Latest Posts
MD Twange atoa rai kwa mameneja TANESCO kuongeza kasi kupambana na wizi wa miundombinu ya umeme
📌Afungua Mkutano Mkuu wa mwaka wa Mameneja na Wakurugenzi wa Kanda, Dodoma 📌Asisitiza umuhimu wa kuongeza ubunifu katika ukusanyaji wa mapato 📌Awapongeza kwa kazi nzuri na kuendelea kuimarisha mahusiano na wadau Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw….
Wiki ya Utumishi wa Umma yasogeza huduma za Taasisi za Umma karibu na wananchi
Dodoma Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ya mwaka 2026 yameonesha kwa vitendo namna taasisi za umma zinavyoendelea kusogeza huduma karibu na wananchi kwa kutumia majukwaa mbalimbali ya utoaji huduma, elimu na utatuzi wa changamoto. Kupitia maonesho hayo, maelfu…
Serikali yawakuna wabunge waimwagia sifa marekebisho ya kodi, ushuru na bidhaa
Na Benny Mwaipaja, Dodoma Wabunge wameipongeza Serikali kwa usikivu na umakini wake kwa kukubali kufanyia marekebisho baadhi ya tozo, kodi na ada mbalimbali zilizokuwa zikipendezwa kwenye Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwakanwa fedha 2026/2027, iliyopitishwa jana bungeni Jijini Dodoma. Miongoni…
Prof. Shemdoe : Maafisa utumishi waliokwamisha watumishi kupanda madaraja wachukuliwe hatua
â—ŹAelekeza kijana mlemavu Joseph kupewa ajira ya kudumu Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amemuelekeza Katibu Mkuu – UTUMISHI Bw. Juma Selemani…
Wizara ya Nishati yaendelea kutumia nishati safi Expo kutoa elimu kwa wananchi
Dar es Salaam Wizara ya Nishati inaendelea kutoa elimu ya nishati safi ya kupikia kwa wananchi mbalimbali wanaoshiriki Kongamano la Nishati Safi Expo 2026 linaloendelea jijini Dar es Salaam hatua inayolenga kuimarisha afya za wananchi, kuhifadhi mazingira na kuboresha ustawi…
FCC yaongeza uhamasishaji kuelekea Siku ya Udhibiti wa Bidhaa Bandia
Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) imeendelea kuimarisha kampeni ya utoaji elimu kwa umma kuhusu madhara ya biashara ya bidhaa bandia, ikisisitiza kuwa utengenezaji, usambazaji na uuzaji wa bidhaa hizo ni kosa la jinai linaloadhibiwa kwa mujibu wa sheria za nchi….





