Latest Posts
Wazuri Mkuu azungumza na wakazi wa Jiji la Dar es Salaam
*Asema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia ni kiongozi mbunifu na wa vitendo WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mbunifu, wa vitendo na mwenye dhamira ya dhati ya kuwatumikia Watanzania kwa kutoa majawabu ya…
Ushirikiano VETA na Emirates Aluminium waibua matumaini kwa mafundi wa fani ya vioo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema itaendelea kuimarisha uhusiano na wadau mbalimbali, ikiwemo sekta ya viwanda na taasisi binafsi, kwa lengo la kukuza sekta ya elimu ya mafunzo ya ujuzi ili wahitimu waweze kuendana na mahitaji ya…
Wananchi Dar wakumbushwa kulipia pango la ardhi ndani ya siku 14
Na Mwandishi wetu,Jamhuri Media Dar es salaam Wananchi wote wametakiwa kulipia pango la ardhi ndani ya siku 14 kuanzia leo, vinginevyo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaokiuka agizo hilo. Agizo hilo limetolewa leo Aprili 24, 2026 jijini Dar es…
THTU yataka utafiti ubadilishwe kuwa mapato na ajira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU) kimeitaka Serikali kuweka mfumo madhubuti wa kubadilisha tafiti na ubunifu kuwa bidhaa, huduma na ajira ili kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa. Hayo yamo…
Waziri Mkuu ashiriki ibada ya Jumapili Kanisa la KKKT usharika wa Azania Fron
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameshiriki ibada ya Jumapili, leo, Aprili 26, 2026, katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP), Usharika wa Azania Front, jijini Dar es Salaam. Ibada hiyo iliongozwa na Katibu…





