Latest Posts
Wakuu wa mikoa Kanda ya Kaskazini wawaalika wananchi maonesho ya Nanenane 2026
Na Mwandishi Maalumu RS Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla ametoa wito kwa Viongozi, watendaji na wananchi wa Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro kujitokeza kwa wingi kwenye maonesho ya 32 ya Kilimo na mifugo…
Dar, Lindi na Mtwara na Hazitaathiriwa ukamilishaji mradi wa Chalinze – Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Chalinze Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara haitakumbwa na changamoto ya kukatika kwa umeme wakati wa utekelezaji wa hatua za mwisho za Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa msongo wa kilovoti 400…
Mradi wa Chalinze – Dodoma utasababisha kukatika umeme kwa awamu mbili
Na Mwandishi Wetu, Chalinze Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema utekelezaji wa hatua za mwisho za Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa msongo wa kilovoti 400 kutoka Chalinze hadi Dodoma utasababisha kukosekana kwa huduma ya umeme kwa muda katika…
NMB yaongeza masuluhisho ya kisekta kwa wafanyabiashara
Benki ya NMB imewahakikishia wafanyabiashara kuendelea kuwapatia masuluhisho ya kifedha yanayolenga mahitaji ya sekta mbalimbali za uchumi. Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki katika Jukwaa la NMB Business Executive Network 2026 lililowakutanisha zaidi ya wafanyabiashara 300 kutoka Dar es Salaam…
SADC yahimiza mageuzi ya viwanda kwa maendeleo endelevu ya ukanda
Na Ramadhani Kissimba, Durban Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezitaka nchi wanachama kuongeza kasi ya utekelezaji wa ajenda ya maendeleo ya viwanda kwa kuwekeza katika kuongeza thamani ya malighafi na kuimarisha miundombinu ili kukuza biashara, ajira na ustawi…
TBS Yakutana na Wadau wa Vipodozi, Yasisitiza Viwango na Usalama
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limekutana na wadau wa sekta ya vipodozi nchini kwa lengo la kutoa elimu kuhusu matakwa ya viwango, ubora na usalama wa bidhaa hizo zinazotumika kwa kiasi kikubwa na Watanzania….





