Latest Posts
TAWA, SOAT wakutana kujadili maendeleo ya utekelezaji wa SWICA
📍 Wawekezaji waalikwa kutumia fursa za AFCON 2027 Na Beatus Maganja, Dodoma Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) leo Agosti 12, 2026 imekutana na wadau wa Chama cha Wawekezaji Mahiri (SWICA Operators Association of Tanzania – SOAT) jijini Dodoma…
TFS yaweka wazi taratibu za biashara ya mazao ya misitu
WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wametoa elimu kwa wafanyabiashara na wachongaji wa vinyago katika eneo la Mwenge jijini Dar es Salaam kuhusu sheria, kanuni na taratibu za uvunaji, usafirishaji na biashara ya mazao ya misitu, ikiwemo taratibu za…
GEL yawafungulia milango fursa za elimu duniani wanafunzi 387.
*Wengine waenda India na wengine China Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam GLOBAL Education Link (GEL) imewakabidhi nyaraka rasmi za safari wanafunzi 387 wa Kitanzania wanaotarajia kwenda kuendelea na masomo ya elimu ya juu nchini China na India, huku wakihimizwa…
IAEA kushirikiana na Tanzania kusafirisha mabaki ya vyanzo vya mionzi ORCI
Na Mwandishi Maalumu, Dar es Salaam Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), kwa kushirikiana na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC), limekubaliana na Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) kuanza mchakato wa kusafirisha mabaki ya vyanzo vya…
Biteko: Tanzania imepiga hatua kubwa katika ajenda ya nishati safi ya kupikia
📌 Asema wajibu wa kila Mtanzania ni kuhakikisha mafanikio yanakuwa endelevu Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa Ajenda ya Nishati…
Biteko: Tanzania imepiga hatua kubwa katika ajenda ya Nishati safi ya kupikia
📌 Asema wajibu wa kila Mtanzania ni kuhakikisha mafanikio yanakuwa endelevu KIZIMKAZI, ZANZIBAR Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa Ajenda ya Nishati Safi ya…





