Latest Posts
Kada wa CCM Mary Nchimbi afariki dunia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyewahi kushika nafasi mbalimbali ndani ya Jumuiya ya Vijana, Chama pamoja na Ofisi Ndogo ya Lumumba, na kutumikia CCM katika Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa…
Rais Mwinyi : Kamati ya CCM na ACT Wazalendo kuimarisha maridhiano Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema kuundwa kwa Kamati ya Pamoja ya Majadiliano yenye wajumbe kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT Wazalendo ni hatua muhimu katika kuendeleza mchakato wa maridhiano…
Kiwanda cha kuchakata mchanga mzito wa baharini Afrika kujengwa Pangani, Tanga
Chengdu,China Kampuni ya Shenghe Resources ya China imeanza ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kuchakata madini madini ya mchanga mzito wa baharini (๐๐๐๐ซ๐ฎ ๐๐๐ฃ๐๐ง๐๐ก ๐๐๐ฃ๐๐จ) katika eneo la Tajiri,Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga ambapo kampuni hii inatekeleza mradi mkubwa wa uchimbaji…
UDSM kuwa mwenyeji wa mkutano wa AAP 2026
CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kinatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Mwaka wa 2026 wa Alliance for African Partnership (AAP), utakaowakutanisha viongozi wa vyuo vikuu, wanazuoni, watunga sera, wabunifu, sekta binafsi na washirika wa maendeleo kutoka Afrika na…
CBE Yaanzisha Shahada za Double Degree, Uanagenzi
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kimeanzisha programu mbili mpya za shahada zinazolenga kuwaandaa vijana kuwa wataalamu wenye ujuzi wa kimataifa, teknolojia na uwezo wa kutatua changamoto za kiuchumi na kijamii. Programu hizo ni…





