JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NBS ,TASAC kuendesha sensa ya vyombo vya majini nchini

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wamiliki wa vyombo vya majini nchini wametakiwa kutoa taarifa na takwimu sahihi wakati wa utekelezaji wa Sensa ya Vyombo vya Majini na Wajenzi wa Meli Tanzania Bara ili kuiwezesha Serikali kupata taarifa za kuaminika zitakazosaidia…

CRDB yazindua Kampeni “Kopa Kimpango Wako ”, Waajiriwa Serikalini sasa kukopa hadi Bilion 3/- kidigitali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam CRDB Benki imezindua bidhaa mpya ya mikopo kwa waajiriwa wa Serikali itakayopatikana kwa njia ya kidigitali, hatua inayolenga kurahisisha upatikanaji wa huduma za kifedha kwa wateja popote walipo kupitia simu zao za mkononi. Akizungumza…

Kafulila: Mabadiliko ya fikra yatabeba uchumi wa dola trilioni moja

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dodoma MKURUGENZI mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binasi (PPPC) , David Kafulila, amesema lengo la Serikali la kufikia uchumi wa dola trillion moja ifikapo mwaka 2050 haliwezi kufikiwa ikiwa Watanzania…

Dk Kahyoza: Kafulila anogesha mjadala wa Vyuo Vikuu kufundisha PPP

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP-Centre), David Kafulila ameahidi kufanya kila kinachowezekana kuhakikisha Chuo kikuu Cha Dodoma (UDOM) kinaanza kutoa shahada ya uzamili ya Ubia wa Sekta…

Kwagilwa aishauri TMA kushirikiana na wadau kusambaza taarifa za hali ya hewa kwa wanannchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Reuben Nhamanilo Kwagilwa, ameitaka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kuendelea kuimarisha ushirikiano na wadau mbalimbali ili kuhakikisha taarifa za hali…

Tanzania, Qatar zafungua fursa mpya sekta ya madini

✅Al Mansour Group Yaonesha Nia Kuwekeza kwenye Uongezaji Thamani wa Dhahabu, Nikeli, Kobalti na Chuma ✅Teknolojia, Mitambo, Mafunzo na Uzalishaji wa Mbolea Vyatajwa Maeneo Muhimu ya Ushirikiano ✅Wachimbaji Wadogo Waguswa 📍 Doha, Qatar Tanzania imeendelea kupanua wigo wa ushirikiano wa…