Latest Posts
Asasi za Kiraia Zajipanga Kuongeza Nguvu katika Utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa Wanawake, Amani na Usalama
Dar es Salaam, Tanzania | 08 Septemba 2026 – Asasi za kiraia na wadau mbalimbali wanakutana kwa ajili ya Jukwaa la Ushirikishwaji wa Asasi za Kiraia Tanzania kuhusu Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama (WPS), lenye kaulimbiu “Kuimarisha Hatua Zilizoratibiwa za Asasi za…
PAWO yasisitiza ushiriki wa wanawake katika amani na usalama
DAR ES SALAAM KATIBU Mkuu wa Shirika la Wanawake la Kiafrika (PAWO), Dkt. Grace Kabayo, ameitaka jamii kuhakikisha wanawake wanashirikishwa kikamilifu katika maamuzi yanayohusu amani, usalama na maendeleo, akisisitiza kuwa wanawake si waathirika wa migogoro pekee bali ni viongozi na…
Wakulima zaidi ya 100,000 kunufaika na teknolojia ya ndege nyuki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam WAKULIMA wakubwa, wa kati na wadogo nchini wanatarajiwa kupata fursa zaidi ya kutumia teknolojia ya ndege nyuki katika shughuli za kilimo, ikiwemo kunyunyiza viuatilifu na kufuatilia afya ya mazao. Hatua hiyo inakuja baada…
Watahiniwa milioni 1.16 kufanya mtihani wa darasa la saba
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JUMLA ya watahiniwa 1,168,649 kutoka shule 20,019 Tanzania Bara wanatarajiwa kufanya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) kesho na keshokutwa (Septemba 9 na 10, 2026), huku Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA)…
Wasira amjibu Nchimbi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amejibu hoja ya Makamu wa Rais aliyejiuzulu, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi ya kuwataka Watanzania wapambanie Katiba Mpya. Akizungumza Dar es Salaam leo Septemba 8,…




