Latest Posts
eGA yaibua mifumo ya kidigitali inayochochea mapinduzi ya kilimo
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Matumizi ya teknolojia ya kidijitali yanaendelea kubadilisha sekta ya kilimo nchini, huku Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) ikieleza kuwa imebuni na kuendeleza mifumo mbalimbali inayorahisisha huduma za Serikali, kuimarisha uwazi na kuongeza tija kwa wakulima na taasisi…
TFC yahamasisha matumizi ya mbolea kwa tija kwa kilimo
Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahimiza wakulima nchini kuachana na dhana potofu kuhusu matumizi ya mbolea, ikisisitiza kuwa kilimo cha kisasa kinahitaji matumizi sahihi ya mbolea ili kuongeza uzalishaji na tija mashambani. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Uendeshaji Biashara…
TFC yawekeza kiwanda mbolea, yalenga kupunguza uagizaji nje
Na Mwandishi Wetu Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imeanza utekelezaji wa mpango mkubwa wa kuongeza upatikanaji wa mbolea nchini kwa kuagiza tani 200,000 za mbolea kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, sambamba na uwekezaji katika viwanda vya kuchanganya mbolea…
Tanzania yatajwa kuwa nguzo ya thamani katika mnyororo SADC
DURBAN – AFRIKA KUSINI Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, amezishauri nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kuwekeza zaidi katika maendeleo ya viwanda na miundombinu ili kuwawezesha wanawake na vijana kushiriki…
Kapinga: Wakulima wasizalishe bila uhakika wa soko
Serikali yaweka mkakati wa kuondoa tatizo la wakulima kuvuna mazao bila kuwa na uhakika wa soko, ikisisitiza kuwa kuanzia sasa uzalishaji wa mazao, mifugo na uvuvi unapaswa kuongozwa na mahitaji ya soko badala ya utaratibu wa kuzalisha kwanza na kuanza…
Msigwa: Michezo ni daraja la urafiki kati ya Tanzania na China
Na Prosper Makene Dar es Salaam, Tanzania – Jumamosi, 1 Agosti 2026: Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa amesema michezo imeendelea kuwa daraja muhimu la kuimarisha urafiki na ushirikiano kati ya Tanzania na China….





