Latest Posts
Bangu :Ajira 31,875 zimezalishwa kupitia WRRB
….…… Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS) umezalisha ajira 31,875 katika mwaka wa fedha 2025/26 kupitia shughuli mbalimbali za mnyororo wa thamani wa mazao na bidhaa. Hayo yameelezwa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi…
Alama ya Ubora ya Afrika Yazinduliwa
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Denis Londo, amesema ubora wa bidhaa ni nguzo muhimu katika kuongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania kwenye soko la kimataifa na kufanikisha azma ya nchi ya kujenga uchumi wenye thamani ya dola za Marekani…
Chatila afunguka mipango ya kuibadili Ujenzi Sports Club
Na Mtemi Sona, Dodoma Mwenyekiti wa Ujenzi Sports Club, Arch. Ibrahim Chatila, amesema uongozi mpya umejipanga kuijenga timu hiyo kuwa ya kisasa, imara na yenye ushindani mkubwa katika mashindano yote itakayoshiriki. Akizungumza kuhusu mikakati ya kuiboresha klabu hiyo iliyo chini…
Bandari ya Mtwara yawania kuteka soko kubwa zaidi ndani ya SADC
Na Florid Mapunda, Mtwara Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) iliundwa kwa malengo ya kuboresha ushirikiano kati ya nchi huru wanachama, kuhakikisha ulinzi na usalama wa nchi hizo na kukuza biashara baina yao ili uhuru uwe na maana kwa…
Wakulima waonja matunda ya stakabadhi za ghala, mauzo yapanda kwa asilimia 43.6
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Biashara ya mazao kupitia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala imeendelea kushika kasi nchini baada ya wakulima kuuza zaidi ya kilo bilioni 1.122 za mazao na kuingiza Shilingi trilioni 2.298 katika mwaka wa fedha 2025/26, ikiwa…
ASGM yazalisha asilimia 40 ya dhahabu Tanzania, matumizi ya zebaki yaendelea kuwa changamoto
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia ,Dodoma Sekta ya uchimbaji mdogo wa dhahabu (ASGM) imeendelea kuwa nguzo muhimu kwa sekta ya madini nchini kwa kuchangia sehemu kubwa ya uzalishaji wa dhahabu na kutoa ajira nyingi, huku matumizi ya zebaki yakitajwa kuwa moja…





