Latest Posts
Mwenendo sekta ya madini Tanzania kabla na baada ya uhuru
Sekta ya Madini Tanzania imepitia mabadiliko makubwa kutoka enzi za ukoloni hadi sasa. Kabla ya Uhuru, uchimbaji uliendeshwa na wakoloni kwa kiwango kidogo. Baada ya Uhuru mwaka 1961, Serikali ilianza kuimarisha tafiti za jiosayansi na usimamizi wa rasilimali hizo. Kuanzia…
RC Mwanza: Hali ya usalama Mwanza ni ya utulivu
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Said Mtanda,amesema hadi saa 6 na dakika 18,Desemba 9,2025,hali ya usalama mkoani humo ni tulivu huku akiwatoa hofu wananchi juu picha mjongeo ‘clip’, zinazotembea mtandao zikionesha wanajeshi wakiwasikiliza wananchi. Mtanda amezungumza hayo leo Desemba 9,2025 ofisini…
Polisi :Hadi majira ya mchana Dodoma ni shwari
Katika Mkoa wa Dodoma, juzi Desemba 8, 2025 wananchi walifurika katika eneo la Soko Kuu la Majengo kununua mahitaji mbalimbali kufuatia hofu ya maandamano yaliyokuwa yametangazwa kufanyika Desemba 9. Hadi saa mbili usiku, soko hilo lilikuwa limejaa watu wengi waliokuwa…
Watanzania waaswa kudumisha amani, umoja na mshikamano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kuadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanganyika, Watanzania wametakiwa kukumbuka siku hiyo kwa misingi ya haki, amani, mshikamano na umoja wa kitaifa, huku wakiepuka mivutano yoyote inayoweza kugawanya taifa, ikiwemo migawanyiko ya…
Watanzania tuchague amani badala ya vurugu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Kibiti Ndugu zangu Watanzania, leo nimeona niwaandikie kwa uwazi, kwa uchungu na kwa upendo wa dhati juu ya kinachoendelea hapa nchini. Jumapili iliyopita nimefuatilia kwa karibu mahubiri ya viongozi wengi wa dini makanisani. Wamehubiri siku mbili…
Kamishna NCAA awataka watumishi kufanyakazi kwa uaminifu kuenzi uhuru
Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Bw. Abdul-Razaq Badru amewataka watumishi wa mamlaka hiyo kufanya kazi kwa bidii, weledi, uamunifu, ubunifu na ushirikiano katika ulinzi wa rasilimaliza za Wanyamapori na misitu ili kuenzi uhuru wa Tanzania Bara…



