JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Maandalizi ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru 2026 yafikia asilimia 80

*Rukwa wajipanga kufanikisha kwa kishindo *Dk Mapana asifu utayari Rukwa Na Innocent Byarugaba -ORMV, Rukwa Mkoa wa Rukwa umefikia asilimia 80 ya maandalizi ya kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru kitakachokwenda sambamba na Kumbukizi ya Miaka 27 ya Kifo…

Waziri Masauni azindua na kukabidhi magari matano NEMC

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yusuf Masauni, amezindua na kukabidhi magari matano kwa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), hatua inayolenga kuimarisha…

Kliniki ya biashara na viwanda kunufaisha zaidi ya wafanyabiashara 3,500 Arusha

Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wajasiriamali na wafanyabiashara nchini, huku Kliniki ya Biashara na Viwanda inayoendelea jijiji Arusha ikitarajiwa kuwafikia zaidi ya wajasiriamali na wafanyabiashara 3,500 kutoka mikoa ya Kaskazini. Akizungumza jijini Arusha wakati wa kufungua rasmi kliniki hiyo,…

TMDA yatoa tahadhari uwepo chanjo bandia ya mifugo

Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imeonya wananchi kuhusu uwepo wa chanjo bandia ya mifugo aina ya TMEVAC NDV Strain 1-2 inayosambazwa nchini. TMDA imesema chanjo hiyo haikuzalishwa na Tanzania Veterinary Laboratory Agency (TVLA), huku ikibainisha kuwa ina tofauti…

Tanzania yaimarisha ushirikiano na Mfumo wa Maendeleo wa OPEC

Mheshimiwa Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, amemwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius John Ndejembi, katika mazungumzo na Rais wa Mfuko wa Maendeleo wa…