Latest Posts
TAMESOT yalaani mauaji ya James Temba, yawaonya wanaoichafua tiba asili
Na Theophilida Felician, JamhuriMedia Dodoma. Chama cha Waganga wa Tiba Asili (TAMESOT) kimesikitishwa na tukio la mauaji ya kikatili yakimuhusisha mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM James Rojas Temba aliyeuawa kwa kutenganishwa kichwa na kiwiliwili hivi karibuni mkoani…
Mwenge wapita Nyasa, mradi wa REA wa bilioni 4
📌Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa aridhishwa na miradi ya REA 📍Nyasa – Ruvuma Wananchi wa Kitongoji cha Ndecha Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma wameanza kushuhudia mwanga wa matumaini baada ya kuzinduliwa rasmi kwa mradi wa REA kwa…
Kapinga : Serikali ya Rais Samia inaendelea kuboresha elimu, afya na kilimo Mbinga Vijijini
Mbunge wa Jimbo la Mbinga vijijini na Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, inaendelea kuleta mageuzi makubwa katika sekta za elimu na afya hasa…
RC Mtwara awashauri viongozi CCM kuwahimiza wakulima kutumia mfumo wa stakabadhi za ghala
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanal Donald Msengi, amewashauri Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwahimiza wakulima kutumia Mfumo wa Stakabadhi za Ghala ili kuleta mabadiliko chanya kiuchumi na kuongeza tija katika uzalishaji wa mazao. Akizungumza wakati wa Mafunzo…
Serikali yatangaza kuridhia NEMC kuwa mamlaka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imeridhia Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kuwa mamlaka na muswada wake unatarajiwa kuwasilishwa bungeni wakati wowote. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri Ofisi…
Sekondari ya Funguni yawajengea uwezo wanafunzi kujiajiri baada ya kuhitimu masomo
Na Mwandishi Wetu, Pangani Suala la kuwajenga wanafunzi kuwa mahiri katika stadi na ujuzi mbalimbali ndiyo mwelekeo wa Taifa letu katika kuwaandaa wahitimu wenye uwezo wa kuhimili ushindani wa kiuchumi. Katika Shule ya Sekondari Funguni ya wilayani Pangani mkoani Tanga,…





