JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, CCM yasisitiza maadili, haki na kupambana na rushwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikiwa kinajiandaa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, kimesema kitaendelea kutekeleza majukumu yake kwa haki kwa kuzingatia Katiba na kujiepusha na vitendo vya rushwa. Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emanuel Nchimbi,…

Profesa Mkenda azindua bodi ya TAEC, aitaka kusimamia ufadhili wa Samia Scholarship Extended Program

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amezindua bodi mpya ya Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) ambapo ameitaka kusimamia kwa umakini ufadhili wa masomo ya elimu ya juu ya…

Uingereza yafurahiswa maboresho na Bandari ya Dar, yaipongeza Serikali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Uingereza imesema imefurahishwa na juhudi zinazofanywa na Serikali ya Tanzania katika uboreshaji wa miundombinu na utoaji wa huduma katika bandari ya Dar es salaam. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada…

Pwani mwamko mkubwa, waomba kuongezewa siku za uandikishaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Wananchi wa mkoa wa Pwani wamejitokeza kwa wingi kwenye vituo vya uandikishaji na uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, hali inayohofiwa kwamba baadhi ya watu huenda wasifikiwe kutokana na mwamko mkubwa ulioonekana. Idadi…

EACOP, CPP yatoa fursa kwa wajasiriamali Handeni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Handeni Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) kwa kushirikiana na mkandarasi Mkuu wa ujenzi wa bomba hilo, kampuni ya China Petroleum Pipeline (CPP) umewataka wajasiriamali/wafanyabiashara katika Wilaya ya Handeni mkoani Tanga…

Serikali yaandaa mkakati kuongeza uzalishaji wa ngano

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA), imeandaa mkakati wa miaka 10 wa kuongeza uzalishaji wa ngano. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mkuu wa COPRA, Irene Mlola wakati akifungua kikao…