JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndejembi ashuhudia utoaji saini mkataba wa bil. 204.7/- wa Mradi wa Umeme Jua wa megawati 100 Kishapu

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi (Mb.), leo Julai 27, 2026, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa utekelezaji wa awamu ya pili ya Mradi wa Umeme wa Jua wa Kishapu wenye uwezo wa kuzalisha Megawati 100, utakaotekelezwa katika eneo…

Dk Mwinyi : Zanzibar kujenga mfumo endelevu wa huduma za afya, aipongeza Uswisi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imejipanga kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma bora za afya kupitia mifumo imara, madhubuti na endelevu, badala ya kutegemea miradi na…

Balozi Nchimbi hajauma maneno, aungwe mkono

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Nairobi Nimeandika makala hii nikiwa hapa Nairobi, Kenya muda mfupi tu baada ya kusikia kauli ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi, Dk. John Nchimbi, kuhusiana na umuhimu wa kupata Katiba Mpya…

Serikali yawateua wanafunzi 1,050 kunufaika na Samia Scholarship

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imeendelea kuwekeza katika elimu na maandalizi ya wataalamu wa sayansi na teknolojia baada ya kuwateua wanafunzi 1,050 waliofanya vizuri zaidi katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Sita wa mwaka huu, kunufaika na ufadhili…