Latest Posts
Kigogo CCM: Niligoma kuhama mkoa wangu
*Asema wasingemtakia mema, maisha yote amekulia kwao *Ndiye mwasisi jina Kagera Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, Pius Ngeze, amefichua siri namna alivyogoma kuhamishiwa Wilaya ya Chato mkoani Geita…
Tuichangie Hospitali Benjamin Mkapa iokoe maisha
* Control Numbe ni 986930000001 itasomeka BMH ORGAN TRANSPLANT. Mimi nimechangia Sh 100,000 imekubali. Nawe changia unachokiweza. Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kuna nyakati taifa hulazimika kusimama na kujiuliza; je, tunathamini vya kutosha taasisi zinazookoa maisha ya wananchi wake?…
Mtwara yafungua fursa mpya katika sekta ya chumvi
📍Mtwara Mkoa wa Mtwara umeendelea kujidhihirisha kuwa kitovu muhimu cha uwekezaji katika sekta ya chumvi kutokana na uwepo wa fukwe zinazofaa kwa uzalishaji, maboresho ya mazingira ya biashara na ongezeko la uzalishaji linalofikia takribani tani 90 kwa majaruba manne katika…
Jinsi tozo mpya itakavyowanufaisha watumiaji wa bandari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Wasafirishaji Shehena Tanzania (TSC), limefurahia uamuzi wa serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa kukubali kupunguza Tozo ya Uendelezaji wa Miundombinu ya Bandari (Port Infrastructure Development – PID)…
Mama mzazi wa Hayati Magufuli afariki, Rais Samia atuma salamu za rambirambi
Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye ni Suzana Magufuli, amefariki dunia mjini Chato mkoani Geita baada ya kuugua kwa muda mrefu. Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa…
Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Mkutano wa 61 wa Mwaka wa Bodi ya Magavana wa AfDB
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameondoka nchini leo (Jumatatu, Mei 25, 2026) kwenda Brazzaville, Jamhuri ya Kongo kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 61 wa Mwaka wa Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB)….




