Latest Posts
Wafanyabiashara wahimizwa kuongeza mauzo nje ya nchi kupunguza nakisi ya biashara
Na Benny Mwaipaja, Horohoro, Tanga Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ametoa wito kwa wafanyabiashara, wawekezaji na wazalishaji nchini kuongeza uzalishaji wenye tija na kuimarisha mauzo ya bidhaa katika masoko ya kimataifa ili kupunguza nakisi ya biashara…
TCAA yaimarisha huduma kwa wateja kupitia Dawati Maalum
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kupitia kwa Mkurugenzi wake Mkuu Dkt. Jabiri Bakari imeendelea kuimarisha utoaji wa huduma kwa wateja kupitia Dawati maalum la Huduma kwa Wateja, likiwa na lengo la…
Nchi za Afrika zakutana Arusha kuimarisha mifumo ya tahadhari za mapema kukabiliana na El Nino 2026
Mkutano wa kikanda unaolenga kuimarisha mifumo ya tahadhari za mapema na huduma za hali ya hewa kwa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika umefunguliwa rasmi leo tarehe 13 Julai 2026 jijini Arusha. Mkutano huu unawakutanisha wataalamu wa hali ya hewa…
Mwenge watembelea miradi saba Simanjiro ya bilioni 57.2/-
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simanjiro MWENGE wa uhuru umetembelea, kukagua, kuzindua na kuweka jiwe la msingi katika miradi saba ya maendeleo Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara yenye thamani ya shilingi bilioni 57.2. Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mwalimu Fakii Raphael Lulandala…




