Latest Posts
Chobo ataka ushirikiano wa kuchochea maendeleo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Rufiji, ambae pia ni Diwani wa Kata ya Shela Abdul Chobo, amewataka watumishi wa umma kushirikiana katika kutatua changamoto zilizopo kulingana na taaluma zao, ili kuiinua jamii katika sekta mbalimbali….
Serikali yadhamiria mageuzi makubwa ya elimu kwa vitendo
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imejidhatiti kuhakikisha inafanya mageuzi makubwa ya elimu ujuzi kwa vitendo kuhakikisha wanaongeza vyuo vya Veta ili kusaidia vijana wanapata ujuzi katika fani mbalimbali ili wasitegemee kuajiriwa bali…
Slovakia yafungua ubalozi nchini Tanzania
Balozi Mteule wa kwanza wa Slovakia nchini Tanzania, Mhe. Ivan Lančarič amewasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe jijini Dodoma Desemba 10, 2025. Mhe. Lančarič…
Wawekezaji Kwala waleta neema kwa Watanzania
Serikali kupitia Wizara mbalimbali kwa kushirikiana na Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA), imejipanga kuratibu uwekezaji wa viwanda 200 vyenye thamani ya shilingi trilioni 10, hatua inayotarajiwa kuleta manufaa kwa Taifa ikiwemo kuzalisha ajira 100,000. Hatua…
Maghembe apokea nakala za hati za utambulisho za balozi mteule Namibia nchini
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Ngwaru Maghembe amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Namibia nchini, Mhe. Gabriel Sinimbo, katika tukio lililofanyika katika Ofisi za Wizara…




