Latest Posts
Maboresho mfumo kodi na maendeleo tuyatakayo
Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga Juhudi za kujiletea maendeleo zinategemea sana ufanisi wa ukusanyaji kodi kutoka kwa wananchi. Wizara, taasisi na vitengo mbalimbali wanaweza wakakaa chini kupanga, kujadili na kuja na mipango mingi mizuri ya maendeleo lakini itakapofika kipengele cha…
OASIS yaipongeza TRA kwa maboresho ya mifumo ya kiteknolojia ulipaji kodi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya OASIS Financial Services Ltd, Bw. Stambuli Myovela, ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kufanya maboresho makubwa ya mifumo ya kiteknolojia katika ukusanyaji na ulipaji wa kodi, hatua iliyorahisisha huduma…
Waziri Kombo abainisha mafanikio na vipaumbele vya Wizara kwa Kamati ya NUU
Na Mwandishi Wetu Waziri Kwa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa mwaka 2025/2026 na mpango wa bajeti wa mwaka wa Fedha 2026/2027 kwa Kamati ya…
Kodi zetu ni mzigo kwa wale wale
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, chini ya Balozi Ombeni Sefue, imewasilisha ripoti yake kwa Rais Samia Suluhu Hassan wiki iliyopita. Tume imekuja na mapendekezo 284. Si madogo,…
TMA JNIA yatoa elimu kwa jamii kuadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani 2026
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Kituo cha Hali ya Hewa cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), imeadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani kwa kutoa elimu kwa wadau…





