Latest Posts
Chalamila : Uchafu Dar marufuku, ukikamatwa usilaumu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ametangaza mikakati ya kukomesha utupaji wa taka hovyo jijini humo, akisisitiza kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya watu watakaokiuka utaratibu wa usafi. Akizungumza leo…
MOI Yaanza kutumia mbinu mpya kutibu kiharusi
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeanza kutumia technolojia ya kisasa kutoa matibabu ya kibingwa ya upasuaji wa ubongo kwa wagonjwa wa kiharusi inayongeza ufanisi wa matibabu Kwa wagonjwa. Mkurugenzi wa Upasuaji wa Ubongo MOI Dkt. Lemeri…
Saratani ya matiti si ya wanawake pekee, wanaume watahadharishwa
Na Mwandishi Maalumu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wanaume wametakiwa kuwa makini na afya ya matiti na kutopuuza mabadiliko yoyote yasiyo ya kawaida katika eneo hilo ikiwemo kuonekana kwa uvimbe kwa kuwa saratani ya matiti inaweza pia kuwapata wanaume. Rai hiyo…
Usipuuze uvimbe, jua dalili za saratani ya mitoki mapema
Na Mwandishi Maalumu , JamhuriMedia,Dar es Salaam Wananchi wametakiwa kutopuuza uvimbe unaodumu mwilini hususan ule usioambatana na maumivu badala yake wafike katika vituo vya afya kwa uchunguzi huku wakihimizwa kujenga utamaduni wa kutambua dalili za saratani ya mitoki mapema. Wito…
Mchora katuni gazeti la Mwananchi, King Kinya afariki dunia
Mfanyakazi wa Idara ya Habari ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Kinyagulo Tuzo, maarufu King Kinya, amefariki dunia leo, Septemba 17, 2026 baada ya kuugua kwa kipindi kifupi. Taarifa iliyotolewa Ofisi ya Rasilimali watu MCL imethibitisha kutokea kifo cha…
Mkurugenzi Mkuu TMA , Katibu Mkuu WMO wazungumzia El Nino 2026
Geneva: 15 Septemba, 2026 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Makamu wa Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi (IPCC), Dk Ladislaus Chang’a alikutana na Katibu Mkuu…





