madini chumvi mbioni kukamilika Lindi
*Wadau wa chumvi kuanza kuuza chumvi iliyochakatwa *Zaidi ya tani 60 hadi 100 kuchakatwa kwa mwezi *Wazalishaji wa chumvi waipongeza serikali kwa utatuzi wa changamoto Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika juhudi za kuendeleza na kuboresha uzalishaji wa madini chumvi…




