JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

GCLA yatumia Sabasaba kutoa elimu ya usalama wa kemikali na huduma za maabara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imesema imejipanga kutumia Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kuwaelimisha wananchi kuhusu matumizi salama ya kemikali, uchunguzi wa…

Tanzania, Angola zataka kuongeza biashara na uwekezaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania na Angola zimeahidi kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kwa kuongeza biashara na uwekezaji kati ya nchi hizo mbili, huku zikisisitiza umuhimu wa kutumia fursa zilizopo kuchochea ukuaji wa uchumi na uzalishaji wa viwanda….

Waziri Mkuu awasili Ufaransa kumwakilisha Rais Samia maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili jijini Paris, Ufaransa leo, Julai 6, 2026, kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani yanayofanyika katika Makao Makuu ya UNESCO. Mara baada…

Rais Samia awajulia hali Sheikh Rashid,  Pacome

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali Sheikh Rashid Hamad Othman, Mlezi wa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha ACT Wazalendo, Mhe. Othman Masoud Othman, anayepatiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan Jijini…

Breaking News: NECTA yatangaza matokeo kidato cha sita, kiwango cha ufaulu chaongezeka

Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Sita na Mitihani ya Ualimu ya Mei 2026, yakionyesha ongezeko la kiwango cha ufaulu ambapo watahiniwa wa shule wamefaulu kwa asilimia 99.92. Akizungumza wakati wa kutangaza matokeo…

Wananchi wahamasishwa kutumia umeme katika vyombo vya usafiri kupunguza gharama za usafiri

📌 TANESCO yaeleza matumizi ya umeme katika magari, bajaji na pikipiki 📌 Pikipiki ya umeme hutumia uniti 3 pekee kusafiri hadi kilometa 130 Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wananchi wamehimizwa kutumia umeme katika vyombo vya usafiri ili kupunguza gharama…