JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mwenge wazindua barabara ya lami Lumambo -Kitongo Nzega

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nzega MWENGE wa uhuru umezindua mradi wa barabara ya lami ya Lumambo – Kitongo yenye urefu wa kilomita 1.750 iliyopo kwenye Kata ya Nzega Mjini Magharibi Mkoani Tabora. Meneja wa TARURA Wilaya ya Nzega, mhandisi Haruna…

‘NMB the GOAT’ atamba mbio za mbuzi, amshinda mpinzani wa Bowman

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mbuzi wa Benki ya NMB, ‘NMB the GOAT’, ameibuka mshindi katika mbio za ‘NMB unGOATable Race’ zilizofanyika Septemba 19, 2026, akimshinda mbuzi wa Bowman katika mashindano Goat Races yanayolenga kuchangisha Sh200 milioni kwa…

Tanzania, China zasaini mkataba wa ujenzi wa Hospitali mpya ya JKCI Mlonganzila

Na Mwandishi Maalumu, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Afya na Jamhuri ya Watu wa China zimesaini Mkataba wa utekelezaji wa ujenzi wa hospitali mpya ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itakayojengwa…

Makamu wa Rais afanya ziara kushtukiza mto Ng’ombe, aagiza taka ziondolewe haraka

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, amefanya ziara ya kushtukiza katika eneo la Mto Ng’ombe, Tandale jijini Dar es Salaam, kukagua hali ya usafi wa mazingira na maandalizi ya kukabiliana na athari zinazoweza kujitokeza…

Ndivyo msamaha kodi mwaka mzima ulivyo nyenzo ya kuwakuza wafanyabiashara wadogo

NA: DK. REUBENI LUMBAGALA Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa tafsiri ya mfanyabiashara mdogo kwa muktadha wa ulipajikodi. Mfanyabiashara mdogo ni mtu anayeuza bidhaa au huduma ambaye mauzo yake kwa mwaka mzima ni kati ya shilingi sifuri hadi…