Latest Posts
Msigwa: Michezo ni daraja la urafiki kati ya Tanzania na China
Na Prosper Makene Dar es Salaam, Tanzania – Jumamosi, 1 Agosti 2026: Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa amesema michezo imeendelea kuwa daraja muhimu la kuimarisha urafiki na ushirikiano kati ya Tanzania na China….
TANESCO Kimbiji yawasogezea huduma wananchi, yatoa elimu matumizi ya nishati safi ya kupikia
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Kigamboni, Wilaya ya Kimbiji, limesogeza huduma karibu na wananchi kwa kutoa elimu kwa wakazi wa Mwasonga kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia, utaratibu mpya wa kuomba huduma ya umeme kupitia mfumo wa…
NMB Foundation, Mercy Corps wasaini mradi wa bil. 2.6/- kukuza biashara
Taasisi za NMB Foundation na Mercy Corps Tanzania zimesaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa Evolve wenye thamani ya Shilingi bilioni 2.6 utakaotekelezwa kwa miaka miwili ili kukuza biashara zinazohusiana na usafiri wa vyombo vya moto vinavyotumia umeme jijini Dar…
Bangu :Ajira 31,875 zimezalishwa kupitia WRRB
….…… Mfumo wa Stakabadhi za Ghala (WRS) umezalisha ajira 31,875 katika mwaka wa fedha 2025/26 kupitia shughuli mbalimbali za mnyororo wa thamani wa mazao na bidhaa. Hayo yameelezwa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi…
Alama ya Ubora ya Afrika Yazinduliwa
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Denis Londo, amesema ubora wa bidhaa ni nguzo muhimu katika kuongeza ushindani wa bidhaa za Tanzania kwenye soko la kimataifa na kufanikisha azma ya nchi ya kujenga uchumi wenye thamani ya dola za Marekani…
Chatila afunguka mipango ya kuibadili Ujenzi Sports Club
Na Mtemi Sona, Dodoma Mwenyekiti wa Ujenzi Sports Club, Arch. Ibrahim Chatila, amesema uongozi mpya umejipanga kuijenga timu hiyo kuwa ya kisasa, imara na yenye ushindani mkubwa katika mashindano yote itakayoshiriki. Akizungumza kuhusu mikakati ya kuiboresha klabu hiyo iliyo chini…





