JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yachukua hatua dhidi ya utapeli mtandaoni, laini 62,879 zafunguwa – Kairuki

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua thabiti za kukomesha uhalifu wa kimtandao, ikiwemo utapeli unaotumia laini za simu na mifumo ya kidijitali, wakati akihitimisha hoja ya makadirio ya mapato na matumizi ya…

Waziri wa Fedha, RC Dodoma waangazia fursa za kiuchumi

Na Benny Mwaipaja, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa Mkoa wa Dodoma una fursa nyingi za kiuchumi na kijamii katika sekta mbalimbali ikiwemo kilimo, biashara, utalii na madini ambazo zikiendelezwa na kuchangamkiwa ipasavyo zitakuwa…

PBPA yahamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia

Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umechukua hatua madhubuti ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi kwa kuwagawia watumishi wake majiko ya umeme, ikiwa ni sehemu ya juhudi za makusudi za kuhamasisha mabadiliko ya matumizi ya nishati nchini. Akizungumza katika…

RC Sendiga akabidhi jengo la ofisi ya DC Kiteto, bilioni 1.7/- zatumika kwa ujenzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kiteto MKUU wa Wilaya ya Kiteto Mkoani Manyara, Remidius Mwema, amekabidhiwa rasmi jengo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kiteto na Mkuu wa Mkoa Queen Sendiga, lenye thamani ya Shilingi bilioni 1.7 lililopo Mtaa wa…

Serikali yatumia zaidi ya trilioni 1.34 kuboresha huduma za afya msingi – Prof. Nagu

Na OWM – TAMISEMI, Kibiti Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia afya Prof. Tumaini Nagu amesema kuwa, Serikali imewekeza zaidi ya Shilingi Trilioni 1.34 kuleta mageuzi katika utoaji wa huduma…

Dk Kijaji akutana na Katibu Mkuu Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa

Na John I Bera Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa (UN Tourism), Shaikha Nasser Al Nowais, tarehe 29 Aprili, 2026 katika eneo…