JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mavunde : Serikali imesaidia kuachiwa kwa dereva aliyekuwa amefungwa nchini Sudan Kusini

Waziri Wa Madini na Mbunge wa Mtumba, Anthony Mavunde, amesema kuwa Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya nje imesaidia kwa kiasi kikubwa katika kuachiwa kwa dereva wa gari la mzigo, Juma Maganga, aliyekuwa amefungwa nchini Sudan Kusini baada…

Serikali kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji na ufanyaji biashara nchini

Na Benny Mwaipaja, Mpanda Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), ameihakikishia jumuiya ya wafanya biashara na wajasiriamali nchini kwamba Serikali itaendelea kuwawekea mazingira mazuri ya uwekezaji na ufanyaji biashara ili kukuza biashara zao. Mhe. Luswetula ametoa kauli hiyo…

Dk Kisenge : Wananchi 1000 wanufaika na tiba Mkoba Arusha

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter Kisenge amesema kuwa zaidi ya wananchi 1,000 wa Jiji la Arusha na maeneo ya jirani wamenufaika kupitia Mpango wa Tiba Mkoba wa Dkt. Samia…

Waziri Sangu, Balozi UAE wajadili fursa za ajira kwa Watanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amekutana na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Falme za Kiarabu (UAE), Mhe. Luteni Jenerali (Mst) Yacoub Mohamed, katika Ofisi Ndogo…

Meya Kibaha atoa siku saba kwa Rasbery Farm kudhibiti inzi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhueiMedia, Kibaha BAADHI ya wakazi wa Mtaa wa Madafu, Kata ya Visiga, Manispaa ya Kibaha mkoani Pwani, wameilalamikia Rasbery Farm, kiwanda cha kufuga kuku, kwa kusababisha kero ya nzi wengi na kuhofia kuhatarisha afya zao na kuathiri…