Latest Posts
FCC yawashauri wananchi kutoa taarifa ya bidhaa feki
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Denis Londo, ametembelea banda la Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) katika Maonesho ya Kimataifa ya Mbeya City Expo 2026 yanayoendelea katika viwanja vya Uhindini, jijini Mbeya, ambapo alipata fursa ya kujionea shughuli mbalimbali…
Education Malaysia Global Services yadhamiria Watanzania wapate fursa elimu kwenye vyuo bora duniani
Na Francisco Peter, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Education Malaysia Global Services wameamua kuja hapa nchini na kutangaza vyuo vikuu kutoka nchini Malaysia ili Watanzania wapate fursa ya kupata elimu kwenye vyuo bora duniani. Katika kupata elimu vyuo bora…
NBS ,TASAC kuendesha sensa ya vyombo vya majini nchini
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wamiliki wa vyombo vya majini nchini wametakiwa kutoa taarifa na takwimu sahihi wakati wa utekelezaji wa Sensa ya Vyombo vya Majini na Wajenzi wa Meli Tanzania Bara ili kuiwezesha Serikali kupata taarifa za kuaminika zitakazosaidia…
CRDB yazindua Kampeni “Kopa Kimpango Wako ”, Waajiriwa Serikalini sasa kukopa hadi Bilion 3/- kidigitali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam CRDB Benki imezindua bidhaa mpya ya mikopo kwa waajiriwa wa Serikali itakayopatikana kwa njia ya kidigitali, hatua inayolenga kurahisisha upatikanaji wa huduma za kifedha kwa wateja popote walipo kupitia simu zao za mkononi. Akizungumza…





