JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia kufungua mkutano mkubwa wa madini Novemba 2026

-▪️Ni Mkutano mkubwa wa Madini na Uwekezaji ▪️Washiriki 2000 kutoka mataifa 50 Duniani kushiriki ▪️Kauli Mbiu ya Mkutano inalenga kuongeza thamani madini kwa maendelezo ya Viwanda ▪️Serikali na Sekta Binafsi kushirikiana kuandaa mkutano huo ▪️Waziri Mavunde azindua rasmi maandalizi ya…

Tanzania na Japan zasaini hati ya makubaliano ya biashara ya kaboni

Serikali ya Tanzania imeingia makubaliano na kampuni mbili kutoka Japan kwa ajili ya kufungua fursa za soko la biashara ya kaboni kupitia mpango wa Uratibu wa Pamoja wa Mikopo (JCM), hatua inayolenga kuongeza mchango wa sekta binafsi katika kufanikisha dira…

Rais Samia mgeni rasmi tuzo za Vijana Uchumi Challenge 2026

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi Julai 6, 2026 katika hafla ya kuwatunuku washindi 10 bora wa mashindano ya Vijana Uchumi Challenge 2025/2026, itakayofanyika katika Ukumbi…

Mbio za miaka 30 ya TRA , Eliona asisitiza ulipaji kodi kwa hiari

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Pwani imeungana na mikoa mingine kufanya mbio na matembezi ya shukrani kwa walipakodi ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 30 huku ikisisitiza ulipaji kodi kwa hiari na…

Katibu Mkuu Zambia aipongeza Tanzania kwa mafanikio makubwa katika sekta ya umeme

📌Aeleza Ushirikiano katika utekelezaji wa Mradi wa TAZA na faida zake Kikanda 📌Asifu jitihada za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati nchini Zambia, Mhe. Arnold Simwaba, amesema kuwa Tanzania na Zambia zimeendelea kushirikiana…

MSD Kagera yapewa tano kwa usambazaji bidhaa za afya za bil.29/- RC ahimiza madeni kulipwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe.Kanali Yahya Ramadhan Kido, ameipongeza Bohari ya Dawa (MSD) Kanda ya Kagera kwa kufanikisha usambazaji wa bidhaa za afya kwa wakati zenye thamani ya shilingi bilioni 29 ambayo ni sawa…