Latest Posts
Vijana 100 kuwania milioni 50 za shindano la uchumi Challenge
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani VIJANA 100 kati ya 7,852 waliojitokeza kushiriki mashindano ya Vijana Uchumi Challenge 2025/2026 wameingia kambini katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Nyerere, Kwa Mfipa, Kibaha mkoani Pwani kuwania kitita cha Sh milioni 50 kwa mshindi…
Ujumbe wa Namibia wavutiwa na Teknolojia Hospitali ya Kairuki
Na Mwandishi Wetu UJUMBE kutoka Wizara ya Afya ya Namibia pamoja na wafanyabiashara walioambatana na Rais wa Namibia katika ziara yake ya hivi karibuni umetembelea Hospitali ya Kairuki na kujionea maendeleo ya huduma za afya, elimu ya tiba na uzalishaji…
Tanzania, Msumbiji waimarisha ushirikiano wa usalama mipakani Ruvuma na Niassa
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Songea Viongozi wa Serikali kutoka Mkoa wa Ruvuma, Mtwara nchini Tanzania na Mkoa wa Niassa nchini Msumbiji wamekutana katika kikao cha pamoja kilicholenga kuimarisha ushirikiano wa maendeleo na usalama katika maeneo ya mipakani yanayounganisha mikoa hiyo…
Katibu Tawala apongeza matum8zi ya mfumo wa SCADA katika kudhibiti upotevu wa mafuta
Dodoma Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Dkt. Toba Nguvila, amepongeza matumizi ya mfumo wa kisasa wa Supervisory Control and Data Acquisition (SCADA) unaotumiwa na Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA), akisema umeongeza uwazi na ufanisi katika usimamizi wa…
Serikali yaipongeza VETA kuibua vipaji kwa wenye ulemavu, yakaza kamba kwa wanaochelewesha madaraja
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Serikali imeipongeza Taasisi ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) kwa juhudi zake za kuibua na kuendeleza vipaji vya vijana wenye ulemavu, ikisema hatua hiyo inaendelea kufungua fursa za ajira na kuwawezesha vijana wengi kuchangia…
Bajeti Kuu ya Serikali yapitishwa kwa kishindo
Na Benny Mwaipaja, Dodoma Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limepitisha kwa kishindo Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka wa Fedha 2026/27 kwa asilimia 97.66 baada ya wabunge 385 kupiga kura ya ndio kuunga mkono Bajeti hiyo Akitangaza matokeo…





