Latest Posts
REA yaandika historia mpya Korogwe
📌Yakabidhi mradi kwa TANESCO 📌Vitongoji vitano Mpale kufikishiwa umeme wa Gridi 📌Bodi ya REA yasisitiza kuchangamkia fursa uwepo wa nishati ya umeme 📍Korogwe – Tanga Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Kamishna Mstaafu wa Uhifadhi, Mhe. William Mwakilema, amesema Serikali itaendelea…
Wezi wa ng’ombe waenda jela miaka mitano Simanjiro
Na Mwandishi Wetu, Simanjiro WEZI wawili wamehukumiwa na mahakama ya mwanzo Shambarai wilayani Simanjiro mkoani Manyara, kifungo cha miaka mitano jela kila mmoja kwa kosa la wizi wa ng’ombe wa thamani ya Sh2.5 milioni Mshtakiwa wa kwanza Lazaro Miaroni mkazi…
Wasiojulikana wavamia Vikawe, wawili wafariki, 14 wajeruhiwa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WATU wawili wamefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa kufuatia mgogoro wa ardhi uliotokea katika eneo la Vikawe (Lupaso), Kata ya Pangani, Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani. Akizungumza Mei 6, 2026, ofisini kwake wakati wa mkutano…
Maandalizi usiku wa tuzo za BMT kwa wanamichezo bora msimu wa 4 2025 yafikia asilimia 90
Maandalizi ya utoaji tuzo za wanamichezo bora waliofanya vizuri mwaka 2025 zinazotolewa na Baraza la Michezo la Taifa (BMT) yamefikia 90% ambapo shughuli hiyo itafanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki, tarehe 9 Mei, 2026 kuanzia saa 12 jioni….
Ushirikiano wa kimataifa waibua matumaini kwa wagonjwa wa moyo JKCI
Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeendelea kuimarisha huduma za matibabu kwa wagonjwa wenye matatizo ya moyo kupitia ushirikiano wa kimataifa unaolenga kubadilishana uzoefu na ujuzi na wataalamu kutoka mataifa mbalimbali yaliyobobea katika…





