Latest Posts
ECSA- HC yatoa milioni 211/- kufanikisha kambi ya madaktari bingwa Tanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Jumuiya ya Afya ya Nchi za Afrika Mashariki, Kati na Kusini (ECSA-HC), kwa kushirikiana na Wizara ya Afya Tanzania na wadau mbalimbali, imeandaa kambi maalum ya huduma za madaktari bingwa na bobezi iliyoanza Julai 20…
Dk Mwigulu : Afrika igeuze mabadiliko ya dunia kuwa fursa za maendeleo
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Afrika inapaswa kutumia mabadiliko yanayoendelea katika siasa, uchumi na usalama duniani kama fursa ya kuharakisha maendeleo yake. Amesema inapaswa kufanya hivyo kwa kuimarisha uongozi wa kimkakati, kuongeza thamani ya rasilimali zake na kujenga taasisi…
Washindi Tuzo ya Kiswahili ya Safal kujulikana Ijumaa
Tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi ya Afrika imetangaza orodha fupi ya miswada saba katika vipengele vitatu — riwaya, ushairi, na makusanyo ya hadithi fupi — ikiwa ni utangulizi wa hafla ya utoaji tuzo hizo kwa msimu wa 10,…
CHADEMA kabla ya kunyooshea wengine kidole…
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kuna msemo wa kale unaosema, “ukitaka kusafisha mji, anza kufagia mbele ya mlango wako.” Huo ndio msingi wa uongozi unaojenga heshima na kuaminika. Katika siasa za ushindani, hakuna chama kisichokosolewa. Hakuna pia kiongozi…
Kikwete aitaka Afrika kubadili ahadi za afya kuwa utekelezaji wenye bajeti
Accra, Ghana — Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Jakaya Mrisho Kikwete, amezitaka serikali za Afrika kuacha kutegemea zaidi matamko na ahadi zisizoambatana na utekelezaji, na badala yake kuweka fedha za ndani, uwajibikaji na matumizi ya ubunifu…




