Latest Posts
Tanzania, Marekani kuiunganisha Afrika kwenye sekta ya afya
Na John Mapepele – WAF Washington, D.C. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Chama cha Wafanyabiashara cha Marekani (U.S. Chamber of Commerce) mjini Washington, D.C na Serikali ya Marekani kufanya utekelezaji wa kimkakati wa mkataba wa sekta ya afya ulioingiwa hivi…
RAS Kayombo aweka msisitizo elimu, uwekezaji , mapato na kukabili El Nino
Na Mwamvua Mwinyi, JamhutiMedia, Pwani KATIBU Tawala Mkoa wa Pwani, Richard Marcellino Kayombo, amekabidhiwa ofisi na kuanza majukumu yake baada ya kuchukua nafasi ya Pili Mnyema, katika hafla iliyofanyika ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani. Kayombo, ambaye ameteuliwa kuwa…
Tanzania, Marekani zaja na mapinduzi sekta ya afya
Na John Mapepele – WAF, Washington, D.C. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Chama cha Wafanyabiashara cha Marekani (U.S. Chamber of Commerce) mjini Washington, D.C na Serikali ya Marekani kufanya utekelezaji wa kimkakati wa mkataba wa sekta ya afya ulioingiwa hivi karibuni…
Watumishi OTR wapatiwa mafunzo ya mfumo wa usimamizi wa ubora
Na Mwandishi wa OTR Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imeendelea na hatua za kuimarisha mifumo yake ya utendaji kwa kuwajengea uwezo watumishi kuhusu Mfumo wa Usimamizi wa Ubora (Quality Management System – QMS), unaolenga kuiwezesha taasisi kufikia viwango vya…
Dk Mwigulu : Ifikapo 2030 Mwanza – Dodoma kwa SGR
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameiagiza Wizara ya Fedha na Wizara ya Uchukuzi, kwa kushirikiana na Shirika la Reli Tanzania (TRC), wakandarasi na taasisi zinazohusika na uhamasishaji wa fedha, kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya Reli ya Kisasa (SGR),…





