JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Prof. Kabudi ahamasisha wananchi kutembelea banda la ofisi ya Waziri Mkuu SABASABA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, amewahimiza Watanzania wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutembelea Banda Jumuishi la Ofisi ya Waziri…

Kaimu meneja Mkuu TGDC atembelea banda la Wizara ya Nishati

Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mha. Shakiru Idrissa Kajugus, ametembelea banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere,…

Mulokozi achangia milioni 158 harambee ya ujenzi wa Kanisa Kibondo

Mwenyekiti wa Makampuni ya Mati Group, David Mulokozi, ameshiriki kama Mgeni Rasmi katika Ibada ya Harambee ya kuchangisha fedha za ujenzi wa Kanisa la Parokia ya Mt. Maria Mama wa Mungu Kibondo, lililopo Wilaya ya Kibondo, Mkoa wa Kigoma. Akizungumza…

Waziri Sangu akutana na mzee wa upako na mtume Malisa

-Aeleza umuhimu wa Mahusiano mema katika kuimarisha mshikamano wa Taifa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, leo Julai 4, 2026 Jijini Dar es Salaam amekutana na kufanya mazungumzo na Mchungaji Antony…

RC Manyara awataka Simanjiro kuchangamkia hewa ya ukaa

Na Mwandishi wetu, Simanjiro MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amewataka madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Simanjiro kuchangamkia fursa ya miradi ya hewa ya ukaa ili jamii iweze kunufaika kwa maendeleo. RC Sendiga ameeleza hayo mji mdogo wa…