JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waziri wa Fedha : Africa50 imeonyesha njia

Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa fedha Balozi Khamisi Musa Omar amesema ,Africa50 imeonyesha kuwa taasisi zinazoongozwa na Waafrika zinaweza kwa mafanikio kuhamasisha mitaji, kuandaa miradi inayovutia uwekezaji. Amesema hayo katika Mkutano mkuu wa wanahisa wa Africa50 (GSM…

Rais Samia : Afrika inahitaji matokeo chanya

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amesema ni wakati wa kubadili mawazo kuwa miradi inayovutia wawekezaji Hayo ameyasema katika mkutano wa Africa50 na Jukwaa la miundo mbinu Afrika…

Polisi Pwani yabaini wanafunzi 573 waliacha shule, 114 warejeshwa kwa oparesheni maalum

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limebaini zaidi ya wanafunzi 500 wa shule za msingi na sekondari waliokuwa wameacha masomo kwa kipindi kirefu, huku likifanikiwa kuwarejesha shuleni wanafunzi 114 kupitia operesheni maalumu ya Polisi Jamii…

Wakulima, wafugaji, wavuvi wapongezwa kwa kuchangia utoshelevu wa chakula nchini

Na OWM – TAMISEMI, Morogoro Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza wakulima, wafugaji na wavuvi kwa mchango wao mkubwa uliowezesha Tanzania kufikia utoshelevu wa chakula wa…

CDICD yaongeza thamani ya black granite

🔸Uchakataji wa kisasa waongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania katika soko la ndani na nje 🔸Uwekezaji wa kampuni wafungua ajira kwa vijana na kuchochea maendeleo ya viwanda 📍Dodoma Kampuni ya CDICD Group Limited imeendelea kuimarisha mnyororo wa thamani katika Sekta…