Latest Posts
Fomu ya ubunge ya Ulega na mkewe yazua jambo Pwani
Na Mwandishi wetu Wakati Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega na mkewe Mariam Abdallah Ibrahim wakiwa wamechukua fomu ya kuomba kuwania ubunge wa jimbo na viti maalum katika Mkoa wa Pwani, wadau mbalimbali wamehoji hatua hiyo imelenga kutatua kero za wananchi…
Dk Biteko: Nishati itakayozalishwa na nyuklia kujumuishwa kwenye gridi ya Taifa
📌 Asema ni Nishati yenye unafuu wa gharama kulinganisha na vyanzo vingine vya nishati, pia isiyochafuzi kwa mazingira. 📌 Asisitiza nyuklia kwa ajili ya kuzalisha umeme ni salama, awatoa hofu jamii kuhusiana na matumizi yake 📌 Akazia kuhusiana na matumizi…
Pamoja tutashinda Tanzania yashiriki tukio la kusimikwa mtemi ea 24 wa Busiya chifu Majwaia wa III
Na Andrew Chale, JamhuriMedia, Shinyanga TAASISI ya Pamoja Tutashinda Tanzania (PATUTA) imeshiriki katika tukio kubwa la kusimikwa kwa Mtemi mpya wa 24 wa Busiya Austin Makani Makwaia ‘Chief Makwaia wa III’ katika Ikulu ya Busiya Ukenyenge Wilaya ya Kishapu mkoani…
TRA yawaalika wananchi Sabasaba kupata elimu ya Kodi na huduma za TIN
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imewaita wananchi kutembea banda lao lililopo katika Viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (DITF) maarufu kama Sabasaba ili kupata elimu na huduma mbalimbali za…
Waziri wa Maliasili na Utalii awataka maafisa kufanyakazi kwa bidii kwa bidii na weledi mkubwa
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amewataka Maafisa kufanya kazi kwa bidiii na weledi mkubwa katika kutekeleza majukumu yao kwa kuwa cheo ni dhamana na kinakuja na majukumu. Dkt.Chana ameyasema hayo…