Latest Posts
Serikali, KPMG kuimarisha ushirikiano katika maboresho ya mfumo wa kodi
Joseph Mahumi na Peter Haule, WF, Dar es Salaam Serikali imesema itaendelea kuimarisha ushirikiano na Kampuni ya Kimataifa ya Ukaguzi na Ushauri wa Kitaalamu ya KPMG, hususan katika masuala ya sera za kodi, usimamizi wa mapato na mageuzi ya mfumo…
ADEM yasisisitiza matumizi sahihi ya AI kuboresha ubora wa elimu nchini
NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO WAKALA wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) umesisitiza matumizi sahihi ya Akili Bandia (AI) na elimu ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) katika kuboresha ubora wa elimu na kuwaandaa wanafunzi kukabiliana na mahitaji ya…
Makamu wa Rais awasalimu wananchi wa Mbuyuni wilayani Moshi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasalimu Wananchi wa Mbuyuni, Wilayani Moshi waliokusanyika kumlaki akiwa katika ziara binafsi mkoani Kilimanjaro leo tarehe 01 Septemba 2026. Akiwasalimu wananchi hao, Makamu wa Rais amewasihi kuendelea kumuombea…
Rais Mwinyi azitaka nchi za NAM kuunganisha sauti katika maamuzi ya kimataifa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa wito kwa nchi wanachama wa Harakati za Nchi Zisizofungamana na Upande Wowote (NAM) kuunganisha sauti na misimamo yao ili zisibaki kusikika pekee, bali ziwe na…
Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara 30 soko la ndizi Mabibo kurejeshwa sokoni
Na: OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, ameelekeza waliokuwa wafanyabiashara 30 wa soko la ndizi Mabibo (Mahakama ya Ndizi) kurejea kufanya biashara…
Mavunde aitaka Mantra kuharakisha mradi wa Urani Mkuju
Waziri wa Madini Anthony Peter Mavunde (MB) amekutana na wakurugeni wa Kampuni ya Mantra Tanzania Limited mjini Dodoma kujadili maendeleo ya mradi wa mto Mkuju unaojihusisha na uchimbaji wa madini ya urani wilayani Namtumbo, Ruvuma. Akiongoza ujumbe huo Bw. Vladislav…





