Latest Posts
Ofisi ya Rais maendeleo ya vijana yaendelea kujifua, kushiriki SHIMIWI 2026 kibabe
Na Byarugaba Innocent-ORMV Watumishi wa Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana wameendelea kujiweka sawa kwa mazoezi kabambe ya utimamu wa mwili na viungo Kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Kisasa kufuatili Mashindano ya Shirikisho la Michezo la Wizara na Idara…
Balozi Maulida awasilisha hati za utambulisho kwa Sultan nchini Oman
Balozi wa Tanzania nchini Oman, Mheshimiwa Maulida Hassan amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Sultan, Mtukufu Haitham bin Tariq Al Said. Tukio hilo lililofanyika katika Kasri la Al Hosni mjini Salalah limeakisi uhusiano wa karibu na wa kihistoria uliopo kati ya…
Ukanda Maalum wa Benjamin Mkapa utaendelea kuwa tanuru la fursa na kiuchumi kwa vijana
*Nanauka asifu,apongeza Juhudi za Serikali kwa uwekezaji *Atoa rai kwa vijana kushiriki kikamilifu kwenye uzalishaji viwandani. Na Innocent Byarugaba -ORMV Hivi karibuni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe.Joel Arthur Nanauka amefanya ziara rasmi kujionea utekelezaji wa…
TRA yaimarisha ushirikiano na wadau katika kukuza maadili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanya Kikao Kazi cha Kwanza cha Jukwaa la Ushauri la Wadau wa TRA kuhusu Maadili, kinachofanyika mkoani Morogoro, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na wadau katika kukuza maadili katika usimamizi…
NMB yaingia mbio za mbuzi, vijana zaidi ya 130 kunufaika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NMB Bank imejiunga kwa mara ya kwanza kuwa mdhamini wa Mbio za Mbuzi za mwaka 2026, zinazolenga kukusanya Sh milioni 200 kwa ajili ya kusaidia vijana 150 kujiunga na vyuo vikuu na mafunzo…
Taka tani 689, 144 huzalishwa kila mwezi, Serikali kuchukua hatua
Na Atley Kuni, WAF – Morogoro SERIKALI imezitaka mamlaka za miji, wataalamu, sekta binafsi na wananchi kuongeza juhudi katika usafi wa mazingira na udhibiti wa taka, baada ya kubainika kuwa Tanzania inazalisha jumla ya tani 689,144 za taka ngumu kila…





