Latest Posts
Ndejembi : Bilioni 6.7 kwa afya ya wananchi, jengo la mama na mtoto likamilishwe kwa wakati
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri, Shinyanga Waziri wa Nishati na Mlezi wa Mkoa wa Shinyanga Kiserikali, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameitaka Manispaa ya Kahama kuongeza kasi ya ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Manispaa ya Kahama, ili likamilike…
Serikali kuja na mradi maalum wa kusambaza umeme kwenye maeneo ya uzalishaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, Serikali inaandaa mradi maalumu wa kusambaza umeme katika maeneo ya uzalishaji, hususan maeneo yenye shughuli za uchimbaji wa madini, kwa lengo la kuwawezesha wazalishaji kutumia nishati ya uhakika na…
Kutoka Gumzo Hadi Uzoefu, ORIJIN Yaendelea Kuvutia Wanaopenda Kujaribu Vitu Vipya.
Wiki moja baada ya kuzinduliwa rasmi nchini, ORIJIN bado ni miongoni mwa bidhaa zinazozungumzwa na watu katika maeneo mbalimbali ya burudani. Kila siku kuna watu wanaoionja kwa mara ya kwanza, huku waliokwisha kuijaribu wakitoa maoni yao kuhusu ladha na uzoefu…
Ndejembi amtaka mkandarasi kuongeza kasi ujenzi wa barabara ya Kahama – Bulyanhulu JCT – Kakola
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Waziri wa Nishati na Mlezi wa Mkoa wa Shinyanga Kiserikali, Mhe. Deogratius Ndejembi, amemtaka Mkandarasi wa Barabara ya Kahama–Bulyanhulu Jct–Kakola, M/s China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC), kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi huo ili…
Soko bubu la Madini lagunduliwa jijini DAR
▪️Watuhumiwa 14 wakamatwa na tuhuma za utoroshaji madini ▪️Waigeuza nyumba ya kupanga kama soko ▪️Waziri Mavunde aelekeza uchunguzi kuwabaini na kukamata wahusika zaidi ▪️Mgeni mmoja kutoka nje ya nchi ahusishwa na utoroshaji ▪️Madini,fedha na vitendea kazi vyashilikiwa na serikali Ikiwa…
WMA Yamuahidi Mkuu wa Wilaya ya Iramba Kuimarisha Utendaji kazi kwenye Vipimo
Na WMA – DODOMA. Wakala wa Vipimo (WMA) umemhakikishia Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Mhe. Selemani Mwendwa kuwa utaongeza kasi ya utendaji kazi wa masuala ya vipimo katika wilaya hiyo ili kulinda uchumi wa wakulima na wafugaji. Hakikisho hilo limetolewa…





