Latest Posts
SELF Microfinance : Huduma za kifedha bado ni eneo linalohitaji kuwekewa mkazo hasa mikopo
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa SELF Microfinance, Santieli Yona amesema huduma za kifedha bado ni eneo linalohitaji kuwekewa mkazo hasa katika kutoa elimu kwa jamii. Amesema kuwa mfuko wa SELF Microfinance ni mfuko uliyo…
CCM Arusha watangaza majina ya wagombea udiwani Jimbo la Arusha Mjini
Na Happy Lazaro, Arusha Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha leo limetangaza rasmi majina ya wagombea wa nafasi za udiwani kwa Jimbo la Arusha Mjini, baada ya kukamilika kwa mchakato wa kura za maoni na kupitia taratibu za chama….
Elimu ya nishati safi ya kupikia yawafikia wanawake Mbeya
📌 Ni kupitia Kongamano la Wanawake na Fursa za Kiuchumi 📌 Wizara ya Nishati yasisitiza matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ili kulinda afya na mazingira Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Serikali kupitia Wizara ya Nishati imetoa wito kwa wananchi…
Media Brain yawashauri waandishi wa habari kusoma nyaraka za sheria za uchaguzi
Na Aziza Nangwa, Dar es Salaam Waandishi habari wametakiwa kusoma nyaraka mbalimbali za Sheria ya Tume huru ya Taifa na Sheria ya Uchaguzi Rais,Wabunge na Madiwani 2024 na marekebisho ya sheria ya vyama vya Siasa ili waweze kuandika habari zenye…
Nchi za SADC zahimizwa kutunza na kulinda amani
Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo amesema kuwa licha ya changamoto za kisiasa, uhalifu unaovuka mipaka na matatizo ya kiuchumi kwa jamii ambayo yanaendelea kutafutiwa ufumbuzi, bado Nchi za Jumuiya ya…
NCCR Mageuzi yatambulisha wagombea urais na ilani mpya ya uchaguzi 2025
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Baada ya kikao maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika jana jijini Dodoma, Chama cha NCCR Mageuzi leo Agosti 15,2025 kinatarajiwa kuelekea Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuchukua fomu za uteuzi wa wagombea wake wa…