Latest Posts
Mkuu wa Majeshi afunga mafunzo ya askari wapya Kihangaiko Pwani
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob John Mkunda amefunga rasmi mafunzo ya Askari wapya katika hafla iliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Mafunzo ya Awali ya Kijeshi (RTS) Kihangaiko Msata mkoani Pwani leo tarehe 31 Januari 2025. Jenerali Mkunda…
Ulega atoa siku 28 kuvunja mkataba wa mkandarasi wa bilioni 94 Kyerwa -Omurushaka
Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, ametoa siku 28 kwa Wizara ya Ujenzi pamoja na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoani Kagera kuhakikisha wanakamilisha taratibu za kusitisha mkataba na kumfukuza kazi mkandarasi aliyeshindwa kutekeleza ujenzi wa barabara ya kilomita 50…
Rais Samia aibuka kinara tuzo za uhifadhi na utalii
Rais Samia atunukiwa Tuzo Maalum ya Kiongozi Mwenye Maono ● Watalii wa kimataifa wafikia zaidi ya milioni 2.09 mwaka 2026 RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameibuka kinara wa Tuzo za Kitaifa za Uhifadhi…
Zaidi ya vijana 1,990 kunufaika na programu ya MBT–Tarime
Zaidi ya vijana 1,990 wa Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara, wamenufaika na awamu ya kwanza ya Programu ya Mining For A Brighter Tomorrow (MBT) inayotekelezwa katika eneo la Nyamongo, ikiwa ni mkakati wa Serikali wa kuwawezesha vijana kiuchumi kupitia…
Zaidi ya watu 200 wafariki katika mgodi ulioporomoka DR Congo
Zaidi ya watu 200 wamefariki dunia katika mgodi ulioporomoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, mamlaka ya waasi imesema. Mgodi huo, katika mji wa Rubaya, uliporomoka juzi kutokana na mvua kubwa, Lumumba Kambere Muyisa, msemaji wa gavana wa waasi…
Utitiri wa ving’ora barabarani, namba za magari Serikali yatoa tamko
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema serikali iko mbioni kuweka kampeni ya kudhibiti utitiri wa ving’ora vinavyowekwa katika magari ya watu binafsi ambayo hayatambuliwi na Kanuni za Usalama Barabarani huku pia akigusia…





