JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania Yapiga Hatua Kubwa Katika Ujenzi wa Miundombinu ya Digital

Na Mwandishi wetu–Jamhuri MediaDar es salaam Mkurugenzi wa TEHAMA kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Priscus Kiwango, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika ujenzi wa miundombinu ya kidijitali na utoaji wa huduma za umma…

NMB yaingia 10 bora duniani kwa benki zenye mali ya dola bilioni 3–10

Benki ya NMB imeorodheshwa katika nafasi ya tisa duniani ndani ya Daraja la Sita la benki zenye mali ya kati ya Dola za Marekani bilioni 3 na bilioni 10. NMB ni miongoni mwa benki 500 kutoka nchi 89 zilizojumuishwa katika…

TBS Yatahadharisha matumizi ya vipodozi vyenye viambata sumu

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeonya wananchi kuhusu matumizi ya vipodozi visivyo salama, likisema bidhaa hizo zinaweza kusababisha madhara makubwa kiafya, ikiwemo magonjwa sugu kama saratani. Onyo hilo limetolewa na Meneja wa Ukaguzi na Uzingatiaji wa Sheria wa TBS, Bi.Nuru…

Uwekezaji wa sekta binafsi kichocheo cha maendeleo ya elimu- Shilingi

Na Mwamvua Mwinyi, KibahaSeptemba 14, 2026 USHIRIKIANO kati ya Serikali na sekta binafsi umetajwa kuwa chachu katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, hususan katika kuimarisha sekta ya elimu kwa kuongeza fursa za wananchi kupata elimu na kuboresha…

Kada wa CCM Mary Nchimbi afariki dunia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyewahi kushika nafasi mbalimbali ndani ya Jumuiya ya Vijana, Chama pamoja na Ofisi Ndogo ya Lumumba, na kutumikia CCM katika Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa…

Rais Mwinyi : Kamati ya CCM na ACT Wazalendo kuimarisha maridhiano Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuundwa kwa Kamati ya Pamoja ya Majadiliano yenye wajumbe kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT Wazalendo ni hatua muhimu katika kuendeleza mchakato wa maridhiano…