Latest Posts
Tanzania kuwa kitovu cha uchakataji wa madini tembo
Dkt.Kiruswa Ataka Ujenzi Kuharakishwa, Asisitiza Uongezaji Thamani Nchini Tayari WanaKigamboni 278 Wameajiriwa, Zaidi ya Asilimia 90 ni Watanzania Mwezi Julai Pekee Mkoa wa Kimadini Dar/Pwani Umekusanya Bil 4.06 📍 Kigamboni,Dar Es Salaam Tanzania imeingia katika Hatua Mpya ya Uendelezaji wa…
WRRB, mikoa na halmashauri kuimarisha mfumo wa stakabadhi za ghala
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BODI ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema itaendelea kushirikiana kwa karibu na Sekretarieti za Mikoa na Halmashauri nchini ili kuimarisha utekelezaji wa Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS), kuongeza tija kwa wakulima na…
Serikali yaimarisha udhibiti wa bidhaa za chakula na vipodozi
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limesisitiza umuhimu wa kusajili maeneo yote yanayohusika na uuzaji, usambazaji na uhifadhi wa bidhaa za chakula na vipodozi, likieleza kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kuhakikisha wananchi wanapata bidhaa salama na…
TMA yatoa tahadhari ya mvua za El Nino, kuathiri msimu wa mvua za vuli
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kuwepo kwa mvua za El Nino zitakazoathiri msimu wa mvua za Vuli unaotarajiwa kuanza mapema Oktoba 2026 na kuendelea hadi Januari 2027. Akizungumza…
Dk Yonazi aviasa vikundi vya Waviu kutumia mitandao ya kijamii kuwafikia wateja
Na Mwandishi Wetu, Mwanza Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu, Dkt. Jim Yonazi ashauri kikundi cha Paza Sauti cha Watu Wanaoishi na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (WAVIU) kutumia mitandao ya…
TBA yasaini mkataba na Galco Ltd kujenga Modern Logistics Hub Temeke
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umesaini Mkataba wa Ubia kati ya Serikali na Sekta Binafsi (PPP) na Kampuni ya Galco Limited kwa ajili ya kuendeleza eneo la Kiwanja Na. 264, Temeke Mwisho jijini Dar…





