Latest Posts
Waziri Kombo amuaga Balozi wa Umoja wa Ulaya
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kuagana na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Christine Grau, kufuatia kukamilika kwa muda wake wa uwakilishi nchini. Katika mazungumzo yao, Mheshimiwa…
Serikali yasisitiza katazo la mifuko ya plastiki
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Serikali imewakumbusha wadau wote nchini wanaohusika na uingizaji, uzalishaji, usambazaji, uuzaji na matumizi ya mifuko ya plastiki kuwa katazo hilo bado lipo na kuwataka wananchi kufuata wajibu huo na kutekeleza kama ilivyo kwa serikali…
Afrika50 yakutanisha marais nane kujadili hatma ya miundombinu Afrika
Na Immaculate Makilika – MAELEZO Tanzania imekamilisha maandalizi ya kuwamwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa Africa50 na Jukwaa la Miundombinu Afrika (Africa50 General Shareholders’ Meeting – GSM and Infra for Africa Forum)utakaofanyika tarehe 5 hadi 6 Agosti, 2026 katika…
Mwakibinga : Tunahitaji mkulima apate thamani halisi ya nguvu aliyowekeza
Na WMA – Dodoma Mkurugenzi wa Huduma Saidizi, Wakala wa Vipimo (WMA), Christopher Mwakibinga, amesema kuwa Wakala hiyo inaendelea kutekeleza jukumu lake la kulinda haki za wakulima na watumiaji wa huduma mbalimbali kwa kuhakikisha vifaa vya vipimo vinavyotumika katika sekta…
Chalamila : Maandalizi mkutano wa Africa50 yakamilika
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila amesema Serikali imekamilisha maandalizi ya mkutano mkuu wa wanahisa wa Africa50 na jukwaa la miundombinu kwa asilimia kubwa. Chalamila amesema mkoa umejipanga vyema, kuhakikisha…
AAWord watoa mafunzo ya mazingira kwa wanafunzi
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika lisilo la kiserikali la Active African Women in Research and Development (AAWORD) ,limetoa mafunzo ya utunzaji wa mazingira kwa wanafunzi zaidi ya 50 kutoka katika shule ya sekondari Keko jijini Dar es…





