Jela miaka 25 kwa kukutwa na kilo 107, 29 za bangi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Morogoro imemuhukumu John Mwasikili…
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameiagiza Benki kuu ya Tanzania (BOT) kuzisimamia Taasisi za kifedha kwa upande wa mabenki kuboresha riba katika mikopo wanayoitoa. Akizungumza Leo,Agosti 3, 2023, katika banda la BoT mara baada ya kutembelea mabanda ya Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo ya Nane Nane yanayofanyika Kitaifa kwenye viwanja…
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Morogoro imemuhukumu John Mwasikili kutumikia kifungo cha miaka 25 gerezani baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya bangi zenye ujazo wa kilo 107.29. Aidha Mahakama imeamuru gari namba T 895 CQR ambalo lilikuwa na bangi hiyo litaifishwe na…
Na Abel Paul, Jeshi la Polisi-Arusha Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama Barabarani Kimeendelea na operesheni ya kutoa elimu na kuwakamata wale wote wanaoendelea kuvunja sheria za usalama Barabarani huku Jeshi hilo likiwapongeza wale wote waliotii agizo la Serikali la kuondoa namba ambazo hazijasibitishwa na Mamlaka ya Viwango Tanzania (TBS). Akiwa katika Operesheni hiyo leo…
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ngorongoro Kaya 77 zenye watu 463 na mifugo 1,408 waliohama kwa hiari kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Msomera wameagwa leo katika ofisi za mamlaka ya hifadhi hiyo. Ofisa Uhifadhi Mkuu, Flora Assey ambaye ni meneja mradi wa kuhamisha wananchi wanaohama kwa hiari Ngorongoro amesema kufikia wiki hii jumla ya kaya 1,195…
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia,Dodoma Waziri Wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera ,Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama ametoa wito kwa Baraza la Wafanyakaziwa Ofisi hiyo,kupitia taarifa ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2023/24 na makadirio ya bajeti ya mwaka 2024/25 kwa umakini ili kuona yale yaliyotekelezwa kwa mwaka uliopita wa fedha na kuongeza ubunifu utakaowezesha…
Na Munir Shemweta, JamhuriMerdia, Chalinze Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga amesema Hati miliki za Ardhi zinazotolewa kwa wamiliki wa ardhi nchini haziruhusiwi kuwekewa ‘’Lamination’’. Mhandisi Sanga ametoa kauli hiyo tarehe 18 Machi 2024 wilayani Chalinze mkoa wa Pwani wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Ardhi…
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rushwa ni tatizo la kidunia lenye madhara makubwa kwa mtu, jamii, nchi na mataifa kwa ujumla. Rushwa imetumika kupoka haki za watu kwa kumnyanganya haki yeye aliyeistahili na kumpa yule asiyeistahili kwa sababu mwenye jukumu la kutoa haki amepokea hongo au kaahidiwa kupewa hongo ili apindishe sheria. Ni…