JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

BoT yawataka wasanii kuwa mabalozi wa elimu ya fedha

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka wasanii na wadau wengine wenye ushawishi kwa jamii kuwa mabalozi wa elimu ya matumizi sahihi ya fedha, ikiwemo umuhimu wa kutunza noti na sarafu kwa usahihi. Akizungumza leo, Agosti, 31 2026 jijini Dar es…

Serikali ichukue hatua hizi kukabiliana na mvua za El Nino

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo kuhusu msimu wa mvua za Vuli 2026, ambao unatarajiwa kuathiriwa kwa kiwango kikubwa na hali ya El Niño. Kwa mujibu wa TMA, mvua za…

Serikali yatoa trilioni 4.7/- kulipa mikopo ya wanafunzi

Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya Sh.trilioni 4.7 kwa ajili ya mikopo na ruzuku kwa wanafunzi wa elimu ya juu tangu ilipoingia madarakani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhakikisha vijana…

SUA yageuka kitovu cha fursa ya kilimo:7500 wadahiliwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wakati vijana zaidi ya 23,000 kutoka maeneo mbalimbali nchini wakisaka nafasi za kujiunga na Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), chuo hicho kimeeleza kuwa kina uwezo wa kudahili wanafunzi 7,500 pekee kwa mwaka wa masomo…

Matumizi ya CNG Dar yabaki chini, gharama za ufungaji zatajwa kuwa kikwazo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam LICHA ya Serikali kuendelea kuhamasisha matumizi ya gesi asilia kwenye vyombo vya moto kama mbadala wa mafuta ya petroli na dizeli, matumizi ya nishati hiyo jijini Dar es Salaam bado yako chini, huku gharama…

Dkt. Munisi: Viongozi wa dini hubirini maadili mema, kudumisha amani nchini

​Na. OWM (KAM)  Mwanga ​Serikali imezitaka taasisi na viongozi wa dini nchini kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kuhubiri maadili mema, mshikamano na uvumilivu ili kujenga jamii yenye amani, utulivu na uchaji wa Mungu. ​Wito huo umetolewa leo, Agosti 30,…