Latest Posts
Umeme kubadilisha maisha ya wananchi vitongojini
Serikali imedhamiria kubadilisha maisha ya wananchi vitongojini kupitia usambazaji wa umeme unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na wananchi wamehimizwa kuchangamkia kuunganishiwa umeme kwenye vitongoji vilivyofikiwa. Hayo yamesemwa Julai 15, 2026 na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB),…
Taifa linahitaji zaidi ya utaalamu wa sheria Kufikia Malengo ya Dira ya 2050 –Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amefungua mafunzo ya tatu ya Bespoke kwa Mawakili wa Serikali, yalioandaliwa na kuratibiwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambayo yameanza tarehe 15 Julai, 2026 na yatahimishwa tarehe 17 Julai, 2026…
Skauti kuwa mabalozi wa matumizi salama ya gesi nchini
Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Oryx Tanzania imezindua kitabu cha Mwongozo wa Matumizi Salama ya Gesi ya LPG na kusaini mkataba wa ushirikiano wa miaka mitatu na Chama cha Skauti Tanzania, hatua inayolenga kuimarisha elimu ya matumizi salama ya gesi…
NAIBU Waziri Salome awasili Morogoro kufungua warsha ya nishati safi ya kupikia
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba akiwa ameambatana na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Mussa Kilakala, akiwasili katika Ukumbi wa Morena Hotel mkoani Morogoro kwa ajili ya kufungua warsha ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari pamoja na Maafisa…
JKCI yang’ara Sabasaba, yatunukiwa tuzo ya huduma bora kwa wananchi
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri MediaDar es salaam Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imetunukiwa tuzo ya Huduma Bora kwa Wateja katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba), ikiwa ni kutambua mchango wake wa kutoa huduma za afya…
Wanaswa kwa tuhuma za kupanga kutapelo benki
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora JESHI la Polisi Mkoani Tabora limekamata watuhumiwa watatu kwa tuhuma za kupanga njama ya kufanya utapeli katika benki za CRDB na NMB zilizoko Mjini Tabora. Kamanda wa Polisi Mkoani hapa ACP Twaha Lulengelule amethibitisha kukamatwa…





