JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

EACOP yatoa Dola za Kimarekani milioni 1.06 kuimarisha huduma za afya Tanga, Geita

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) limesaini Mikataba mitatu ya kufadhili uwekezaji wa Kijamii na Kiuchumi (SEI) yenye thamani ya zaidi ya Dola za kimarekani milioni 1.06 (takribani Shilingi bilioni 2.8 za…

Mkurugenzi BoT avutiwa na ufanisi wa utunzaji kumbukumbu kidijitali wa PSSSF

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi wa Tafiti na Uchumi Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dkt. Suleiman Misango, amevutiwa na jinsi Mfumo wa PSSSF Portal, ulivyoweza kutoa taarifa za wanachama wa PSSSF kwa haraka tangu alipoanza ajira hadi hivi sasa….

Mkandarasi akamilisha awamu ya kwanza uvutaji nyara mradi wa Chalinze – Dodoma

📌TANESCO yawashukuru wateja kwa uvumilivu na kutangaza awamu ya pili kuanza Agosti 11–14 katika maeneo ya Kikombo na Mkonze – Dodoma Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mkandarasi amekamilisha kwa mafanikio awamu ya kwanza ya kazi za uvutaji wa nyaya…

BoT yatumia maonesho ya Nanenane kuhamasisha vijana kujiunga na chuo chake

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma CHUO cha Benki Kuu ya Tanzania (BoT Academy) kimefungua dirisha la udahili kwa programu zake za muda mrefu na mfupi, huku kikiwahamasisha vijana waliomaliza kidato cha sita, wahitimu wa vyeti na shahada pamoja na watumishi…

Wakulima wahimizwa kujiunga na Bima ya Kilimo kujikinga na hasara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAKULIMA nchini wamehimizwa kujiunga na Bima ya Kilimo ili kujikinga dhidi ya hasara zinazotokana na majanga ya asili, magonjwa na wadudu waharibifu, hatua itakayowasaidia kulinda uwekezaji wao na kuendelea na uzalishaji hata wanapokumbwa na changamoto….

Serikali kushirikiana na sekta binafsi kudhibiti taka za plastiki

Serikali itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kuhakikisha kunakuwa na uwiano kati ya udhibiti wa taka za plastiki, ulinzi wa mazingira na ukuaji wa sekta ya viwanda ili uchumi wa nchi uendelee kuimarika. Hayo yamesemwa na Waziri wa Viwanda Biashara, Mhe….