Latest Posts
Bandari ya Mtwara yawania kuteka soko kubwa zaidi ndani ya SADC
Na Florid Mapunda, Mtwara Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) iliundwa kwa malengo ya kuboresha ushirikiano kati ya nchi huru wanachama, kuhakikisha ulinzi na usalama wa nchi hizo na kukuza biashara baina yao ili uhuru uwe na maana kwa…
Wakulima waonja matunda ya stakabadhi za ghala, mauzo yapanda kwa asilimia 43.6
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Biashara ya mazao kupitia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala imeendelea kushika kasi nchini baada ya wakulima kuuza zaidi ya kilo bilioni 1.122 za mazao na kuingiza Shilingi trilioni 2.298 katika mwaka wa fedha 2025/26, ikiwa…
ASGM yazalisha asilimia 40 ya dhahabu Tanzania, matumizi ya zebaki yaendelea kuwa changamoto
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia ,Dodoma Sekta ya uchimbaji mdogo wa dhahabu (ASGM) imeendelea kuwa nguzo muhimu kwa sekta ya madini nchini kwa kuchangia sehemu kubwa ya uzalishaji wa dhahabu na kutoa ajira nyingi, huku matumizi ya zebaki yakitajwa kuwa moja…
Wadau wahamasisha teknolojia mbadala kupunguza matumizi ya zebaki migodini
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Takribani watoto 10,000 nchini wanahusishwa na shughuli za uchimbaji mdogo wa dhahabu zinazotumia zebaki hali inayowaweka katika hatari ya kupata madhara ya kiafya kutokana na sumu ya kemikali hiyo.Mbali na watoto, wanawake kati ya asilimia 20…
Prof. Nombo: Ujuzi wa kisasa ni nguzo ya viwanda na teknolojia
Na Mwandishi Wetu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amesema Programu ya Pili ya Kukuza Ujuzi na Stadi za Kazi (ESPJ II) ni hatua ya kimkakati inayolenga kuongeza ajira zenye tija na kuimarisha ustawi…
Mbio za mwenge zazindua mradi wa nishati safi Simiyu
📌 Shule ya Sekondari Nkololo yaachana na kuni pamoja na mkaa Bariadi, Simiyu📍 Timu ya Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa imezindua rasmi mradi mkubwa wa ujenzi wa miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika Shule ya Sekondari Nkololo, iliyopo…





