Latest Posts
Ushirikiano sekta binafsi nyenzo muhimu ya mageuzi sekta ya afya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam USHIRIKIANO kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) unazidi kuonekana kuwa nyenzo muhimu katika kuleta mageuzi ya sekta ya afya nchini Tanzania, huku wataalamu wakisisitiza kuwa ushirikiano huo ni muhimu katika…
Vijana 100 bora waingia mafunzoni shindano vijana uchumi challenge 2026
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Katibu wa Kamati ya Kitaifa ya shindano la Vijana Uchumi Challenge 2026,Amina Sanga ametangaza rasmi majina ya vijana 100 bora waliofanikiwa kuingia hatua inayofuata ya shindano hilo baada ya mchakato mkali ulioshirikisha jumla ya maombi 7,852…
Dk Mwigulu aagiza uchunguzi wa mapato ya maegesho Ifunda
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amemwagiza Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Iringa kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ukusanyaji wa mapato ya maegesho katika eneo la Ifunda wilayani Iringa na kuwasilisha taarifa kamili kuhusu namna mapato hayo yalivyokuwa yakikusanywa kabla na…
Ole Millya akemea uuzwaji ardhi Simanjiro
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Mirerani NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki James Ole Millya ambaye pia ni Mbunge wa Simanjiro Mkoani Manyara, amekemea vikali uuzwaji holela wa ardhi unafanywa baadhi ya viongozi wa vijiji. Ole…
Ongezeko la mapato Pwani lachangia mafanikio ya utekelezaji wa ilani Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani umeendelea kutekeleza kwa mafanikio Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku ongezeko la makusanyo ya mapato kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na halmashauri likiimarisha uwezo wa serikali wa kugharamia na kutekeleza…
Makusanyo madini yavuka lengo, yakusanya trilioni 1.27
✅️ Sawa na Asilimia 105.8, Zikiwa Zimebaki siku 26 Kufunga Mwaka wa Fedha 2025/26 ✅️ Watumishi Watakiwa Kuongeza Weledi Kufikia Sh Trilioni 1.4 Mwaka 2026/27 ✅️ Watumishi Watakiwa kuhudumia wananchi bila ubaguzi Na Mwandishi Wetu, Dodoma WIZARA ya Madini imevuka…





