Latest Posts
GCLA endeleeni kuwajengea uwezo wadau wa tiba asilia
Na Mwanaheri Jazza Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dkt. Elizabeth Myema, ameipongeza Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa kutoa huduma bora kwa jamii huku akiitaka Mamlaka kuendelea kuwajengea uwezo wadau wanaojihusisha na Tiba Asili kwa kuzalisha…
11 mbaroni tuhuma za wizi wa miundombinu ya TTCL
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linawashikilia watu 11 kwa tuhuma za wizi, uharibifu na uhujumu wa miundombinu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Watuhumiwa hao, akiwemo Timoth Emesho maarufu kwa jina…
Waziri Kiikwete : Somalia imekuja kujifunza mafanikio ya matumizi ya mifumo ya kidijitari
Na Lusungu Helela, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhwani Kikwete, amesema uamuzi wa Serikali ya Somalia kumtuma Waziri mwenye dhamana ya Utumishi wa Umma nchini Tanzania ni ishara ya…
DC Nickson : Wazazi shirikiane na Serikali kufanikisha chanjo ya Polio
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WAZAZI na walezi katika Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani, wametakiwa kutumia fursa ya kampeni ya chanjo ya Polio kuwakinga watoto wao dhidi ya ugonjwa huo, huku jamii ikihimizwa kushirikiana kikamilifu kufanikisha zoezi hilo. Mkuu…
Waziri Mavunde aitaka GST kutoka ofisini na kuwafuata wachimbaji migodini
Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imetakiwa kuwa miongoni mwa taasisi zinazoongoza katika utafiti wa madini na tafiti za jiosayansi katika nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara, kupitia uwekezaji mkubwa katika teknolojia, wataalamu, miundombinu na upatikanaji…
Prof. Shemdoe : Serikali kutafuta fedha za ujenzi wa vituo vya afya kwenye kata
Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa Vituo vya Afya kwenye Kata zenye…




