JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wasira : Endeleeni kuiamini CCM na kuipa nafasi ya kuongoza na kuleta maendeleo

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Chama kinafanya kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ili kuwaletea maendeleo wananchi. Aidha, amesisitiza wananchi wandelee kukiamini na kukipa nafasi Chama kiendelee kudumisha amani kwa kuwa maendeleo hayatapatikana iwapo…

Sadifa asema Samia, Mwinyi wanastahili kuendelea kuongoza

Na Kulwa Karedia , Jamhuri Media,Unguja Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na mgombea ubunge Jimbo la Donge, Sadifa Juma Khamis, amesema wagombea urais wa Chama Cha Mapinduzi,(CCM) Samia Suluhu Hassan na Dk Hussein Mwinyi…

Vijana wahimizwa kuendelea kulinda amani

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam VIJANA nchini wametakiwa kuhakikisha wanalinda na kuendeleza amani iliyopo kwa kuwa wao ndiyo kundi kubwa katika jamii na wanabeba mustakabali wa taifa la kesho. Akizungumza leo Septemba 18, 2025 jijini Dar es Salaam…

Serikali ya Austria kufadhili miradi ya umeme Tanzania

📌 Ni inayozalisha umeme kutokana na Jua; Takataka. 📌 Ufadhili huo ni kupitia Benki ya UniCredit ya Austria 📌 Serikali ya Tanzania yaahidi ushirikiano Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit imeahidi kuipatia fedha Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa…

NIDA yawasajili wenye mahitaji maalum Temeke

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuadhimisha Siku ya Utambulisho Duniani, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imetoa huduma maalum ya usajili kwa watu wenye mahitaji maalum katika Halmashauri ya Temeke, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu…

Mkurugenzi Kibaha asikiliza na kutatua kero za wajasiliamali Manispaa ya Kibaha

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Rogers Shemwelekwa, akiambatana na baadhi ya Wakuu wa Divisheni na Vitengo kutoka Halmashauri, ameendelea na zoezi la kufanya mikutano ya ana kwa ana na wajasiriamali wadogo wanaofanya biashara pembezoni mwa barabara katika Kata ya…