Latest Posts
Ofisi za Gazeti la Pambazuko zavunjwa na kuibwa nyaraka muhimu
OFISI za Gazeti la Pambazuko linalosambazwa kila wiki, zimevunjwa na kuibwa kwa nyaraka, laptop mbili na kamera. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo – Aprili 10, 2026 kwenye ofisi zake zilizopo kwenye Jengo la Pambazuko lililoko Mtaa wa Mpakani…
Watu 85 wakamatwa kwa uzushi wa kuibiwa nyeti, watatu waenda jela miezi sita
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linatoa wito kwa baadhi ya watu wanaozua taharuki na kutoa taarifa za uzushi zinazosababisha vitendo vya uvunjifu wa amani kuhusiana na kuibiwa kwa nyeti zao mara baada ya kushikwa…
Misaada ya maendeleo yapungua kwa asilimia 23.1 mwaka 2025
Shirika la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo, OECD, limesema misaada ya maendeleo ilipungua kwa kiwango cha kihistoria kwa asilimia 23.1 mwaka uliopita. Shirika la OECD lenye makao yake makuu mjini Paris nchini Ufaransa lilisema data zake za awali zilionyesha misaada…
Msajili vyama vya siasa ateta na Rais wa zamani wa Malawi Chakwera
Msajili wa Vyama vya Siasa, Mhe. Jaji Mstasfu Francis Mutungi amekuta na kufanya mazungumzo na Mhe. Lazarus Chakwera, Rais wa Zamani wa Malawi na Mjumbe Maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola. Kikao hicho ni sehemu ya ziara ya…
Doris Mollel umestahili tuzo ya WHO, umeokoa maisha ya wengi
Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Dar es Salaam Nakumbuka mwalimu wangu wa somo la Uraia (Civics) alipokuwa akitufundisha mada (topic) ya “Haki za “Binadamu” (Human Rights) tulipokuwa Kidato cha Kwanza, alituambia mengi kuhusu haki za binadamu. Miongoni mwa mikazo yake,…
TBL yatoa wito wa hatua za pamoja za kukabiliana na hatari za pombe haramu Tanzania
Na Mwandishi Wetu, Jamhurimedia, Dar es Salaam Kampuni ya Tanzania Breweries Limited (TBL) imetoa wito wa kuwepo kwa hatua za pamoja na endelevu ili kukabiliana na tatizo la pombe haramu nchini, ikionya kuwa hali hii inaendelea kuhatarisha afya ya wananchi,…





