Majaliwa aiagiza BoT kuzisimamia benki katika maboresho ya riba
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameiagiza Benki kuu ya Tanzania (BOT) kuzisimamia Taasisi za kifedha kwa upande wa mabenki kuboresha riba katika mikopo wanayoitoa. Akizungumza Leo,Agosti 3, 2023, katika banda la BoT mara baada ya kutembelea mabanda ya Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane yanayofanyika Kitaifa kwenye viwanja…
Mabasi mawili, lori vyateketea kwa moto, wawili wafariki Mlandizi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Watu wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa ,katika ajali iliyohusisha magari matatu likiweno bus kampuni la abiria New Force,Sauli na lori la mafuta kuteketea kwa moto alfajir ya Machi 28 eneo la Ruvu, Mlandizi ,mkoani Pwani. Kati ya watano waliojeruhiwa ni pamoja na askari wawili wa Jeshi la Zimamoto…
Mke aeleza alivyopewa taarifa na mume alivyojeruhiwa
Mwandishi Wetu Shahidi wa nne katika kesi ya kujeruhiinayomkabili mfanyakazi wa benki ya CRDB, Ibrahim Masahi, Careen Wiliam ameieleza mahakama kuwa mume wake Deogratus Minja wakati wanampeleka Hospitali ya Bochi aliwaeleza kuwa amejeruhiwa na jirani yake Masahi. Careen amedai hayo leo mbele ya Hakimu Mkazi, Amos Rweikiza wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es…
Tanzania yasaini mkataba wa ushirikiano na Hungary kwenye sekta ya maji
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imesainia Mkataba wa Ushirikiano na Nchi ya Hungary katika sekta ya maji ili kubadilishana uzoefu wa teknolojia katika sekta hiyo. Akizungumza leo Machi 28,2024 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Janury Makamba amesema kwa miaka mingi nchi hiyo inaongoza kwa teknolojia ya juu…
Rais Samia kuwaongoza viongozi ibada ya kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha Sokoine
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Media Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwaongoza viongozi mbalimbali kwenye ibada maalum ya kumbukizi ya miaka 40 ya Hayati Edward Moringe Sokoine aliyekuwa Waziri Mkuu wa tatu wa Tanzania katika kipindi cha awamu ya Kwanza. Ibada hiyo itakayofanyika siku ya Ijumaa Aprili 12, 2024, saa 3:00…
TAKUKURU: Miradi 171 yabaini kuwa na kasoro, uchunguzi waanza
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imefanya tathmini ya miradi 1,800 na kati ya miradi hiyo 171 yenye thamani ya Sh bilioni 143.3 ilibainika kuwa na utekelezaji hafifu na hivyo kuanzisha uchunguzi. Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Salum Hamduni ameitaja miradi hiyo ilikuwa katika sekta ya ujenzi, fedha, maji , kilimo pamoja na majengo…