Latest Posts
Tanzania kuwa mwenyeji wa Kongamano la Mitaala Afrika
TANZANIA inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Kongamano la Sita la Jumuiya ya Taasisi za Mitaala Afrika (ACA), litakalofanyika Septemba 22 hadi 25, 2026 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari,…
Friedkin yazindua technolojia ya matumizi ya Mizinga ya Plastiki Meatu
Mussa Juma,Meatu Taasisi ya Friedkin Conservation Fund(FCF),imeanza majaribio ya matumizi ya Mizinga ya Nyuki ya Plastiki ambayo ni rafiki kwa mazingira na itagawanywa katika vikundi vya ufugaji Nyuki wilaya ya Meatu,Mkoa wa Simiyu. Mizinga hiyo pia inatarajiwa kuongeza uzalishaji wa…
TPi Yashirikiana na jamii kuimarisha usafi wa mazingira
TAASISI ya Tanzania Pathways Initiative (TPi) imeungana na jamii ya Kawe Ukwamani jijini Dar es Salaam katika zoezi la usafi wa mazingira, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhakikisha jiji linakuwa safi na salama. Zoezi hilo…
Wami/Ruvu yaweka mikakati kuikabili El Nino, mhandisi Mmassy atoa angalizo usafi wa mito
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya Maji Bonde la Wami/Ruvu imekutanisha Kikosi Kazi cha Mkoa wa Dar es Salaam na wadau wasafisha mito jijini Dar es Salaam kujadili changamoto zinazoathiri usafi wa vyanzo vya maji na kuweka…
Makamu wa Rais aagiza mawaziri watatu kutatua mgogoro wa mipaka Pugu ndani ya siku saba
Na OWM–TAMISEMI, Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewaagiza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya…
Kituo kikubwa cha kusafisha mafuta ghafi kujengwa nchini
*Tanga kuwa Kitovu cha Nishati Afrika Mashariki Serikali ya Tanzania na Uganda zinatarajia kujenga Kituo Kikubwa cha Kusafisha Mafuta Ghafi katika Mkoa wa Tanga nchini Tanzania na kuifanya Tanga kuwa kitovu cha Nishati (Energy Hub). Hayo yameelezwa na Rais wa…





