Latest Posts
DC Simanjiro aagiza wanaoishi mabondeni wahame
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mirerani MKUU wa Wilaya ya Simanjiro, Mkoani Manyara, Fakii Raphael Lulandala ameagiza watu wanaoishi mabondeni katika tarafa ya Moipo wahame mara moja ili kuepuka madhara ya mafuriko yanayosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha. Lulandala ametoa agizo hilo…
Ulega aweka mkazo mgawanyo wa rasilimali fedha za barabara Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameielekeza Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) ,mkoani Pwani kuweka utaratibu mzuri wa mgawanyo wa rasilimali fedha katika halmashauri na wilaya kwa kuzingatia uhalisia na vipaumbele ili kuondoa hisia…
Dk Muyungi asisitiza ujenzi wa jengo la OMR, Mtumba Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi amemtaka Mkandarasi wa Kampuni ya Suma JKT kuongeza kasi ya ujenzi wa Jengo la Ofisi hiyo unaoendelea katika Mji wa Serikali, Mtumba Jijini Dodoma. Dkt….
Tanzania yashika nafasi ya nne kwa uwekezaji sekta ya madini Afrika
▪️Ni ya 4 barani Afrika, nyuma ya Botswana, Morocco na Zambia ▪️Alama ya Tanzania yapanda hadi 68.04 mwaka 2025 kutoka 62.75 (2024) na 46.38 (2023) ▪️Tanzania yaorodheshwa nafasi ya 15 duniani kwenye Best Practices Mineral Potential Index kwa alama 75.00…
NIDA yaongeza mashine, siku za usajili Mbeya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), James Kaji, ameongeza mashine na siku za usajili wa Vitambulisho vya Taifa katika Mkoa wa Mbeya kufuatia mwitikio mkubwa wa wananchi wanaojitokeza kujiandikisha kupata Namba ya…
Migogoro ya mahusiano bado ni changamoto- CRC
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kituo cha Sheria na Usuluhishi cha CRC kimesema migogoro ya mahusiano na elimu ya afya ya uzazi ni changamoto kwa wanandoa na vijana nchini. Akizungumza na Jamhuri mara baada ya kikao cha mkutano…





