Latest Posts
Serikali imepiga hatua kubwa kuimarisha mifumo ya utakatashaji fedha haramu
Na Benny Mwaipaja, Kigali, Rwanda Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) amesema kuwa Serikali imepiga hatua kubwa kuimarisha mifumo ya kuthibiti utakasishaji fedha haramu, ufadhili wa ugaidi, na ufadhili…
Viongozi vyuo vikuu wakubali kuboresha udahii na ubora wa elimu
Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ameitaka Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuhakikisha inaweka mfumo bora na wenye ufanisi wa udahili na usajili wa wanafunzi wanaojiunga na elimu ya juu, ili kuepusha vyuo kupokea wanafunzi…
Makamu wa Rais ashiriki misa ya kuwekwa wakfu Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki Dar es Salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi ameshiriki Adhimisho la Misa Takatifu ya kuwekwa Wakfu Mhashamu Vincent Mpwaji, kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, iliyofanyika katika Viwanja vya Msimbazi Center –…
Dk Mwigulu : Kila kijiji kuwa na sekondari
Aelekeza fedha zinazookolewa kwenye kubana matumizi zielekezwe kwenye huduma za wananchiAagiza magari ya kubeba wagonjwa yawe na mafuta, aonya wanaowachangisha wagonjwaAmpongeza Afisa Elimu aliyesimamia shule kuongoza kitaifa WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali imejipanga kufanya mageuzi makubwa katika sekta…
Tanzania yakabidhi DRC msada wa tani 52 za dawa na vifaa tiba kupambana na Ebola
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeikabidhi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) tani 52 za dawa na vifaa tiba zenye thamani ya shilingi milioni 220, sawa na takribani dola 88,000 za Kimarekani, kusaidia mapambano dhidi ya mlipuko wa…
Prof. Shemdoe : Chama cha Wazee Kisiwe cha harakati, ni hazina ya hekima na mshikamano katika jamii
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekitaka Chama cha Wazee Wanaume Tanzania (CCWWT) kutokuwa chama cha harakati, bali kutumia nafasi yake katika…





