Latest Posts
Simanjiro yapitisha makisio ya bilioni 45/- ya mpango wa bajeti 2026/2027
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simanjiro MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, wamepitisha kiasi cha 45,136,269,016.60 kwa ajili ya rasimu wa mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha wa 2026/2027. Afisa mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro,…
Uchumi wa buluu uimarishe ushirikiano Tanzania Bara, Zanzibar
Ofisi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar zimefanya kikao cha ushirikiano kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali ya Muungano na yasiyo ya Muungano, leo Februari 16,…
Dk Possi: Viongozi ni taswira ya taasisi na Serikali kwa jamii
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imeendesha mafunzo kwa viongozi wa taasisi hiyo na menejimenti yake ambayo yamefanyika jijini Dodoma mwishoni mwa wiki ambapo pamoja na mafunzo hayo viongozi hao wamejitathmini utendaji kazi wao wa…
IPI yawateua wabunge 320 kuwaletea maendeleo wananchi
Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Dodoma SHIRIKA la amani nchini International Peace Infomation (IPI) limewateuwa jumla ya wabunge 320 watakaosaidia na wabunge wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania katika kuwaletea maendeleo wananchi. Alitoa kauli hiyo Rais wa Shirika hilo Prof Wilson…
Naibu Waziri aipongeza CBE kwa machapisho 148 ya kitaaluma
Na Mwandishi Wetu ,JamhuriMedia, Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo amekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kwa mageuzi makubwa yaliyofanyika chuoni hapo na amekitaka pia kuweka mipango ya kusaidia wajasiriamali wadogo na wakati kurasimisha…





