JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania yatangaza fursa mpya za uwekezaji sekta ya afya kimataifa

Tanzania yatangaza fursa mpya za uwekezaji sekta ya afya kimataifa Na Mwandishi Wetu, London Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, ametangaza kuwa Tanzania iko tayari kushirikiana na wawekezaji wa kimataifa katika kukuza Sekta ya Afya na Sayansi , akisisitiza kuwa…

NSSF yawanoa waajiri, yasisitiza uwasilishaji wa michango kwa wakati kidijitali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umewapa mafunzo waajiri 129 wa sekta binafsi, yakilenga kuwaongezea uelewa wa kina kuhusu utekelezaji sahihi wa sheria za hifadhi ya jamii na matumizi ya mifumo…

Manaibu Waziri Fedha, Viwanda na Biashara wakutana na wanachama wa CTI Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Arusha SERIKALI imeahidi kuwa katika bajeti ya mwaka huu itazifanyia kazi changamoto za kikodi zinazolalamikiwa na wafanyabiashara na wenye viwanda kama mkakati wa kuendelea kuvutia uwekezaji wa ndani na kutoka nje ya nchi. Ahadi hiyo ilitolewa…

Wamiliki wa leseni za madini wafundwa, Tume yasisitiza utekelezaji wa sheria

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Tume ya Madini imeendelea kusisitiza utekelezaji wa sheria na kanuni katika sekta ya madini, ikiwataka wamiliki wa leseni kuhakikisha shughuli za uchimbaji zinawanufaisha watanzania na kulinda maslahi ya taifa. Akizungumza jijini Dodoma kwenye…

Serikali yawataka wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache kuhakikisha uongozi wao unaleta tija inayopimika kwa Serikali na wananchi, huku mkutano wa wakurugenzi wa kampuni zenye hisa chache za serikali (MIF…

RITA yawapiga msasa wajumbe Bodi mpya ya wadhamini Kanisa la Waadventista Wasabato

Na Mwandishi wlWetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) Bw. Frank Kanyusi amewataka wajumbe wapya wa Bodi ya Wadhamini wa Kanisa la Waadventista Wasabato kutekeleza majukumu yao…