Latest Posts
Wataalam TANROADS wakumbushwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa katika utendajikazi wao
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesisitiza umuhimu wa kuzingatia matumizi ya taarifa za hali ya hewa katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa miundombinu ikiwemo barabara na madaraja . Akizungumza na viongozi na watumishi mbalimbali wa Wakala wa…
TBS Yaendelea kutoa elimu ya alama ya ubora ya bidhaa Nanenane Tabora
Na Mwandishi Wetu, Tabora SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kurahisisha upatikanaji wa Alama ya Ubora kwa kuanzisha mfumo wa kidijitali unaowezesha wajasiriamali na wazalishaji kuwasilisha maombi kwa njia ya mtandao, hatua inayolenga kuongeza idadi ya bidhaa zenye ubora unaokidhi…
Waziri Aweso aagiza milioni 508 zipelekwe mradi wa maji Gidas Babati
Na John Walter, Babati Waziri wa Maji, Jumaa Hamidu Aweso, ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa Maji wa Vijiji vya Endamagay na Gidaboshka, uliopo katika Jimbo la Babati Vijijini. Mradi huo wenye thamani ya Shilingi bilioni 1.099…
Dk Msonde: TBA ni kitovu cha fusa za uwekezaji kupitia miradi ya ubia ‘PPP’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewataka wawekezaji binafsi na taasisi mbalimbali nchini kutumia fursa zinazotolewa kupitia Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuwekeza katika ujenzi wa nyumba, majengo ya umma na makazi ya kisasa kupitia mfumo wa ubia kati ya…
Tanzania kunufaika na bilioni 10/- za biashara ya kaboni
Na Mwandishi Wetu, JmahuriMedia, Dar es Salaam Tanzania inatarajiwa kuingiza zaidi ya Sh bilioni 10 kutokana na mauzo ya biashara ya kaboni baada ya Serikali kuidhinisha miradi minne itakayouza tani milioni 4.2 za kaboni katika soko rasmi la kimataifa. Waziri…
Ridhiwani asisitiza umuhimu wa watumishi wa umma kupima afya mara kwa mara
Na Mwandishi Maalumu – Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amewataka watumishi wa wizara hiyo kujenga utamaduni wa kupima afya zao mara kwa mara ili kujikinga na…





