JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

ORCI na MNH waunganisha nguvu kuimarisha huduma za Saratani nchini

Na Mwandishi Maalumu- Dar es Salaam Katika hatua muhimu ya kuimarisha mapambano dhidi ya saratani nchini wataalamu wa afya kutoka Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wamekutana jijini Dar es Salaam kuweka mikakati madhubuti…

PBPA yatoa elimu kuhusu mfumo wa uagizaji mafuta kwa pamoja

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) unasimamia Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja, ambao umeisaidia Serikali kuhakikisha bidhaa za mafuta ya petroli, zinapatikana nchini kwa uhakika, kwa wakati na kwa gharama shindani. Mwanasheria wa PBPA,…

Wizara ya Nishati yamahasisha wananchi kutumia CNG kutokana na unafuu wake

WIZARA YA NISHATI YAHAMASISHA WANANCHI KUTUMIA CNG KUTOKANA NA UNAFUU WAKE Matumizi ya Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (Compressed Natural Gas – CNG) kwenye vyombo vya usafiri yanaendelea kuwavutia wananchi kutokana na manufaa yake ya kiuchumi, huku kilo moja ya gesi hiyo…

Tanzania mwenyeji mkutano wa Africa50

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Africa50 ,ambapo Rais Samia Suluhu Hassan anatafungua mkutano huo kama mwenyejji na mwenyekiti. Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za wizara hiyo Waziri wa fedha…

NIRC yatangaza neema kwa wakulima Nanenane

📍NIRC: Dodoma Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), inaendelea na utekelezaji wa Mkakati mkubwa wa kuimarisha kilimo cha Umwagiliajinchini kwa kuzindua miradi mipya zaidi ya 30 katika mwaka wa fedha 2026/27, huku ikitarajia kuajiri maelfu ya vijana kupitia…

Serikali yaimarisha NIT kuzalisha wataalamu wa kuendesha miradi mikubwa ya uchukuzi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wakati Serikali ikiendelea kutekeleza uwekezaji wa mabilioni ya shilingi katika reli ya kisasa (SGR), usafiri wa anga, majini na barabara, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimejipanga kuzalisha wataalamu wenye ujuzi wa kisasa watakaohakikisha miradi hiyo inaendeshwa…