JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ndejembi: Ujenzi bomba la mafuta wafikia asilimia 86, meli ya kwanza kubeba mafuta Januari 2027

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius J. Ndejembi amesema mradi wa kimkakati wa kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Chongoleani, mkoani Tanga nchini Tanzania wa EACOP (East African Crude Oil Pipeline), umefikia asilimia 86 ya utekelezaji,…

Miaka 30 ya TRA, yaacha alama ya utunzaji mazingira kwa kupanda miti 3,850 nchini

Na DK. Reuben Lumbagala, Tanga Suala la utunzaji mazingira ni la muhimu kutokana na umuhimu wake kijamii, kimazingira na kiuchumi. Mwanadamu ambaye ni sehemu ya mazingira anapaswa kuhakikisha anayatunza ili kuifanya dunia kuwa sehemu nzuri na salama kwa kuishi. Katika…

TARURA yamaliza changampto ya barabara Kata ya Nanyanga Tandahimba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kupitia Mradi wa RISE, program ya uondoaji vikwazo vya barabara (Bottleneck) imekamilisha ujenzi wa kalavati sambamba na matengenezo ya barabara ya Mwindi – Mnauke yenye urefu wa…

Tusimhukumu Rais Samia kwa makosa ya kihistoria

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Nafahamu kwa sasa nchi yetu ina joto la kisiasa. Joto linapanda kutoka kila kona. Linapanda kutoka vyama vya upinzani, linapanda kutoka ndani ya chama tawala kuelekea mwaka 2030, maana huo ndio ukweli, na…

CRDB Insurance yazindua ‘ Smart mifugo’ kulinda wafugaji dhidi ya hasara

Serikali imesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye idadi kubwa ya mifugo barani Afrika, hivyo matumizi ya teknolojia ya kisasa ni muhimu katika kulinda mali za wafugaji na kukuza uchumi. Akizungumza leo Juni 29, 2026, jijini Dar es Salaam, Katibu…