JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Watendaji wa Uchaguzi Peramiho watakiwa kuvishirikisha vyama vya siasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa Watendaji wa uchaguzi wametakiwa kuvishirikisha kwa ukaribu vyama vya siasa vyenye usajili kamili katika hatua zote za mchakato wa uchaguzi katika maeneo yao ili kurahisisha utekelezaji wa majukumu. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Tume Huru…

Dk Gwajima ataka kasi utekelezaji wa MTAKUWWA II

Na Abdala Sifi- WMJJWM Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameitaka Sekretarieti ya Uratibu wa Mpango wa Kitaifa wa Kupinga Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA II) kuongeza kasi ya…

FCT yaendelea kuwawezesha wadau Arusha kupitia mfumo wa kielektroniki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Baraza la Ushindani (FCT) limewahimiza wadau na wafanyabiashara mkoani Arusha kutumia kikamilifu mfumo wa usajili wa mashauri kwa njia ya kielektroniki (e-filing), lengo likiwa ni kuongeza ufanisi na kupunguza gharama katika uwasilishaji wa mashauri. Akizungumza…

CTI : Ushirikiano na Serikali umetatua changamoto za wenye viwanda

Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI), limesema ushirikiano mzuri baina ya serikali na shirikisho hilo umechangia kwa kiwango kikubwa kutatua changamoto mbalimbali zzilizokuwa zikiwakabili wenye viwanda. Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho…

Bima ya afya kwa wote yaanza rasmi, serikali yawaondolea wananchi mzigo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Hatimaye wananchi waliokuwa wakihofia gharama kubwa za matibabu wanaanza kuona mwanga, baada ya Serikali kutangaza kuanza kwa awamu ya kwanza ya utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote, mpango unaolenga kulinda haki ya msingi ya…

Kamati yapongeza juhudi za Serikali uboreshwaji huduma za afya

NaWMwandishi wet, JamhuriMedia,Dodoma  Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Afya na Masuala ya UKIMWI Mhe. Dkt. Lembulung Lukumay ameipongeza Serikali kwa kuwekeza fedha katika ujenzi wa miundombinu ya sekta ya afya pamoja na uboreshaji wa upatikanaji vifaa tiba. Dkt. Lukumay…