JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TANESCO yatunukiwa tuzo kutambua mchango wa ubunifu na maendeleo ya nishati

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekabidhiwa tuzo ya kwa kutambua mchango wa kipekee katika ubunifu na maendeleo ya sekta ya Nishati nchini ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wa Shirika katika kuendeleza sekta hiyo. Tuzo hiyo imekabidhiwa kwa Shirika la…

TASAC yaingilia ujenzi wa ICD Kigamboni

*Malalamiko ya wakazi yachochea ukaguzi Kisota, mdhibiti ataka maelezo ndani ya siku saba Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeingilia kati ujenzi unaohusishwa na mpango wa kuanzisha Bandari Kavu (ICD) katika eneo…

Mume wa Rais Samia afariki dunia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Kamati ya Bunge ya PIC yagusa mchanga unaohama

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji kwa Umma mwishoni mwa wiki iliyopita imetembelea eneo la hifadhi ya Ngorongoro ambapo pamoja na mambo mengine imejionea vivutio vya utalii ikiwemo mchanga unaohama ambao haupatikani popote Duniani isipokuwa Ngorongoro. Wakiongozwa…

Prof. Shemdoe : Rais Samia ametoa bil.13/- kujenga daraja la Loya

Na OWM – TAMISEMI, Uyui Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amesema Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia Shilingi Bilioni 13 kutumika kujenga daraja la Loya linalounganisha…

Safari ya miaka nane ya Mji wa Serikali yafikia kilele, Rais Samia kuuzindua kesho

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma DODOMA. Safari ya takribani miaka nane ya Serikali kujenga Mji wa Serikali Mtumba imefikia hatua ya kihistoria, huku Serikali ikitangaza kukamilika kwa sehemu kubwa ya miundombinu ya eneo hilo na maandalizi ya uzinduzi rasmi wa…