Latest Posts
TPHPA yaokoa zaidi ya Tani milioni 1.4 za mazao na kufungua masoko mapya ya nje
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Tanzania imefikia kiwango cha utoshelevu wa chakula cha asilimia 130, huku uzalishaji ukifikia tani 23.8 milioni katika mwaka wa fedha 2025/2026, huku Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) ikisema hatua za kudhibiti visumbufu…
Tanzania yaunga mkono teknolojia bunifu za nyuklia kupitia mpango wa Atlas
Washington Dc, Waziri wa Nishati na Makamu wa Rais Mteule, Mhe. Deogratius Ndejembi, amelipongeza Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) kwa juhudi zake za kuwezesha uzinduzi wa Mpango wa Teknolojia za Atomiki Zilizopewa Leseni ya Matumizi ya Baharini…
ACT Wazalendo: Kutekelezwa maridhiano sio hisani wala zawadi ya CCM
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mwenyekiti wa Taifa wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema utekelezaji wa makubaliano ya maridhiano ya kisiasa yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya chama hicho na CCM si hisani wala zawadi kutoka kwa mamlaka zinazotawala, bali…
RC Makalla aagiza maandalizi yadharura kabla ya mvua za El Nino, TMA yaonya
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Arusha MKUU wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla, amezitaka mamlaka za wilaya pamoja na Kamati za Maafa mkoani humo kujiandaa mapema kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua za msimu wa Vuli 2026 zinazotarajiwa…
Makalla aagiza Kamati za Maafa Arusha kujiandaa na mvua za El Nino
Na Mwandishi Maalumu RS Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Gabriel Makalla amewaagiza wakuu wa wilaya za Mkoa wa Arusha na Kamati zao za Usalama kujipanga kukabiliana na uwepo wa mvua za Elnino zinazotarajiwa kunyesha kuanzia mwezi Septemba…
Ndejembi mfano wa mwanasiasa aliyepanda hatua kwa hatua
Deo Ndejembi ni miongoni mwa wanasiasa ambao wamepanda hatua kwa hatua katika uongozi wa Serikali na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ndejembi alianza kujijenga kisiasa kupitia UVCCM, kabla ya kuingia kwenye nafasi za uongozi wa Serikali. Mwaka 2016, aliteuliwa kuwa Mkuu…





