Latest Posts
Mkoa wa Dar es Salaam kuanzishwa tuzo maalumu shule zitakazofanya vizuri kiitaifa
Na Mwandishi wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametangaza kuanzishwa kwa tuzo maalum zitakazotolewa kwa shule zitakazofanya vizuri katika matokeo ya jumla ya kitaifa, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuinua kiwango cha elimu…
Tanzania imeimarisha maendeleo na haki za kijamii
Na Mwandishi Wetu WMMJW-New York Marekani Tanzania chini ya uongozi Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania maendeleo ya jamii na haki za kijamii yameimarika na kuwa kati ya vipaumbele vya Ajenda ya Kitaifa…
Profesa Kairuki akumbukwa Mtanzania wa mwanzo kuanzisha hospitali binafsi
Na Mwandishi Wetu MWANZILISHI Mtandao wa Afya na Elimu Kairuki (KHEN) na Hospitali ya Kairuki, Profesa Hubert Kairuki ametajwa kama mtu alieacha alama isiyofutika kwenye maisha ya watanzania kutokana na maono aliyokuwa nayo wakati wa uhai wake. Hayo yaliibuliwa na…
Museven awasilia jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, amewasili jijini Dar es Salaam, Tanzania, kwa ziara ya kikazi ya siku moja. Mara baada ya kuwasili, Rais Museveni atafanya mazungumzo ya pande mbili na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya…
Rais Samia atekeleza ahadi ya wanawake, vijana ndani ya siku 100
-Bilioni 200 zatua kwa Waziri wa Vijana kwa utekelezaji Na Byarugaba Innocent, OR-MV Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais anayeshughulikia Maendeleo ya Vijana Mhe.Joel Arthur Nanauka Februari 5, 2026 amepokea hundi yenye thamani ya Shilingi bilioni 200 kwa ajili ya…
RC Chalamila : Wamachinga achieni njia za kuingia soko la Kariakoo kabla ya Februari 8
Na Mwandishi wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila amewataka Katika hatua wafanyabiashara wadogo waliovamia na kufunga njia za kuingia sokoni kuondoa shughuli zao mara moja na kuziacha barabara wazi kabla ya Februari 8,…





