Latest Posts
Uwekezaji wa NSSF Mkulazi wachochea ajira, wapunguza Nakisi ya Sukari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amesema mradi wa kiwanda cha sukari Mkulazi ni mradi wa kimkakati unaotekeleza kwa vitendo maono ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan…
Madini yabadilisha maisha Ruangwa, wachimbaji watoka ‘buku buku’ hadi miradi ya maendeleo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi imeendelea kushuhudia mageuzi makubwa ya kiuchumi na kijamii kufuatia kuongezeka kwa shughuli za uchimbaji madini katika Mgodi wa Namungo unaomilikiwa na kampuni ya Elianje Limited, huku wachimbaji wadogo na wananchi…
Sabasaba yaja na ‘Usiku wa Dhahabu’ kuibua historia ya miaka 50 ya mageuzi ya biashara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya Jubilei ya Dhahabu ya miaka 50 ya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), mwaka huu wadau wa biashara, wawekezaji, wabunifu na wananchi wanatarajiwa…
Zawadi Ligi ya Muungano kuboreshwa
Na Mwandishi Wetu, Unguja Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema msimu ujao wa Ligi ya Muungano utaboreshwa zaidi ikiwa pamoja na zawadi kwa bingwa ili kuipa hadhi ya kipekee ligi hiyo. Amesema…
Rufiji kutoa tuzo kwa kata bora kimaendeleo na mapato 2026/27
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Halmashauri ya Mji Rufiji kuanzisha mfumo wa utoaji tuzo kwa kata zitakazofanya vizuri katika usimamizi wa shughuli za maendeleo pamoja na ukusanyaji wa mapato kupitia kadi maalum ya kupima utendaji kazi (score card) , kwa…
Benki ya Dunia yaeleza imani kwa mustakabali wa Tanzania na ajenda ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050
Tarehe 18 Mei, 2026, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, alimpokea Ikulu jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia anayemaliza muda wake, Bw. Nathan Belete, aliyefika kumuaga Mheshimiwa Rais na kumtambulisha…





