JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mahakama yajenga uwezo wa waandishi kuripoti kwa usahihi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Katika kuhakikisha jamii inapata taarifa zilizo sahihi na zenye usawa kuhusu mwenendo wa haki nchini, Mahakama ya Tanzania kwa kushirikiana na Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA), imeendesha mafunzo ya kitaalamu kwa waandishi wa habari…

CCM kufanya marekebisho madogo ya katiba

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kufanyika kwa Mkutano Mkuu Maalum kwa njia ya mtandao kesho, Julai 26, 2025, kwa lengo la kujadili ajenda moja kuu ya marekebisho madogo ya Katiba ya Chama hicho. Akizungumza na…

Gavana Tutuba azindua Jarida la Uchumi Wetu, Toleo Namba 1

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Tutuba, amezindua rasmi Jarida la Uchumi Wetu, Toleo Namba 1 la Julai, 2025 linaloandaliwa na Benki Kuu ya Tanzania kupitia Idara ya Mawasiliano kila baada…

Balozi CP Kaganda apokea ujumbe kutoka Tanzania kushiriki mkutano wa kikanda wa RAMSAR

Na Mwandishi Ubalozi wa Tanzania Nchini Zimbabwe Balozi wa Tanzania nchini Jamhuri ya Zimbabwe CP Suzan Kaganda amempokea Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (Mb), alieongoza ujumbe wa Tanzania kwenye…

Mamia wajitokeza kumzika mke wa Manyerere na Naibu Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Jamhuri

Na Berensi China, JamhuriMedia, Butiama Mamia ya wananchi wa Kijiji cha Butiama mkoani Mara na maeneo ya jirani ya Mkoa wa Mwanza, Dar es Salaam na Arusha wamejitokeza katika mazishi ya aliyekuwa mke wa Naibu Mkurugenzi wa Kampuni ya Jamhuri…

TCCIA yakaribishwa kujionea fursa Songwe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Mkuu wa Wilaya ya Songwe Fadhil Nkurlu, ameikaribisha Chemba ya Biashara,Viwanda na Kilimo Tanzania(TCCIA) kutembelea wilaya ya Songwe na kujionea fursa mbali mbali za kiuwekezaji na kibiashara. Nkurlu alitoa ukaribisho huo jijini Dar es Salaam alipotembelea ofisi…