Latest Posts
Miaka 30 ya TRA, Rais Samia alivyojenga msingi wa uhusiano mzuri kati ya mlipakodi na mamlaka
Na Dk Reuben Lumbagala Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ni chombo muhimu nchini katika kuhakikisha mipango na mikakati ya maendeleo inatimizwa kikamilifu. Hii inatokana na ukweli kuwa mipango mingi ya maendeleo kama uboreshaji wa sekta za elimu, afya, maji, masoko,…
Mafanikio ya usambazaji umeme, Mramba apongeza REA na TANESCO
📌Wakandarasi wa umeme wakaribishwa Zambia kutekeleza miradi Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika upatikanaji wa huduma ya umeme, kutoka hatua ya kusambaza umeme kwenye mikoa hadi kufikia ngazi…
Ili kufikia umeme wa megawati 8,000 ifikapo 2030 Ndejembi ataja vyanzo
Waziri wa Nishati, Mhe.Deogratius Ndejembi, amesema Serikali imejipanga kuongeza uzalishaji wa umeme kutoka megawati 4,300 za sasa hadi kufikia megawati 8,000 ifikapo mwaka 2030 kupitia utekelezaji wa miradi mbalimbali mikubwa ya uzalishaji wa umeme nchini. Amesema hayo akichangia Makadirio ya…
Madiwani Mpanda, Nsimbo waipongeza Serikali kwa uwekezaji kituo cha Kufua Umeme cha JNHPP
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Madiwani wa Halmashauri za Wilaya za Mpanda na Nsimbo mkoani Katavi, wakiongozana na baadhi ya wabunge na viongozi wengine, wamepongeza uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali katika Kituo cha Kufua Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) baada…
Mikoa minne kupata umeme wa gridi ndani ya mwaka wa fedha 2026/2027
Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2026/2027 itatekeleza miradi mbalimbali ya umeme ikiwemo kuunganisha mikoa ya Lindi, Mtwara, Kagera na Rukwa kwenye gridi ya taifa ya umeme ili kuhakikisha wananchi wengi zaidi wanapata huduma hiyo nchini. Akichangia makadirio ya mapato…
Serikali yabadili gia, sasa kuwa rafiki wa biashara na sio wadhibiti -Kapinga
Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dodoma Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amesema Serikali imebadili mtazamo katika kusimamia sekta ya viwanda na biashara kwa kuweka mkazo kwenye uwezeshaji badala ya udhibiti, akisisitiza kuwa taasisi zilizo chini ya wizara hiyo…





