JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Makongoro Nyerere ashinda Safari ya Kombe la Dunia 2026 Kupitia Kampeni ya CRDB Tembo Visa Card

Benki ya CRDB Bank Plc imeendesha droo ya pili ya kampeni yake ya FIFA World Cup 2026 – “Fainali Ndiyo Mpango na Tembo Card Visa”, ikiwapa wateja nafasi ya kujishindia safari ya kwenda kushuhudia fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika…

JKCI yawapima watu 314 magonjwa ya moyo Njombe, 37 wapewa rufaa ya kibingwa

Jumla ya watu 314 wamepata huduma za uchunguzi wa magonjwa ya moyo katika Kikao Kazi cha 21 cha Maafisa Habari, Mawasiliano, Itifaki na Uhusiano Serikalini kilichomalizika hivi karibuni mjini Njombe ambacho kiliandaliwa na Idara ya Habari – Maelezo. Huduma hizo…

Viongozi Afrika na Ufaransa wajadili uwekezaji na maendeleo

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Mei 11, 2026 ameshiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa Ushirikiano kati ya Afrika na Ufaransa (Africa Forward: Africa–France Partnership for Innovation and Growth Summit) unaofanyika jijini Nairobi, Kenya. Mkutano huo umewakutanisha Wakuu wa Nchi…

Serikali Awamu ya Sita imetatua hoja 15 za muungano

Serikali ya Awamu ya Sita katika kipindi cha kwanza imetatua na kupatia ufumbuzi jumla ya hoja 15 kati ya hoja 18 za Muungano na kuondolewa kwenye orodha ya hoja za Muungano zilizokuwepo.Hatua hiyo imeonesha dhamira ya dhati katika kuuenzi, kuulinda…