Latest Posts
Tumerejesha mawasiliano daraja la Nguva -Sanga
โข Akagua na kuipongeza Serikali kuchukua hatua za haraka โข Daraja hilo sasa kukamilika Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigamboni Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Mhe. ๐๐ฎ๐ฟ๐ฎ๐ป ๐ฆ๐ฎ๐ป๐ด๐ฎ ameipongeza Serikali kwa hatua za haraka za kurejesha mawasiliano katika Daraja la Nguva…
Miaka 30 kwa kujaribu kumbaka kikongwe
Mahakama ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela James Hashimu Chingwaru (20), mkazi wa Kijiji cha Mtina, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kujaribu kumbaka bibi mwenye umri wa miaka 75. Adhabu hiyo imetolewa…
Nimezindua madarasa yatakayoondoa msongamano wa wanafunzi -Prof. Shemdoe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bumbuli Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM -TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema kuwa amezindua madarasa matatu katika Shule ya Sekondari Kilivicha wilayani Bumbuli ambayo yataondoa changamoto…
TANESCO yagusa mioyo ya watoto wenye mahitaji maalum
๐Ni sehemu ya uwajibikaji wake kwa jamii ๐Yatoa misaada mbalimbali kwa vituo vitatu Dar es Salaam. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuendeleza dhamira ya uwajibikaji kwa jamii, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), tarehe 19 Machi 2026, lilifanya…
Wanafunzi Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Njombe wapata elimu kuhusu haki za malaji
……………….. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe TUME ya Ushindani (FCC) kanda ya Nyanda za Juu Kusini imetoa elimu kwa wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Njombe (FDC) kuhusu masuala ya kumlinda mlaji, ikiwemo haki na wajibu wa mlaji pamoja…
Mkandarasi anayejenga barabara ya uwanja wa AFCON 2027 Arusha hatoongezewa muda -Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameitaka kampuni ya M/s China Railway Construction Engineering Group kuhakikisha ifikapo Mei 2027 iwe imekamilisha ujenzi wa miundombinu ya bababara za kuelekea na…





