JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Silaa aridhishwa na utekelezaji mradi wa Kituo cha Kitaifa cha Kuhifadhi Data Kimtandao

Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa ameonesha kuridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa Kituo cha Kitaifa cha Kuhifadhi Data Kimtandao (NIDC) wakazi wa ziara ya Waziri Mkuu, Kassim…

CHADEMA kunazidi kufukuta, mwenyekiti Dodoma ang’atuka

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma, Aisha Saleh Madoga, amejivua wadhifa wake na nafasi nyingine zote alizokuwa anazishikilia ndani ya chama hicho. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jijini…

Mfalme Zumaridi mikononi mwa Polisi tena kwa tuhuma kuendesha ibada kinyume na sheria

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Mwanza Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limemkamata tena Diana Edward Bundala, maarufu kama Mfalme Zumaridi, kwa tuhuma za kuendesha shughuli za kidini kinyume na sheria, akiwa katika mtaa wa Buguku, kata ya Buhongwa, wilaya ya Nyamagana. Kwa…

Msiwafiche watoto wenye utindio wa Ubongo: Doreen

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JAMII imetakiwa kutokuwaficha watoto wenye utindio wa ubongo kwani ni watoto kama walivyo wengine. Wito huo umetolewa na Doreen Fitzpatrick ambaye ni Mtanzania anayeishi Marekani na Mkurugenzi wa Sassyfly Luxury Event wakati akitoa…

CCM Bunda yatoa msimamo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Bunda *Chasisitiza wajumbe wa mwaka2022 ndiyo wapiga kura CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bunda mkoani Mara, kimesema wajumbe waliochaguliwa mwaka 2022 ndiyo watakaoruhusiwa kupiga za maoni za kuchagua mbunge na si vingenevyo. Kauli ya chama…

Serikali yawezesha miradi 80 kwa utaratibu wa PPP – Waziri Chande

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI imewezesha miradi 80 ambayo ipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji kwa utaratibu wa Ubia kati ya Sekta za Umma na Sekta Binafsi (PPP). Akizungumza bungeni jijini Dodoma mapema wiki hii, Naibu Waziri wa Fedha,…