JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanesco Ubungo yanasa waliojiunganishia Umeme kinyume na utaratibu

Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ubungo jijini Dar es Salaam limeendelea na operesheni yake maalum ya kuwabaini na kuwachukulia hatua wateja ambao wanatumia umeme bila kulipia wakiwa wameunganishiwa umeme na vishoka mtaani kinyume na utaratibu….

Serikali yafikisha umeme maeneo 582 ya wachimbaji wadogo, kilimo na viwanda Tanzania Bara

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imetekeleza Mradi wa Usambazaji Umeme katika maeneo 582 ya wachimbaji wadogo, kilimo na viwanda Tanzania Bara, kwa gharama ya Shilingi bilioni 115. Mhe. Makamba ameyasema…

Serikali yaimarisha uhimilivu bei za mafuta nchini

Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kuhakikisha bei za mafuta nchini zinakuwa himilivu na zinalinda maslahi ya wananchi, ikiwa ni pamoja na kuimarisha usimamizi wa soko na kuhakikisha upatikanaji wa mafuta kwa wakati katika maeneo mbalimbali nchini. Hatua hizo zimechangia…

Wafanyabiashara wa pembejeo, viuatilifu sasa rasmi Soko Kuu la Kariakoo

Shirika la Masoko ya Kariakoo limewarejesha wafanyabiashara wa pembejeo na viuatilifu katika Soko Kuu la Kariakoo ambao walikuwa hawajarejeshwa sokoni hapo baada ya soko hilo kufunguliwa Februari 8, 2026. Kurejeshwa kwa wafanyabiashara haokunatoka na majadiliano baina ya uongozi wa Shirika…

Wasanii zaidi ya 146 kushiriki Tamasha la 44 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni

NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO TAASISI ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa) inatarajia kufanya Tamasha la 44 la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni kuanzia Oktoba 28 hadi 31, mwaka huu, katika viwanja vya taasisi hiyo wilayani Bagamoyo, mkoani Pwani. Tamasha hilo…

Serikali yaweka mkakati kukabili madhara ya El Nino

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imeanza kujiandaa kukabiliana na madhara yanayoweza kusababishwa na mvua za El NiƱo, ikitaja kumbukumbu za mafuriko, maporomoko ya ardhi, uharibifu wa miundombinu na milipuko ya magonjwa iliyowahi kutokea nchini katika misimu iliyopita kuwa sababu ya kuongeza…