Latest Posts
Wizara ya Fedha kuendelea kuboresha miongozo inayolenga kuimarisha ukaguzi
Na Asia Singano, WF โ Dodoma Wizara ya Fedha imeendelea kuandaa na kuboresha miongozo mbalimbali inayolenga kuimarisha utekelezaji wa majukumu ya ukaguzi na kuongeza ufanisi wa kazi hiyo, ili kuendelea kulinda fedha za umma na kukuza uchumi wa nchi. Hayo…
Mradi wa umeme Simiyu kufungua fursa za uwekezaji na kuchochea shughuli za kiuchumi wananchi
๐ Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mhe.Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb.) aipongeza TANESCO kwa kutekeleza Mradi kwa kutumia wataalamu wa ndani ๐ MD Twange asema mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme umefikia asilimia 82…
Somalia yaona ufanisi mkubwa wa FCC katika kulinda soko
Na.Mwandishi Wetu Tume ya Ushindani ya Somali imefanya ziara ya siku moja nchini Tanzania kwa lengo la kujifunza uzoefu na mbinu zinazotumiwa na Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) katika kusimamia ushindani wa kibiashara, kudhibiti bidhaa bandia na kulinda maslahi ya…
Neema ya Uwekezaji wa Kiwanda cha Kuchakata Madini ya Mchanga wa Baharini
NA: DK. REUBENI LUMBAGALA Sekta vya viwanda ni injini ya maendeleo ya uchumi kutokana na kufungamanishwa kwake na fursa mbalimbali za maendeleo. Katika jitihada za kuinua maendeleo ya watu na ya uchumi, viwanda havipaswi kuachwa nyuma kwani vina mchango mkubwa…
NYANDUGA: Demokrasia Halisi Haiwezekani Bila Kukomesha Matatizo yanayosababisha Chuki katika Taifa
Na Mwandishi wetu โJamhuri media Dar es Salaam Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bahame Tom Nyanduga, amesema Tanzania haiwezi kujenga demokrasia halisi na endelevu bila kukomesha changamoto zilizojitokeza katika chaguzi zilizopita ili zisijirudie katika…
Dar es Salaam yazindua Jukwaa la Mifumo ya Chakula
JIJI la Dar es Salaam limezindua Jukwaa la Mifumo ya Chakula litakalokuwa chombo cha kuunganisha wadau mbalimbali katika kuboresha upatikanaji wa chakula salama, bora na chenye lishe kwa wakazi wa jiji hilo. Uzinduzi wa jukwaa hilo ulifanywa na Naibu Meya…




