Latest Posts
Bodi ORCI yakutana Mbeya kupitia utekelezaji wa shughuli za Taasisi
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) Prof. Ephata Kaaya ameongoza kikao cha Bodi kilichofanyika hivi karibuni jijini Mbeya kwa lengo la kujadili na kutoa mwelekeo wa kimkakati kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Taasisi…
Ebola Kongo yaweka rekodi kwa kuua zaidi ya watu 2,300
Mlipuko wa Ebola unaoenea kwa kasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umeua watu 2,325 na kuwa mbaya zaidi kuwahi kurekodiwa nchini humo. Takwimu za serikali zinaonyesha kuwa watu 4,945 wameambukizwa. Katika saa 24 zilizopita pekee, visa vipya 101 na…
Hichilema ashinda muhula wa pili Zambia
Rais Hakainde Hichilema ameshinda uchaguzi wa urais Zambia kwa asilimia 60 ya kura, huku mpinzani wake Brian Mundubile akipata asilimia 38 na kudai kuwapo kwa dosari. Rais Hakainde Hichilema amechaguliwa tena kuiongoza Zambia kwa muhula wa pili baada ya kupata…
Serikali kuendelea kuimarisha afua za UKIMWI nchini
Na Mwandishi Wetu, Mwanza Serikali imedhamiria kuendelea kuimarisha afua za masuala ya UKIMWI nchini kwa kuboresha mazingira ya utekelezaji wa shughuli hizo, huku ikihimiza ushirikiano na wadau mbalimbali katika kuendeleza mapambano dhidi ya UKIMWI. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu…
Sekta binafsi kuchangia asilimia 70 ya dira 2050
Sekta binafsi nchini inatarajiwa kuchangia takribani asilimia 70 ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 iliyozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais…





