JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Chatanda ; Maridhiano CCM na ACT Wazalendo yamezingatia maslahi ya Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Maridhiano baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Alliance For Change and Transparency (ACT-Wazalendo) kuelekea uundwaji wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) Zanzibar, umepongezwa kwani umezingatia maslahi ya nchi ambayo ni muhimu kuliko maslahi…

Serikali kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji wa ndani

Serikali imeahidi kuendelea kuwaunga mkono wazalishaji wa ndani ili kuongeza uwezo wa uzalishaji na kukuza mauzo ya bidhaa nje ya nchi hatua inayolenga kuimarisha uchumi wa viwanda na kuongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania katika masoko ya kimataifa. Hayo yamesemwa…

WRRB yatambuliwa kwa kuchochea ushindani wa bei na ufanisi wa masoko ya mazao

Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imetunukiwa tuzo ya kutambua mchango wake katika kufanikisha utafiti kuhusu maboresho ya kisasa ya mnyororo wa thamani wa kilimo uliofanywa na Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Maendeleo ya Canada (IDRC-CRDI) kwa…

Waziri Sangu ahimiza nidhamu na uwajibikaji kwa wafanyakazi wa Kitanzania nchini Qatar

Na: OWM (KAM) – Doha, Qatar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amewahimiza Watanzania wanaofanya kazi nchini Qatar kuzingatia nidhamu, uwajibikaji na uadilifu wanapotekeleza majukumu yao ili kuendelea kujenga taswira nzuri…

Dkt. Mwinyi: Maridhiano Yanafungua ukurasa mpya Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuwa uwasilishaji wa Tamko la Pamoja baina ya Chama Cha Mapinduzi na ACT Wazalendo ni hatua muhimu inayofungua njia ya utekelezaji wa uundaji wa Serikali…

Dk. Samia aonya makundi yanayotishia amani na usalama,

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kali kwa watu na makundi yanayojihusisha na vitendo vinavyohatarisha amani na usalama wa nchi, akisisitiza kuwa Serikali haitasita kuchukua hatua madhubuti kulinda raia, maisha yao na mali zao. Akizungumza…