JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Umeme wa uhakika migodini wachangia zaidi ya bil.340/- kwa mwaka

Dodoma, Septemba 3, 2026. Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mhe. Hashimu Komba, amesema upatikanaji wa umeme wa uhakika katika migodi una mchango mkubwa kwa uchumi wa Taifa, ambapo sekta hiyo huchangia zaidi ya Shilingi bilioni 340 kwa mwaka kupitia mrabaha,…

Wadau sekta ya afya 3000 kushiriki mkutano wa kimataifa wa huduma za afya

Na: OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema zaidi ya wadau wa sekta ya afya 3000 kutoka nchi mbalimbali Duniani watashiriki katika Mkutano…

Serikali yaridhishwa na maandalizi ya NHIF kuelekea AFCON

Serikali imeutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kujipanga kikamilifu katika maandalizi ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, hususan katika kuhakikisha wageni watakaofika nchini wanapata huduma bora za matibabu bila vikwazo. Agizo hilo limetolewa…

Serikali imepiga hatua kubwa kuimarisha mifumo ya utakatashaji fedha haramu

Na Benny Mwaipaja, Kigali, Rwanda Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) amesema kuwa Serikali imepiga hatua kubwa kuimarisha mifumo ya kuthibiti utakasishaji fedha haramu, ufadhili wa ugaidi, na ufadhili…

Viongozi vyuo vikuu wakubali kuboresha udahii na ubora wa elimu

Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ameitaka Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuhakikisha inaweka mfumo bora na wenye ufanisi wa udahili na usajili wa wanafunzi wanaojiunga na elimu ya juu, ili kuepusha vyuo kupokea wanafunzi…

Makamu wa Rais ashiriki misa ya kuwekwa wakfu Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki Dar es Salaam

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi ameshiriki Adhimisho la Misa Takatifu ya kuwekwa Wakfu Mhashamu Vincent Mpwaji, kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, iliyofanyika katika Viwanja vya Msimbazi Center –…