Latest Posts
Dkt. Munisi: Viongozi wa dini hubirini maadili mema, kudumisha amani nchini
Na. OWM (KAM) Mwanga Serikali imezitaka taasisi na viongozi wa dini nchini kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kuhubiri maadili mema, mshikamano na uvumilivu ili kujenga jamii yenye amani, utulivu na uchaji wa Mungu. Wito huo umetolewa leo, Agosti 30,…
Maono ya Rais Samia yazidi kupata msukumo, GEL yajenga kizazi cha sayansi na teknolojia
GEL yachochea mapinduzi ya elimu kuelekea Dira 2050 Na Mwandishi wetu KUNDI lingine la mamia ya wanafunzi wa Kitanzania wameondoka nchini Jumamosi kuelekea vyuo vikuu mbalimbali kuanza masomo ya elimu ya juu. Wanafunzi hao walioondoka jana kupitia Uwanja wa Ndege…
Wenye uzito uliopitilizwa waitwa kufanyiwa matibabu
……..Kambi maalum inaanza Jumatatu hadi Septemba 11 Na Mwandishi Wetu HOSPITALI ya Shifaa Pan African ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imeandaa kambi maalum kufanya upasuaji wa kupunguza uzito kwa kutumia matundu madogo kuanzia Agosti 31 mpaka Septemba 11. Daktari…
Sheria ya NHIF kupanua wigo wa wanachama na kuboresha huduma
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) uko kwenye mchakato wa kufanya marekebisho ya Sheria ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Sura ya 395, kwa lengo la kupanua wigo wa wanachama, kuendana na mahitaji ya sasa ya…
NMB yahimiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya NMB imewataka wafanyabiashara wa Mwanza, Mara na Geita kutumia malipo ya kidijitali na akaunti mahsusi za biashara ili kufikia masoko mapya na kusimamia fedha zao kwa usahihi. Akizungumza katika jukwaa la…
Mkuranga watakiwa kulinda miundombinu ya gesi asilia
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Khadija Nassir Ali, amewataka wananchi wa Mkuranga kuhakikisha wanalinda miundombinu ya gesi asilia iliyojengwa katika maeneo yao ili iweze kudumu na kuwanufaisha wananchi pamoja na taifa kwa ujumla. Amesema ulinzi wa miundombinu hiyo ni jukumu…





