JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Salome Makamba afunga maonyesho ya Nishati Expo 2026

📌Apongeza juhudi za REA kusambaza Nishati Safi ya kupikia vijijini 📍Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba leo tarehe 25 Juni, 2026 amefunga rasmi Maonesho na Kongamano la Nishati Safi Expo 2026 yaliyofanyika katika ukumbi wa EACLC…

Wawili wakamatwa wakitorosha mifugo 254 kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo

Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo (STPU), kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wawili waliokuwa wakitorosha mifugo 254 kwenda nchi jirani kwa njia ya magendo. Akitoa taarifa hiyo , Kamanda wa…

Tanzania yapongezwa kwa utekelezaji wa mkakati wa PEN-PLUS katika kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza

Mkurugenzi wa Tiba kutoka Wizara ya Afya, Dk. Hamadi Nyembea, amesema mkutano wa tatu wa kimataifa wa PEN-PLUS unalenga kujadili na kuimarisha upatikanaji wa huduma za matibabu kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, hususan kisukari, selimundu (sickle cell),…

Waziri Mkuu: Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kupambana na biashara ya bidhaa bandia kwa kuwa zinakwamisha ukuaji wa viwanda, sekta binafsi pamoja na kuhatarisha maisha ya wananchi. Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itachukua hatua kali kwa wawekezaji wanaofanya utapeli…

From representation to results: How President Samia is redefining women’s diplomacy in Africa

By Ellen Azaria Maduhu, JamhuiMedia, Dodoma Every year on June 24, the world marks the International Day of Women in Diplomacy, a day established by the United Nations in 2022 to recognize the contribution of women in diplomacy, peacebuilding, conflict…

Rais Samia azindua huduma ya saratani KCMC, aahidi ushirikiano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali, kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo na taasisi za afya, itaendelea kupanua huduma za uchunguzi na matibabu ya saratani katika kanda mbalimbali za nchi ili kupunguza mzigo…