JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kizimbani kwa tuhuma za usafirishaji dawa za kulevya

Watuhumiwa wawili, Amasha Iddi Mrisho (40), mkazi wa Buza, Dar es Salaam na Seleman Juma Ally (32), raia wa Msumbiji, , wamefikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke kujibu tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina…

Raia wa Naigeria waenda jela miaka 28 kwa kusafirisha dawa za kulevya

Mahakama Kuu ya Uhujumu Uchumi, Divisheni ya Makosa ya Rushwa, imemhukumu kifungo cha miaka 28 jela mshtakiwa David Kanayo Chukwu, raia wa Nigeria, ambaye ni mshtakiwa wa kwanza kati ya watatu, baada ya kukiri kosa la kushiriki katika kusafirisha kilogramu…

Watalii wamiminika Hifadhi ya Taifa ya Nyerere

Na Said Njuki, JamhuriMedia, Morogoro TANZANIA imebarikiwa rasilimali za kutosha, yakiwepo madini, mito, maziwa, bahari na hata misitu yenye uoto wa asili, lakini pia wamo ndege na wanyamapori wa aina mbalimbali. Kutokana na kuwemo kwa rasilimali hizo lukuki, Serikali ililazimika…

Zelensky : Ukraine itazungumza na Marekani na Urusi

Rais Volodymyr Zelensky amesema mazungumzo ya pande tatu kuhusu kumaliza vita nchini Ukraine yatafanyika kati ya Ukraine, Urusi na Marekani katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), baada ya kukutana na Rais Donald Trump huko Davos. Wakati juhudi za kidiplomasia…

Umoja wa Afrika waiondolea Guinea vikwazo

Umoja wa Afrika umetangaza kuiondolea Guinea vikwazo ilivyoiwekea kufuatia mapinduzi ya mwaka 2021, baada ya nchi hiyo kuandaa uchaguzi wa rais mwezi Desemba. Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limesema Guinea imepiga hatua katika utekelezaji wa mkakati…