Latest Posts
Miaka 100 tangu Bunge lianze, Spika asema kuna mengi ya kujivunia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amesema kuwa katika kipindi cha takribani miaka 100 tangu Bunge lianze kufanya kazi, kuanzia enzi za ukoloni, kuna mambo mengi yamefanyikao,…
Naibu Waziri Mahundi : Malezi bora ni uwekezaji wa kizazi na maendeleo ya taifa
Na Jackline Minja, WMMJW Mtwara Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesisitiza umuhimu wa malezi na makuzi bora kwa watoto, akieleza kuwa ndiyo msingi wa kujenga kizazi chenye maadili, afya njema,…
TARURA kuaminiwa kujenga barabara za kuingilia uwanja wa AFCON ni ishara kubwa ya kuaminiwa uwezo wake
Na. Catherine Sungura Uamuzi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuikabidhi Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) jukumu la kujenga miundombinu ya barabara za maingilio kwenye uwanja wa utakaotumika wakati wa michuano ya Kombe la Mataifa…
Dk Yonazi : Tutumie AFCON kama fursa ya kujitangaza kimataifa
Na. Mwandishi Wetu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Makatibu Wakuu ya Maandalizi ya Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2027), Dkt. Jim Yonazi,…
Makamu wa Rais afanya mazungumzo na Balozi Meja Jenerali Gaguti
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Balozi Meja. Jen. Marco Elisha Gaguti, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam leo…




